Mohamed Said,
..kuhusu "somo la Bakwata," naona umejinukuu mwenyewe.
..unapofanya hivyo tena na tena unakuwa umekiuka maadili ya mnakasha wa kisomi.
..mimi ningeshauri unukuu waandishi independent ambao wanakubaliana na mtizamo wako.
..au, unaweza kutuwekea nyaraka ambazo unaamini zinathibitisha conclusions zako ili na sisi tuweze kujiridhisha.
..mwisho nakuomba utuletee kitabu cha John Sivalon na Van Bergen, itapendeza kama uki-quote zile chapters ambazo unaamini zinahakiki/zinathibitisha madai yako ili na sisi tuweze kujiridhisha.
cc:
THE BIG SHOW,
Jasusi,
Yericko Nyerere,
Mzee Mwanakijiji