Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ngongo,

Una maana kwa hapo Tanzania/Tanganyika,au dunia nzima hujawahi kusikia malalamiko hayo ya "Wakristo wengine" dhidi ya Roman Catholics!?

Embu kipata nafasi tafuta kijitabu hiki na uchungulie hizo bayana zake japo kiduchu;

Is Roman Catholicism Christian!? by Dr. John Henry 2001

Niwie radhi kwa kuingilia kati ya bayana yako ndugu yangu, na nakusihi usinifanzie hamaki kwa ihsan yako.

Ahsanta.

Hapo ndiyo mnatakiwa mjifunze kwani ni kweli waprotestant, Mashahidi wa Yehova, wasabato nk hawakubalian na mafundisho ya kikatoliki. Wasabato wanakwenda mbali na kuiona catholic ni dini ya kishetani na papa ndiye lucifer mwenyewe. Lakini upinzani huu ni kiimani zaidi kuliko literal kama livyo kwa nyie ndugu zetu. Hutasikia hata siku moja eti wasabato wanalalamika kwa nini maraisi ni wakatoliki tuuu! au sijui necta mbona hakuna msabato. Au protestants kuhesabu mawaziri kwa imani zao kujua yupi mkatoliki na yupi protestant. Au shahidi wa Yehova kusingizia dhulma kutoka kwa wakatoliki sababu ya ugumu wa maisha. Au hao niliyowataja kuhoji utakatifu wa Nyerere wakati ni mambo yasiyowahusu.

Eneo hili hata hawa wachochezi akina Mwamedi wanashindwa kulielewa maana wanafikiri et ni haki ya wasio wakatoliki kulalama juu ya dominance ya ukatoliki katika serikali kitu ambacho ni utter non sense.

Ukikosa kufikiri inakuwa rahisi kuamini hata zile hoja za kimbumbumbu kuwa ooh Idd Amin alitandikwa et sababu ya dini yake au Sudani kusini wamejitenga kwa kuwa Mataifa ya magharibi yanauchukia uislamu. Vp kuhusu indonesia nchi yenye waislamu wengi duniani si wamejitenga na East Timor? haya mwageni konspirasi zenu za kidini kwenye hilo pia.
 
Muheshimiwa Mag3,Unaona sasa mtu mzima umeadhirika ndani ya jamvi...yaani kwa kifupi "umeanguka kifudifudi".........Wewe na Nguruvi3 ndo mabingwa wao na "mnajua kila kitu" saana!?ahaha!!

Kama vile siku zoote Sheikh Mohammed anavyokuambieni kistaarabu... yakuwa sisi hizi Historia zimo ndani ya majumba yetu na tumeishi/tunaishi nazo,nyinyi mpaka mkasome kwenye vitabu tena vilivyoandikwa na Missionaries/"Wavumbuzi wenu"!?Ahsanta sana.Cc;Ritz
Gombesugu, Mag3 kasema katika hao wanopiga simu kuhusu Lawi basi ajitokeze mmoja. Na kisha kasema mbona haya yameandikwa siku nyingi hakuna aliyeshtuka.

Najaribu kufikiri kuwa hivi mtu akiniita mimi kafir (kama ninavyoitwa na akina al-khiy) au mpagani au imani nyingine, hilo linaweza vipi kufikia mahali pa kunikosesha usingizi au kunituma nikamate simu eti kwa ghadhabu!!!

Endapo hilo linasababisha usumbufu kama inavyodaiwa, basi nakuhakikishia kuwa Wazanzibar watabeba mawe na wala si simu.
Mtu babu yake atolewe roho, mwingine aachwe mjane, wengine mayatima halafu umwambie kuwa mpendwa wao alikuwa msaliti tena unasema msaliti wa dini ili huko aliko adhabu ya mola imshukie vilivyo, huyo kweli akuache bila kukupopoa mawe!

Pili, umesema mimi na Mag3 tunajifanya tunajua kila kitu, pamoja na kauli yako ya kejeli ukweli unatabia ya kujitenga na uongo na wala mwanga na giza havikai pamoja.

Tatu, nashukuru sana kusikia wewe na Mohamed Said(tumeishi na tunaishi) na historia!
basi tudadavulieni haya kwasababu yapo within your reach!

1. Nani alipanga mipango ya Kipumbwi na nani alimuomba mwenzake msaada! TANU au ASP?
2. Mapinduzi ya znz ni halali au ni haramu
3. Kwanini wazanzibar wanshangilia mapinduzi yaliyoletwa na Nyerere kwa minajili ya kuua Usilam visiwani?
4. Hawa akina Karume Abeid, Karume Amani, Mwinyi A.H, A.Jumbe,N.Moyo, S.amour, A.Wakili, T.K.Jechan.k. ni wanamapinduzi au ni wasaliti na makafiri walioungana na kafir kuupinga Uislam Zanzibar

Tuhuma hizi nzito na zenye kila aina ya fedheha zimetolewa na Mohamed Said.
Kwa kutambua uzito wa madai hayo kwa wazee hawa waliomwaga damu na ambao wengine wapo hai na familia zao, na kwakutambua uzito wa madai kwa jamii nzima ya wazanzibar wengine wakiwa na makovu ya maisha kutokana na mapinduzi,
Mohamed anayo nafasi moja tu ya kujisafisha ambayo ni kutoka mbele na kufafanua kuhusu madai yake.

Mohamed, usipotoa ufafanuzi siku utakayokanyaga Zanzibar, wazanzibar watakuangalia kwa jicho gani!!!
Haya yanasomwa na yanabaki kwenye rekodi, hata kama hakuna simu wala email, yanatesa sana roho za watu.
 
Naona kuna mtu karibuni atavikwa taji la mhifadhi mkuu wa nyaraka za wazee wetu woote waliotangulia mbele ya haki...yaani mpaka na za Mwalimu, duh!

Hehee

Mkuu nabaki kucheka tu,

Nyaraka za Mzee Julius Nyerere ziwe kwa Abdul Sykes na leo ziwe kwa mtu hatari kwa ustawi wa amani yetu kama Mohamed Said????
 
Kwa wanajamvi wote;

Ni muhimu sana maswali yaliyoulizwajuu ya Zenj na Mapinduzi yakajibiwa kwa usahihi stahiki ili tuweze kupata hatua ya kutufikisha kuona kama kweli mzee MS anafanya uchochezi kama Yericko alivyodai. Maswali viporo ni kama ifuatavyo;

1. NANI ALITANGULIA NA AGENDA YA KUMPINDUA SULTAN NA KUMUOMBA MWENZIE MSAADA?, NI TANU AU ASP?/ JEE ASP WALILAZIMISHWA MSAADA NA TANU?

Jibu la swali hili litajenga msingi wa umiliki wa MAPINDUZI. Tunahitaji majibu

2. Mapinduzi haya ni halali au haram? Yaani sababu wanazotoa ASP kuhusu wao kumpindua Sultani ni za KWELI/UONGO?

Hapa lazima ieleweke kuwa tunaposema halali tunaangalia sababu za kupindua siyo idadi za walipoteza maisha au mali. Ili kuziba nafasi ya kupotosha hapa ni kuwa tunapounga mkono NATO katika kumpiga Hitler (WW2) tunaangalia sababu za kuingia vitani, siyo idadi ya waliopoteza maisha pande zote za uhasama. Principle hiyo ndiyo tunaitumia kuuliza.

Majibu yalenge sababu za ASP sio hisia

Maswali ya Nguruvi;


3. Tuhuma zinazojengwa ni kuwa Nyerere alitumiwa na Kanisa ili kuihujumu zenj. Kitabu cha Kwaheri Uhuru.... na CIA report (100 days.....Zanzibar) zote zinaonyesha ASP wakitafuta na kupokea silaha toka serikali ya TANU kwa agenda yao wanayoijua.

SWALI; Wao ASP walikuwa vibaraka wa Kanisa lipi wakati wanayashughulikia haya tunayoyasoma

4. Kumeonyeshwa katika Kitabu (kwaheri Uhuru...) waZenj wakienda Kipumbwi wanafundishwa uaskari kisha wanarudikwao kusubiri. Hivyo pia wenziwao wa Kipumbwi.

SWALI; Nani alikuwa na dhamana ya askari wote (aina mbili) juu ya nidhamu yao kama askari walipokuwa Zenj kwenye hilo jukumu lao? Yaani kamanda-in-chief wao alikuwa nani wakiwa Zenj wakati wa mapinduzi?

Maswali mengine yatafuata. Tunataka kwanza haya yajibiwe ili tujue shutuma dhidi ya Rais wa Tanganyika dhamana yake kwa maisha ya wazenj wakati wa Mapinduzi haya kama yana MASHIKO.

cc Painkiller, Nguruvi, Mohammed Said, Mag3, Nanren, BigShow, Jasusi, Jokakuu, Sheikh Farid,Nicholas, Prishaz, Son of Alaska, Cool runnings, Spike Lee,Ritz,Kadogoo, Yericko, Mr Iron.
 
Yericko,
Uongo pia si katika sifa zangu.
Nashukuru.

Kama sijui ndiyo sijui.
Nikijuacho hata kitabu naandika.

Wengi wamenifahamu kwa hivi.
 
Yeye mwenyewe Mohamed Said post zake tu katika huu mnakasha zinakaribia 3,000 akifuatiwa karibu na Ritz mwenye posts karibu 2,000...yaani watu wawili wana posts karibu 5,000! Hii ni sawa na theluthi moja (one third) ya posts zote kwenye thread hii moja! Mia Mag3 nina my five cents, posts hazifiki hata 250! Hivyo usishangae kwamba katika hizo views 200,000, jamaa moja keshachungulia si chini ya mara 10,000!

Mag3,

Naona umeamua kupambana na posts zangu, ha haa haaa, ujamalizia kutaja posts vipi Yericko Nyerere, ana posts ngapi? Nguruvi3, ana posts ngapi wanakumbi kama Ritz, kaishafanya views zaidi ya 100,000 kama anavyosema Mag3, basi maswali mnaouliza mmetumwa na mimi, ha haa haaa!
 
Last edited by a moderator:
Wickama,
Seaton na Abdu walikuwa marafiki.

Siku zile mambo ya siasa yalikuwa mambo ya hatari.
Angalia inner circle ya TAA ni watu walioshibana.

Yuko Abdu na mdogo wake Ally, rafiki yao Dossa na
baba zao walikuwa marafiki Kleist na Aziz Ally na mzee
wao Rupia.

Seaton asingeingia TAA kama si Abdu kumvuta ukichukulia
kuwa asili yake ni Bermuda.

Angalia hata Nyerere nani kamfikisha kwa Abdu ni Mwapachu.
Mzunguko ule ule.

Outsider ilikuwa tabu kupenya.

Saa njoo Kariakoo Market.
Mzunguko ni ule ule.

Attas, Mshume nk.

Njoo wazee wa mjini.
Tambaza, Singizi, Mwinyimvua, Tosiri na nduguye Mafongo nk.

Hawa watu wakiaminiana sana.
 
Ni mpuuzi peke yake ndiyo anayeweza kuangaika kujibu maswali ya kipuuzi Mohamed Said, tunakuomba wala usipoteze muda wako kujibu chochote wanachotakiwa hawa ni kuonyesha "Uchochezi wa Mohamed Said."

Nyie ndiyo mnasema Mohamed ni mchochozi halafu nyie tena mnamuuliza maswali mchochezi kwa akili zenu mnataka mjibiwe na mchochezi, ha haa haa.

Mohamed Said, endelea kutoa darsa wanafunzi wako tunaitaji kusoma.
 
Last edited by a moderator:
Wickama,
Umepatia kuhusu viewers nami huchukulia
viewer mmoja mtu mmoja hata kama ni yule
yule karejea.

Nia ni kuonyesha wingi wa wanaopita.
 
Sweet Ritz tafadhali mwambie MS atufanyie fwadila ya ilm,ukimya wake katika hili swala anatuacha katika limbo-historia ni ya kushare sasa kama ana plead 5th amendment,tunakosa ilm
1. Nani alimuomba mwenzake msaada wa mapinduzi kati ya TANU na ASP
2. Mapinduzi ni halali au ni haram
3. Kwanini wznz waendelee kuenzi mapinduzi haram ya Nyerere
4. Kwanini viongozi wa mapinduzi washirikiane na Nyerere aliyekwenda ''kuua'' ndugu zao

Baby,

Tunataka nyie muonyeshe uchochezi wa Mohamed Said, mwalimu wetu wa historia hayupo hapa kujibu maswali yeye kaja kuelezea yale anayojua, kuhusu historia ya Tanganyika, baby, na wenzako onyesheni uchochozi wa Mohamed Said, maswali ya kipuuzi Mohamed Said hana muda wa kuyajibu umenisikia baby.
 
Last edited by a moderator:
WildCard yaani hapa nilipo nacheka tu...kuna watu kweli wanahaha wakitafuta pa kutokea! Eti wanadai wamemkamata Mag3 hadi kalikimbia jamvi, eti wanapigiwa simu usiku kucha hawalali kwa sababu ziko familia zimedhalilishwa kwa kuhusishwa na dini zisizo zao. Wamesahau kabisa mahubiri ya kichochezi ya Mohamed Said kuwa baada tu ya uhuru Mwalimu alihakikisha Waislaam hawapati fursa ndani serikali yake, halafu hao hao wanapiga mayowe wakidai kuwa mbona dini ya Waziri moja Muislaam imekosewa! Duh, kumbe walikuwepo mawaziri Waislaam!

Nikipata muda nitajibu shutuma zote ninazotupiwa ila ni ajabu ilioje kuwa watu ambao wanafyonza na kumeza kila wanacholishwa na Mohamed Said leo angalau wanajitutumua...hongereni sana kwa hilo, ndivyo inavyotakiwa humu jamvini...kuhoji na si kufyonza tu. Ritz niliyoyaandika kwenye lile jedwali yaliandikwa na walionitangulia siku nyingi tu na sikuwahi kusikia kuna mtu anapigiwa simu usiku kucha, hao jamaa wanaokukosesha usingizi walikuwa wapi? Muombe mmoja wao ajitokeze hapa ajibu kwa nini leo na si miaka ya nyuma?

Mag3,

Unawambia nini familia za Mzee Amir H. Jamal na Mzee Lawi Nangwanda Sijaona, baada ya kauli yako iliyowapa usumbufu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa wanajamvi wote;

Ni muhimu sana maswali yaliyoulizwajuu ya Zenj na Mapinduzi yakajibiwa kwa usahihi stahiki ili tuweze kupata hatua ya kutufikisha kuona kama kweli mzee MS anafanya uchochezi kama Yericko alivyodai. Maswali viporo ni kama ifuatavyo;

1. NANI ALITANGULIA NA AGENDA YA KUMPINDUA SULTAN NA KUMUOMBA MWENZIE MSAADA?, NI TANU AU ASP?/ JEE ASP WALILAZIMISHWA MSAADA NA TANU?

Jibu la swali hili litajenga msingi wa umiliki wa MAPINDUZI. Tunahitaji majibu

2. Mapinduzi haya ni halali au haram? Yaani sababu wanazotoa ASP kuhusu wao kumpindua Sultani ni za KWELI/UONGO?

Hapa lazima ieleweke kuwa tunaposema halali tunaangalia sababu za kupindua siyo idadi za walipoteza maisha au mali. Ili kuziba nafasi ya kupotosha hapa ni kuwa tunapounga mkono NATO katika kumpiga Hitler (WW2) tunaangalia sababu za kuingia vitani, siyo idadi ya waliopoteza maisha pande zote za uhasama. Principle hiyo ndiyo tunaitumia kuuliza.

Majibu yalenge sababu za ASP sio hisia

Maswali ya Nguruvi;


3. Tuhuma zinazojengwa ni kuwa Nyerere alitumiwa na Kanisa ili kuihujumu zenj. Kitabu cha Kwaheri Uhuru.... na CIA report (100 days.....Zanzibar) zote zinaonyesha ASP wakitafuta na kupokea silaha toka serikali ya TANU kwa agenda yao wanayoijua.

SWALI; Wao ASP walikuwa vibaraka wa Kanisa lipi wakati wanayashughulikia haya tunayoyasoma

4. Kumeonyeshwa katika Kitabu (kwaheri Uhuru...) waZenj wakienda Kipumbwi wanafundishwa uaskari kisha wanarudikwao kusubiri. Hivyo pia wenziwao wa Kipumbwi.

SWALI; Nani alikuwa na dhamana ya askari wote (aina mbili) juu ya nidhamu yao kama askari walipokuwa Zenj kwenye hilo jukumu lao? Yaani kamanda-in-chief wao alikuwa nani wakiwa Zenj wakati wa mapinduzi?

Maswali mengine yatafuata. Tunataka kwanza haya yajibiwe ili tujue shutuma dhidi ya Rais wa Tanganyika dhamana yake kwa maisha ya wazenj wakati wa Mapinduzi haya kama yana MASHIKO.

cc Painkiller, Nguruvi, Mohammed Said, Mag3, Nanren, BigShow, Jasusi, Jokakuu, Sheikh Farid,Nicholas, Prishaz, Son of Alaska, Cool runnings, Spike Lee,Ritz,Kadogoo, Yericko, Mr Iron.

Wewe unaweza kuona ni maswali ya maana kumbe ya kipuuzi, moja ya tabia ya Mohamed Said, ni kuyapuuza maswali ya kipuuzi na hakuna adhabu kubwa kama kumpuuza muuliza maswali ya kipuuzi, haya kayafanya mara nyingi.
 
Last edited by a moderator:
Yericko,
Uongo pia si katika sifa zangu
Mzee Said, hivi huwa unaangalia kandakanda baada ya kuandika paper zako?
Nakumbuka marehem Hussein Tindwa wa Simba alifariki wakati wa mechi moja. Sikumbuki iikuwa Enugu rangers au Ibadan shooting stars!

Turejee katika hoja kama alivyoanisha Wickama bandiko 16544
 
Hapo ndiyo mnatakiwa mjifunze kwani ni kweli waprotestant, Mashahidi wa Yehova, wasabato nk hawakubalian na mafundisho ya kikatoliki. Wasabato wanakwenda mbali na kuiona catholic ni dini ya kishetani na papa ndiye lucifer mwenyewe. Lakini upinzani huu ni kiimani zaidi kuliko literal kama livyo kwa nyie ndugu zetu. Hutasikia hata siku moja eti wasabato wanalalamika kwa nini maraisi ni wakatoliki tuuu! au sijui necta mbona hakuna msabato. Au protestants kuhesabu mawaziri kwa imani zao kujua yupi mkatoliki na yupi protestant. Au shahidi wa Yehova kusingizia dhulma kutoka kwa wakatoliki sababu ya ugumu wa maisha. Au hao niliyowataja kuhoji utakatifu wa Nyerere wakati ni mambo yasiyowahusu.

Eneo hili hata hawa wachochezi akina Mwamedi wanashindwa kulielewa maana wanafikiri et ni haki ya wasio wakatoliki kulalama juu ya dominance ya ukatoliki katika serikali kitu ambacho ni utter non sense.

Ukikosa kufikiri inakuwa rahisi kuamini hata zile hoja za kimbumbumbu kuwa ooh Idd Amin alitandikwa et sababu ya dini yake au Sudani kusini wamejitenga kwa kuwa Mataifa ya magharibi yanauchukia uislamu. Vp kuhusu indonesia nchi yenye waislamu wengi duniani si wamejitenga na East Timor? haya mwageni konspirasi zenu za kidini kwenye hilo pia.

JF siyo sehemu ya porojo unapokuja na habari zako za mitaa ukiulizwa maswali sijui kama utajibu hebu jibu haya.

1) Hivi unajua kwa nini Nyerere alikuwa hawataki kabisa Lowassa na Malecela wapate nafasi ya kugombea urais wa Tanzania?

2) Hivi unajua kwa nini Nyerere alifanya juu chini Mkapa awe rais wa Tanzania, mpaka akajitolea kufanya kampeni Tanzania nzima?

3) Hivi unajua kwa nini Mtikila walikuwa hawapatani na Nyerere?

4) Hivi unajua kwa nini sasa hivi Lowassa anazunguka Makanisani kugawa pesa?
 
JF siyo sehemu ya porojo unapokuja na habari zako za mitaa ukiulizwa maswali sijui kama utajibu hebu jibu haya.

Hivi unajua kwa nini Nyerere alikuwa hawataki kabisa Lowassa na Malecela wapate nafasi ya kugombea urais wa Tanzania?

Hivi unajua kwa nini Nyerere alifanya juu chini Mkapa awe rais wa Tanzania, mpaka akajitolea kufanya kampeni Tanzania nzima?

Hivi unajua kwa nini Mtikila walikuwa hawapatani na Nyerere?

Hivi unajua kwa nini sasa hivi Lowassa anazunguka Makanisani kugawa pesa?

Duh...mnaobishana na huyu jamaa mna kazi kweli kweli.. Eti huyu jamaa utakuta ni mkubwa wa kampuni fulani. Hahaha ana mawazo ya kisho** kama haya ... Kweli mna kazi manake pumba kama hii utaijibuje? Yani mtu anaamua kusimamia point ya kifa** kama hii na kina nguruvi na yeriko wanahangaika na keybodi zao kujibu mtu anayefanya makusudi huku akiujua ukweli..
Watu kama hawa kwenye nchi zilizoendelea hawatakiwi.. Kwao ni somali, afaganistan, na iraki huko ndiko wanakoenjoy life. Sasa eti huyu ana tofauti gani na boko haram yenye mawazo ya wanaija wote wawe majahidini? Lmao!!! Poleni ndugu zangu mnaopoteza muda wenu kujibu pumba
 
Mzee Said, hivi huwa unaangalia kandakanda baada ya kuandika paper zako?
Nakumbuka marehem Hussein Tindwa wa Simba alifariki wakati wa mechi moja. Sikumbuki iikuwa Enugu rangers au Ibadan shooting stars!

Turejee katika hoja kama alivyoanisha Wickama bandiko 16544

Wanakumbi,

Wanakumbushia umefikia wapi kuhusu ule ushahidi kuwa matatizo ya kielimu ya Waislam wa Kilwa yanafanana na matatizo ya Waislam wa Mombasa Kenya.

Watendee haki wanaukumbi wanataka kujua idadi za shule za Waislam Kilwa na idadi ya shule za Waislam Mombasa.

Tunasubiri kwa ushui.

CC: gombesugu,
 
Last edited by a moderator:
Kwa wanajamvi wote;

Ni muhimu sana maswali yaliyoulizwajuu ya Zenj na Mapinduzi yakajibiwa kwa usahihi stahiki ili tuweze kupata hatua ya kutufikisha kuona kama kweli mzee MS anafanya uchochezi kama Yericko alivyodai. Maswali viporo ni kama ifuatavyo;

1. NANI ALITANGULIA NA AGENDA YA KUMPINDUA SULTAN NA KUMUOMBA MWENZIE MSAADA?, NI TANU AU ASP?/ JEE ASP WALILAZIMISHWA MSAADA NA TANU?

Jibu la swali hili litajenga msingi wa umiliki wa MAPINDUZI. Tunahitaji majibu

2. Mapinduzi haya ni halali au haram? Yaani sababu wanazotoa ASP kuhusu wao kumpindua Sultani ni za KWELI/UONGO?

Hapa lazima ieleweke kuwa tunaposema halali tunaangalia sababu za kupindua siyo idadi za walipoteza maisha au mali. Ili kuziba nafasi ya kupotosha hapa ni kuwa tunapounga mkono NATO katika kumpiga Hitler (WW2) tunaangalia sababu za kuingia vitani, siyo idadi ya waliopoteza maisha pande zote za uhasama. Principle hiyo ndiyo tunaitumia kuuliza.

Majibu yalenge sababu za ASP sio hisia

Maswali ya Nguruvi;


3. Tuhuma zinazojengwa ni kuwa Nyerere alitumiwa na Kanisa ili kuihujumu zenj. Kitabu cha Kwaheri Uhuru.... na CIA report (100 days.....Zanzibar) zote zinaonyesha ASP wakitafuta na kupokea silaha toka serikali ya TANU kwa agenda yao wanayoijua.

SWALI; Wao ASP walikuwa vibaraka wa Kanisa lipi wakati wanayashughulikia haya tunayoyasoma

4. Kumeonyeshwa katika Kitabu (kwaheri Uhuru...) waZenj wakienda Kipumbwi wanafundishwa uaskari kisha wanarudikwao kusubiri. Hivyo pia wenziwao wa Kipumbwi.

SWALI; Nani alikuwa na dhamana ya askari wote (aina mbili) juu ya nidhamu yao kama askari walipokuwa Zenj kwenye hilo jukumu lao? Yaani kamanda-in-chief wao alikuwa nani wakiwa Zenj wakati wa mapinduzi?

Maswali mengine yatafuata. Tunataka kwanza haya yajibiwe ili tujue shutuma dhidi ya Rais wa Tanganyika dhamana yake kwa maisha ya wazenj wakati wa Mapinduzi haya kama yana MASHIKO.

cc Painkiller, Nguruvi, Mohammed Said, Mag3, Nanren, BigShow, Jasusi, Jokakuu, Sheikh Farid,Nicholas, Prishaz, Son of Alaska, Cool runnings, Spike Lee,Ritz,Kadogoo, Yericko, Mr Iron.
Wickama, hapa unataka kuongeza hoja za ufafanuzi hata kabla ya zile za awali hazijajibiwa.

Kwanza, Kassim Hanga imesemwa kuwa alipotezwa katika mazingira ya kutatanishana Nyerere.(kumbu kumbu JF)
Pili, yeye ndiye alikuwa kamanda wa majeshi na siyo Okello(nadhani ASP)

a)Hanga alikuwa na uraia wa Taifa gani
b)Mauaji ya wazanzibar yalifanywa na majeshi ya ''uvamizi'' nani alismamia majeshi hayo
C)Tanganyika na Nyerere kwanini wabebe lawama zilizotokana na mauaji hayo

Hapa naliomba jamvi msaada, halafu tutarudi kwa Mohamed ili kuoanisha habari tuzidi kuleta fikra.
 
Duh...mnaobishana na huyu jamaa mna kazi kweli kweli.. Eti huyu jamaa utakuta ni mkubwa wa kampuni fulani. Hahaha ana mawazo ya kisho** kama haya ... Kweli mna kazi manake pumba kama hii utaijibuje? Yani mtu anaamua kusimamia point ya kifa** kama hii na kina nguruvi na yeriko wanahangaika na keybodi zao kujibu mtu anayefanya makusudi huku akiujua ukweli..
Watu kama hawa kwenye nchi zilizoendelea hawatakiwi.. Kwao ni somali, afaganistan, na iraki huko ndiko wanakoenjoy life. Sasa eti huyu ana tofauti gani na boko haram yenye mawazo ya wanaija wote wawe majahidini? Lmao!!! Poleni ndugu zangu mnaopoteza muda wenu kujibu pumba

Kulia lia haitakusaidia hapa watu hawabishani ni hoja juu ya hoja, naona umekurupuka utadhani umefumaniwa.

Umehamaki bure mpaka hautaki mimi niishi Tanzania umenitafutia mpaka sehemu unataka kunipeleka nikaiishi kisa nimemjibu Mkirsto mwenzako.

Njoo na hoja hao uliowataja ndiyo unawaogopa na ndiyo wanakushikia akili yako wewe kweli bat.
 
Yericko,
Uongo pia si katika sifa zangu.
Nashukuru.

Kama sijui ndiyo sijui.
Nikijuacho hata kitabu naandika.

Wengi wamenifahamu kwa hivi.

Ikiwa hoja hizi hapa chini unaziogopa kama ukoma kwanini usihalalishwe kuwa wewe ni MUONGO,MCHOCHEZI,MFITINI na MZANDIKI katika taifa hili?

Kwa wanajamvi wote;

Ni muhimu sana maswali yaliyoulizwajuu ya Zenj na Mapinduzi yakajibiwa kwa usahihi stahiki ili tuweze kupata hatua ya kutufikisha kuona kama kweli mzee MS anafanya uchochezi kama Yericko alivyodai. Maswali viporo ni kama ifuatavyo;

1. NANI ALITANGULIA NA AGENDA YA KUMPINDUA SULTAN NA KUMUOMBA MWENZIE MSAADA?, NI TANU AU ASP?/ JEE ASP WALILAZIMISHWA MSAADA NA TANU?

Jibu la swali hili litajenga msingi wa umiliki wa MAPINDUZI. Tunahitaji majibu

2. Mapinduzi haya ni halali au haram? Yaani sababu wanazotoa ASP kuhusu wao kumpindua Sultani ni za KWELI/UONGO?

Hapa lazima ieleweke kuwa tunaposema halali tunaangalia sababu za kupindua siyo idadi za walipoteza maisha au mali. Ili kuziba nafasi ya kupotosha hapa ni kuwa tunapounga mkono NATO katika kumpiga Hitler (WW2) tunaangalia sababu za kuingia vitani, siyo idadi ya waliopoteza maisha pande zote za uhasama. Principle hiyo ndiyo tunaitumia kuuliza.

Majibu yalenge sababu za ASP sio hisia

Maswali ya Nguruvi;


3. Tuhuma zinazojengwa ni kuwa Nyerere alitumiwa na Kanisa ili kuihujumu zenj. Kitabu cha Kwaheri Uhuru.... na CIA report (100 days.....Zanzibar) zote zinaonyesha ASP wakitafuta na kupokea silaha toka serikali ya TANU kwa agenda yao wanayoijua.

SWALI; Wao ASP walikuwa vibaraka wa Kanisa lipi wakati wanayashughulikia haya tunayoyasoma

4. Kumeonyeshwa katika Kitabu (kwaheri Uhuru...) waZenj wakienda Kipumbwi wanafundishwa uaskari kisha wanarudikwao kusubiri. Hivyo pia wenziwao wa Kipumbwi.

SWALI; Nani alikuwa na dhamana ya askari wote (aina mbili) juu ya nidhamu yao kama askari walipokuwa Zenj kwenye hilo jukumu lao? Yaani kamanda-in-chief wao alikuwa nani wakiwa Zenj wakati wa mapinduzi?

Maswali mengine yatafuata. Tunataka kwanza haya yajibiwe ili tujue shutuma dhidi ya Rais wa Tanganyika dhamana yake kwa maisha ya wazenj wakati wa Mapinduzi haya kama yana MASHIKO.

cc Painkiller, Nguruvi, Mohammed Said, Mag3, Nanren, BigShow, Jasusi, Jokakuu, Sheikh Farid,Nicholas, Prishaz, Son of Alaska, Cool runnings, Spike Lee,Ritz,Kadogoo, Yericko, Mr Iron.
 
Wanakumbi,

Wanakumbushia umefikia wapi kuhusu ule ushahidi kuwa matatizo ya kielimu ya Waislam wa Kilwa yanafanana na matatizo ya Waislam wa Mombasa Kenya.

Watendee haki wanaukumbi wanataka kujua idadi za shule za Waislam Kilwa na idadi ya shule za Waislam Mombasa.

Tunasubiri kwa ushui.

CC: gombesugu,

Hahaha yani wewe upo kama sigara kali,

Umetoka kusema Mohamed Said asijibu hoja zetu ulizoita ni za "kipuuzi" lakini hapohapo unageuka nakuomba majibu ya maswali yako, sijui tukuweke kundi gani!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom