"GOAT"
Mohamed Said,
Umenikumbusha mbali umemtaja marehemu Sheikh Mohamed Ayoub, zamani nikienda Tanga lazima nipite kumsikiliza, nikitoka hapo nakwenda Kigombe kwa kina mzee Mohamed Kizigo, napita Madaga, kupata muogo wa nazi kwa tasi, pamoja na ndizi malindi, ha haa ha
gombesugu, upo Al Habiby.
CC:
kahtaan,
hargeisa,
Shariff Ritz,
Salaam
Al Akhiy.
Ngoja hiyo safari yako ya
Kigombe tufuatane pamoja ili tuzidi kumchemfua yule
"maluuni wa Rombo",msemaji wa
Chadema na
Vatican hapa
jamvini!ahaha!!
Yeye si tunajua yakuwa ana
allergy na
Uislamu,Waislamu na
watu woote wa Mwambao! Lakini ikifika wakti za chaguzi ati hao
Chadema wanataka na kutaraji kura za watu haohao wanaoshinda kutwa kucha kuwakebehi na kuwatukana hapa
jamvini!?...pumbavu mkubwa huyo
Nicholas...najua lazima atakua ni
Mchaga maskini wa roho na maisha!ahaha!!
Nawajua vizuri mno na nimeishi nao kiundani. Kule kwao
kaskazini pia
wanabaguana mno kwa
Class na
eneo utokalo...sasa
stress zake za maisha anataka kujamalizia hapa
jamvini!?ahaha!!
Lakini pia huyo
Nicholas anasaidia kwa sisi wengine kuona picha khalis ya hao
Chadema!...
Nataraji nikifika hapo mojawapo ya shughuli yangu kubwa ni kuja kumnasihi ndugu yetu
Al Khalifa The Big Show ajitoe huko
Chadema kwa haraka mno. Najua labda
CCM "imewaangusha" kiduchu
wana Mtwara nao wamekereka...lakini wakumbuke ubaya wa
CCM si wema wa
Chadema hata siku moja
...."zimwi likujualo halikuli likakwisha"!!
Kwa kifupi moyo wangu wabubujwika na machozi kumuona ndugu yetu
Al Sahib The Big Show,katumbukia ndani ya hilo handaki la hao mahasidi na maharamia kina
Nicholas na huo upuuzi wao wa
udini na ukabila=Chadema!!
Lakini Insha Allah Mola ipo siku tamrejesha nyumbani...
CCM
Tuendelee na
safari yetu ya Mwambao...wewe
Shariff umeamua kuanzia
Kigombe,mimi nakusihi turejee nyuma kiduchu Vijiji viwili ili tuanze upya.
Tongoni,Mwarongo,Kirare,
Kigombe,Choba,Pangani,Bweni,Kibinda,Mauya,Mwera,Ushongo,Ushongo Mabaoni,Tungamaa,
Sakura,Kipumbwi,Kipumbwi Mtoni,Msangazi,Mikocheni,Sange,Makorora,Mkwaja,Saadani,Buyuni,Buyuni Kuu,Bwagamoyo, mwanakalenga,Mwanamakuka,Kitopeni,Zinga,Mbegani,Mlingotini,Kaole,Ununio,Kunduchi,Msasani mpaka tunaishia
Kipata kizingitini kwa
Sheikh Mohammed na kuendelea na
Darsa!
Kwa wale wa
Mikoani/Mabara,tafadhalini msichukie mno...siku nyingine kipata fursa tutafanza safari yetu kuanzia
Songea mjini mpaka
Madaba...na tutasimama pale
Peramiho kuamkua kiduchu!
Ahsanta.