mjadala umepoa sana!
kwa sababu tunasubiri 'hotuba' ya nyerere kwa njia ya sauti
tuliahidiwa tangu jana kwamba itawekwa lakini kimya mpaka sasa
nimepata tetesi anatafutwa kijana mmoja anaitwa steve nyerere,
huyu ni mzuri sana wa kuiga sauti ya marehemu nyerere.
kama akipatikana,itakuwa rahisi hiyo 'hotuba kuwekwa hapa ukumbini.
Hii ni ahadi ya pili ambayo mpaka sasa haijatekelezwa.
Ya kwanza ni ile iliyoahidiwa na ndugu anayedai ni 'mtoto' wa marehemu nyerere,
Yericko Nyerere,
kwamba ataweka majina ya waasi waliosamehewa na nyerere na kupewa vyeo na ubalozi.
Ahadi zote hazijatekelezwa
Njia ya muongo ni fupi sana,
tunaendelea kusubiri,tutaendelea kukumbusha
cc
Barubaru THE BIG SHOW mv butiama rizt
kichwakigumu