Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,256
- 1,231
Baba nimeshakuwekea majibu yako au unatumia simu ya tochi kaazime PC utazame majibu yakoHembu yaweke hapa na wengine wahushuhudie.,,jinsi hani imani yenu haipo portable.Yesu alisema...siku zaja waabudio wa kweli hawatanagalia milima ya Sinai(Alipopewa Moses Amri 10),wala Yerusalem(lilip Hekalu la Solomon)..ila ktk Roho na kweli.......weka na Qibla.Kwani waaminio ktk roho Mungu wao ndie Muumbaji ,ajua alichokiumba.NDIO MAANA AKAWAAMBI SIKU ZAJA.....
ndio maana Nyerere alikataa kuandika kitabu,maana ingebidi wazee wengi wa pande hizi waumbuke-amekwenda kaburini na negative secrets nyingi za new streetUmempatia kweli kweli...AA/TAA walishanuka ktk misuse ya hela..
Mwaga nondo hizo-hapa naamini hata the GOAT atapata elimuTangu tuanze mjadala huu naina umekuwa mc zaidi,
Hauna hoja zaidi maana unayarudia yale yale ya januari?
Hutaki kujua ununuzi wa ardhi wa kanisa huko Zanzibar?
Hutaki kumjua zaidi Kasisi Zelger na mapito yake?
Hutaki kujua nguvu ya Paul Rupia ndani ya TANU?
Hutaki kujua filosofia ya Sir Cameron katika kusimika AA?
Hutaki kujua hulka za Mwalimu Cesil Matola?
Hutaki kujua jopo la waandishi wa Katiba ya TANU?
Hutaki kujua kwanini Klest Sykes mkristu mtiifu wa kikatoliki watoto wake Abdul, Ally na Abass Sykes waliihama dini ya baba yao na kuwa Waislamu wenye msimamo mkali?
Yani wewe hutaki kujua lolote zaidi ya udini tu????
Pole sana, sio kosa lako ni kosa la wazazi wako ambalo nao hawajui kuwa walikosea nawe hujui kuwa umekosewa,
Omba sana Mungu akupe ufahamu,
Hapana nimeishawahi kufika Rombo tu pamoja Kibosho.
Usikimbie unataka kujua mambo jitulize tukufunze ile niliyokupa ilikuwa geography sasa nakupa Biology tuangalie mwenyezi mungu amekuumbaje kazi kwako baba
Sahih International
So let man observe from what he was created.
86:6to top
Sahih International
He was created from a fluid, ejected,
86:7to top
Sahih International
Emerging from between the backbone and the ribs
Umempatia kweli kweli...AA/TAA walishanuka ktk misuse ya hela..
ndio maana Nyerere alikataa kuandika kitabu,maana ingebidi wazee wengi wa pande hizi waumbuke-amekwenda kaburini na negative secrets nyingi za new street
Baba nimeshakuwekea majibu yako au unatumia simu ya tochi kaazime PC utazame majibu yako
hehe.. wewe tuu huwezi jibu haya..hata iran, indonesia kuna wanazuoni wenye kujua sayansi na wenye rasilimali kubwa sana za propaganda....walishindwa...niliwapa maswali hayo mapema sana.Ndio maana yule mama wa Iran alipokwenda space alijaribu sana jipambanua kwa dini..ili adanganye watu kuwa uislam unawezekana space km sehemu ya majibu ya maswali yangu hayo.
Bado vichwa vinawauma..nao walikimbilia kama wewe ila niliwapa maelezo ya kisayansi kabisa.Waliniambia ngoja ttakuandalia majibu.Ninachoelewa ni kwamba walianzisha kitengo cha kuangalia hiyo challenge.
magari 7 ya mchanga ya Dossa na petrol station ya Abdu=hapo kama kawaida umem downplay Rupia. Coffers za Tanzania ziko empty na hapo hapo watu wanaiba-hii mifano tazama na audience unayo address please
Hapa unatumia oratory therapy kuwabambikia wenye akili za kushikiwa kama sweet@Ritz and coSon of Alaska,
Sie tumefunzwa adabu na wazee wetu.
Kuna mambo kwetu ni mwiko hatusemi hata tukibanwa vipi.
Achana kabisa na fikra za kitabu cha Nyerere.
Asingeweza kuandika kitu wakati wazee wetu wako duniani.
Kama angeandika angeandika haya niliyoandika mimi.
Asingekuwa na uso wa kusema yeye kaanzisha TANU na akabaki
na uso wa kumtazama Chief Kidaha Makwaia, Abdu Sykes, au
Dossa Aziz au Steven Mhando kuwataja hawa wachache.
Nadhani tumeelewana.
Kweli unadhani haya yanjibu maswali yangu yanayotaka jua.Muislam ataweje kwenda ishi ktk aga za juu bila kuacha uislam wake duniani?teh teh...yaani ni ama wewe ama uislam wako..wenyewe mnasema ma mpira ama wewe...
Kweli Yesu alijua akawaambia ufalame wenu ni wa hapa hapa duniani.NI hayo tuu nilimpa Ritz ili asijaze sana junks hapa.Il anaona wewe hujasoma umekurupuka.
Kwa taarifa yako hayo maswali yangu yamepelekea indonesia na Iran wanafanya tafiti Jinsi gani watajibu challenge za kukimbizana mataifa mengine ktk anga za mbali halafu islam ukabaki naa nafasi.Nilipost ktk forum ambazo wapo km MS
Kukusaidia tuu ili upate pa kuanzia.Search ktk google na You tube "Son Of Hamas". upate ushuhuda na mwanga huone jinsi mtoto wa mwanzilishi wa hamas .Hamas ambayo mnatumia mabilioni ya hela, na roho za watu kufanya ugaidi mkidhani mnawasaidia kupata kitu kikubwa.Jinsi alivyoutazama uislam na movement za hamas.Pia ukipenda wasome vyema watoto wa Nyerere na Hata Nyerere mwenyewe jinsi gani wamekuwa wakiingalia CCM aliyoi asisi Mzee wao au Nyerere Mwenyewe.ndhani hizi hype zitakutoka na utapata kweli itakayokuweka huru.
Hapa unatumia oratory therapy kuwabambikia wenye akili za kushikiwa kama sweet@Ritz and co
wewe naona ukishamsoma MS,unapata kick ya usingizi mnonoAkili zako za kushika wewe mwenyewe. Kwi kwi kwi. Za wenzako za kushikiwa. Nani zaidi?
wewe naona ukishamsoma MS,unapata kick ya usingizi mnono
wanaukumbi Mohamed Said sasa anamtusi NyerereSon of Alaska,
Sie tumefunzwa adabu na wazee wetu.
Kuna mambo kwetu ni mwiko hatusemi hata tukibanwa vipi.
Achana kabisa na fikra za kitabu cha Nyerere.
Asingeweza kuandika kitu wakati wazee wetu wako duniani.
Kama angeandika angeandika haya niliyoandika mimi.
Asingekuwa na uso wa kusema yeye kaanzisha TANU na akabaki
na uso wa kumtazama Chief Kidaha Makwaia, Abdu Sykes, au
Dossa Aziz au Steven Mhando kuwataja hawa wachache.
Nadhani tumeelewana.
wanaukumbi Mohamed Said sasa anamtusi Nyerere