Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Swadakta.Nimekukubali kabisa yakhi..

Barubaru,

Salaam Al Habiby.

Nilikua nasoma bayana zako za awali punde. Mola takulipa kwa fadhila zako zoote.

Ahsanta sana kwa yoote,na khasa kwa unyonge ulokukuteni ndugu zangu.

Dhuluma na batili siku zoote hushindwa.

Si wasikia leo hii huyo "Field Marshal" wao wa kuchonga Okello;wanae na Family yake yoote wamekumbwa na madhila yaso mipaka huko kwao Uganda na wanaishi na wanalala nyikani huku wakijistiri kwa matunda ya mitini!?...Pole zao nyingi mno!

Nakwacha Al Akhiy,nawe ubaki vyema Insha Allah.

Shukran.

Cc;Ritz
 

Duuh! kama hivi ndivyo....
then kulikuwa na hoja gani ya kuuliza kama nani alimuomba mwenzake msaada kwenye yale mapinduzi. Response hii inaonyesha kuwa kumbe Nyerere chini ya TANU ndio walikuwa na ajenda ya Mapinduzi yale. Tukikubaliana hapa ndipo tutakapo kuja kwenye nukta nyingine..je ni kweli lengo la Nyerere kufanikisha mapinduzi yale ilikuwa nikuifanya Zanzibar iwe huru chini ya Wakoloni.....au kulikuwa na agenda nyingine kama Dr Ghassani Hafidhwahu Llaahu alivyodai?

Amakweli kuchamba kwingi .......

Kwemwale.
 

Inna maakum.

Shukran

 

Hakika maneno mazito sana haya na yamebainisha mengi sana na umeyapanga kwa weledi mkubwa sana wa Kimadrasa madrasa na sio kwa ki sunday school au st st


Lakin Kubwa CRUSADE maana yake ni VITA VYA MSALABA.

Maa salaam

 
Ndugu yangu Gwalihenzi

Ni jambo la kushangaza sana ikiwa hawa ndugu zetu wanajiita ni Great Thinker

Badala yakujibu hoja wao wanashambulia watu,

Lakini ndio hivyo tutafika tu na historia itabaki huru bila kuchafuliwa!


Yericko,

Mimi nakupa challenge kiduchu...

Huyohuyo Gwalihenzi unaejaribu kumwandikia na kuonyesha udhaifu wa wengine...tuonyeshe/nionyeshe hapa jamvini ni lini ametoa/amejibu hoja au mada ili wengine wachangie!? Huna haja ya kwenda mbali saana,anzia tangia tarehe ambayo mimi binafsi nilijiunga hapa Jf mpaka hivi leo!?

Anachokifanya yeye ni kushambulia yeyote mtoa mada/hoja almurad tu mtu huyo awe anakubaliana na Sheikh Mohammed Said!?

Sasa kama kweli wewe ni bingwa wa kushangaa,yatakiwa uanze kumshangaa huyo mwenzio...sio kupeana sifa asizostahili.
Punguzeni kudanganyana jamaa zetu!!

Ahsanta.

Cc;Ritz
 
Yericko Nyerere,

Nakusubiri kama umeshindwa kujibu waambie wenzako wakusaidie kuna mipini nimekuandalia hii naifanya kwa kumuenzi ndugu yetu gombesugu,


Shariff Ritz,

Salaam Al Akhiy.

Shukran to all those who support and missed me during my short absence. I felt your love and heard your voices.

Others too;I still respect your views and our different opinions/disagreements.

...with all due respect,I humbly dissent.

I'm not being brave,I'm being a decent human being.

Ahsantani sana.

Cc;Hargeisa,Boko Haram,Hasanalis,The Big Show,Barubaru,Sheikh Mohammed Said,Kadogoo,JokaKuu
 
Ukiwa dhaifu, kila anaekutizama utahisi anania mbaya na wewe. na kila saa utatafuta mtu wa kumsingizia kama chanzo cha udhaifu wako. Elimu duni kwa waislamu nani alaumiwe?

1. Baadhi ya Vingozi wa dini ya Kiislamu: ambao wameeneza itikadi ya chuki na si upendo, kuvumiliana na kusameheana kwa maneno wanayoyajua wenyewe. Na hapa ndipo hutumia Mwanya kutimiza malengo yao ya kisiasa kwa niaba ya watu wenye nia zao wanazojua wenyewe.

2. Historia: Wakoloni waazungu na udhalimu wao walileta Elimu na Afya kupitia Wamishionary ambao ndio walikuwa Wapelelezi wakuu. Waarabu ambao ndio waliotuletea hapo awali dini ya Kiislamu kimsingi hawakuzingatia sana emilu Dunia wala huduma za Afya kwa watu wetu. Jambo hili baya limearithiri sana maendeleo ya maeneo kuliko na Waislamu wengi ambako Waarabu waliiueneza.

3. Mfumo wa Maendeleo wa taasisi a Kiislamu: Mpaka Miaka ya hivi karibuni, taasisi za Kiislamu zilijengwa katika misingi ya kidini zaidi kwa kuhamasisha watoto na vijana kiusoma Juzuu na Msaafu bila kuzingatia kuwa vijana hawa hawaishi katika ulimwengu wao peke yao, taasisi hizi tofauti na za wenzetu wakristu hazikuweka Elimu Dunia katika shule za Awali za Madrasa na hivyo kupelekea watoto kukariri na wala si kuelewa Aya mbalimbali, na hivyo katika sifa ya misingi hiyo, wanakuwa wazuri kwenye imani wabovu kwenye maisha, hawawezi kupata kazi wala kupewa nafasi katika taasisi mablimbali. Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na mwamko (ingawa bado madrasa zinabaki kuwa chanzo cha kuzorotesha Elimu ya watoto maana haziingizi elimu Dunia) wa Kielimu na taasisi mbalimbali tayari ziko katika mpangilio mzuri. Bado kunahcngamoto mfano shule zinazofanya vibaya sana ni za Waislamu Seminari (Ukitizama makundo hayo mawili ya zilizofaulu zaidi na zile zilizofeli zaidi). Cha muhimu hapa ni kujifunza, na kufikiri vema zaidi kukabili changamoto.

4. Uislamu wa Kisasa: Hili kila mtu analifahamu oukizingatia kuibuka kwa Mujahidina na sera yao ya adhabu zao kali kwa yeyote yule anaemkosea Mungu, badala ya kutumia ushawishi kuenga hoja zao wanatumia Nguvu kwa jina la Mwenyezi Mungu. Sina Uhakika kama Mwenyezi Mungu anashindwa kuwaadhibu wanaomuudhi, tena kwa sekunde. Rehema zake hazina kipimo na upendo wake na uvumilivu akiamnini tutarudi katika ibada na kuendelea kumcha Mungu. Je katika dini ya Uislamu hakuna kusamehewa dhambi na Mwenyezi Mungu? Je hakuna kusameheana mpaka tunaadhibiana Waislamu kwa waislamu, tukaeneza chuki na chuki dhidi hasahasa ya wale wasio Waislamu? Na hata kutumia nguu kupita kiasi katika siasa na mambo mengine na kuleta madhara kwa wengi tu wasio na hatia.

Mwisho, nasema hivi, hakuna mpango wala haujawahi kuwepo wa kuwakandamiza Waislamu, kutafuta mchawi wakati umejiloga mwenyewe. Muda huu unawza kutumika vema kupanga na kufanya maajabu kwa watoto na vizazi vijavyo na watu wakaufurahia Uislamu na kutaka kujiunga zaidi na zaidi. Kama ni Memorandum of Understanding kwanini Tasisisi husika zisiongee na Serikali kukawa na ya Waislamu? Sina uhakika kama kuna taasisi yenye nayo. Kama ni shule kwanini tusiongeze na kuziimarishana hasa ubora wa walimu? Sasa usitie neno, maana kama ni utajiri wako Waislamu matajiri sana. Kama ni akili wako Waislamu wenye akili sana. Wakati wa Mabadiliko ndani ya taasisi za kiislamu ni sasa kuanzia Madrasa mpaka misikiti Mikuu.
 
Wakuu Barubaru na GombeSugu,

Maswali yetu kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar yapo wazi mnaweza kumsaidia Mohamed Said kuyajibu!


Yericko,

Mimi nipo safarini kibaruani,nisamehe.

Na kama ulihitaji nisaidie kujibu viroja/"hoja" zenu,mbona ulikua mstari wa mbele kulazimisha nifungiwe/niwe banned na hawa jamaa zako wa Jf!?

Kwa kifupi nitafanza mambo kwa priorities zangu na Lifestyle yangu inavyoniruhusu...

Najua utoto unakusumbua ndugu yangu!

Ahsanta.
 

Gombesugu karibu sana. Pole kwa whatever happened
 

Yote heri mtanzania mwenzangu,

Jf wanataratibu zao, kamwe hawawezi kushinikizwa kufanya kazi yao!

Pole sana kwayalokusibu rafiki yangu kipenzi!

Tusonge mbele!
 
Mbona humalizii usemi wako? Hoja ilikuwa kwamba serikali yaTanganyika/Tanzania ilikuwa tayari kuzisaidia nchi zilizohitaji msaada wa ukombozi. Kwahiyo basi swali la msingi linabakia palepale, kwamba ninani aliye muomba mwenzi msaada kati ya ASP na TANU, wazushi wako wanashindwa kujibu hapo kwa sababu jibu lake litawaumbua kwenye ajenda yao ya fitna.
 


Muheshimiwa Professor,

Umejitahidi saana na kutumia nguvu nyingi mno kujaribu kutufahamisha. Ni haki yako na ni vizuri mno.

Nafikiri tungekusikiza kwa utuvu kama ungeacha hiyo khabari yako ya kututajia yakuwa ati wewe ni "Muislamu".

Si kila asokua Muislamu ati huwa hafuatishwi ushauri wake au kusikilizwa na Waislamu...kwa kuwa wewe ni Professor najua unaelewa vizuri History na ushahidi wa haya nikwambiayo nina hakika unayo kichwani!

Kwa kifupi;maelekezo na ushauri wako ungekua na weight kama usingetumia hicho kigezo yakuwa wewe unazungumza kama Muislamu!?...nina maana yawezekana kabisa wewe ni "Muislamu",lakini hicho kigezo kwenye points/"analysis" yako,umetumia vibaya!?

Hapo juu nilipo bold...yaani wewe Professor mzima hiyo ndio Historia ya Mzungu/Mkoloni a.k.a "Mvumbuzi" unayoijua wewe!?

Tulipitia kiduchu hayo mambo hapo awali,nina imani ulikua ukifuatilia...tuliamua kuyacha/kuyapunguza kwakuwa yalikua na elements fulani za Udini.

Mengineyo mengi mno ulozungumza yalishajadiliwa kwa kirefu hapahapa jamvini.

Mfano mimi binafsi,JokaKuu na Kadogoo,tulishawahi kuzungumzia hayo masuala/matatizo ya Ilm kwa Waislamu...post yangu ya mwisho haikuwahi kujibiwa na ndugu yangu JokaKuu,na tuliishia hapo kwa imani yakuwa tulishafahamiana!?

Niwie radhi ndugu yangu,Professor "Muislamu" mwenzangu kwa huo uchechefu wangu kiduchu.

Ahsanta sana.

Cc;Ritz
 

Nilipo RED.

Profesa.
napenda kukujulisha kuwa QUR'AN NI ILE ILE TOKA ILIPOSHUSHWA NA HAKUNA QUR'AN YA KISASA. nA KATIKA MATUMIZI YAKE INASOMWA HIVYO HIVYO KWA UASILIA WAKE NA SI VINGINEVYO. Na hiyo inapelekea hata Shehe wa BUGURUNI ana weza kabisa kuswalisha msikiti wa PIRIS Ufaranda au Pyong Yang Korea.

Nakuomba ufute usemi wako huo nilio RED kwani naona una kila dalili ya kuchafua hali ya hewa hapa jamvini na kusababisha wengi kufungiwa.

Mods naomba liangalieni hil.

 

Hasaaaa hilo ndio waungwana twalisubiri walijibu hawa Watanzania wenzetu!
 
Mheshimiwa Profesa,

Pamoja na mchango wako mzuri kwa baadhi ya maeneo,

Nachukua nafasi hii kukusihi kuweka kando hoja zinazodharirisha ama kuudhi watu wa dini nyingine,

Hilo tumejitahidi kuliepuka katika mnakasha huu kwakuwa sio dhamira ya uzi huu kuhubiri na kuinjirisha masuala ya kiroho,

Ni kweli kuna hoja ambazo ukitaka kuzitoa lazima zitabeba nasaba ya kiroho, lakini nikusihi tena ndugu yangu Profesa kuwa jitahidi kupunguza ukali unaozaa dhihaka kwa dini moja ama nyingine!

Zingatia sheria za jf!
 
gombesugu nashukuru nimejifunza kitu!
 

Nakushukuru bwana Yericko Nyerere niwieni radhi woote niliowaudhi kwa njia moja au nyingine!
 


Mwanakijiji&Co,

Tafadhalini saana,sisi ndo tupo hapa takriban nusu ya mwaka kukutakeni mtuthibitishie tuhuma zenu nyingi za kitoto na za uchochezi kama hizi, kwa chuki mlizonazo dhidi ya Scholar/Historian Sheikh Mohammed Said.


Mwanakijiji,
nakuhakikishia/tunakuhakikishia yakuwa tuhuma hizi nzito dhidi ya ndugu yetu;kama utashindwa/umeshindwa kuzithibitisha inakulazim urejee tena hapa Jf/Jamvini kumtaka radhi kimaandishi Sheikh Mohammed.

Najua/tunajua una "matatizo fulani" huko uliko,lakini taratibu na uwezo wa kukufikishia summons upo na tunao;ili wewe sasa tukurejeshe kinguvu hapo D'Salaam ili uje kujibu tuhuma za uchochezi!!...

Natumai unatufahamu/unanifahamu kwa makini nina maanisha nini!?...usitulazimishe "tufunguke"/tumwage vitu vyako vingine hapa jamvini!...natumai unanisikia na kunifahamu kwa makini!?

Cc;Ritz,The Big Show,Sheikh Mohammed Said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…