Naona umechoka kukaa ktk ngozi ya kondoo....sasa unajiachia full.Nashukuru sipo na wewe ungerusha mabomu au jilipua.
Nakubaliana mkuu katika maelezo haya,
Wazee wa fitna hamkuanza leo....si mkaharibu historia..halafu mkaandika yenu..tena ambayo ni kazi ya ubunifu.Hata element ya kuweka wauza watumwa kuwa mashujaaa...ni hizo fitana na dili.
Kuzimu haiishii hapo ktk kuwatumia.
Mwaka 1974 Nyerere aliwatwisha chuo kikuu kivukoni jukumu la kuandika historia ya TANU lakini baadae tena mwaka 1976 alisisitiza tena kuandikwa kwa historia rasmi ya TANU wakubwa zangu kina Jasusi, pamoja na wewe mnaweza kuwa mnakumbuka hii habari mimi niliadithiwa na mzee wangu zamani.
CCM hapakaliki. Namuunga mkono The Big Show kutambua ukweli huo. Na gesi ya Mtwara haitatapeliwa na mtu.Shariff Ritz,
Salaam Al Akhiy.
Ngoja hiyo safari yako ya Kigombe tufuatane pamoja ili tuzidi kumchemfua yule "maluuni wa Rombo",msemaji wa Chadema na Vatican hapa jamvini!ahaha!!
Yeye si tunajua yakuwa ana allergy na Uislamu,Waislamu na watu woote wa Mwambao! Lakini ikifika wakti za chaguzi ati hao Chadema wanataka na kutaraji kura za watu haohao wanaoshinda kutwa kucha kuwakebehi na kuwatukana hapa jamvini!?...pumbavu mkubwa huyo Nicholas...najua lazima atakua ni Mchaga maskini wa roho na maisha!ahaha!!
Nawajua vizuri mno na nimeishi nao kiundani. Kule kwao kaskazini pia wanabaguana mno kwa Class na eneo utokalo...sasa stress zake za maisha anataka kujamalizia hapa jamvini!?ahaha!!
Lakini pia huyo Nicholas anasaidia kwa sisi wengine kuona picha khalis ya hao Chadema!...
Nataraji nikifika hapo mojawapo ya shughuli yangu kubwa ni kuja kumnasihi ndugu yetu Al Khalifa The Big Show ajitoe huko Chadema kwa haraka mno. Najua labda CCM "imewaangusha" kiduchu wana Mtwara nao wamekereka...lakini wakumbuke ubaya wa CCM si wema wa Chadema hata siku moja...."zimwi likujualo halikuli likakwisha"!!
Kwa kifupi moyo wangu wabubujwika na machozi kumuona ndugu yetu Al Sahib The Big Show,katumbukia ndani ya hilo handaki la hao mahasidi na maharamia kina Nicholas na huo upuuzi wao wa udini na ukabila=Chadema!!
Lakini Insha Allah Mola ipo siku tamrejesha nyumbani...CCM
Tuendelee na safari yetu ya Mwambao...wewe Shariff umeamua kuanzia Kigombe,mimi nakusihi turejee nyuma kiduchu Vijiji viwili ili tuanze upya.
Tongoni,Mwarongo,Kirare,Kigombe,Choba,Pangani,Bweni,Kibinda,Mauya,Mwera,Ushongo,Ushongo Mabaoni,Tungamaa,Sakura,Kipumbwi,Kipumbwi Mtoni,Msangazi,Mikocheni,Sange,Makorora,Mkwaja,Saadani,Buyuni,Buyuni Kuu,Bwagamoyo, mwanakalenga,Mwanamakuka,Kitopeni,Zinga,Mbegani,Mlingotini,Kaole,Ununio,Kunduchi,Msasani mpaka tunaishia Kipata kizingitini kwa Sheikh Mohammed na kuendelea na Darsa!
Kwa wale wa Mikoani/Mabara,tafadhalini msichukie mno...siku nyingine kipata fursa tutafanza safari yetu kuanzia Songea mjini mpaka Madaba...na tutasimama pale Peramiho kuamkua kiduchu!
Ahsanta.
Akili zako na zake zinalanda,na ndio maana unakubaliana na kila unachokiandika,
Watu wenye akili zao timamu washakupuuza muda mrefu sana,wamekudharau wameondoka zao,
watu kama@Mwanakijiji Jasusi na kadhalika,walipobain kuwa wewe hamnazo huwez tena kuwaona wakikuangalia kwa jicho lile lile la awali,
Ukweli kuhusu ukanjanja wako kwa sasa upo wazi sana,pole sana
Mwaka 1974 Nyerere aliwatwisha chuo kikuu kivukoni jukumu la kuandika historia ya TANU lakini baadae tena mwaka 1976 alisisitiza tena kuandikwa kwa historia rasmi ya TANU wakubwa zangu kina Jasusi, pamoja na wewe mnaweza kuwa mnakumbuka hii habari mimi niliadithiwa na mzee wangu zamani.
HUYO mzee wako naye alikuwa mnywa ghahawa Saigon???? na vipi alishiriki kumkaribisha Nyerere Dar????Lady Alaska,
Ndiyo maana nimelileta humu jamvini wakubwa wangu wanisaidie.
Ritz,
Sijawahi kusoma historia ya TANU iliyoandikwa Kivukoni. Kitabu changu cha kwanza kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika kilikuwa cha Judith Listowell, mwaka 1966 baada ya kitabu hicho kuchapishwa. Lakini Mohamed Said ametutaarifu hapa kuwa marehemu Klerru alipewa jukumu la kuandika historia ya TANU, sasa sina hakika kama hiyo kazi ndiyo iliyozalisha kitabu cha Kivukoni.
GombeSugu na Ritz
Mnachokifanya hapa ni kuvunja sheria za JF,
Kuna kipengele kinaitwa
"Name Calling"
Mnakiuka na kuvunja sheria za JF na mwisho mkichukuliwa hatua mnaanza kulalamika!
Nani kawaambieni Nicholas ni kiongozi wa Chadema?
Zaidi mnatoka nje ya mada yetu kwa kuingiza siasa za Chadema na CCM jambo ambalo ni kinyume cha uzi huu!
Ninawaomba ndugu zangu, tiini sheria za jf bila shuruti na zingatieni maadili ya Mnakasha huu!
Bro Jasusi,
Nashukuru lakini kuna wenzetu wanasema kitabu hicho ndiyo kinafundishwa mashuleni.
Unajua habari zozote za Dr Mayanja Kiwanuka, kuhusu kuandika historia ya TANU?
HUYO mzee wako naye alikuwa mnywa ghahawa Saigon???? na vipi alishiriki kumkaribisha Nyerere Dar????
Kwahiyo wewe uliyeendelea kubaki hapa ni mwerevu zaidi ya hao?
Hahaha ukiwa tahira kila kitu utakiona ni chepesi kwako!
Namfahamu Dr. Mayanja Kiwanuka. Aliwahi kuja nyumbani kwangu alipokuwa anasoma Syracuse University. Sijawahi kuona kitabu alichoandika, kama ameandika kitabu chochote kuhusu historia ya TANU. Nadhani Mohamed Said ana habari zaidi juu ya hilo kuliko mimi.
NI DEDICATED IGNORANCE INAWASUMBUA,
Lait SIVALONI angekuwa anazungumza kwa kuufavor ukristo angempa heko,ila kwa kuwa sivalon mkristo mwenzao kaamua kuzungumza uhalisia,sasa anaamua kumkana,,!
Hatushangai,kama Yericko aliweza kuikana NASABA YAKE na kuikimbilia ya JULIUS KAMBARAGE,itakuwa hii kumkana NGULI HUYU SIVALONI??
HAO NI WATU NA MISSION ZAO,ILA HAPA ZIMEGONGA MWAMBA...
SASA alikuwa na input yoyote AU ni wale wenzangu wa kwenda kumpokea Nyerere airport wakiimba TANU itajenga nchiNajisikia fahari sana kuniambia hivyo kuhusu mzee wangu wala haujakosea.
Kwahiyo wewe uliyeendelea kubaki hapa ni mwerevu zaidi ya hao?
Hahaha ukiwa tahira kila kitu utakiona ni chepesi kwako!
SASA alikuwa na input yoyote AU ni wale wenzangu wa kwenda kumpokea Nyerere airport wakiimba TANU itajenga nchi