Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Nyie mambo haya hamyajui kwa sababu mambo yenu yote ''have been taken care of.'' Sisi tumehangaika kuyajua kwa sababu tunajiuliza iweje sisi tuwe hivi ilhal ni wazee wetu walipigania uhuru wa nchi hii kuondoa dhulma? Ndiyo maana nyie hamtaki hata kusikia Mshume Kiyate akitajwa au Jumbe Tambaza au Sheikh Hassan bin Amir. Watu muhimu katika historia lakini mmekaa maisha yenu yote hamna habari zao.

Kweli unafikiri wakristu wa Tanzania wamekuwa 'taken care of'? Really?


Sasa hebu soma hapo umsikie Sivalon anasema nini:

The second book is by Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, [1] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam. Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects. First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam. The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa. The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.[2]

[1] John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, (Ndanda, 1992).

[2]Ibid. p 37.

Ndio maana tunakukatalia; hapa hujaweka alichosema Sivalon; umeweka review ya mtu mwingine kuhusu kitabu cha Sivalon...
 
naam shekhe...!
Wanipa raha sana,mnakasha ukipotea wewe waurudisha kwenye track,,
yan wakisima nchale wakikaa nchalee..!
Yani hoja kwa hoja,bali wengi wao si wenye kuutaka ukweli,ila wewe wape tuh kwa manufaa ya wengi.
Nina hakika wewe hata ukweli ukikuchungulia usoni hutauona wala kuutambua na kwenye mjadala huu naona hata pale ukweli unapokugongea hodi, hata kuufungulia hutaki. Nawapa ushauri mashabiki wa Mohamed Said mkae pembeni mshuhudie simulizi zake za kichochezi na za kuungwaungwa zinavyokosolewa. Msiwe kama mashabiki wanaomsifia mfalme kwa umaridadi huku anatembea mtupu, sana sana mshaurieni achutame.
 
Tunajiifunza mengi sana hapa.

Kwanza naona tofauti kubwa ipo kati kinachosimamiwa, katika kufuatilia hoja nimeona MS ameegemea upande wa imani yake na kundi jingine limeegemea katika uTaifa.

Sidhani kuwa hoja za MS zimetokea hewani kuna ukweli japo jinsi unavyowasilishwa unawaza tia shaka hapa na pale, katika historia ya kanisa katoliki kuna mengi machafu yamewahi kufanyika aidha kwa jina la kanisa(kutetea/kueneza) au kutokana na akili za viongozi wa wakati huo. yeyote anayejiona kuwa mhanga wa hayo haitakuwa ajabu akiwa na msimamo mkali dhidi ya kanisa

Sidhani kama MS anakosea kuamini anachoamini kuegemea imani yake lakini nafikiri anakosea kuunganisha uongozi wa kisiasa wa dola na imani za kidini. Mtizamo wangu ni kuwa Nyerere aliweka taifa kwanza kabla ya mambo mengine na pale alipoona kuna umuhimu wa kulilinda taifa dhidi ya yeyote anayetishia kuvunja umoja wa kitaifa alifanya hivyo bila kuangalia ni mtu wa taifa, kabila au dini gani.

Kuna malalamiko dhidi ya Nyerere kutoka kwa wasomi, wafanyabiashara na wengineo kwamba hakuwatendea haki lakini hapohapo tunapata picha kwamba halikuwa kundi moja lililoathirika kwahiyo hakufanya aliyoyatenda kwa kuwakomoa bali aliamini uamuzi aliuchukua ulikuwa ni kwa manufaa ya wengi.

Natamani watu kama ninyi mnaofahamu historia ya nchi yetu mngekaa pamoja tupate historia isiyo na mapengo mengi bila kuweka 'ego' ili iweze kujenga misingi imara ya huko tuendako kwasababu tutajua tulipotoka.

Niliwahi kumuuliza Mohamed, na anikosoe kama siseme kweli, kama yeye anajiona Mtanzania kwanza au Muislamu kwanza.
Alinijibu yeye anajiona Muislamu kwanza. Kwa mantiki hii, leo akinikuta mimi Mtanzania nisiye muislamu nagombana na taleban, yeye atajiunga upande wa taleban kunipiga mimi Mtanzania mwenzake.
 
Niliwahi kumuuliza Mohamed, na anikosoe kama siseme kweli, kama yeye anajiona Mtanzania kwanza au Muislamu kwanza.
Alinijibu yeye anajiona Muislamu kwanza. Kwa mantiki hii, leo akinikuta mimi Mtanzania nisiye muislamu nagombana na taleban, yeye atajiunga upande wa taleban kunipiga mimi Mtanzania mwenzake.

Nitapatanisha.
Nitaingia upande wa Taliban kama wewe ni dhalim.
 
kaka Yericko Nyerere,bado tunasubiri
majina ya hao waasi waliopewa vyeo na kuwa mabalozi.Ulituahidi kutuletea majina.
Vinginevyo ili tusikuite muongo na mzushi,tutake radhi hapa jamvini kuwa uliongopa
cc
@
Ritz Barubaru kichwakigumu@ THE BIG SHOW
Enzi hizo 1980+ mmoja wa makamanda wa usalama wa taifa aliyeongoza kuwadhibiti waasi hao ni Mabere Marandu,

Na alifanikiwa kuongoza oparesheni za kumsaka na kumuua mmoja wa makomandoo ambae alikuwa ameandaliwa rasmi kumuua Nyerere,

Mapambano yalikuwa ni makubwa kutoka airport hadi kinondoni ulipo ubalozi wa Marekani sasa ndipo walipofanikiwa kumuua!

Jambo la kuwashangaza waasi wale (wanajeshi) wote Mwalimu aliwaita ikulu,

akamwambia kiongozi wa mapinduzi yale (simkumbuki) kuwa

"Shika bunduki uniue wewe mwenyewe kwamkono wako ili uwe rais wa nchi hii"

jamaa aliomba radhi huku akitambaa kisha mwalimu akasema

"nimewasamehe wote"

na aliwapa vyeo na kazi, wengi walikwenda kuwa mabalozi wa Tz nchi za nje!

Sisi hapa tunasema kama porojo tu, lakini yapo mengi sana nyuma ya pazia!
 
Last edited by a moderator:
Mzee Said sasa hapa hututendei haki; tatizo ni kuwa hisia zako zinakufanya uamini vitu visivyokuwepo. Hivi kati ya wote tunaokosoa maandishi yako kuna hata mmoja aliyesema "Nyerere peke yake" au "Nyerere tu" au "Nyerere ndiye muasisi pekee wa taifa hili?" nani kasema hivyo?

Yericko Nyerere?
Mag3
Nguruvi3
Jasusi
Nanren
Wildcard

Tatizo unafikiria tunapokosoa histohisia yako tunafanya hivyo kwa sababu tunaamini ni "Nyerere peke yake". Hakuna sehemu yoyote katika historia palipowahi kuandikwa kuwa Nyerere peke yake ndiye aliyeasisi TANU au ndiye pekee aliyefanya harakati za Uhuru. HAKUNA.

Hujawahi katika maandishi yako yote kuonesha mahali popote - iwe kwenye mihadhara yako ya ndani au ya nje ya nchi - kuwa Nyerere mwenyewe aliwahi kudai ndiye aliyeanzisha TANU peke yake, au kuna mahali wana historia waliandika kuwa Nyerere alianzisha TANU peke yake akiwa Pugu. Hakuna.

Hakuna MAHALI POPOTE ambapo imewahi kuandikwa na wanahistoria makini kuwa Nyerere ndiye muasisi pekee wa taifa na kuwa peke yake ndiye aliyeleta uhuru. Sifa pekee ya Nyerere ni kuwa ndiye kiongozi mkuu wa wapigania uhuru wote. Huwezi kuandika historia ya wapigania uhuru wa Tanganyika halafu ukamuweka Nyerere wa pili. Ukiandika historia hiyo Nyerere anakuwa wa kwanza na siyo tu wa kwanza anatambulika kama Baba wa Taifa (Father of the Nation). Sifa hii haijaanza kuitwa leo tangu miaka ya sitini wazee wa Dar walimuita hivyo na maandishi ya wakati huo yalionesha hivyo. Siyo sifa ambayo amekuja kupewa baadaye baada ya kufa au baada ya kutoka madarakani.

Mchango wa pekee, mkubwa zaidi na wa kina zaidi wa Nyerere haujawahi kufikiwa na kina Sykes, Mhando, Kyaruzi, Mwapachu n.k. Leo hii vijana wakimsifia Messi kwa uchezaji wake na kumsifia na kuvaa jezi zake na watu kumtuza kwa kila tuzo unafikiri ni kwa sababu yuko peke yake uwanjani!? La hasha bali kwa sababu ya vipaji na mchango wake wa pekee.

Huwezi - hata kwa kujaribu uliko jaribu - kumfanya Nyerere namba mbili.

Alikuwa wa kwanza kati ya wengi, na wa pekee kati wengine wake. He was the leader among leaders! Wazee wako walimtambua hivyo, walimheshimu hivyo, walimpenda hivyo na wengine hadi leo wana moyo wa shukrani kwa kuweza kuwa naye katika harakati.

asante
 
Nina hakika wewe hata ukweli ukikuchungulia usoni hutauona wala kuutambua na kwenye mjadala huu naona hata pale ukweli unapokugongea hodi, hata kuufungulia hutaki. Nawapa ushauri mashabiki wa Mohamed Said mkae pembeni mshuhudie simulizi zake za kichochezi na za kuungwaungwa zinavyokosolewa. Msiwe kama mashabiki wanaomsifia mfalme kwa umaridadi huku anatembea mtupu, sana sana mshaurieni achutame.

Mag3,

Wakuchutama huwaoni walishachutama siku nyingi.
Wakiiogopa historia ya uhuru wa Tanganyika.

Sisi tunatembea leo kifua mbele.

Mwezi wa Ramadhani.
Nimealikwa kijimsikiti kidogo nikahadhir.

Nimefika pale msikiti umejaa mpaka nje.

Imam ananitambulisha anasema.

Waislam maskini vijijini wanakodi jenereta na inafungwa
katika baiskeli wanakwenda kijiji hadi kijiji wana DVD ya
Mohamed Said wanawaonesha Waislam historia yao.

Nilikuwa nimefuatana na mjomba wangu maneno yale
yamemchoma kanikumbatia analia.

Wakati tunarejea mjini ananambia mjomba mie nalia maana
pale ulipomtaja Abdu Sykes namuona Nyerere anaingia ofisini
kwake pale sokoni 1953/54.

Leo unanambia kasahau cheo chake katika TAA?

Huyu mjomba wangu alikuwa akifanya biashara pale enzi zile.
 
Moja kati ya mambo mazuri kabisa ya Mzee Mohamed ni msimamo wake usioyumba kwa lile analoamini ndivyo lilivyo. Hautombadili sio tu kwa hilo la EAMWS bali na mengine yote anayoyasimamia humu hata ataujua ukweli. Mimi namwelewa kwa kuwa haya ameyaandika na kuyahubiri sana. Anabadilikaje na hadhi yake iko juu namna hii kwa uongo huu?

Umekosea kama unadhani hadhi yangu inatokana na kitabu.
Hadhi katika wasomi.

Labda.

Mimi kama hiyo hadhi ninayo basi ni kwa kuwa nafahamika.
Na wazee wangu wanafahamika.

Na Dar es Salaam ndiyo kwetu.

Sikuja Dar es Salaam kutafuta kazi wala kucheza mpira.
 
TEH TEH TEH BABU NAYE YUPO.LAKINI HAPA HATII MGUU WALA PUA.HILI DARSA LA Mohamed Said MAJI YA KINA KIREFU
BABU.jpg
 
Last edited by a moderator:
Mag3,

Wakuchutama huwaoni walishachutma siku nyingi.
Wakiiogopa historia ya uhuru wa Tanganyika.

Sisi tunatembea leo kifua mbele.

Mwezi wa Ramadhani.
Nimealikwa kijimsikiti kidogo nikahadhir.

Nimefika pale msikiti umejaa mapa nje.

Imam ananitambulisha anasema.

Waislam maskini vijijini wanakodi jenereta na inafungwa
katika baiskeli wanakwenda kijiji hadi kijiji wana DVD ya
Mohamed Said wanawaonesha Waislam historia yao.

Nilikuwa nimefuatana na mjomba wangu maneno yale
yamemchoma kanikumbatia analia.

Wakati tunarejea mjini ananambia mjomba mie nalia maana
pale ulipomtaja Abdu Sykes namuona Nyerere anaingia ofisini
kwake pale sokoni 1953/54.

Leo unanambia kasahau cheo chake katika TAA?

Huyu mmjomba wangu alikuwa akifanya biashara pale enzi zile.

Hahahahhhaaaaa.
Me love this.....ok, tuendeleee.
Mi nasoma tu, ila hapa nimefurahi ikanibidi nicheke.
 
Niliwahi kumuuliza Mohamed, na anikosoe kama siseme kweli, kama yeye anajiona Mtanzania kwanza au Muislamu kwanza.
Alinijibu yeye anajiona Muislamu kwanza. Kwa mantiki hii, leo akinikuta mimi Mtanzania nisiye muislamu nagombana na taleban, yeye atajiunga upande wa taleban kunipiga mimi Mtanzania mwenzake.

Kitu kimoja nisichokikubali kuhusu hizi dini zetu ni kuwa kwa kiasi kikubwa hadithi na maandishi yanaendana na mazingira ya kule ambapo ni chimbuko la didni hiyo, viongozi wengi wa dini wanashindwa kupata tafsiri halisi kwa kuchukilia mambo katika hali ya kimwili zaidi kuliko kiroho. Wengi tunapotea, tujiulize wenzetu wa India, China na kwingineko wao vp? (wao ni makafiri na wapagani?)
 
Mzee Said sasa hapa hututendei haki; tatizo ni kuwa hisia zako zinakufanya uamini vitu visivyokuwepo. Hivi kati ya wote tunaokosoa maandishi yako kuna hata mmoja aliyesema "Nyerere peke yake" au "Nyerere tu" au "Nyerere ndiye muasisi pekee wa taifa hili?" nani kasema hivyo?

Yericko Nyerere?
Mag3
Nguruvi3
Jasusi
Nanren
Wildcard

Tatizo unafikiria tunapokosoa histohisia yako tunafanya hivyo kwa sababu tunaamini ni "Nyerere peke yake". Hakuna sehemu yoyote katika historia palipowahi kuandikwa kuwa Nyerere peke yake ndiye aliyeasisi TANU au ndiye pekee aliyefanya harakati za Uhuru. HAKUNA.

Hujawahi katika maandishi yako yote kuonesha mahali popote - iwe kwenye mihadhara yako ya ndani au ya nje ya nchi - kuwa Nyerere mwenyewe aliwahi kudai ndiye aliyeanzisha TANU peke yake, au kuna mahali wana historia waliandika kuwa Nyerere alianzisha TANU peke yake akiwa Pugu. Hakuna.

Hakuna MAHALI POPOTE ambapo imewahi kuandikwa na wanahistoria makini kuwa Nyerere ndiye muasisi pekee wa taifa na kuwa peke yake ndiye aliyeleta uhuru. Sifa pekee ya Nyerere ni kuwa ndiye kiongozi mkuu wa wapigania uhuru wote. Huwezi kuandika historia ya wapigania uhuru wa Tanganyika halafu ukamuweka Nyerere wa pili. Ukiandika historia hiyo Nyerere anakuwa wa kwanza na siyo tu wa kwanza anatambulika kama Baba wa Taifa (Father of the Nation). Sifa hii haijaanza kuitwa leo tangu miaka ya sitini wazee wa Dar walimuita hivyo na maandishi ya wakati huo yalionesha hivyo. Siyo sifa ambayo amekuja kupewa baadaye baada ya kufa au baada ya kutoka madarakani.

Mchango wa pekee, mkubwa zaidi na wa kina zaidi wa Nyerere haujawahi kufikiwa na kina Sykes, Mhando, Kyaruzi, Mwapachu n.k. Leo hii vijana wakimsifia Messi kwa uchezaji wake na kumsifia na kuvaa jezi zake na watu kumtuza kwa kila tuzo unafikiri ni kwa sababu yuko peke yake uwanjani!? La hasha bali kwa sababu ya vipaji na mchango wake wa pekee.

Huwezi - hata kwa kujaribu uliko jaribu - kumfanya Nyerere namba mbili.

Alikuwa wa kwanza kati ya wengi, na wa pekee kati wengine wake. He was the leader among leaders! Wazee wako walimtambua hivyo, walimheshimu hivyo, walimpenda hivyo na wengine hadi leo wana moyo wa shukrani kwa kuweza kuwa naye katika harakati.

Kama kawaida yako.

Its like finding a needle in a haystack.

Nitakujibu moja tu.
La Nyerere maana hilo ndilo ulipendalo.

Hakuna awezae kushusha hadhi ya Nyerere katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Hapo hakuna ubishi.

Lakini historia ya uhuru haikuanza na yeye.
Historia ya TANU haiwezi kuanza na Nyerere 1954 kama ilivyogongomewa.

Historia rasmi imewaacha wengi nje na hao wengi ni wazee wangu.
Hawakufurahi na hilo ndiyo maana wakataka nirekebishe historia hiyo.

Hata kama Nyerere atakasirika.

Hapa ndipo paliponifanya ninyanyue kalamu.
Ndiyo maana leo nimo humu jamvini natoa darsa na kipande ninachodarsisha ni 1929 - 1961.
 
Kaka kuna tofauti kubwa kati ya malezi na ustaarabu wa Musoma na Dar es Salaam. Pwani mtu yeyote mwenye umri wa baba yake ni mzee wako.

Tuendelee kusemezana.
Siku za nyuma tulipambana hapa na MS kuhusu Nyerere kama baba wa Taifa. Mashabiki wake walitoa mapovu wakidai kuwa kwa watu wa pwani hasa waislam, "baba" ni yule aliyekuzaa tu. Hakuna kigezo kingine. Bahati mbaya papara zao zikamwabisha mzee MS kwa sababu tulibainisha jinsi anavyoiwaita "baba" wazee wa gerezani. Sasa kuweni makini hata mnapoteteana kwa ushabiki, msiji-contradict.
 
Mzee Said sasa hapa hututendei haki; tatizo ni kuwa hisia zako zinakufanya uamini vitu visivyokuwepo. Hivi kati ya wote tunaokosoa maandishi yako kuna hata mmoja aliyesema "Nyerere peke yake" au "Nyerere tu" au "Nyerere ndiye muasisi pekee wa taifa hili?" nani kasema hivyo?

Yericko Nyerere?
Mag3
Nguruvi3
Jasusi
Nanren
Wildcard

Tatizo unafikiria tunapokosoa histohisia yako tunafanya hivyo kwa sababu tunaamini ni "Nyerere peke yake". Hakuna sehemu yoyote katika historia palipowahi kuandikwa kuwa Nyerere peke yake ndiye aliyeasisi TANU au ndiye pekee aliyefanya harakati za Uhuru. HAKUNA.

Hujawahi katika maandishi yako yote kuonesha mahali popote - iwe kwenye mihadhara yako ya ndani au ya nje ya nchi - kuwa Nyerere mwenyewe aliwahi kudai ndiye aliyeanzisha TANU peke yake, au kuna mahali wana historia waliandika kuwa Nyerere alianzisha TANU peke yake akiwa Pugu. Hakuna.

Hakuna MAHALI POPOTE ambapo imewahi kuandikwa na wanahistoria makini kuwa Nyerere ndiye muasisi pekee wa taifa na kuwa peke yake ndiye aliyeleta uhuru. Sifa pekee ya Nyerere ni kuwa ndiye kiongozi mkuu wa wapigania uhuru wote. Huwezi kuandika historia ya wapigania uhuru wa Tanganyika halafu ukamuweka Nyerere wa pili. Ukiandika historia hiyo Nyerere anakuwa wa kwanza na siyo tu wa kwanza anatambulika kama Baba wa Taifa (Father of the Nation). Sifa hii haijaanza kuitwa leo tangu miaka ya sitini wazee wa Dar walimuita hivyo na maandishi ya wakati huo yalionesha hivyo. Siyo sifa ambayo amekuja kupewa baadaye baada ya kufa au baada ya kutoka madarakani.

Mchango wa pekee, mkubwa zaidi na wa kina zaidi wa Nyerere haujawahi kufikiwa na kina Sykes, Mhando, Kyaruzi, Mwapachu n.k. Leo hii vijana wakimsifia Messi kwa uchezaji wake na kumsifia na kuvaa jezi zake na watu kumtuza kwa kila tuzo unafikiri ni kwa sababu yuko peke yake uwanjani!? La hasha bali kwa sababu ya vipaji na mchango wake wa pekee.

Huwezi - hata kwa kujaribu uliko jaribu - kumfanya Nyerere namba mbili.

Alikuwa wa kwanza kati ya wengi, na wa pekee kati wengine wake. He was the leader among leaders! Wazee wako walimtambua hivyo, walimheshimu hivyo, walimpenda hivyo na wengine hadi leo wana moyo wa shukrani kwa kuweza kuwa naye katika harakati.
Sidhani kama MS anazungumzia namba. Fulani wa kwanza na yule wa ... Anazungumzia dhulma hadi ya kiuandishi. Anaandikwa mesi tu utadhani alicheza peke yake. Na hili mnalijua, lipo wazi, ila mnalipotezea tu.
 
Niliwahi kumuuliza Mohamed, na anikosoe kama siseme kweli, kama yeye anajiona Mtanzania kwanza au Muislamu kwanza.
Alinijibu yeye anajiona Muislamu kwanza.
Kwa mantiki hii, leo akinikuta mimi Mtanzania nisiye muislamu nagombana na taleban, yeye atajiunga upande wa taleban kunipiga mimi Mtanzania mwenzake.

na hapo ndipo histohisia yake inapochimbuka
 
Kitu kimoja nisichokikubali kuhusu hizi dini zetu ni kuwa kwa kiasi kikubwa hadithi na maandishi yanaendana na mazingira ya kule ambapo ni chimbuko la didni hiyo, viongozi wengi wa dini wanashindwa kupata tafsiri halisi kwa kuchukilia mambo katika hali ya kimwili zaidi kuliko kiroho. Wengi tunapotea, tujiulize wenzetu wa India, China na kwingineko wao vp? (wao ni makafiri na wapagani?)

Huo uwanja wa maulamaa.
Ila hoja hizo zina umri sawa na Uislam wenyewe.

Hoja zimeshindwa Uislam upo hadi leo.
Alhamdulilah.
 
Hahahahhhaaaaa.
Me love this.....ok, tuendeleee.
Mi nasoma tu, ila hapa nimefurahi ikanibidi nicheke.

What a contrast.
My uncle shed tears.

He knew both of them and how close they were to each other.

As we drove back he kept asking me, ''Mohamed what really happened?''
 
Kweli unafikiri wakristu wa Tanzania wamekuwa 'taken care of'? Really?




Ndio maana tunakukatalia; hapa hujaweka alichosema Sivalon; umeweka review ya mtu mwingine kuhusu kitabu cha Sivalon...

Hapana haja ya kuvutana na hiyo.
Achilia mbali iwe ''review'' ambayo siyo.

Tuseme Sivalon kasema uongo.
Hata hiyo mimi sina shida.

Simo humu kushinda ubishi.

Humu kuna watu 13, 000+ wanasikiliza.
Kwa wale waliokuwa hawana taarifa ya rejea hii.

Sasa wamekuwa werevu zaidi kulipo walipoingia...
Watatoka na manufaa katika hii darsa.
 
Back
Top Bottom