Kuna hizi DATA zinawekwa hapa kuhusu Misaada ya Taasisi za kidini. Ila wengi wanasahau kuwa taaisi hizo zinasaidia watu wa aina zote. Mie si mwenyeji sana Tanzania ila huwa najisemea kwa hivi vilivyopo hapa kwetu SIKONGE.
Prof. Ibrahim Lipumba ambaye ni Muislaam, amesomea Middle School ya Mbirani iliyopo Sikonge ambayo ilikuwa chini ya Moravian hadi ilipotaifishwa kuwa ya Serikali na baadaye Mkapa kuirudisha kwa Moravian church. Huyu si mtu pekee aliyesomea hapo kwa sababu karibu Waislaam wasomi wote wa Sikonge, enzi hizo walipitia hapo hapo Mbirani.
Sikonge Hospital inatakiwa pia kupewa misaada na Serikali ila kwa sababu Serikali ya Tanzania hawana hela, wanaandika tu Data ambazo vibwengo wengine wanakuja hapa kuonyesha Mamilioni ambayo Wakristo wanapokea wakati ukweli hakuna kinachokwenda huko kwa sasa. Hizi Hospital zimekuwa zikitibu watu wa rangi zote kuanzia Weusi, Waarabu, Wahindi , Wazungu nk na watu wa dini zote na hata wasio na dini. Haijawahi kubagua kuwa wewe ni Mu-Islaam usijetibiwa hapa na wanafanya hivyo kwa sasa bila kupewa pesa walizoahidiwa na Serikali.
Kinauma zaidi inapofikia Jitu na umri wake mkubwa tu, bila AIBU linakuja hapa na kusema WAKRISTO WANAFAIDI. Huyu ukimsoma unaanza kufikiri kama ni Mwanaume kweli au shoga fulani hivi. Tunafaidi nini? Kuwatibu watu wote bure bila Serikali kuturudishia fehda zetu? Kuwasaidia Waislaam ambao kesho wakipona wanakuja hapa kuanza kututukana? Hivi Mtoto wa kiume huna hata tone la soni wewe?
You know what, hizo data zenu hazifai hata kuwa Toilet Papper. Kama hamuamini, basi nendeni hazina na mje na data kamili kuwa Moravian Church Hospital - SIKONGE mwaka jana wamepokea fedha kiasi gani. Ukiniletea kuwa wamepokea walau fedha ya mwezi mmoja ambayo ni Milioni 20 basi ntakuwa mtetesi wa Waislaam kuwa kweli wanaonewa.
Acheni kudanganya watu bana kwa data ambazo hazipo. Kama hospital fulani wanapokea basi hao kwa sababu kuna namna ambayo CCM na Waislaam pia wanafaidika na hasa wale vingunge ila hizi za walala hoi, hamna kitu.
GIVE ME GUN!!!!!