Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Acha kupotosha jamii iliyopo hapa ndugu,

Viwango vya jamiiforums vimezingatiwa mpaka hapa tulipo!

Usiwafundishe jf kufanya kazi yao!

Jibuni hoja sio kukwepa
 
Wakuu Nicholas na Sadeeq

Ninawaomba msitoke nje ya mada,

Tutulie kwenye Historia ya Tanganyika na mapito yake,

Tukiingiza mijadala ya dini itatutoa uwepo wetu hapa!

Tuendelee ndugu zangu!


Acha unafiki na uzandiki...hii ndio furaha yako na mission yako inakamilika! Usifikiri sisi ni wapuuzi wenzio,kumbuka unazungumza na Wasomi wengi na Manguli waliobobea kwenye fani zao wengi tu hapa jamvini...wengi wao hutopata/usingepata fursa ya kuwaona au kukutana nao maishani mwako.!
Mwache Nicholas aendelee tu,kwani kafanza kosa lipi!?...wewe pia endelea na yoote pia huna kosa ufanzalo.

Mnatusaidia mno kila tunapokusomeni.

Kumbuka huyo Nicholas,alifungua ile Thread yake nyingine ya kumlaumu Nyerere kwanini alijiunga na "Chama cha Waislamu/wa Mwambao" kama alivyokiita TANU.

Pia alikua akimlaumu mno Mzee Marealle,yakuwa ati alikua Kibaraka wa Wakoloni.

Wewe binafsi Yericko,ukamnasihi mno ati afunge na aachane na ile Thread yake na aje kwenye "jamvi lako" ili "kupambana" na Sheikh Mohammed...sasa mbona unataka kujitia u-Malaika usokua nao na kuhadaa watu hapa!?

Just let him carry on,it's too late now! Ok!?


Cc;Ritz
 
Wakuu Nicholas na Sadeeq

Ninawaomba msitoke nje ya mada,

Tutulie kwenye Historia ya Tanganyika na mapito yake,

Tukiingiza mijadala ya dini itatutoa uwepo wetu hapa!

Tuendelee ndugu zangu!


Wewe ulivyokua unatukhadithia jinsi ya kulalana na Mkeo hapa jamvini ndio ulikua umo ndani ya mada!?

Ulipotuletea khabar na invitation hapa jamvini ya ku-smoke weed kwenye "Rastafarians W'end party" nyumbani kwako Mbutu,je ulikua umo ndani ya Mada!?

Punguza ushamba kijana!
 

Hahahaa daah!

Ndugu yangu, tunajizuia kuingiza udini katika mada hii,

Mbwembwe zingine ni vibwagizo tu lakini udini utatuondoa hapa ndiomaana tunajizuia!

Mbona unaonekana ni msomi lakini unaakisi mapungufu sana ya kifikra?
 

Al Habiby gombesugu,

Huyu jamaa mnafiki sana kumbe umemsoma.
 
Last edited by a moderator:
Al Habiby gombesugu,

Huyu jamaa mnafiki sana kumbe umemsoma.

Kwa akili zenu mnadhani tunaweza kuruhusu uzi huu ukawa kiwanja cha mahubiri?

Hilo halitatokea! Hapa ni hoja za historia na mizaa mingine tu lakini sio dini!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Nicholas na Sadeeq

Ninawaomba msitoke nje ya mada,

Tutulie kwenye Historia ya Tanganyika na mapito yake,

Tukiingiza mijadala ya dini itatutoa uwepo wetu hapa!

Tuendelee ndugu zangu!
Responsible ya kumfukuza MS katika huu mjadala ataibeba Nicholas! mimi humjibu tu pale alipo na shaka napo kuhusu dini yangu.
Nicholas said:
Nikurahisishie...ni kwamba dhana ya kutumia Fatwa yenyewe ni makosa.Ni maamuzi tuu ya walio hai leo.Ila si kitu kilicho wazi ktk uislam kwa muislam wa mwanzo,wa sasa na ajaye.Hiyo ya watu ni wendawazimu wako
Nilishakuambia tokea mwanzo kuwa usiingilie usivyovijua!
Una maana Waislamu wa mwanzo Sahaba na Taabiin hawakutoa Fatwa?!
Vipi Hadith za Mtume SAW kuhusu Mufti anapojitahidi kutoa Fatwa? Si kila Sheikh ni Mufti!

Nitajie Fatwa moja tu aliyoitoa Osama.. maneno yake karibu yote yanaegemea Sheikh fulani kasema halafu yeye huyafanyia Qiyaas (analogy)
Nicholas said:
eveolution ipo very core ktk vitabu vya wanapropaganda za kiislam.
Umedai kuwa Waislamu wamedanganya watu kuwa evolution ipo kwenye Quran, nitajie.
Nicholas said:
Umbea mwingine judaism haiwezi kuwa basis ya uchawi
Yebamoth 59b. A woman who had intercourse with a beast is eligible to marry a Jewish priest. A woman who has sex with a demon is also eligible to marry a Jewish priest. Zilete hizo Aya.
Nicholas said:
Naomba niambie "majinn" yanayokula damu na mavi....vinapatika wapi hivi ktk dunia ya kiislam?
Gittin 69b. To heal the disease of pleurisy ("catarrh") a Jew should "take the excrement (KINYESI) of a white dog and knead it with balsam, but if he can possibly avoid it he should not eat the dog's excrement as it loosens the limbs."
 

Al Habiby gombesugu,

Toka siku ile alivyoropoka huo upuuzi wakuadithia alivyokuwa analala na mke wake nikamuona ana matatizo kichwani.
 
Last edited by a moderator:
gombesugu,
Pale mimi ndipo nikafikia hatua ya kumweka katka daraja la wapuuzi na vihiyo wa hali ya juu,plus mshamba na limbuken wa maisha,zaid zaid nikamwona kwamba ni mtoto mdogo na asiejitambua,

Pia huyu chizi mwenzake nikolasi think angepuuzwa ingejua jambo la msingi sana,kwan kujibishana na mpuuz au mwendawazimu kama yule ni kupoteza muda tuh,

Hawa walidhani ya kwamba sisi tutawakimbia hapa,lakini hivi tulivyokwenda nao hadi nusu mwaka huu sasa rangi yao yote ishajionesha,

Hawana tena hoja wala la maana...
 
Last edited by a moderator:
Kwa akili zenu mnadhani tunaweza kuruhusu uzi huu ukawa kiwanja cha mahubiri?

Hilo halitatokea! Hapa ni hoja za historia na mizaa mingine tu lakini sio dini!



Suala la la kum'lala mkeo ni hoja za kihistoria pia??

Kama jibu lako ni hapana,sasa kwanin ukaleta ule upumbavu wako hapa??

Hivi uko sawa lakin upstairs??

Famililia ya julius imekukana wewe unang'ang'ana nayo huoni kinyaa??

Young boy must be so so craizy n stupid...!!
 
Kwa akili zenu mnadhani tunaweza kuruhusu uzi huu ukawa kiwanja cha mahubiri?

Hilo halitatokea! Hapa ni hoja za historia na mizaa mingine tu lakini sio dini!

Nyie ni kina nani? Anachofanya Sideeq, ni kuweka sawa upuuzi wa jamaa yenu.
 
Last edited by a moderator:


Tutajie hiyo ardhi iliyonunuliwa na Kanisa Katoliki hapo Zanzibar iko pahala/maeneo gani!?

Je nani waliokua wagawaji wa hiyo ardhi,ni Kanisa lenyewe!? Kanisa ilinunua hiyo ardhi toka kwa nani,au kama pia toka kwa Mfalme wa Zanzibar wakti huo tafadhali pia tujuze!?

Watu/Wazanzibary gani hao walionufaika na huo "ununuzi wa ardhi wa Kanisa"....je unayo orodha ya majina/Family zao!?

Nakukumbusha khabar za umilikaji wa ardhi woote hapo Zanzibar unapatikana pale Mambomsiige ambayo ni Central Archive...pale pana kumbukumbu hazipungui takriban miaka 800 ilopita na mpaka kesho zinatunzwa kwa uadilifu wa hali ya juu,je unalijua hilo!?

Khabar za Kanisa Zanzibar,mimi binafsi nilishawahi kuzungumza kwa utuvu mwingi na alokua Kasisi wa Usharika/Diocese ya Tanga na Zanzibar, Kasisi Mzee Mazuguni Ndahani.

Nafikiri nilishawahi taja hapa jamvini,huyu Mzee pia alikua ni Family friend wetu wa karibu mno. Ni Mkristo mtiifu na muadilifu mno,Msomi wa hali ya juu na mwenye kujua mengi mno.

Kwa kifupi kanijuza mengi na tulizungumza mengi mno kwa ustaarabu na utuvu kuhusu Kanisa Katoliki na Zanzibar...

Au wewe unataka kutuletea zile propaganda za Waingereza yakuwa wao kwa kushirikiana na Kanisa ndo walositisha ile "Atlantic Slave Trade" na kuwakomboa Watu Weusi/Watumwa!?

Nastaajabu,yaani kweli wewe Yericko ndo watu wa Pentagon walikufuata kwako Mbutu na mkafanza mazungumzo rasmi na wale State Depart Strategists...hivi mlikua mnazungumza/mnajadili utumbo gani!?

Lakini Wa-Amerika maskini siku hizi wako so desperate,wanaokota wehu wengi tu ili kuwafanzia kazi zao au kuwatumia kwenye makhanatha yoyote yale!

Ahsanta.

Cc;Ritz
 

Hapa sasa umerudi kwenye mstari! Juu ya Historia ya Zanzibar na mapito yake sasa tunaweza kuzungumza kwa lugha moja ndugu, ila nakuomba zingatia kuwa na adabu ya mjadala huu!

I'm coming soon.....!
 
CCM hapakaliki. Namuunga mkono The Big Show kutambua ukweli huo. Na gesi ya Mtwara haitatapeliwa na mtu.


Mzee Jasusi,

Mimi bado nakuheshimu mno. Jitahidi usiweke LIKE pale mtu anaponipa tuhuma zisizo na msingi,ati ya kwamba navunja sharia za Jf!?

Au imekuchoma kiduchu ndugu yangu,mimi kumwita Nicholas ni Kiongozi wa Chadema!? Kwani mtu kuwa Kiongozi wa Chadema ni tusi siku hizi!? Kwanini msichukulie kama ni compliment tu!?

Shariff Ritz anapoitwa yeye ni Kiongozi wa CCM hupenda na kufurahika mno.

Hivi unaufuatilia kweli huu mnakasha ndugu yangu!?

Natumai tanifahamu japo kiduchu.

Kuhusu hiyo hoja yako yakuwa CCM hapakaliki,yawezekana ni kweli. Lakini leo mkono ukangia mavi waukata au wausafisha na kuendelea kuwa mkonowo!?

Najua nyinyi Nyerere Clan nyoote mmepata khasira na ghadhabu nyingi kwa CCM,lakini najua ni makosa ya Rais Mkapa ndo alokukasirisheni!?

Mzee Butiku alizunguka nchi nzima kumnadi Mkapa,watu wengi walimuonya hakutaka kusikia asilan...sasa vipi leo mnageuka kusema CCM ni wabaya na hapakaliki!?

Hata Nyerere akifufuka leo,hivi kweli atapenda na kufurahika jinsi nyinyi wanafamilia kuzitupa nguvu zake zoote kuanzia TANU mpaka leo hii CCM!? Kwa kweli mmemuangusha mno "Baba yenu wa Taifa".

Kuna mengi ya kunena lakini kwa leo tuachie kwa hapa ndugu yangu.

Nakusihi niwie radhi kama kuna lolote nilonena nawe hukuridhia.


Ahsanta sana.


Cc;Ritz
 
Hapa sasa umerudi kwenye mstari! Juu ya Historia ya Zanzibar na mapito yake sasa tunaweza kuzungumza kwa lugha moja ndugu, ila nakuomba zingatia kuwa na adabu ya mjadala huu!

I'm coming soon.....!


Wewe Yericko,mtoto wa nje ya ndoa/mwanaharamu unaweza vipi kunifunza mimi adabu!?

Wewe ndo ujifunze lugha njema unapozungumza na wenzio! Ok!?

Tafadhali usirudie tena kunambia niwe na adabu...hilo kwenye mila na dasturi zangu ni tusi zito mno!
 
Hapa sasa umerudi kwenye mstari! Juu ya Historia ya Zanzibar na mapito yake sasa tunaweza kuzungumza kwa lugha moja ndugu, ila nakuomba zingatia kuwa na adabu ya mjadala huu!

I'm coming soon.....!

Taja kanisa limenunua ardhi Zanzibar wapi na kuwagawia watu siyo unaleta porojo tu.
 
Taja kanisa limenunua ardhi Zanzibar wapi na kuwagawia watu siyo unaleta porojo tu.


Hapo sasa inamlazim apige simu kwa hao virongwe walomtuma fitna hii, ili apate datas za urongo!ahaha!!

Akirejea Shariff Ritz kwa Ihsan yako naomba usikose kumuuliza ile Source..ooops I mean Sauce!ahaha!!

Yawaje leo "MwanaHistoria" aulizwe suali kiduchu tena la kipuuzi,ghafula katoweka mpaka akaulize pahala pengine!?ahaha!!
Huyu mtoto Yericko, Wallahi Maluuni saana!ahaha!!
 

Huyu hana anachojua zaidi ya porojo anatetea kitabu cha kivukoni hajui kimeandikwa lini wala waandishi waliondika hawajuhi, anakuambia Nyerere alikuwa ananuliwa nguo, viatu, pamoja na gari na Chifu Mariale lakini kwa bahati mbaya kina mzee Jasusi, wanameza tu hizi ngano za kijana wao ha haa ha! Lakini Mohamed Said, akisema Mshume Kiyate alikuwa anampa ofa Nyerere ya chakula pale sokoni kariakoo, jamvi lote linapiga kelele Nyerere anadhalilishwa.
 
Last edited by a moderator:



Mkuu Sideeq,

Salaam

Ningeomba umuulize Nicholas anajua nini maana ya fatwa kisheria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…