Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Son of Alaska,
Sie tumefunzwa adabu na wazee wetu.

Kuna mambo kwetu ni mwiko hatusemi hata tukibanwa vipi.
Achana kabisa na fikra za kitabu cha Nyerere.

Asingeweza kuandika kitu wakati wazee wetu wako duniani.
Kama angeandika angeandika haya niliyoandika mimi.

Asingekuwa na uso wa kusema yeye kaanzisha TANU na akabaki
na uso wa kumtazama Chief Kidaha Makwaia, Abdu Sykes, au
Dossa Aziz au Steven Mhando kuwataja hawa wachache.

Nadhani tumeelewana.

Madai yako ni ya fikra tena fikra potofu zaidi!

Hayo unayoyasema ndivyo Mwalimu Nyerere alivyowahi kusema?
 
Wanajamvi,
Mimi silazimishi kuaminiwa ila naomba kusikizwa basi.

Katika memoir zake ''Under the Shadow of British Colonialism'' Ally Sykes ana haya ya kusema:

''When the meeting was called Dr. Kyaruzi was elected President and my elder brother Abdulwahid Secretary.

John Rupia, the veteran member of the struggle since the days of the African Association was elected Treasurer and I was elected Assistant Treasurer. But the Association had nothing in its coffers.
''

Huu ulikuwa mwaka wa 1950.

Kufika mwaka 1953 ndipo ukapitishwa mchango wa nchi nzima fedha zilichangishwa na Japhet Kirilo, Saadan Abdu Kandoro na Abbas Sykes ambao walitembea majimboni kuchangisha fedha kwa ajili ya safari ya UNO baada ya Kirilo kurejea mikono mitupu.

Fedha zilizobaki zikatumika katika safari ya Nyerere UNO 1955.

Fedha hizi kutoka majimboni zilitumika katika safari ya Ally Sykes na Denis Phombeah kwenda Salisbury December 1953 na kipindi hiki Nyerere tayari alikuwa rais wa TAA na Abdu Sykes makamu wake.

Hapajapatapo kuwa na ubadhirifu wa fedha si AA wala TAA katika kipindi chote cha miaka 4 ambako uongozi ulishikwa na Dk. Kyaruzi kisha Abdu Sykes na mwisho Nyerere.

Ndugu zangu hawa wanaandika huku nyoyo zimekasirika kiasi wanakosa kujiuliza maswali mengi sana.

TAA haikuwa na fedha ikiwategemea sana wafadhili wake wakuu: Mzee Rupia, Dossa, Abdu na Ally Sykes.

Katika hali kama hii wezi wataiba nini wakati hazina haina kitu na fedha za kuendesha chama zinatoka kwenye magari 7 ya mchanga ya Dossa, biashara za Mzee Rupia na Petrol Station ya Abdu Sykes?
Unachekesha kweli ndugu yangu....unaleta nukuu za watuhumiwa?Km vile ulete nukuu za chenge au karamagi km ushahidi wa kuthibitisha hao jamaa si mafisadi.
 
Huu ujinga utawa cost sana....
-
Nyerere aligombea chaguzi kadhaa kabla ya uhuru na mkampa kura kibao.kama alikuw ana makosa basi msingempa kura.Mispende tumia tofauti zake na mabepari kupitisha agenda mbaya.Mlifanikiw akutumia "Ubaguzi/apartheid" na sera za Tanzania kuingiza Tanzania ktk "movement za kiislam Africa na mashariki ya kati".


Na vipi chaguzi za baada ya uhuru akipata 99.9 asilimia pia hakuwa na makosa? yaani msoto wote huo wa kula yanga na foleni za mikate bila kusahau watu kuliwa na Simba vijijini bado akipendwa na watu?
 


Na vipi chaguzi za baada ya uhuru akipata 99.9 asilimia pia hakuwa na makosa? yaani msoto wote huo wa kula yanga na foleni za mikate bila kusahau watu kuliwa na Simba vijijini bado akipendwa na watu?
You cant believe watanzania wengi walimpenda sana, na maadui hawakuwa na uwezo wa kumtoa kwa hoja.Mengi sana yaliwaweka pamoja watanzania kupitia ujamaa....na vita za kusini.Ile sense ya common goals iliwashikilia watanzania...n aimani yao kwa Nyerere kuwa nae alikuwa akipata shida kama watanzania wengine kuliwafanya nao wasio kumtumikia mtu.
 


Na vipi chaguzi za baada ya uhuru akipata 99.9 asilimia pia hakuwa na makosa? yaani msoto wote huo wa kula yanga na foleni za mikate bila kusahau watu kuliwa na Simba vijijini bado akipendwa na watu?
Kadogoo,
Dhana kwamba kuna watu waliliwa na simba kwenye vijiji vya ujamaa ni uwongo mtupu. Na kama watu walikula yanga si ni heri kuliko kufa njaa kama ilivyotokea Ethiopia?
 
Mi huwa sijui wailamu kwa nini kila siku hujiona kuwa wadhaifu, wanaonewa na au wamekandamizwa. Kweli nyani haoni kundule (ashakumu si matusi). Historia ya dini ya kiislamu inaonesha kuwa watu hawa wamejengwa katika chuki na fitina. Matokeo yake waislamu wamekuwa na historia ya machafuko na kumwaga damu tangu zamani (mwaka 630 na kuendelea). Tangu zamani wakati nchi zingine duniani zikiruhusu mawazo tofauti na mafundisho ya vitabu vya dini na sayansi kushika kasi, nchi nyingi za kiislamu hazikupenda mfumo huo na kuendelea kuwafundisha watoto wao elimu ya madrasah na hivyo kujitenga na mfumo mpya wa elimu ulioleta mabadilko makubwa katika maisha ya mwanandamu.
Mini nadhani mwandishi hapa amekuwa biased kwa kuwa yeye mwenyewe ana maslahi binafsi. Nadhani ingekuwa vema kwa yeye kuchambua mchango wa mfumo wa dini ya kiislamu katika maendelo ya elimu ya waislamu. Hapo angepata majibu sahihi na kuwashauri waislamu wapi wanatakiwa kubadilika. Mimi nadhani waache kuwajaza chuki watoto wao katika shule zao za madrasah na badala yake wawafundishe maadili mema na elimu itakayowasaidia katika maisha yao. Wasiwapeleke watoto wao katika shule eti kwa kuwa ni za kiislamu hata kama kazina elimu bora(mtu mbaya hapati thawabu hata kama ni ndugu yako). Wawapeleke watoto wao wote (wasichana kwa waume) shule na wala sio kuwaweka watoto wa kike ndani na kusubiri kuolewa. Wafanye kazi kwa bidii na waache kupiga soga na kucheza bao. Mafanikio hayaji yenyewe, lazima yatafutwe tena kwa jasho, bidii na subira.
 
Mi huwa sijui wailamu kwa nini kila siku hujiona kuwa wadhaifu, wanaonewa na au wamekandamizwa. Kweli nyani haoni kundule (ashakumu si matusi). Historia ya dini ya kiislamu inaonesha kuwa watu hawa wamejengwa katika chuki na fitina. Matokeo yake waislamu wamekuwa na historia ya machafuko na kumwaga damu tangu zamani (mwaka 630 na kuendelea). Tangu zamani wakati nchi zingine duniani zikiruhusu mawazo tofauti na mafundisho ya vitabu vya dini na sayansi kushika kasi, nchi nyingi za kiislamu hazikupenda mfumo huo na kuendelea kuwafundisha watoto wao elimu ya madrasah na hivyo kujitenga na mfumo mpya wa elimu ulioleta mabadilko makubwa katika maisha ya mwanandamu.
Mini nadhani mwandishi hapa amekuwa biased kwa kuwa yeye mwenyewe ana maslahi binafsi. Nadhani ingekuwa vema kwa yeye kuchambua mchango wa mfumo wa dini ya kiislamu katika maendelo ya elimu ya waislamu. Hapo angepata majibu sahihi na kuwashauri waislamu wapi wanatakiwa kubadilika. Mimi nadhani waache kuwajaza chuki watoto wao katika shule zao za madrasah na badala yake wawafundishe maadili mema na elimu itakayowasaidia katika maisha yao. Wasiwapeleke watoto wao katika shule eti kwa kuwa ni za kiislamu hata kama kazina elimu bora(mtu mbaya hapati thawabu hata kama ni ndugu yako). Wawapeleke watoto wao wote (wasichana kwa waume) shule na wala sio kuwaweka watoto wa kike ndani na kusubiri kuolewa. Wafanye kazi kwa bidii na waache kupiga soga na kucheza bao. Mafanikio hayaji yenyewe, lazima yatafutwe tena kwa jasho, bidii na subira.

Wao wanaamini kuwa elimu yote ya dunia na ahera imo ndani ya kitabu kitukufu cha kuruwani
 
Mimi naona kuna umuhimu wa watu kujua historia za dini zao. Wengi wamekaririshwa na ama kuaminishwa mambo kwa maslahi ya kundi na ama jamii fulani. Watu hawatafuti kujua ukweli, wanasikiliza mawazo ya viongozi wao wa dini ambao hawawezi kusema ukweli kutokana na mapokeo waliyoyarithi tangu zamani na pia kuhofia kukosa maslahi. Hizi dini zimeleta machafuko sana duniani kuliko majanga mengine yoyote.
 
You cant believe watanzania wengi walimpenda sana, na maadui hawakuwa na uwezo wa kumtoa kwa hoja.Mengi sana yaliwaweka pamoja watanzania kupitia ujamaa....na vita za kusini.Ile sense ya common goals iliwashikilia watanzania...n aimani yao kwa Nyerere kuwa nae alikuwa akipata shida kama watanzania wengine kuliwafanya nao wasio kumtumikia mtu.

Nyerere analaumiwa kwa siasa yake ya kiujamaa kuwa ilichelewesha maendeleo ya kiuchumi wa Tanzania. Siasa yake ya ujamaa ilishindikana kwa kiasi kikubwa baada ya mwaka 1976 kwa sababu mbalimbali za nje na za ndani ya nchi.
Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama kwa siasa ya kijamaa na kuwa hataweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa nyingine ambazo yeye hakuwa na imani nazo, Nyerere kwa hiari yake mwenyewe aliamua kustaafu nafasi ya urais kuanzia uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia usukani Ali Hassan Mwinyi, aliyetawala kwa siasa ya uchumi wa soko huria.
Katika hali ya kukubali ukweli, Nyerere katika tafrija ya kumwaga alitamka juu ya siasa yake upande wa uchumi: "Nimefeli. Tukubali hivyo."
Kosa lingine ambalo wengine wanaona Nyerere alilifanya ni kumhadaa aliyekuwa Rais wa Zanzibar Mzee Abeid Amaan Karume kwa kuziunganisha Tanganyika na Zanzibar, na kuanza kupora mamlaka ya Zanzibar kidogokidogo. Kwa hivi sasa Wanzanzibari wengi wamechoka na Muungano huo, na wanataka uhuru wa nchi yao ili wapumue. Hata upande wa bara wananchi wengi wanalalamikia kutoweka kwa Tanganyika na serikali yake.
Pia kuna makundi ya Waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya dini yao na kupendelea Wakristo katika utoaji wa elimu na madaraka,japo wasomi wengi kwa kipindi cha utawala wake walikuwa Wakristo.
 
1.Ni vipi waislam wataelekea Qibla wakiwa anywhere kuanzia ktk orbit kwenda nje ya nchi.?
2.Ni vipi waislam wanaweza angalia mwezi wakiwa mwezini ili kuweza fanya ibada zao mfungo wa Ramadhani.(Wataangalia vipi mwezi wakiwa mwezini)?

3.Ni vipi mtapiga swala 5 mwezini ambapo kuna masaa 8 tuu ktk siku?
4.Je mwanzilishi wa uislam hakuwa akiajua ulimwengu livyo na kuwa karne hii watu watahamia nje ya dunia au shemu nyingine za dunia?

Naomba majibu sahihi kwa kiasi cha kutosha saidia rudisha huu mjadala pale tulipotakiwa.Mkishindwa basi biashara ya sayansi ktk dini muachane nayo.
Ha ha ha! wanasema "ukiwa muongo usiwe msahaulifu"

Kwenda mwezini kunaangukia katika safari:

Hukmu ya msafiri katika Uislamu ni kuwa anaruhusiwa kuacha kufunga Ramadhani mpaka akirudi kutoka safarini.

Quran 2:183-184. Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu.
(Mfunge) siku maalumu za kuhisabika. Na atakaye kuwa miongoni mwenu mgonjwa au yumo safarini basi atimize hisabu katika siku nyingine."

Vilevile msafiri anaruhusiwa kuchanganya na kupunguza swala katika mwanzo wa nyakati zake au mwisho wa nyakati zake hivyo ninakuomba urekebishe maswali yako namba 2 mpaka 4 kwanza ili tuendelee.
 
hehe.. wewe tuu huwezi jibu haya..hata iran, indonesia kuna wanazuoni wenye kujua sayansi na wenye rasilimali kubwa sana za propaganda....walishindwa...niliwapa maswali hayo mapema sana.Ndio maana yule mama wa Iran alipokwenda space alijaribu sana jipambanua kwa dini..ili adanganye watu kuwa uislam unawezekana space km sehemu ya majibu ya maswali yangu hayo.

Bado vichwa vinawauma..nao walikimbilia kama wewe ila niliwapa maelezo ya kisayansi kabisa.Waliniambia ngoja ttakuandalia majibu.Ninachoelewa ni kwamba walianzisha kitengo cha kuangalia hiyo challenge.

Chukuwa darsa hapa chini.
ASTRONOMY
Whenever I describe to Westerners the details the Qur'an contains on certain points of astronomy, it is common for someone to reply that there is nothing unusual in this since the Arabs made important discoveries in the field of astronomy long before the Europeans. But, this is a mistaken idea resulting from an ignorance of history. In the first place, science developed in the Arab World at a considerable time after the Qur'anic revelation had occurred. Secondly, the scientific knowledge prevalent at the highpoint of Islamic civilization would have made it impossible for any human being to have written statements on the heavens comparable to those in the Qur'an. The material on this subject is so vast that I can only provide a brief outline of it here.

The Sun and Moon.
Whereas the Bible talks of the sun and the moon as two lights differing only in size, the Qur'an distinguishes between them by the use of different terms: light (noor) for the moon, and lamp (siraaj) for the sun.
"Did you see how Allah created seven heavens, one above the other, and made in them the moon a light and the sun a lamp?" Qur'an, 78:12-13
The moon is an inert body which reflects light, whereas the sun is a celestial body in a state of permanent combustion producing both light and heat.
Stars and Planets
The word ‘star' (najm) in the Qur'an ( 86:3 ) is accompanied by the adjective thaaqib which indicates that it burns and consumes itself as it pierces through the shadows of the night. It was much later discovered that stars are heavenly bodies producing their own light like the sun.
In the Qur'an, a different word, kawkab, is used to refer to the planets which are celestial bodies that reflect light and do not produce their own light like the sun.
"We have adorned the lowest heaven with ornaments, the planets." Qur'an, 37:6
Orbits
Today, the laws governing the celestial systems are well known. Galaxies are balanced by the position of stars and planets in well-defined orbits, as well as the interplay of gravitational forces produced by their masses and the speed of their movements. But is this not what the Qur'an describes in terms which have only become comprehensible in modern times. In chapter al-Ambiyaa we find:
"(God is) the one who created the night, the day, the sun and the moon. Each one is traveling in an orbit with its own motion." Qur'an,21:33
The Arabic word which expresses this movement is the verb yasbahoon which implies the idea of motion produced by a moving body, whether it is the movement of one's legs running on the ground, or the action of swimming in water. In the case of a celestial body, one is forced to translate it, according to its original meaning, as ‘to travel with its own motion.'
In my book, The Bible, The Qur'an and Science, I have given the precise scientific data corresponding to the motion of celestial bodies. They are well known for the moon, but less widely known for the sun.

The Day and Night
The Qur'anic description of the sequence of day and night would, in itself, be rather commonplace were it not for the fact that it is expressed in terms that are today highly appropriate. The Qur'an uses the verb kawwara in chapter az-Zumar to describe the way the night ‘winds' or ‘coils' itself around the day and the day around the night.
"He coils the night upon the day and the day upon the night." Qur'an, 39:5
The original meaning of the verb kis to coil a turban around the head. This is a totally valid comparison; yet at the time the Qur'an was revealed, the astronomical data necessary to make this comparison were unknown. It is not until man landed on the moon and observed the earth spinning on its axis, that the dark half of the globe appeared to wind itself around the light and the light half appeared to wind itself around the dark.
The Solar Apex
The notion of a settled place for the sun is vividly described in chapter Yaa Seen of the Qur'an:
"The sun runs its coarse to a settled place That is the decree of the Almighty, the All Knowing." Qur'an, 36:38
"Settled place" is the translation of the word mustaqarr which indicates an exact appointed place and time. Modern astronomy confirms that the solar system is indeed moving in space at a rate of 12 miles per second towards a point situated in the constellation of Hercules ( alpha lyrae ) whose exact location has been precisely calculated. Astronomers have even give it a name, the solar apex.

Expansion of the Universe
Chapter ath-Thaariyaat of the Qur'an also seems to allude to one of the most imposing discoveries of modern science, the expansion of the Universe.
"I built the heaven with power and it is I, who am expanding it." Qur'an,51:47
The expansion of the universe was first suggested by the general theory of relativity and is supported by the calculations of astrophysics. The regular movement of the galactic light towards the red section of the spectrum is explained by the distancing of one galaxy from another. Thus, the size of the universe appears to be progressively increasing.
Conquest of Space
Among the achievements of modern science is the "conquest" of space which has resulted in mans journey to the moon. The prediction of this event surely springs to mind when we read the chapter ar-Rahmaan in the Qur'an:
"O assembly of Jinns and men, if you can penetrate the regions of the heavens and the earth, then penetrate them! You will not penetrate them except with authority."
Qur'an,55:33
Authority to travel in space can only come from the Creator of the laws which govern movement and space. The whole of this Qur'anic chapter invites humankind to recognize God's beneficence

Kama haitoshi chukuwa na hii hapa chini.
BIBLE, QUR'AN AND SCIENCE
We have now come to the last subject I would like to present in this short pamphlet: it is the
comparison between modern knowledge and passages in the Qur'an that are also referred to in the Bible.
Creation
We have already come across some of the contradictions between scripture and science regarding the creation of the universe. When dealing with that topic, I stressed the perfect agreement between modern knowledge and verses in the Qur'an, and pointed out that the Biblical narration contained statements that were scientifically unacceptable. This is hardly surprising if we are aware that the narration of the creation contained in the Bible was the work of priests living in the sixth century BC, hence the term ‘sacerdotal' ( priestly ) narration is officially used to refer to it. The narration seems to have been conceived as the theme of a sermon designed to exhort people to observe the Sabbath. The narration was constructed with a definite end in view, and as Father de Vaux (a former head of the Biblical School of Jerusalem) has noted, this end was essentially legalist in character.
The Bible also contains a much shorter and older narration of Creation, the so-called ‘Yahvist' version, which approaches the subject from a completely different angle. They are both taken from Genesis, the first book of the Pentateuch or Torah. Moses is supposed to have been its author, but the text we have today has undergone many changes.
The sacerdotal narration of Genesis is famous for its whimsical genealogies, that go back to Adam, and which nobody takes very seriously. Nevertheless, such Gospel authors as Matthew and Luke have reproduced them, more or less word-for-word, in their genealogies of Jesus. Matthew goes back as far as Abraham, and Luke to Adam. These writings are scientifically unacceptable, because they set a date for the age of the world and the time humans appeared on Earth, which most definitely contradicts what modern science has firmly established. The Qur'an, on the other hand, is completely free of dates of this kind.
Earlier on, we noted how perfectly the Qur'an agrees with modern ideas on the formation of the Universe. On the other hand, the Biblical narration of primordial waters is hardly, nor is the creation of light on the first day before the creation of the stars which produce this light; the existence of an evening and a morning before the creation of the earth; the creation of the earth on the third day before that of the sun on the fourth; the appearance of beasts of the earth on the sixth day after the appearance of the birds of the air on the fifth day, although the former came first. All these statements are the result of beliefs prevalent at the time this text was written and do not have any other meaning.

Age of the Earth
As for the Biblical genealogies which form the basis of the Jewish calendar and assert that today the world is 5738 years old, these are hardly admissible either. Our solar system may well be four and a quarter billion years old, and the appearance of human beings on earth, as we know him today, may be estimated in tens of thousands of years, if not more. It is absolutely essential, therefore, to note that the Qur'an does not contain any such indications as to the age of the world, and that these are specific to the Biblical text.

The Flood
There is a second highly significant subject of comparison between the Bible and the Qur'an; descriptions of the deluge. In actual fact, the Biblical narration is a fusion of two descriptions in which events are related differently. The Bible speaks of a universal flood and places it roughly 300 years before Abraham.
According to what we know of Abraham, this would imply a universal cataclysm around the twenty-first or twenty-second century BC This story would be untenable, in view of presently available historical data. How can we accept the idea that, in the twenty-first or twenty-second century BC, all civilization was wiped off the face of the earth by a universal cataclysm, when we know that this period corresponds, for example, to the one preceding the Middle Kingdom in Egypt, at roughly the date of the first Intermediary period before the eleventh dynasty? It is historically unacceptable to maintain that, at this time, humanity was totally wiped out. None of the preceding statements is acceptable according to modern knowledge. From this point of view, we can measure the enormous gap separating the Bible from the Qur'an.
In contrast to the Bible, the narration contained in the Qur'an deals with a cataclysm that is limited to Noah's people. They were punished for their sins, as were other ungodly peoples. The Qur'an does not fix the cataclysm in time. There are absolutely no historical or archaeological objections to the narration in the Qur'an.

The Pharaoh
A third point of comparison, which is extremely significant, is the story of Moses, and especially the Exodus from Egypt of the Hebrews. Here I can only give a highly compressed account of a study on this subject that appears in my book. I have noted the points where the Biblical and Qur'anic narrations agree and disagree, and I have found points where the two texts complement each other in a very useful way.
Among the many hypotheses, concerning the historical time-frame occupied by the Exodus in the history of the pharaohs, I have concluded that the most likely is the theory which makes Merneptah, Ramesses II's successor, the pharaoh of the Exodus. The comparison of the data contained in the Scriptures with archeological evidence strongly supports this hypothesis. I am pleased to be able to say that the Biblical narration contributes weighty evidence leading us to situate Moses in the history of the pharaohs. Moses was probably born during the reign of Ramesses II. Biblical data. are therefore of considerable historical value in the story of Moses. A medical study of the mummy of Merneptah has yielded further useful information on the possible causes of this pharaoh's death. The fact that we possess the mummy of this pharaoh is one of paramount importance. The Bible records that pharaoh was engulfed in the sea, but does not give any details as to what subsequently became of his corpse. The Qur'an, in chapter Yoonus, notes that the body of the pharaoh would be saved from the waters:
"Today I will save your dead body so that you may be a sign for those who come after you." Qur'an, 10:92
A medical examination of this mummy, has, shown that the body could not have stayed in the water for long, because it does not show signs of deterioration due to prolonged submersion. Here again, the comparison between the narration in the Qur'an and the data provided by modern knowledge does not give rise to the slightest objection from a scientific point of view.
Such points of agreement are characteristic of the Qur'anic revelation. But, are we throwing the Judeo-Christian revelation into discredit and depriving it of all its intrinsic value by stressing the faults as seen from a scientific point of view? I think not because the criticism is not aimed at the text as a whole, but only at certain passages. There are parts of the Bible which have an undoubted historical value. I have shown that in my book, The Bible, The Qur'an and Science, where I discuss passages which enable us to locate Moses in time.
The main causes which brought about such differences as arise from the comparison between the Holy Scriptures and modern knowledge is known to modern scholars. The Old Testament constitutes a collection of literary works produced in the course of roughly nine centuries and which has undergone many alterations. The part played by men in the actual composition of the texts of the Bible is quite considerable.
The Qur'anic revelation, on the other hand, has a history which is radically different. As we have already seen, from the moment it was first commto humans, it was learnt by heart and written down during Muhammad's own lifetime. It is thanks to this fact that the Qur'an does not pose any problem of authenticity.
A totally objective examination of the Qur'an, in the light of modern knowledge, leads us to recognize the agreement between the two, as has already been noted on repeated occasions throughout this presentation.
It makes us deem it quite unthinkable for a man of Muhammad's time to have been the author of such statements, on account of the state of knowledge in his day. Such considerations are part of what gives the Qur'anic revelation its unique place among religious and non-religious texts, and forces the impartial scientist to admit his inability to provide an explanation based solely upon materialistic reasoning.
Such facts as I have had the pleasure of exposing to you here, appear to represent a genuine challenge to human explanation leaving only one alternative: the Qur'an is undoubtedly a revelation from God.

Chukuwa na hii hapa.
The Qur'an And Science
For many centuries, humankind was unable to study certain data contained in the verses of the Qur'an because they did not possess sufficient scientific means. It is only today that numerous verses of the Qur'an dealing with natural phenomena have become comprehensible. A reading of old commentaries on the Qur'an, however knowledgeable their authors may have been in their day, bears solemn witness to a total inability to grasp the depth of meaning in such verses. I could even go so far as to say that, in the 20th century, with its compartmentalization of ever-increasing knowledge, it is still not easy for the average scientist to understand everything he reads in the Qur'an on such subjects, without having recourse to specialized research. This means that to understand all such verses of the Qur'an, one is nowadays required to have an absolutely encyclopedic knowledge embracing many scientific disciplines.
I should like to stress, that I use the word science to mean knowledge which has been soundly established. It does not include the theories which, for a time, help to explain a phenomenon or a series of phenomena, only to be abandoned later on in favor of other explanations. These newer explanations have become more plausible thanks to scientific progress. I only intend to deal with comparisons between statements in the Qur'an and scientific knowledge which are not likely to be subject to further discussion. Wherever I introduce scientific facts which are not yet 100% established, I will make it quite clear.
There are also some very rare examples of statements in the Qur'an which have not, as yet, been confirmed by modern science. I shall refer to these by pointing out that all the evidence available today leads scientists to regard them as being highly probable. An example of this is the statement in the Qur'an that life has an aquatic origin ( "And I created every living thing out of water" Qur'an, 21:30 ).
These scientific considerations should not, however, make us forget that the Qur'an remains a religious book par excellence and that it cannot be expected to have a scientific purpose per se. In the Qur'an, whenever humans are invited to reflect upon the wonders of creation and the numerous natural phenomena, they can easily see that the obvious intention is to stress Divine Omnipotence. The fact that, in these reflections, we can find allusions to data connected with scientific knowledge is surely another of God's gifts whose value must shine out in an age where scientifically based atheism seeks to gain control of society at the expense of the belief in God. But the Qur'an does not need unusual characteristics like this to make its supernatural nature felt. Scientific statements such as these are only one specific aspect of the Islamic revelation which the Bible does not share.
Throughout my research I have constantly tried to remain totally objective. I believe I have succeeded in approaching the study of the Qur'an with the same objectivity that a doctor has when opening a file on a patient. In other words, only by carefully analyzing all the symptoms can one arrive at an accurate diagnosis. I must admit that it was certainly not faith in Islam that first guided my steps, but simply a desire to search for the truth. This is how I see it today. It was mainly the facts which, by the time I had finished my study, led me to see the Qur'an as the divinely-revealed text it really is.

Namalizia na huu mpini
CREATION OF THE UNIVERSE
From an examination of creation as described in the Qur'an, an extremely important general concept emerges: The Qur'anic narration is quite different from the Biblical narration. This idea contradicts the parallels which are often wrongly drawn by Western authors to emphasize the resemblance between the two texts. To stress only the similarities, while silently ignoring the obvious dissimilarities, is to distort reality. There is, perhaps, a reason for this.
When talking about creation, there is a strong tendency in the West to claim that Muhammad copied the general outlines mentioned in the Qur'an from the Bible. Certainly it is possible to compare the six days of creation as described in the Bible, plus an extra day for rest on God's Sabbath, with this verse from chapter al-A‘raaf.
"Your Lord is God who created the heavens and the earth in six days." Qur'an, 7:54
However, it must be pointed out that modern commentators stress the interpretation of the Arabic word ayyaam, (one translation of which is ‘days'), as meaning ‘long periods' or ‘ages' rather than periods of twenty-four hours.
What appears to be of fundamental importance to me is that, in contrast to the narration contained in the Bible, the Qur'an does not lay down a sequence for creation of the earth and heavens. It refers both to the heavens before the earth and the earth before the heavens, when it talks of creation in general, as in this verse of chapter Taa Haa:
"(God) who created the earth and heavens above." Qur'an, 20:4
In fact, the notion derived from the Qur'an is one of a parallelism in the celestial and terrestrial evolutions. There are also basic pieces of information concerning the existence of an initial gaseous mass ( dukhaan ) which are unique to the Qur'an. As well as descriptions of the elements which, although at first were fused together ( ratq ), they subsequently became separated (fatq). These ideas are expressed in chapters Fussilat and al-Anbiyaa:
"God then rose turning towards the heaven when it was smoke" Qur'an, 41:11
"Do the disbelievers not see that the heavens and the earth were joined together, then I split them apart?" Qur'an, 21:30
According to modern science, the separation process resulted in the formation of multiple worlds, a concept which appears dozens of times in the Qur'an. For example, look at the first chapter of the Qur'an, al-Faatihah:( "Praise be to God, the Lord of the Worlds." Qur'an, 1:1 ). These Qur'anic references are a11 in perfect agreement with modern ideas on the existence of primary nebula (galactic dust), followed by the separation of the elements which resulted in the formation of galaxies and then stars from which the planets were born. Reference is also made in the Qur'an to an intermediary creation between the heavens and the earth, as seen in chapter al-Furqaan:
"God is the one who created the heavens, the earth and what is between them..." Qur'an, 25:59
It would seem that this intermediary creation corresponds to the modern discovery of bridges of matter which are present outside organized astronomical systems.
This brief survey of Qur'anic references to creation clearly shows us how modern scientific data and statements in the Qur'an consistently agree on a large number of points. In contrast, the successive phases of creation mentioned in the Biblical text are totally unacceptable. For example, in Genesis 1:9-19 the creation of the earth (on the 3rd day) is placed before that of the heavens (on the 4th day). It is a well known fact that our planet came from its own star, the sun. In such circumstances, how could anyone claim that Muhammad, the supposed author of the Qur'an, drew his inspiration from the Bible. Such a claim would mean that, of his own accord, he corrected the Biblical text to arrive at the correct concept concerning the formation of the Universe. Yet the correct concept was reached by scientists many centuries after his death.
Hii chini ni zawadi ya Mkuu wa chuo,
Embryo
The evolution of the embryo inside the maternal uterus is only briefly described, but the description is accurate, because the simple words referring to it correspond exactly to fundamental stages in its growth. This is what we read in a verse from the chapter al-Mu'minoon:
"I fashioned the clinging entity into a chewed lump of flesh and I fashioned the chewed flesh into bones and I clothed the bones with intact flesh." Qur'an, 23:14
The term ‘chewed flesh' (mudghah) corresponds exactly to the appearance of the embryo at a certain stage in its development.
It is known that the bones develop inside this mass and that they are then covered with muscle. This is the meaning of the term ‘intact flesh' (lahm).
The embryo passes through a stage where some parts are in proportion and others out of proportion with what is later to become the individual. This is the obvious meaning of a verse in the chapter al-Hajj, which reads as follows:
"I fashioned (humans) a clinging entity, then into a lump of flesh in proportion and out of proportion." Qur'an, 22:5.
Next, we have a reference to the appearance of the senses and internal organs in the chapter as-Sajdah:
"... and (God) gave you ears, eyes and hearts." Qur'an, 32:9
Nothing here contradicts today's data and, furthermore, none of the mistaken ideas of the time have crept into the Qur'an. Throughout the Middle Ages there were a variety of beliefs about human development based on myths and speculations which continued for several centuries after the period. The most fundamental stage in the history of embryology came in 1651 with Harvey's statement that "all life initially comes from an egg". At that time, when science had benefited greatly from the invention of the microscope, people were still arguing about the respective roles of the egg and spermatozoon. Buffon, the great naturalist, was one of those in favor of the egg theory.Bonnet, on the other hand, supported the theory of ‘the ovaries of Eve', which stated that Eve, the mother of the human race, was-supposed to have had inside her the seeds of all human beings packed together one inside the other.


 
Last edited by a moderator:
Unachekesha kweli ndugu yangu....unaleta nukuu za watuhumiwa?Km vile ulete nukuu za chenge au karamagi km ushahidi wa kuthibitisha hao jamaa si mafisadi.

Wanajamvi,

Uongozi wa TAA toka 1950 hadi 1954 TANU inaundwa unafahamika:

1950/51 Rais Dk Kyaruzi
1952/53 Rais Abdulwahid Sykes
1953/54 Rais Julius Nyerere

Isemwe ni kipindi cha uongozi wa kiongozi gani hapo juu TAA ilikuwa na fedha za
kuweza kufujwa.

Historia ya TAA iko peupe na wafadhili wake wanajulikana na fedha haikuwa inatoka
katika hazina ya chama kwa kuwa chama hakikuwa na fedha.

La kama haja ni kuwatukana wazee wetu na kuwapa sifa ya wizi hilo sawa kwani
akutukanae hakuchagulii tusi.

Mfano wa Karamagi kwa viongozi hao hapo juu wa TAA ni mbingu na ardhi.
 

Wanajamvi,

Uongozi wa TAA toka 1950 hadi 1954 TANU inaundwa unafahamika:

1950/51 Rais Dk Kyaruzi
1952/53 Rais Abdulwahid Sykes
1953/54 Rais Julius Nyerere

Isemwe ni kipindi cha uongozi wa kiongozi gani hapo juu TAA ilikuwa na fedha za
kuweza kufujwa.

Historia ya TAA iko peupe na wafadhili wake wanajulikana na fedha haikuwa inatoka
katika hazina ya chama kwa kuwa chama hakikuwa na fedha.

La kama haja ni kuwatukana wazee wetu na kuwapa sifa ya wizi hilo sawa kwani
akutukanae hakuchagulii tusi.

Mfano wa Karamagi kwa viongozi hao hapo juu wa TAA ni mbingu na ardhi.

Ufisadi wa familia ya Klest Sykes katika Tanganyika uliibuka mwaka 1933 baada ya Rais wa Kwanza wa AA kufariki ndugu Cesil Matola,

Kushika hatamu za urais kwa Klest Sykes kulipelekea KUJIMILIKISHA kiwanja na jengo ambalo chama hicho kilikuwa kimepewa na Gavana wa Tanganyika Sir David Cameron,

Huo ndio ufisadi halisi unaoiandama familia ya Klest Sykes na haiwezi kuukwepa kwakuwa BABA yao ndie aliyeufanya!

Kuwasafisha leo hutaweza, historia ni katili mno, hupita popote hata panapouma!

Vumilia ndugu yangu!
 
Nyerere analaumiwa kwa siasa yake ya kiujamaa kuwa ilichelewesha maendeleo ya kiuchumi wa Tanzania. Siasa yake ya ujamaa ilishindikana kwa kiasi kikubwa baada ya mwaka 1976 kwa sababu mbalimbali za nje na za ndani ya nchi.
Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama kwa siasa ya kijamaa na kuwa hataweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa nyingine ambazo yeye hakuwa na imani nazo, Nyerere kwa hiari yake mwenyewe aliamua kustaafu nafasi ya urais kuanzia uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia usukani Ali Hassan Mwinyi, aliyetawala kwa siasa ya uchumi wa soko huria.
Katika hali ya kukubali ukweli, Nyerere katika tafrija ya kumwaga alitamka juu ya siasa yake upande wa uchumi: "Nimefeli. Tukubali hivyo."
Kosa lingine ambalo wengine wanaona Nyerere alilifanya ni kumhadaa aliyekuwa Rais wa Zanzibar Mzee Abeid Amaan Karume kwa kuziunganisha Tanganyika na Zanzibar, na kuanza kupora mamlaka ya Zanzibar kidogokidogo. Kwa hivi sasa Wanzanzibari wengi wamechoka na Muungano huo, na wanataka uhuru wa nchi yao ili wapumue. Hata upande wa bara wananchi wengi wanalalamikia kutoweka kwa Tanganyika na serikali yake.
Pia kuna makundi ya Waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya dini yao na kupendelea Wakristo katika utoaji wa elimu na madaraka,japo wasomi wengi kwa kipindi cha utawala wake walikuwa Wakristo.
Hilo kosa lingine ni umbea ndio maana Nyerere aliyeweza kukiri makosa yake bila kupepesa hakukiri.
 
Ha ha ha! wanasema "ukiwa muongo usiwe msahaulifu"

Kwenda mwezini kunaangukia katika safari:

Hukmu ya msafiri katika Uislamu ni kuwa anaruhusiwa kuacha kufunga Ramadhani mpaka akirudi kutoka safarini.

Quran 2:183-184. Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu.
(Mfunge) siku maalumu za kuhisabika. Na atakaye kuwa miongoni mwenu mgonjwa au yumo safarini basi atimize hisabu katika siku nyingine."

Vilevile msafiri anaruhusiwa kuchanganya na kupunguza swala katika mwanzo wa nyakati zake au mwisho wa nyakati zake hivyo ninakuomba urekebishe maswali yako namba 2 mpaka 4 kwanza ili tuendelee.

Na ukiwa mjinga jifunze kuacha vitu usivyovijua......Nimesema kuhamia (permanent staying).
Pia hata usemalo si sahihi sana ,Hembu imagine hata miaka miwili tuu ukiwa space, utalipiza vipi swala 5 achilia mbali ramandhani.
 
Na ukiwa mjinga jifunze kuacha vitu usivyovijua......Nimesema kuhamia (permanent staying).
Pia hata usemalo si sahihi sana ,Hembu imagine hata miaka miwili tuu ukiwa space, utalipiza vipi swala 5 achilia mbali ramandhani.

Dr. Sheikh Muszaphar Shukor Praying in outer space (from "Muslim in Space" DVD) - YouTube
Muslim Malaysian astronaut Dr Sheikh Muszaphar Shukor praying in space


Source: Muslim Malaysian astronaut Dr Sheikh Muszaphar Shukor praying in space

Muslim astronaut's miracle: call to prayer in space



Malaysian astronaut Dr. Sheikh Muszaphar Shukor travelled to space as the ninth Muslim astronaut to show how a prayer could be made in space.
"Everyone who goes to space feels a miracle. During my trip in space that took place in the holy month of Ramadan, I heard a ‘call to prayer' in the Space Station," Shukor said in an interview with Anatolia news agency.
"Time for fasting and prayer depends on where you are situated in space. As the space shuttle was launched from Kazakhstan, we took into consideration the local time in Kazakhstan. I prayed five times a day by taking into consideration the time in Kazakhstan. You had to turn your face toward the earth in order to pray in the direction of Mecca. The Space Station was in a position from where you could see the earth directly," said Shukor who has visited Turkey as the guest of Turksat Corporation.
"Malaysia aims to send humans to space in order to encourage the youth to work on space issues. Malaysia wishes to train more doctors and scientists in the next 5 to 10 years. This was the main goal of the program."
Out of 11,435 individuals, only three men and one woman were selected for the space trip.
Shukor said they had worked in space on cancerous cells. About 80 percent of their experiment has been completed, he said. "Once the results have been reached, we will inform the public about our study that will be published," he added.




CC, gombesugu, Kadogoo, THE BIG SHOW, Barubaru, Boko haram, Sideeq



 
Ufisadi wa familia ya Klest Sykes katika Tanganyika uliibuka mwaka 1933 baada ya Rais wa Kwanza wa AA kufariki ndugu Cesil Matola,

Kushika hatamu za urais kwa Klest Sykes kulipelekea KUJIMILIKISHA kiwanja na jengo ambalo chama hicho kilikuwa kimepewa na Gavana wa Tanganyika Sir David Cameron,

Huo ndio ufisadi halisi unaoiandama familia ya Klest Sykes na haiwezi kuukwepa kwakuwa BABA yao ndie aliyeufanya!

Kuwasafisha leo hutaweza, historia ni katili mno, hupita popote hata panapouma!

Vumilia ndugu yangu!

Hawa jamaa ukiwauliza familia hiyo ilifikiaje huo utajiri wanaweza kuwambia alijaaliwa na mnyazi mngu.....pia hajui mikoani palikuwa na watu wenye pesa wengi tuu ambao walishawishika kuwa wana TANU na walijitolea sana.Kaka wa Mengi mzee Elitira, Aikaeli, Nsilo Swali, na wengine wengi tuu..na hii ilikuwa nchi nzima.
 
Chukuwa darsa hapa chini.

Kama haitoshi chukuwa na hii hapa chini.


Chukuwa na hii hapa.

Namalizia na huu mpini

Hii chini ni zawadi ya Mkuu wa chuo,

Haya ni matakataka tupu..sasa haya yanajibu nini hoja yangu?Nimekupa maswali machache sana ukiyajibu basi itasaidia sana kupunguza pelekea watu wasome junks tupu bure.Kama dini yako inajua habari ya sayansi.
 
Yericko,
Ikiwa una ushahidi kama Kleist alitaka kudhulumu
mali ya AA baada ya kifo cha Matola hiyo ni dhulma
na haiwezi kustahamiliwa.

Sana sana ni kumuombea dua Allah amsamehe.

Lakini ikiwa unamsingizia marehemu jua dhima kubwa
iko juu yako.

Uislam umekataza kuchezea heshima za watu.
Kleist katika historia ya Tanganyika anajulikana sana kufadhili
harakati kama walivyokujajulikana wanae.
 
Back
Top Bottom