Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Nyie mambo haya hamyajui kwa sababu mambo yenu yote ''have been taken care of.'' Sisi tumehangaika kuyajua kwa sababu tunajiuliza iweje sisi tuwe hivi ilhal ni wazee wetu walipigania uhuru wa nchi hii kuondoa dhulma? Ndiyo maana nyie hamtaki hata kusikia Mshume Kiyate akitajwa au Jumbe Tambaza au Sheikh Hassan bin Amir. Watu muhimu katika historia lakini mmekaa maisha yenu yote hamna habari zao.
Kweli unafikiri wakristu wa Tanzania wamekuwa 'taken care of'? Really?
Sasa hebu soma hapo umsikie Sivalon anasema nini:
The second book is by Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, [1] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam. Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects. First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam. The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa. The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.[2]
[1] John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, (Ndanda, 1992).
[2]Ibid. p 37.
Ndio maana tunakukatalia; hapa hujaweka alichosema Sivalon; umeweka review ya mtu mwingine kuhusu kitabu cha Sivalon...