Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Wewe kila mtu akichambua hoja zako na kuziona hazina mashiko unamwambia ajaribu kuwa msomaji.

Watu wote wanafuatilia huu munakasha ndiyo wanapima hoja, Mohamed Said, kajishusha sana mpaka kufanya munakasha na wewe siyo kiwango chake.

Nakushauri tulizana vizuri kwa Mohamed Said, utavuna mengi ambayo hujawahi kukutana nayo kwenye anga za wasomi.

Hoja zako ni nyepesi sana ndugu yangu.

Kuwa na subira punguza jazba punguza viroja zama kwa Mohamed Said, utaibuka na elimu.

Teh teh teh...sio mchezo...elimu ya siku hizi inafundisha na mambo ya usultani?
 
1. kabla hatujaenda mbali zaidi aliyekujibu vibaya ni nani? bado kwanza hapa turekebishe hili jambo
2. kazi ya mungu huwezi kustaafu kwa katiba ya dini gani kama katoliki kifungu gani? (kumbuka neno kustaafu ni lako siyo langu)

mkuu wewe huwezi kuingia kwenye kanisa ndani kabisa nakuwatolea matamko wakatoliki wakati huijui katiba yao.

Naomba jibu kama Dr slaa ndiye aliekujibu vibaya, vinginevo nitakuunganisha na Mohamedi said anayemchafua hayati mwalim nyerere.

Niambie kama hayo mafundisho ya kurukia watu ndio kufuzu historia za mohamedi, Dr slaa hayupo hapa jukwanii vipi atukanwe?



Mkuu mie sijui chochote kuhusu katiba ya wakatoriki.

Kujua Dr Slaa alikuwa Padri wala haitaji kwenda shule.

Ninavyojua mie Padri ni kiongozi wa kanisa kwa wakatoriki.

Kazi Mungu hata siku moja huwezi kustaafu.
 

Siku zote mie nina utaratibu wangu ukiniuliza maswali ya kipuuzi lazima nikujibu majibu ya kipuuzi.

Wewe si mateka wa Dr Slaa kwa akili yako ilivyokuwa fupi unadhani Tanzania itatawaliwa na Padre.

mkuu achana naye huyu! ... atakupandisha jazba zisizo na lazima na kukutafutia ban! .... take him as one of those JF clowns
 
Hivi huko kwenu hamfundishwi adabu ya kutaja majina ya watu waliokuzidi umri huyu mzee ni mkubwa kuliko ww usimuite mohamed sema mzee mohamed said mbona dr slaa humuiti slaaunamuita DR SLAA

Himiza watoto wa wafamilia za Kiislamu kwenda shule za mfumo wa elimu DUNIA ili kupunguza malalamimiko yakesho ya kizazi cha elimu ya kiroho!
 
Siku zote mie nina utaratibu wangu
No one asked you, matter of fact, nobody cares.
ukiniuliza maswali ya kipuuzi lazima nikujibu majibu ya kipuuzi.
Kuna possibility wewe ndio mpuzi na sio swali uliloulizwa.
Wewe si mateka wa Dr Slaa kwa akili yako ilivyokuwa fupi unadhani Tanzania itatawaliwa na Padre.
Nafikiri u kipofu hujawahi kuona nikiwachana chademu humu ndani? Lakini why do i care to elaborate? Will it make any difference to your stupid thick skull?
 
Hivi huko kwenu hamfundishwi adabu ya kutaja majina ya watu waliokuzidi umri huyu mzee ni mkubwa kuliko ww usimuite mohamed sema mzee mohamed said mbona dr slaa humuiti slaaunamuita DR SLAA


Bokoharamu Adabu ni ipi Jina Ni Mohamedi Said au Mzee Mohamed said anapoenda benki au nje ya nchi na alipokuwa anasoma

elimu yake ya juu amekuwa akitumia lipi kati ya hayo mawili?

Narejea kejeri yako

quote_icon.png
By Boko haram
waeereze mkuu
quote_icon.png
By Boko haram



Ukishangilia mchango wa Ritz je hiyo kwako Adabu? inawezekena maana tafsiri tunatofautina.


wewe nikilaza kakojoe ukalale


quote_icon.png
By BashaDido

Kama kitabu hicho umeandika kwa ung'eng'e basi na wewe umeukubali mfumo kristo ila kama umekiandika kwa kiarabu basi
kweli wewe ni mpinga mfumo kristo....mfumo kristo ni kama maji' usipoyanywa basi utayakoga.


hujamsaidia Ritz kama ulivomshagilia akikashifu imani za watu wengine, tafadhali mzee wa adabu vipi mnawatolea matamko wakatoliki?


Amweleze nani? mwenzio anakashifu imani za watu wewe unashangilia

Bokoharam ujasili wa kuwaamulia na kuwasemea wakatoliki unatoka wapi? Nyinyi yanawahusu ya kanisani?

Naomba msaidie mwenzio kutufafanulia ili kesho mkitoa tamko tujuwe nanyinyi ni sehemu ya maamuzi ya kanisa.



quote_icon.png
By Boko haram
waeereze mkuu




Neno padri ni cheo katika kanisa katoliki na kwa imani ya wakatoliki padri haruhusiwi kuoa nasikitika kwanini umwite Dr W.P slaa padri wakati anamke/mchumba vyovyote?

b) Wewe ni mwislam vipi kujishughurisha na kanisa katoliki umepewa huo usemaji lini mkuu na mamlaka ya kuteuwa mapadri?

c) Yeye amekujibu vibaya nani? unataka kutuambia Dr W. P slaa ndiye aliyekujibu vibaya kama siyo yeye vipi umshabulie yeye?

Tanzania itatawaliwa na mtanzania yoyote awe mpagani, mkritu au mwislam kama ilivo sasa kwa kuzingatia uwezo wake.

Fahamu hakuna Cheo cha rais kama padri au shekhe kwenye katiba na katiba hairuhusu upuu huo.


Naomaba ufafanuzi mkuu wangu.
 
kulalama mda wote ni ishara ya udhaifu,itafikia mahala mtaweza kulalama hata vitu vya kipuuzi,haiwezekani kila kitu ukitizame kwa jicho la udini tu
 
<Mbona hoja zako Nyerere hazina mashiko wala mantiki? Bw Said anakupa kila kitu na ushahidi wewe unaropoka tu kihuni.Pia, kwa nini kuihusisha Somalia? Ni kwa sababu wataka kuonesha kuwa Waislamu ,naturally and inherently' hawasomi, hawapendi kusoma au hawawezi kuongoza Wizara au Idara za elimu? Umepata wapi dhana hiyo? Mbona hukuulizia juu ya nchi za Kiislamu zenye mifumo mizuri hata Wazungu huenda sasa kusoma huko, kama Emirates?


mkuu Sijali

Swali la kwanza nilikuuliza Nani kwazuia waislam kuwa na Mou yao, nikasema tukimaliza tutajzdili kwanini Mohamedi analalamikia MOU ya wakristo.


Kuhusu somalia tumetokea mabali agalia hapo chini tumetokea wapi, isitoshe kama wanahistoria hatuwezi kujifungia humu ndaniya Tanzania bila kuangalia mifumo mingine, ilikuwa fair nimekariri mara kadhaa baada ya kudadisi na kuijadili somalia tutaenda nchi zingine, Syria, Libya, DRc, afghanstan nk. halafu tulinganishe na hapa kwetu. Huwezi kujifunza kwamba kunamakosa au mafanikio ukiwa umejifungia ndani ya nyumba yako. Inakupasa kutoka nje ya nyumba yako, tembea kwa majirani ujifunze halafu upime ubora wa mafanikio yako au udhaifu wako kujirekebisha. Sasa utakuwa umeelewa tunaweza kuendelea tukianzia na swali la kwanza hapo juu.

karibu mkuu wangu.




quote_icon.png
By Mohamed SaidKitabu changu kinaitwa, ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika.''

Hakina uhusiano wowote na Somalia.
Kwa ajili hii ni vigumu kwangu kujibu maswali ya Somalia na Nyerere.





Ninakuulizen somalia na nyerere kwasababu waislam wa somalia wanamatatizo makubwa ya kijamii, kisiasa, kieliemu, afya nk

Nani mchawi maana hapa kwetu kwa mujibu wa hadithi zako ni Nyerere. (Tunaongelea matatizo ya waislamu na wanaowahujumu)

Watanzania (Waislam, wakristu pia wa imani zingine na wasio amini) wanamatatizo aghalabu si makubwa kama ya wasomali.

1. Kwanini useme waislam wa Tanzania ni hujuma za nyerere na kwanini wasiwe waislam wa somalia? kunatofauti ya uislam wa somalia na ule wa tanzania?



2. Ni mfumogani unaotawala somalia na kwanin na nani tumpe lawama kwa yanayoendelea?
 
Nimesoma maandiko ya ndugu yangu Mohamed Said aliyoyaweka katika kitabu chake akiitacho historia ya Uhuru upande wa Pili,

Katika maandishi yake ameonyesha wazi kulazimisha dunia iamini kuwa waislamu wamedhulumiwa katika historia ya Uhuru wa nchi hii,

Katika matakwa yake Mohamed Said anataka historia ya Uhuru ingetazama itikadi za kidini kwanza kabla ya kusimamia maudhui halisi ambayo ni Uhuru,

Nikubaliane nae kuwa historia ya nchi yetu inamapungufu na inahitaji masahihisho, lakini kwa hili la Mohamed si masahihisho bali ni upotoshaji mkubwa, Uchochezi na ni Uhaini kwa nchi.

Sipingi kusahihisha historia ya nchi hasa kama kuna mema yaliyoachwa lakini kupotosha na kuchochea kunatulazimisha tuhoji mamlamla za usalama wa nchi zimelala wapi?

Hivi tukisema kila mtu aingie katika historia ya uhuru wa nchi hii mbona itakuwa vurugu sana?
Leo tarehe 12/1/2013 tunaadhimisha mapinduzi matukufu ya Zanzibar, Mohamed Said anataka kutuaminisha kuwa Wanamapinduzi hawa wa Zanzibar waliwadhulumu waislamu wa Zanzibar na kuweka mfumo kristu anaodai upo au mfumo huo upo kwa Tanganyika tu?!

Juzi nimemuuliza maswali katika mjadala flani hapa, lakini majibu yake yamenifanya nijiridhishe kuwa Mohamed Said ni muhaini na mchochezi mkubwa wa nchi hii, Ameudhihaki Uislamu nchini na duniani kote,


Nilimuuliza hivi:

Naomba unijibu maswali haya kwaufasaha mwanazuoni Mohamed Said:

1) Uliathirika vipi kwa baadhi ya wazee waliopigania uhuru wa nchi hii kutokuwemo kwao katika histori ya nchi hii kama unavyodai?

2) Taifa na waislamu waliathirika vipi kwa baadhi ya wazee unaodai wewe walipigania uhuru wa nchi hii na hawamo katika historia?

3) Ulijuaje kuwa wazee hao walipigania uhuru ilihali hawapo katika historia stahiki ya nchi hii?

4) Unaposema historia ya uhuru wa nchi hii haiwakumbuki ama haiwatambui, ulitaka wakumbukwe katika maandishi ya vitabu au katika nyaraka za serikali za historia ya uhuru wetu?

5) Unatambua kuwa historia ya nchi yoyote ile duniani huwa wapi?

6) Upeo wako umegota kwenye historia ya waislamu wa Tanganyika na Nyerere tu, au historia ya waslamu duniani kote? Kama ndivyo, je matatizo ya waislamu wa Nigeria, Somalia, Sudani, nk Nyerere ndiye kayapeleka?

7) Je ulichokiandika ni historia ya Uhuru wa Tanganyika au ni historia ya baadhi ya Waislamu wa Tanganyika na mapito yao kisiasa?

8) Kwanini unaulazimisha umma kwa maandishi yako uamini kuwa ulichoandika ndio historia sahihi ya Uhuru wa Tanganyika?

9) Je ni kweli Mohamed Said huwajui na huwatambui wale wazee 17 waliosimama kidete kudai uhuru wa nchi yetu? Je wote walikuwa wakrstu?

Naomba majibu ili tujenge hoja mpya yamjadala huu kwa mafaa ya taifa letu!

MAJIBU YA Mohamed Said

1) Nimeathirika kwa kuona wazee wangu hawamo katika historia kwa hiyo hawatakuwamo katika kumbukumbu kama mashujaa wazalendo waliopigana kuung'oa ukoloni Tanganyika.

2) (Hilo la taifa sina haki ya kulijibu watajibu wenyewe wenye mamlaka mimi nitawajibia Waislam). Kizazi kijacho hakitajua ushujaa wa Waislam katika kupinga dhulma kama moja ya mafunzo ya Allah. Pili hawatajua nguvu iliyokuwapo katika Uislam Tanganyika katika karne ya 20 nguvu iliyopelekea kupigana na Wajerumani katika vita vya Maji Maji 1905.

3) Babu yangu Salum Abdallah alikuwa katika African Association na TANU na aliongoza mgomo (general strike) ya 1947 Tabora na 1953 yeye na wenzake walifanya mkutano wa mwisho na wa siri wa TAA kutayarisha mjumbe Germano Pacha kuhudhuria kuasisiwa kwa TANU Dar es Salaam 7 Julai 1954. Juu ya haya alikuwa mmoja wa wafadhili wa chama. 1955 aliasisi Tanganyika Railway African Union (TRAU) akiwa mwenyekiti wa kwanza. 1960 aliongoza mgomo wa Railway uliodumu siku 82. Huu hadi leo umebaki mgomo wa kihistoria hawajaweza wafanyakazi kugoma kwa miezi 3.

4) Nilitegemea Nyerere angeliwaadhimisha katika uhai wake angalau kwa kuwataja au kuwapa heshima zao stahiki lakini akawa anakebehi juhudi za TAA na kufikia kusema kuwa hakumbuki Abdulwahid Sykes alikuwa na nafasi gani katika chama yeye alipoingia TAA Dar es Salaam mwaka 1953. (Nikawa na taarifa nyingine kuwa hakuwa anapenda Waislam wahisishwe na juhudi za kuikomba Tangnayika au yeye binafsi kuhusishwa na Abdu Sykes, Kiyate Mshumi, Sheikh Hassan bin Amir, Sheikh Suleiman Takadir na wengine wengi.) Kabla ya kustaafu alitoa medali 3, 979 kuwaadhimisha Watanzania walioifanyia makubwa nchi yetu. Hata mmoja katika wale waliopigania uhuru wa Tanganyika alikuwa katika ile orodha.

5) (Sijalielewa swali labda unifafanulie).

6) Najua mengi kiasi changu katika historia ya Uislam duniani lakini kitabu changu ni kuhusu Waislam wa Tanganyika.

7) Nilichoandika ni historia ya uhuru wa Tanganyika na mchango wa Waislam katika vita ile. Jina la kitabu linajieleza.

8) Huwezi kulazimisha watu sina uwezo huo nilichoandika ni historia ya wazee wangu wakati wa kupigania uhuru. Halikadhalika sina uwezo wa kulazimisha vyuo vinialike. Naalikwa kwa kuwa wameona watanufaika na elimu yangu katika somo hilo.

9) Nawatambua wote 17 na najua hadi historia zao. Kuna wengine walistahili wawepo katika ile orodha ya waasisi wa TANU lakini hakuwapo kwa kuwa mkutano usingeweza kuhudhuriwa na kila mtu. Mfano Sheikh Hassan bin Amir, Dk. Michael Lugazia, Ali Migeyo, Hamza Mwapachu na wengine wengi.



Lakini maswali mengine yamsingi yaliulizwa na wadau wengi kama Nguruvi3, Mwanakijiji na moja lililonivutia lilikuwa hili hapa chini:


By adolay:


Ninakuuliza somalia na nyerere kwasababu waislam wa somalia wanamatatizo makubwa ya kijamii, kisiasa, kieliemu, afya nk

Nani mchawi maana hapa kwetu kwa mujibu wa hadithi zako ni Nyerere. (Tunaongelea matatizo ya waislamu na wanaowahujumu)

Watanzania (Waislam, wakristu pia wa imani zingine na wasio amini) wanamatatizo aghalabu si makubwa kama ya wasomali.

1. Kwanini useme waislam wa Tanzania ni hujuma za nyerere na kwanini wasiwe waislam wa somalia? kunatofauti ya uislam wa somalia na ule wa tanzania?

2. Je katika historia yako ufahamu wako umegota Tanzania kwa hayati JK Nyerere peke yake? kama ndivyo nini ubora na ufahamu wako kujisifu mwanahistoria makini kama sio mbabaishaji?

Tafadhali rejea maswali kutushawishi kwamba wewe ni mkweli na kashifa zako dhidi ya Nyerere ni uwongo na majungu.

Tuanze na Somalia, nataka usome swali uelewe ujibu kama nilivyouliza sio kuniwekea hadithi za maandishi zisizoakisi maudhui ya swali.

1. Nani amewahujumu/aliwahujumu wasomali na uislamu wa somalia mpaka wamefikia hapa walipo je? ni nyerere

2. Ni mfumogani unatumika katika kuitawala somalia kiasi kwamba wamefika hapo walipo ilituutupie lawama

a) Mfumo kristo ndiyo maana wamefika hapo walipo

b) Mfumo islam, mahakama ya kadhi nk

c) hufahamu nakama hufahamu nini mtazamo wako.

Ninakuuliza maswali haya lengo nikutaka kuujuwa ukweli wa pengine Nyerere huyu pia yupo somalia, afghanistan, pakistani, lebanon, syria, libya nk nakwamba machafuko yote yanayoendelea huko ni hujuma za Nyerere na mfumo kristo kama unavyowapotosha watanzania na kuwachochea!

Naomba majibu ya maswali yangu hapo juu kuthibitisha kwamba wewe sio mchochezi na mchonganishi wa waislamu na wakristo kwa kubuni vitu visivokuwepo.

Mohamed Said, baada ya utangulizi huo narejerea maswali yangu ya jana kwa ufafanuzi. Angalizo jibu maswali kama yalivyoulizwa na sio siasa au funika kombe mwanaharamu apite kwa nukuu za maandishi zisizobeba maana wala majibu ya hayo maswali




MAJIBU YA MOHAMED SAID:

quote_icon.png
By Mohamed Said

Umeingiza mambo mengi sana.
Kuna Zanzibar, elimu ya Waislam, matokeo mabaya ya shule za Kiislam, kuchinja.

Itakuwa tabu kufanya mjadala uliokuwa hauna mwelekeo ulionyooka.

Lakini kwa mukhtasari ukitaka historia ya Zanzibar na maendeleo yake itabidi tuanza kwa kuvamiwa
kwa Zanzibar na jeshi mamluki la Wamakonde kutoka Kipumbwi wakifadhiliwa na utawala wa Nyerere.

Kuanzia hapa tutaingia katika tatizo la Muungano na kwa nini leo Wazanzibari wanadai nchi yao.

Kuhusu elimu ya Waislam itatubidi tuje katika njama za Nyerere kuhujumu chuo kikuu cha Kiislam
kilichokuwa kijengwe Dar es Salaam mwaka 1968 na jinsi alivyotumia uongo na ghilba kuvunja EAMWS
na kuunda taasisi kibaraka BAKWATA.

Vipi shule za Waislam hazifanyi vyema inabidi tuje katika hujma ya NECTA kwa wanafunzi wa Kiislam na
tuupitie waraka wa marehemu Prof. Malima kuhusu yale aliyoyakuta Wizara ya Elimu mwaka 1987.

Wizara ya Elimu na NECTA vimegeuzwa vigango vya kanisa.

Kubwa zaidi ni kuwa Waislam kwa muda mrefu hatukuruhusiwa kujioganaizi nje ya BAKWATA kibaraka
wa serikali.

Makanisa mnaendelea kwa kupendelewa na serikali iliyojaza watendaji Wakristo sisi tungepewa hayo
mabilioni ya MoU kati ya Makanisa na Serikali tusingekuwa kama hivi.

Yapo mengi sasa chagua tuanze na lipi katika hayo hapu juu niliyokugusia.

Wajerumani waliwaweka Wayahudi katika ghetto kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.
Kwenye ghetto hakuna maji wala misala sasa watu wafanyeje?

Mnatusimanga kwa hospitali mnazoendesha kwa hela ya kodi ya serikali kodi inayolipwa na raia
wote.

Tunabanwa na mfumokristo kisha mnatulaumu hatuna maendeleo







Mohamed said

katika pita pita zangu nimekutana na post yako hii ya tare 4 January 2013 #914

Umeongelea kunyanyaswa kwa waislamu katika elimu ni njama ya JK Nyerere - Elimu ya somalia ipo taabani sana na Nyerere hayupo huko

Nakwamba Nyerere alitumia uongo na ghilba kuvunja EAMWS - lakini ghilba wala uongo wa nyerere haupo Somali na inateketea vibaya

Necta imegeuka vigango vya kanisa - Somalia haina vigango vya makanisa katika taasisi zake hususani elimu lakini ipo taabani

Serikali imejaza wakristo kwa upendeleo na kuwaacha waislam - Somalia serikali takribani yote ni waislam hakuna maendeleo

Wakristo
wanawasimanga kwa hospitali zilizo jengwa kwa kodi ya watanzania- wasomali pia wanatoa na kukusanya kodi hakuna afya bora, elem wala siasa safi!

Waislamu wanabanwa na
mfumo kristo
- Somalia kuna mfumogani unaowabana wasiendelee



Nimessoma tena mtiririko wa maswali yako uliyomsaili Mohamed nikagundua wewe si msomi wala mwana fikra. Unauliza alidhurika vipi na kutotajwa kw wazee fulani katika historia ya uhuru! Kwani suala ni kudhurika mtu binafsi au ni kuweka sawa historia? Mimi binafsi sintadhurika chochote kama historia haitawataja watu kama Mkwawa, Mandela, Churchil, Hitler n.k. lakini historia itakuwa pungufu.
Halafu yaelkea una mentality ya zamani unapolaumu kwa nini usalama wa taifa au security wa nchi hawamchukulii hatua Mohamed! Yaani karne hii ya 21 bado unafikiria ki-polisi polisi kwa vile mtu anatoa maoni yake juu ya historia? Ama kweli wewe bado uko maguguni. wafikiri hizi bado ni zama za wajina wako Nyerere aliyeanzisha 'the first police state in Tanzania' ambayo hadi leo inaende Amka, wakati umesogea. Haidhuru sisemi kila alichokifanya ni kibaya, kwa kweli Nyerere amefanya mengi mazuri, isipokuwa demokrasia!
Na mwishowe nanukuu: 'Somalia kuna mfumo gani unaowabana wasiendelee'
Kwanza nataka kukuambia, maana katika kutokujua kwako waona Wasomali ndio wa mwisho duniani. Actually, Wasomali are some of the most intelligent Africans, na pindi matatizo yao ya vita yakiisha, wanaweza kabisa kutawala Kenya, tanzania na Uganda!
Huku Ulaya wameshikilia biashara chungu nzima kwa muda mfupi tu, kiasi internet cafe 80% za London zamilikiwa na Wasomali. Dijui unataka kutoa ushahidi gani kuwa Wasomali kwa vile ni Waislamu hawaendelei au wanakorofishana. Kama ni vita, Liberia imekuwa vitani zaidi ya miaka 20. Liberia ni 95% Wakristo, pia Sierra Leone, DRC n.k.
Usiseme kitu usichojua na wala usichanganye maudhui- hiyo ni dalili ya ukosefu wa elimu.
 
Hapa Dar DVD hizo zinauzwa kwingi sana:

Msikiti wa Mtoro Kariakoo
Msikiti wa Ibadh Ilala
Msikiti Ngazija Mkwepu Street
Masjid Riadha, Moshi
Msikiti Mkubwa, Bondeni Arusha
Kwa Mazrui, Tanga
Takriban nchi nzima kwenye misikiti utazikuta bei ni kati ya shs 3000 - 5000

Sina cha kuongeza katika somo hilo.
Bingwa wake ni Sheikh Ilunga Kapungu

Tangu wakati ule hadi sasa nilikuwa najaribu kuangalia movie clips kwenye youtube za Sheikh Kapungu (kwa sasa sipo Tanzania, na inshaalah siku nikirud nitatafuta hizo DVD).
Pia nimepata kuangalia clips za kwako ulipokuwa ukitoa mhadhara (nadhani ni UDSM kama sijakosea)
Kwa ufupi ni kuwa kwa video za Kapungu nilizoona, naweza kuchukua maneno yako (uliyoiita historia ya TANU ambayo Nyerere aliagiza iandikwe) kuwa 'hamna kitu'. Hamna kitu kwa sababu clips zote nilizoona (kongamano la Tabora, Kongamano la Pemba, pamoja na nyingine ambayo sikutambua ilikuwa wapi), Sheikh Kapungu anasisitiza tu kuwa nafasi zote za uongozi wa nchi zimeshikwa na wakristo (75%), na waisalmu wasiojitambua (25%) ambao wanafanya kila wanaloweza kuwadhulumu waislamu na kuwapendelea wakristo wenzao. Nimemsikiliza kote aweze kutoa vielelezo kama ushahidi lakini hajafanya hata kujaribu hivyo. Nikiangalia na jinsi mimi ninavyoona hali halisi, kwa kuangalia tu eneo langu la kazi, nimeona kuwa hoja ya Sheikh Kapungu ni propaganda tupu na zisizo na msingi.

Hata hivyo, kwenye presentation yako, nimevutiwa na jinsi ulivyokuwa unaweka ushahidi wa maandiko, na zaidi wa watu uliohojiana nao ambao inaonyesha walikuwa wanajua mambo mengi. Hata hivyo, kwa maoni yangu, hujamtendea haki mtu yeyote ambaye yuko huru na hafungamani na dini yeyote;
Je, ni kwa nini katika investigations zako hukuenda kumhoji Mwl Nyerere?
Je, Ni kwa nini katika investigations zako hukuenda kumhoji Kawawa? (inawezekana uliowahoji walikuwa na information zaidi, lakini angalau hawa wangekuwa na balancing ya namna fulani

Pia, kuna mambo ambayo nilidhani ungeweza kuyahusisha katika vitabu vyako, sina uhakika kama umeyahusisha (kwa mujibu wa mihtasari ulokuwa unatoa kwenye mhadhara ule)
Mfano, kama historia ya uhuru haiwezi kukamilika bila kutajwa harakati za waislamu, je historia hiyo itakamilika bila kutajwa harakati za wakristo (kama walikuwepo)?
Unasema, baada ya uamuzi wa busara, "Nyerere aliwaleta baadhi ya waafrika waliokuwa wamesoma kushika nafasi katika TANU, na hapo ndipo waislamu mlipopoteza nguvu zenu, na hamjazirudusha tena hadi sasa". Je, ni watu gani hao aliowaleta Nyerere, na walikuwa wapi kabla ya hapo?
Kama busara iliyotumika wakati wa kura tatu iliamuliwa ili kunusuru TANU iligawanyike kati ya waislamu na wakristo, je hawa wakristo (ambao hukuwataja katika historia hapo nyuma), walikuwa na idadi gani (au %), katika TANU, na ukiacha Nyerere, wao walikuwa na mchango gani katika kuiendesha TANU. Ni kwa nini kugomea kura tatu kungewabagua waislamu peke yao, wakati naamini hata wakristo nao walikuwepo wengi wakati ule ambao hawakusoma?

Kwa maoni yako, unadhani nini kifanyike sasa kuondoa dhana ya udini inayozidi kushika kasi Tanzania? (Kama hujashuhudia kwabahati mbaya sasa imefika mahali baadhi ya wayendaji wa serikali wanatoa huduma kwa kuangalia jina la mhudumiwa. Kwa mfano, nimekutana na case kadhaa kwenye chuo ninachofanya kazi za wanafunzi kuhisi kutotendewa haki kwa sababu ya kuwa dini tofauti na walimu wao) Haya ni mambo ambayo miaka kadhaa nyuma, kwa sisi vijana hatukuwahi kuyaona (kama yalikuwepo labda kisiri sana). Lakini, ndani ya miaka miwili iliyopita kumezuka hisia kali sana za udini miongoni mwetu. Nini maoni yako, na unadhani nini kifanyike?
 
mkuu Sijali

Swali la kwanza nilikuuliza Nani kwazuia waislam kuwa na Mou yao, nikasema tukimaliza tutajzdili kwanini Mohamedi analalamikia MOU ya wakristo.


Kuhusu somalia tumetokea mabali agalia hapo chini tumetokea wapi, isitoshe kama wanahistoria hatuwezi kujifungia humu ndaniya Tanzania bila kuangalia mifumo mingine, ilikuwa fair nimekariri mara kadhaa baada ya kudadisi na kuijadili somalia tutaenda nchi zingine, Syria, Libya, DRc, afghanstan nk. halafu tulinganishe na hapa kwetu. Huwezi kujifunza kwamba kunamakosa au mafanikio ukiwa umejifungia ndani ya nyumba yako. Inakupasa kutoka nje ya nyumba yako, tembea kwa majirani ujifunze halafu upime ubora wa mafanikio yako au udhaifu wako kujirekebisha. Sasa utakuwa umeelewa tunaweza kuendelea tukianzia na swali la kwanza hapo juu.

karibu mkuu wangu.




quote_icon.png
By Mohamed SaidKitabu changu kinaitwa, ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika.''

Hakina uhusiano wowote na Somalia.
Kwa ajili hii ni vigumu kwangu kujibu maswali ya Somalia na Nyerere.





Ninakuulizen somalia na nyerere kwasababu waislam wa somalia wanamatatizo makubwa ya kijamii, kisiasa, kieliemu, afya nk

Nani mchawi maana hapa kwetu kwa mujibu wa hadithi zako ni Nyerere. (Tunaongelea matatizo ya waislamu na wanaowahujumu)

Watanzania (Waislam, wakristu pia wa imani zingine na wasio amini) wanamatatizo aghalabu si makubwa kama ya wasomali.

1. Kwanini useme waislam wa Tanzania ni hujuma za nyerere na kwanini wasiwe waislam wa somalia? kunatofauti ya uislam wa somalia na ule wa tanzania?



2. Ni mfumogani unaotawala somalia na kwanin na nani tumpe lawama kwa yanayoendelea?

Aaah, sasa nimekufahamu. Kwa kifupi unataka kusema matatizo ya Somalia chanzo chake ni Uislamu. Kama hapo ndipo ulipofikia upeo wa fikra zako, mimi sina la kuongeza, maana katika mjadala wowote ambao ni constructive kuna sharti zake. Kwanza, pande zote mbili zipatane juu ya misingi ya kimantiki kama vile 1+1=2. Huwezi kujadili na mtu anayesema 1+1= 3!
 
The politics of naming. Hivi udni maana yake nini hasa na nani asiyekuwa mdini?
 
Aaah, sasa nimekufahamu. Kwa kifupi unataka kusema matatizo ya Somalia chanzo chake ni Uislamu. Kama hapo ndipo ulipofikia upeo wa fikra zako, mimi sina la kuongeza, maana katika mjadala wowote ambao ni constructive kuna sharti zake. Kwanza, pande zote mbili zipatane juu ya misingi ya kimantiki kama vile 1+1=2. Huwezi kujadili na mtu anayesema 1+1= 3!

Heasabu ni somo jepesi sana na bado ukweli hujitofautisaha hata kama kunamkanganyiko.


2x2=4 na 2+2 =4, 3+3 = 6 lakini 3 x 3 = 9 njia pekee ya kuujuwa ukweli ni kuthibitisha (to prove why 2x2 and 2+2 have the

same solution while contradicting the solution to 3+3 and 3X3 to be different)



mraba 2x2 jibu ni 4 na ukijulisha 2+2 jibu ni 4
[TABLE="align: left"]
[TR]
[TD]1
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
2
[/TD]
[TD]
4
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]










kumjulisha itakuwa hivi


2 + 2 = 4

( 1+1 ) + (1+1) = 4



mraba wa 3 x 3 jibu 9 siyo 9 kama ilivo kwa 2 x2 na 2+2 jibu ni 4


1

2

3

2

4

6

4

8

9



Kujumlisha 3+3 jibu ni 6 siyo 9 kama ilivo hapo chini

3 + 3 = 6

(1+1+1+1) + (1+1+1) = 6


Baada ya kuona hesabu zinavyoweza kubanisha ukweli hata palipo na mkanganyiko naomba ubainishe sintofahamu yako kwa kurejea maswali yangu tumia hesabu kama ulivo anza na hata siku moja 1+1 haiwezi kuwa 3 nawewe unafahamu hivyo

vinginevo wataalamu wa hesabu waje na taaluma tofauti katika ulimwengu mwingine sio huu.


quote_icon.png
By adolay
mkuu Sijali

Swali la kwanza nilikuuliza Nani kwazuia waislam kuwa na Mou yao, nikasema tukimaliza tutajadili kwanini Mohamedi analalamikia MOU ya wakristo.


Kuhusu somalia tumetokea mabali agalia hapo chini tumetokea wapi, isitoshe kama wanahistoria hatuwezi kujifungia humu ndaniya Tanzania bila kuangalia mifumo mingine, ilikuwa fair nimekariri mara kadhaa baada ya kudadisi na kuijadili somalia tutaenda nchi zingine, Syria, Libya, DRc, afghanstan nk. halafu tulinganishe na hapa kwetu. Huwezi kujifunza kwamba kunamakosa au mafanikio ukiwa umejifungia ndani ya nyumba yako. Inakupasa kutoka nje ya nyumba yako, tembea kwa majirani ujifunze halafu upime ubora wa mafanikio yako au udhaifu wako kujirekebisha. Sasa utakuwa umeelewa tunaweza kuendelea tukianzia na swali la kwanza hapo juu. kisha tutapitia mifumo ya nchi tofauti tofauti ilikujiridhisha na mfumo wetu.


karibu mkuu wangu. kwanini ulalamike ikiwa wewe pia umepewa fursa na huitumii.
 
Mkiambiwa ukweli mnaita Uchochezi....
Hili neno limekuwa kama ngao kwenu .....
 
Tangu wakati ule hadi sasa nilikuwa najaribu kuangalia movie clips kwenye youtube za Sheikh Kapungu (kwa sasa sipo Tanzania, na inshaalah siku nikirud nitatafuta hizo DVD).
Pia nimepata kuangalia clips za kwako ulipokuwa ukitoa mhadhara (nadhani ni UDSM kama sijakosea)
Kwa ufupi ni kuwa kwa video za Kapungu nilizoona, naweza kuchukua maneno yako (uliyoiita historia ya TANU ambayo Nyerere aliagiza iandikwe) kuwa 'hamna kitu'. Hamna kitu kwa sababu clips zote nilizoona (kongamano la Tabora, Kongamano la Pemba, pamoja na nyingine ambayo sikutambua ilikuwa wapi), Sheikh Kapungu anasisitiza tu kuwa nafasi zote za uongozi wa nchi zimeshikwa na wakristo (75%), na waisalmu wasiojitambua (25%) ambao wanafanya kila wanaloweza kuwadhulumu waislamu na kuwapendelea wakristo wenzao. Nimemsikiliza kote aweze kutoa vielelezo kama ushahidi lakini hajafanya hata kujaribu hivyo. Nikiangalia na jinsi mimi ninavyoona hali halisi, kwa kuangalia tu eneo langu la kazi, nimeona kuwa hoja ya Sheikh Kapungu ni propaganda tupu na zisizo na msingi.

Hata hivyo, kwenye presentation yako, nimevutiwa na jinsi ulivyokuwa unaweka ushahidi wa maandiko, na zaidi wa watu uliohojiana nao ambao inaonyesha walikuwa wanajua mambo mengi. Hata hivyo, kwa maoni yangu, hujamtendea haki mtu yeyote ambaye yuko huru na hafungamani na dini yeyote;
Je, ni kwa nini katika investigations zako hukuenda kumhoji Mwl Nyerere?
Je, Ni kwa nini katika investigations zako hukuenda kumhoji Kawawa? (inawezekana uliowahoji walikuwa na information zaidi, lakini angalau hawa wangekuwa na balancing ya namna fulani

Pia, kuna mambo ambayo nilidhani ungeweza kuyahusisha katika vitabu vyako, sina uhakika kama umeyahusisha (kwa mujibu wa mihtasari ulokuwa unatoa kwenye mhadhara ule)
Mfano, kama historia ya uhuru haiwezi kukamilika bila kutajwa harakati za waislamu, je historia hiyo itakamilika bila kutajwa harakati za wakristo (kama walikuwepo)?
Unasema, baada ya uamuzi wa busara, "Nyerere aliwaleta baadhi ya waafrika waliokuwa wamesoma kushika nafasi katika TANU, na hapo ndipo waislamu mlipopoteza nguvu zenu, na hamjazirudusha tena hadi sasa". Je, ni watu gani hao aliowaleta Nyerere, na walikuwa wapi kabla ya hapo?
Kama busara iliyotumika wakati wa kura tatu iliamuliwa ili kunusuru TANU iligawanyike kati ya waislamu na wakristo, je hawa wakristo (ambao hukuwataja katika historia hapo nyuma), walikuwa na idadi gani (au %), katika TANU, na ukiacha Nyerere, wao walikuwa na mchango gani katika kuiendesha TANU. Ni kwa nini kugomea kura tatu kungewabagua waislamu peke yao, wakati naamini hata wakristo nao walikuwepo wengi wakati ule ambao hawakusoma?

Kwa maoni yako, unadhani nini kifanyike sasa kuondoa dhana ya udini inayozidi kushika kasi Tanzania? (Kama hujashuhudia kwabahati mbaya sasa imefika mahali baadhi ya wayendaji wa serikali wanatoa huduma kwa kuangalia jina la mhudumiwa. Kwa mfano, nimekutana na case kadhaa kwenye chuo ninachofanya kazi za wanafunzi kuhisi kutotendewa haki kwa sababu ya kuwa dini tofauti na walimu wao) Haya ni mambo ambayo miaka kadhaa nyuma, kwa sisi vijana hatukuwahi kuyaona (kama yalikuwepo labda kisiri sana). Lakini, ndani ya miaka miwili iliyopita kumezuka hisia kali sana za udini miongoni mwetu. Nini maoni yako, na unadhani nini kifanyike?

Kisa cha kumhoji Nyerere ni kisa kitamu sana.
Kwanza nikufahamishe.

Swali la historia ya TANU na uhusiano wa Nyerere na Abdulwahid kwake kilikuwa kitu nyeti.
Waliokuwa karibu na Nyerere wanalijua hili.

Si unaona hapa jinsi moto unavyowaka ninapoeleza kisa cha Nyerere na Abdu Sykes?
Hii ndiyo leo 2013.

Jiulize 1970s hali ilikuwaje.

Toleo zima la African Events (London) March/April 1988 lilikusanywa kwa kuwa lilimtaja Abdulwahid Sykes
kama muasisi wa TANU.

Wakati wa kutoa medali kabla Nyerere hajastaafu urais mwaka 1985 Mwenyekiti wa Kamati ya kutunuku medali baada ya kuona Abdulwahid hayumo pamoja na wengi waliompokea Nyerere Dar es Salaam 1952 wakawanae katika kupigania uhuru alimuuliza kuhusu hilo.

Naogopa hata kukupa habari zaidi.
Maelezo ya hapo juu yakutoshe.

Nyerere alitoa medali 3979.
Mzee wangu hata mmoja akupewa.

Abdu Sykes kaja kupewa medali katika kumbukumbu ya miaka 50 ya uhuru 2012.

Tuendelee.

Jopo la kuandika historia ya TANU la Chuo cha Kivukoni kililetewa ''notes'' za Abdulwahid Sykes
kuhusu kuasisi TANU.

''Notes'' hizo zilikataliwa jopo na Abdu Sykes akaondolewa katika kitabu.

Sasa kabla ya hapo kulikuwa na mradi wa kuandika historia ya TANU mara tu baada ya uhuru.
Nyerere akahujumu mradi kwa kuwa hakupendezewa na yeye yale yaliyokuwa akiandika Abdu.

Kutokana na hayiu mimi nikawa najua kuwa somo hili ni nyeti kwa Nyerere na sikuwa kwa kweli na haja ya kutaka kumhoji.

Lakini.
Tena narudia lakini.

Mmoja wa watoto wa rafiki yake Nyerere na vilevile ni mtoto wa rafiki yake Abdu akanambia lazima nifanye
mahojiano na Nyerere na yeye akachukua jukumu la kunipangia miadi.

Nimesubiri mpaka leo hakurudi kunipa mrejesho kaambiwa nini na Nyerere.
Na mimi hadi leo sijataka kumuuliza.

Lakini tena.
Kilipotoka kitabu Nyerere alikisoma na wengi walimuomba na yeye aandike.

Humu katika ukumbi nimeeleza khabari za Prof. Haroub Othman na Nyerere kuhusu kitabu changu.
Pitia hizo nyuzi.

Kuhusu Kawawa.
Kaandikiwa vitabu viwili.

Hamna kitu.
Kimoja ''Simba wa Vita'' nimekifanyia ''review'' magazeti yote wamekataa kuchapa ''review'' yangu.

Wanaukumbi ikiwa mtapenda naweza nikakuwekeeni hapa hiyo ''review.''

Napenda kukufahamisha sikuwa natafuta ''balancing'' yoyote.
Mimi nilikuwa naandika habari za wazee wangu.

Watu ninaowajua vizuri sana tena sana.

Sikuhitaji msaada wa mtu baki kuwaeleza au kuyaeleza yale yaliyowafika
wazee wangu baada ya uhuru kupatikana mwaka 1961.

Umeuliza habari za baada ya Kura Tatu na watu waliokuwa nje ya TANU Nyerere
akawaleta kushika uongozi.

Umeniuliza kuhusu Wakristo katika harakati za kudai uhuru.
Kanisa Katoliki Jimbo la Kusini lilikuwa linawakataza Wakristo kujiunga na TANU.

Habari nyingine ulizoniuliza tuziache.

Nakuomba soma habari hizo katika kitabu changu.
 
Back
Top Bottom