Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Ritz,
Chief Marealle hakuwahi kuwa mfadhili wa Nyerere. Actually he was not very enthusiastic about TANU. Ni Wachaga wa kawaida tu kama Aikaeli Mbowe, Nsilo Swai, Eliufoo na Lucy Lameck waliochangamkia harakati za TANU.
haha...hembu mwambie huyo Ritz....hao watu waliwajibika km wanachama na hivyo kupata stahiki zao..waliozidisha michango walizidisha kwa nafsi zao kwa chama TANU na si kwa Nyerere.Stori za kwenye pombe na magenge ya gahawa na dengelua si dili sana.
Sidhani km Nyerere alikuwa akipoke aufadhili hovyo hovyo..angefadhiliwa ktk nini?Lazim pawe na sababu ya fund raising kichama,chini ya waratibu wa chama, na hivyo zoezi likifanyika then Wawakilishi wa chama ktk hiyo mission wanakwenda...Sasa km issue ni waliochanga kingi in terms of cash and assets mbona ni kawaida sana kwa jamii.
Pia mkumbuke ktk hiyo michango kambona na Kawawa walikuwa ni washiriki wakubwa km si wakuu km mawaziri wakuu wengine.