Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ha ha haa... picha imekukera eehh kuna watu humu jamvini maandishi hawayaelewi,hivi mbuzi akigoma kwenda unambembeleza wimbo wake unaujua ni kiboko tuu:deadhorse: kuna watu huku wanakula viboko vya picha tuu hiyo ndio dawa yao.

hujaelewa hata nilichouliza..ndio maana huwa unasema wengine wajui..mimi najua .Huna akili timamu.Sijui umejazwa majinn mangapi.hadi kukugeuza kuwa monster.SI mara ya kwanza kushuhudia familia zenu zikiwa na watu possesed hadi muyatulize.
 
hujaelewa hata nilichouliza..ndio maana huwa unasema wengine wajui..mimi najua .Huna akili timamu.Sijui umejazwa majinn mangapi.hadi kukugeuza kuwa monster.SI mara ya kwanza kushuhudia familia zenu zikiwa na watu possesed hadi muyatulize.

Huu ndiyo uchochezi wa Mohamed Said, ha haa ha.
 

Sasa km msomi unayejipambanua kwa sifa nyingi haujaweza kuw amwaminifu vya kutosha ni vipi utajitetea ktk huu njadala mabo unahuru upotoshaji na kukosa uaminifu kwako?

Kwanini hujanukuu nilichoandika kwa kukunukuhu moja kwa moja?NIlikuwambia nilipokunukuhu, na ukaamua chukua kile ambacho nilimjibu Ritz(Brainless man himself).Nukuhu yenyewe ni hii..Naomba pia uifanyie kazi,kwani uliipotezea...kwa jinsi ulivyo dhaifu morally.

Mohamed Said unapiga sana tori zilizo nje ya huu mjadala....mengi huyaongeayo hayana mchango kabisa, wewe unadhani yatainua profile yako hapa...

HEMBU CHANGAMKA FAFANUA KTK RED KUNA SIFA GANI KWA HUYU MTU UNAYEMFAGILIA HAPA.
 
Huu ndiyo uchochezi wa Mohamed Said, ha haa ha.

kweli siku babako anakuzaa bora angepata "wet dreamza".NIkiongelea wewe unahaimia kwa mohamed said,nikimwongelea yeye unajiongelea wewe.Always off-track.
 


Historia inaonyesha waislam si wazuri sana kuishi ktk uhuru na kuwa huru....hao unaowaita forgotten heroes are forgotten villains.

Quotes zako zimethibitisha hivyo,Nyerere alifanya zaidi ya inavyoelezwa...yeye ndie alijua njia za kupata uhuru, akawapa hao wazee mpango mzima.Wazee wakampa go ahead na kumpatia idadi ya watu kwa kujiunga ili TANU ipate sura ya kitaifa.Na ndio kosa alilofanya hadi leo tuna Junks km nyie,angeunda chama kingine kitaifa na si kuunda TANU ya pwani na kuipeleka mikoani.Huko mikoani kuna watu wengi sana walitoa hela na kuieneza TANU kwa hela na juhudi zao .Wengine waliacha njia za kwao ili kujiunga na TANU.Leo mnahesabu hao wacheza bao, wasaliti kuwa ni mashujaa?Rushwa na ubinafsi na kutumika kwa waislam wa Tanzania,dhidi ya wenzao ilikuwepo tangu enzi ya AA.Mwingereza na mwarabu alitumia sana.Leo mnamwona sykes kuwa alikuwa tajiri.






Mkuu,

Salute kwako!
 
The small minded will take our words wrongly & the evil minded will go out of their way to misinterpret them. It happens to revelation too.

bora smalll minded...wewe huna "...mindeset kabisa....".Unaongozwa na simple reflex.Unatumia neurons chache sana ktk spinal cord.,ambazo zimekuwa hard coded with religious views.
 

Nicholas,
Rashid Ali Meli alihudhuria mkutano wa kwanza wa TANU pale Arnatouglo 1954.
 

gombesugu
Waleykhum Salaam al khiy,
Heshima yako sana ndugu,heshima yako sana...
Wallahi nakusoma kwa khushui ya hali ya juu sana,
AHSANTA...!!

ha ha ha...
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3
Lini nawewe utabeba mikoba na kwenda nayo ughaibuni kuhadhiri??
Kwenda kuua hii sumu ya Moh Said iliyodumu takriban mika 15 na ushee kwa sasa??

Lini nawewe utaandika kwa maslahi ya kizazi chako ili kisije kikasoma huu uchochez wa Moh Said??

Nakupa offer ya ticket go & return kwa trip ya kwanza sharti uanzie kwenda kutoa nondo zako IBADAN...!!
 
Last edited by a moderator:
Ritz,

Nakushukuru sana kwa nasaha zako, nikuombalo ni kwamba usiwe na wasi wasi hawa ni size yangu, mimi ni mwana mweleka mzuri sana katika majukwaa ya kutowa hoja
 
Nicholas,
Rashid Ali Meli alihudhuria mkutano wa kwanza wa TANU pale Arnatouglo 1954.

Acha wehu wewe...Usijifany hunielewi?uliandaka hiki
Nikakuuliza hiki
Mohamed Said unapiga sana tori zilizo nje ya huu mjadala....mengi huyaongeayo hayana mchango kabisa, wewe unadhani yatainua profile yako hapa...

HEMBU CHANGAMKA FAFANUA KTK RED KUNA SIFA GANI KWA HUYU MTU UNAYEMFAGILIA HAPA.

Sasa unaleta mambo ya kihuni hapa.Acha utoto mzee mzima..sasa unachojibu ni kwamba laihudhuria mkutano?
 
Je kila aliyehudhuria mkutano/mikutano ya TANU ni muhimu awepo kwenye historia ya TANU?

Ndugu yangu hawa jamaa wananifanya nione kuwa kuna " irrationality" ambayo km ugonjwa inaambukiza watu wa kundi moja tuu".

Hwajui hata walinzi walihudhuria mara nyingi sana km si zaidi ya wote..ila hajawawauliza nao km kigezo ni kuhudhuria.Huyu jamaa anafanya mizaha na watu just because anaona wengine wana umri chini yake basi anadhani watakuwa wahuni.
 
hapa katika suala zima la kugombania uhuru wa tanganyika, ukweli umewekwa mbeneni sana.

nadhani hakuna ubaya wowote ikiwa kizazi kipya wataanza kuoneshwa ukweli ulivo

na ukweli ni kwamba

WAKIRISTO WAHAKUPIGANA NA WAGERUMANI WALA HAWAKUDAI UHURU KWA SABABU WALIFUNDISHWA KWAMBA WAJERUMANI NI WAKIRISTO WENZIWAO KWAHIVO HARAMU KUPIGANA NA MKIRTO MWENZAKO IJAPOKUWA ANAKUTAWALA KIMABAVU NA KUFANYA MTUMWA

Na waliodai uhuru kwa muengereza kwa mara ya kwanza walikuwa waislamu, walipofika mbele wakaambiwa nyinyi hatukupenui uhuru kwababu munatupinga. leteni mkiristo hapa ndio mutapata uhuru...wakampachika nyerere na yeye akaingiza wakiristo wacheche.

walipopata uhuru wakageuza kibao, na historia wakaanza kuichezea na kuweka watakavo wao

huo ndio ukweli kama niujuwavo mimi
 
Ninathubutu kusema wazi kuwa kitabu cha TANU cha Kivukoni wewe hujakisoma kabisa!

Laiti ungesoma hata utangulizi tu usingesema hayo!

Nakushauri nenda kakisome kisha njoo tujadiliane!

pamoja na suala uliloulizwa na Ritz,

lakin mimi napenda kukuuliza kuwa JE KITABU CHA HISTORIA YA TZ KINATUMIWA NA UNIVERSITY GANI KAMA REJEA? AU KIMEWAHI KUFANYIWA REVIEW KATIKA UNIVERSITY GANU DUNIYANI?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…