Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Ha ha haa, wewe ndiyo unamuogopa huyo muulize mimi ni nani kwenye nyuzi za Chadema wote wanamtambua Ritz ni nani.

Mimi nimkimbie mtu JF ha ha ha haa, jikusanyeni Wakirsto wote wa Chadema kwangu mtatosha, ha haa ha, njoo kwenye uzi za Chadema ndiyo utanijua vizuri.
 
Wickama,
Basi sina sababu ya kushangaa.

Kuna msemo wa Kiarabu usemao: Ukishaijua sababu ile ajabu hutoweka.
 
Wickama,
Basi sina sababu ya kushangaa.

Kuna msemo wa Kiarabu usemao: Ukishaijua sababu ile ajabu hutoweka.

Mohamed Said,

Unanikosha na bayana zako murua, kuna kituko watu hawataki Ritz, hakutete, ha haa haa, kisa wewe mchochezi.
 
Last edited by a moderator:

Aiseee, Nimefurahi sana. At last nimepata ushahidi kuwa;

1. Uwezo wako wa kuchambua mambo uko kombo (nakutangulizia samahani kama utaona vibaya)
2. Nimesema sina kipaji cha kuaga wanangu kuja kumtumikia mtu humu JF. Tena MWENYE username na PASSWORD yake. Paragrah yako ya pili ina jibu jambo tofauti kabisa (lini Julius Nyerere akawa na username na password humu JF) waona mapungufu ya uwezo wako RITZ? Naongolea Bwana na mtumishi wake hapa JF wote wako HAI na wote wana username na passwords zao. Hii pia hutaelewa?????

3. Nyumba na Sykes ni habari aliyoandika Nguruvi. Sio mimi. Tena ukiisoma ile post Nguruvi amesema WAJANJA wa MJINI hakutaja jina la familia husika moja kwa moja kama unavyoliweka hapa. Wewe ni mchonganishi. Unataka kuwachochea watu wa familia hiyo ambao wanasoma hii thread wadhani Mchangiaji kawalenga wao majoa kwa moja. Alipomaliza Maelezo yake (Nguruvi) ndipo nimesema watu kugombea nyumba mzazi anapofariki ni kawaida na wengine wakaenda mahakani baada tu ya kuzika. Confusion yako iko wapi Sheikh?

4. Kwa mara ya kwanza leo NAKUTAMKA RASMI KUWA WEWE NI MUONGO. Lete post yangu yoyote kuanzia ya Kwanza ambayo NIMEKASHIFU UISLAMU. ILETE Ndio maana ya reference.

5. Siku zote (MIMI)nimesema wazee wetu walifanya bidii za kukomboa nchi kama wazalendo (kwanza) na kama waislamu/wakiristo (kibinafsi), wewe na wenzako nadhani mnaegemea kuwa walifanya jitihada zao za kuikomboa Tanganyika kama waislamu (kwanza) kwa Wakiristo(mko kimya) na wazalendo (kibinafsi). Hapo SIKUBALIANI NA NYIE, na najua tofauti hii haina tatizo na nguzo yoyote ya kiislamu bali inahusiana na mitazamo tofauti baina yangu na yako na ya MS. Kilio chako ni ili upate support ya wachangiaji wa kiislamu waniangukie kwa kudhani nadhalalisha dini hii. Nakukumbusha kuwa forum hii ni ya siasa na hamna IMAMU humu.

6. Kejeli unaziona tu pale kina Sykes au anapoguswa MS. Wewe unapotumia kebehi na kuwaita watanzania wenzio kuwa ni wakenya kwa sababu wao wanaishi Mara, wala hujijui kuwa UMEWATUKANA kwa vile roho yako umeshaizoeza kutusi watu kwa hiyo huoni tatizo.

7. Mwisho nakufahamisha rasmi kuwa mtu kuwa mwislamu humu JF sio LAZIMA ATII NA AKUBALI KILA LINALOTOKA KWA MOHAMMED SAID. HATA MTUME (SAW) ALIULIZWA MASWALI MAGUMU NA MASWAHABA-JISOMEE MKATABA WA HUDAIBIYA) SEMBUSE MOHAMMED SAID? UTII WA BILA KUULIZA NI UJINGA.

Jioni njema
 
Wickama,
Basi sina sababu ya kushangaa.

Kuna msemo wa Kiarabu usemao: Ukishaijua sababu ile ajabu hutoweka.

Mzee MS; sasa unaniacha nacheka, haya ndugu yangu ufike salama. Ngoja tumchune huyu chui japo tupate kongosho. hahahahahahah. Hukutaja mwenye mtego ni dini gani sheikh!!!!! code ilikuwa hapo.
 
Mkuu Wickama

Unapoteza nguvu kumkamua Ritz, hatoagi maziwa zaidi ya mashudu tu!

Shughulia na wenye afadhari kuliko huyo bora liende!
 
 
RITZ; hili swali hukujibu ndugu yangu;


WHAT ARE YOU?


kindly provide details.
 
Yericko Nyerere,

Mbona haueleweki kila siku unakuja na kauli tofauti tofauti au kwa sababu hakuna anayehoji source ya mabandiko yako.
Hapa unasema vingine na hapa chini unasema vingine.
1) AA ilianzishwa kwa msaada/amri ya Gavana wa Tanganyika Sir Cameron 1929,

Rais wake wakwanza kabisa akawa ni msomi Mwalimu Cesil Matola,

Mkutano wake wakwanza kabisa ulifanyika nyumbani kwa Cesil Matola (Myao)
ha haa haaa kutokana na watu kumeza kama mamba wanashindwa hata kuhoji source.
 
Last edited by a moderator:

Hautaelewa kamwe kwakuwa haupo tayari kuelewa!

Akili yako imedumaa kwa ngano za Mohamed Said!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Wickama

Unapoteza nguvu kumkamua Ritz, hatoagi maziwa zaidi ya mashudu tu!

Shughulia na wenye afadhari kuliko huyo bora liende!

Tunaanza na hii
Sources of information?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…