Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 266
Siwezi kuweka chuki.
Hatujapata kuwa na chuki.
Wazee wangu walipofukuzwa TANU Office 1963.
Walirejea majumbani kwao wakakaa hadi umauti
ulipowafika.
Wakamwacha Nyerere kama alivyokuwa akitaka awe.
Wamekufa na wakawa wakizikana wenyewe kwa wenyewe.
Nyerere hana habari wala shughuli na wao.
Kama kueleza haya wewe unaona chuki hiyo ni bahati mbaya.
Mzee wangu, unakataa jambo linaloonekana kwa macho na akili?Siwezi kuweka chuki.
Hatujapata kuwa na chuki.
Wazee wangu walipofukuzwa TANU Office 1963.
Walirejea majumbani kwao wakakaa hadi umauti
ulipowafika.
Wakamwacha Nyerere kama alivyokuwa akitaka awe.
Wamekufa na wakawa wakizikana wenyewe kwa wenyewe.
Nyerere hana habari wala shughuli na wao.
Kama kueleza haya wewe unaona chuki hiyo ni bahati mbaya.
Hapana Mzee Mohamed. Hapa hauusemei moyo wako. Hakuna binadamu aliyeumbwa hivo. Hata mimi ningekuwa wewe ningetafuta namna ya kulipiza kisasi kwa Mwalimu. Elewa tu kwamba Mwalimu hayupo, hatarudi. Wazee wako hawa hawapo, hawatarudi. Tanzania na Watanzania wapo, wataendelea kuwepo kizazi hadi kingine. Uislam na Ukristo upo, utaendelea kuwepo. Tusiivuruge NCHISiwezi kuweka chuki.
Hatujapata kuwa na chuki.
Wazee wangu walipofukuzwa TANU Office 1963.
Walirejea majumbani kwao wakakaa hadi umauti
ulipowafika.
Wakamwacha Nyerere kama alivyokuwa akitaka awe.
Wamekufa na wakawa wakizikana wenyewe kwa wenyewe.
Nyerere hana habari wala shughuli na wao.
Kama kueleza haya wewe unaona chuki hiyo ni bahati mbaya.
Ona sasa! Kati ya hawa wazee wako na Mwalimu ni nani hasa alikuwa MDINI? AMNUT ilikuwa ya kidini?Bwana Nyerere siku zote nakuasa.
Tulia, soma, fanya utafiti kisha andika.
Hebu kanunue kitabu changu usome.
Zogo lililotishia kukigawa chama halikuwa 1957.
Ilikuwa 1958 katika Kura Tatu na kufuatiwa na
ugomvi wa Sheikh Suleiman Takadir na Nyerere.
Ndipo Saleh Muhsin, Mashado Plantan, Abdallah
Mohamed na wana TANU wengine wakajitoa TANU
na kuunda AMNUT.
Babu yangu hakuwaunga mkono hawa ndugu zake.
Cha kustaajabisha alikuwa tayari kesha kuwa na ugomvi
na Waislam wenzake katika msikiti alosaidia kujenga.
Kwake yeye Nyerere alikuwa mtu wake hataki aguswe na mtu.
1974 kinshasa.
Muhammad ali yuko ulingoni na george foreman.
Foreman alikuwa na record.
Mpinzani havuki duru ya tatu.
Anakuwa keshawekwa chini flat.
Ilipofika raundi ya tatu handlers wa foreman wakawa kwa sauti
wanamwambia foreman.
George finish him off.
Ali anasikia.
Daktari wa ali dr pacheco akamgeukia ali anamuuliza vipi unasikia
maneno hayo?
Ali akamjibu dr pacheco akamwambia mimi huyu nampiga.
Pacheco akasema fanya haraka basi.
Ali akamwambia sitaki kumfanyia haraka nataka nistarehe na yeye kwanza.
Naam.
Ali ulipofika wakati akampiga foreman kwa nockout.
Katika kitabu cha maisha yake the greatest ali anasema.
Kuanzia pale round ya tatu alimchukua foreman katika njia ambayo kabla yeye
foreman hakuwahi kutia mguu.
Mimi hawa sina papara nao mimi ni mtoto na mjukuu wa watu walioanzisha tanu.
Ndiyo maana unaona humu natamba.
Mawanda haya yote wazee wangu wamepita na mimi wakanipitisha.
Siyo kwenye mbeleko.
Wamenipitisha mtu mzima na akili zangu natembea mwenyewe kwa miguu yangu.
Niliwawekea tuvuti ya baba wa taifa inasema tanu kaasisi nyerere pugu.
Wameikataa.
Nimewawekea bandiko zima sivalon anasema kanisa katoliki linautizama uislam kama
adui.
Wamemkana sivalon.
Nimeweka taarifa kadhaa.
Wanataka ushahidi wa kimahakama...
Lakini hapa kwa nyakanga.
Nyimbo hazishi.
Insha allah kuanzia hapa nataka nimchukue bwana nyerere katika safari ya masafa marefu
hajapatapo kwenda.
Hajui njia.
mzee said, babu yako si alikuwa miiongoni mwa wale "radical muslims" wa mwaka 1957 ambao walitaka kumuondoa nyerere kama kiongozi wa tanu kwa sababu ya ukristu wake? Na ilikuwa ni mara ya pili kujaribu kufanya hivyo?
Mwalimu aliacha NCHI moja. Isiyo na DINI. Alisimamia kwa dhati KATBA na sheria za nchi. Sasa tumeacha msingi huo. Tunarudi tulikokua huku kila mtu hata Rais mwenye nguvu nyingi kikatiba analialia kuliko hata sisi. Nimemsikia akilia hata huko Ufaransa.Nyerere unazungumza hayo ya nchi kutokuwa na dini leo?
Mbona tuko humu tunapambana?
Mambo yeshavurugika.
Legacy ya Nyerere ndiyo hii.
Historia inaanza kuhukumu.
Nyerere unazungumza hayo ya nchi kutokuwa na dini leo?
Mbona tuko humu tunapambana?
Mambo yeshavurugika.
Legacy ya Nyerere ndiyo hii.
Historia inaanza kuhukumu.
Mkuu ninafahamu vema jinsi Machifu walivyopokea sera ya mwalimu yakuvunja himaya zao na madhila waliyokutana nayo,Bwana Nyerere,
Vipi Chief Kidaha Makwaia.
Kasota sana Tunduru kizuizini.
Unazo taarifa zake kuwa alikuwa
anaandaa majeshi kupindua serikali?
Je, Chief Msabila Lugusha...
Dr Wilbard Mwanjisi...
Dr Michael Lugazia...
Walii wa Allah Maalim Mohamed Matar
Mtu ambae hakujishughulisha na lolote katika
mambo ya kidunia ila dhikr na kusomesha Qur'an...
na cdm si ndo waliomfunglia mashitaka na kumnyima dhamana? Tililika?????????ndio maana chadema na Mfumo kristo wanamchukia sana Sheikh ponda?
na cdm si ndo waliomfunglia mashitaka na kumnyima dhamana? Tililika?????????
Siwezi kuweka chuki.
Hatujapata kuwa na chuki. Wazee wangu walipofukuzwa TANU Office 1963.
Walirejea majumbani kwao wakakaa hadi umauti ulipowafika.
Hapana Mohamed Said hawakurejea majumbani kwao na kukaa, baada ya AMNUT kukataliwa na Watanganyika kwa umoja wao, Waislaam kwa Wakristo, waliivamia jumuiya iliyoanzishwa na Wahindi, Isma'ili Khoja ya Aga Khan na kujaribu kuendeleza chokochoko zao za kisiasa kupitia mgongo wa EAMWS. Jinsi ile ile walivyoleta chochoko ndani ya TANU ndiyo hivyo hivyo unaleta uchochezi wako na sasa wenye uelewa mdogo wamevamia jukwaa kwa lengo moja tu, kuvuruga mjadala...hakuna hatari kama ya wenye uelewa mdogo wanapotumiwa na watu kama wewe. Lakini kama walivyoshindwa wazee wako, hivyo hivyo utashindwa na njama zako za kupandikiza chuki.
Ngoja tuone hii issue Mohamed Said atavyo e overblow beyond all proportionsMkuu ninafahamu vema jinsi Machifu walivyopokea sera ya mwalimu yakuvunja himaya zao na madhila waliyokutana nayo,
Wengi waliwekwa kizuizini kwakukaidi sera hiyo ya kuliweka taifa pamoja!
Chifu Kidaha ni mmoja wao wawalioonja joto la jiwe.
Hapana Mohamed Said hawakurejea majumbani kwao na kukaa, baada ya AMNUT kukataliwa na Watanganyika kwa umoja wao, Waislaam kwa Wakristo, waliivamia jumuiya iliyoanzishwa na Wahindi, Isma'ili Khoja ya Aga Khan na kujaribu kuendeleza chokochoko zao za kisiasa kupitia mgongo wa EAMWS. Jinsi ile ile walivyoleta chochoko ndani ya TANU ndiyo hivyo hivyo unaleta uchochezi wako na sasa wenye uelewa mdogo wamevamia jukwaa kwa lengo moja tu, kuvuruga mjadala...hakuna hatari kama ya wenye uelewa mdogo wanapotumiwa na watu kama wewe. Lakini kama walivyoshindwa wazee wako, hivyo hivyo utashindwa na njama zako za kupandikiza chuki. Kama kuna urithi waliokuachia wazee wako ni chuki kwa Mwalimu Julius Nyerere na hii chuki itakutafuna hadi unaungana nao.
Ritz, umewahi kujiuliza kwa nini walioianzisha EAMWS, Aga Khan, hawakulalamika na badala yake wanaolalamika ni wazee wa Mohamed Said? Mbona Aga Khan na jamii ya isma'ili waliendelea kushirikiana na TANU na serikali hadi leo. Mtu mzuri wa kumwuliza hilo swali ni huyo bingwa wenu wa simulizi na anapata wanaoziamini ngano zake. Kwa kukusaidia tu tafuta listi ya viongozi waliokuwa nyuma ya AMNUT.Ndiyo uzuri wa darsa tunajifunza mengi Mag3, tudadavulie hicho kisa jinsi walivyovamia EAMWS tupe na orodha yao hao wazee.