Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

wewe mbona huishi kuchezesha kimkia chako mm naongea na mwalimu wako plz kalale ebo!
Mkuu Nyambala, achana na msukule huo wa mzee Mohamed, upo hapa kutibua na kuwa tia hasira watu wanaoonesha upuuzi wa bwana wake!
 
anakabidhiwa nchi-
nyerere_swearing.jpg
 
Wow, what hogwash and we are expected to believe this! What is this contest that we are told has become a legend... to who? Which contest are we talking about here;

The one in 1953 when Nyerere, an outsider who had no political base with no following among the majority Dar es Salaam Moslems who were in control of local politics wrested the leadership of TAA from its president Abdulwahid, the flamboyant and favourite local leader who who used to invite TAA activists to his house for lunches and dinners and this added to his popularity?

OR

The one in 1954 when Nyerere an educated-Christian perceived to be loyal to the colonialists who many thought would not even fit into Abdulwahid's shoes once again denied the local favourite Abdulwahid the chance to be the first ever President of the newly formed TANU he had helped found, in an election that many people used their vote to show their objection to Nyerere?

Believe this and you will believe anything...even Lady macbeth's lies would have been made of sterner stuff! Now, if I may be allowed to say so, this was not anywhere near the challenges ever faced by the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, this was if anything a landslide victory and as Abdulwahid's brother Ally Sykes said at the time; "Here was a man we had all been waiting for!"

And to imagine that there are people who truly believe this!

Ni kweli walikuwapo Waislaam ambao kawakuridhika na uongozi wa Mwalimu...na mwaka 1958 moja wa watu hawa Chaurembo, aliamua kuwaunganisha Wasilaam dhidi ya Nyerere kwa kuanzisha chama kilichoitwa AMNUT. Moja wa wanachama wa mwanzo kabisa wa AMNUT aliitwa Salum Abdalla...lakini AMNUT haikufanikiwa katika malengo yake na Waislaam walio wengi walikataa kuiunga mkono. Huyu mtu ndiye aliyemlea Mohamed Said na hizo simulizi zake zote ni matunda ya malezi aliyoyapata huyu mchochezi.


Mag3,

Nimesoma na nimekuelewa.
Hizo ni fikra zako na una haki ya kuwaza hivyo.

Ila nataka kufanya masahihisho kidogo katika para ya mwisho kuhusu AMNUT.
Sheikh Abdallah Idd Chaurembo hakupata kuwa mwanachama wa AMNUT.

Yeye alikuwa mwanachama wa TANU toka 1954 hadi alipofariki dunia katika miaka ya 1980.

Soma hapa chini kutoka kitabu changu:

This was the beginning of the at times silent opposition to TANU.

In 1959, Ramadhani Mashado Plantan, the veteran journalist, proprietor of Zuhra, the TANU mouthpiece, together with a group of Muslims including Saleh Muhsin, resigned from TANU to form the All Muslim National Union of Tanganyika (AMNUT).

Other founding members were Abdallah Mohamed, a senior civil servant, and Hamisi Hunde. Abdallah Mohamed was elected president and Mashado Plantan secretary.

Plantan provided a room in his house at Kirk Street, Gerezani, as an office for AMNUT. Soon after the formation of AMNUT, a leadership crisis ensued and the office had to be moved from Plantan's house to Libya Street, an Indian neighbourhood in the town centre.

A new leadership came into power and a new secretary, Abdulwahid Abdulkarim twenty-five year-old Afro-Arab, was elected to take the place of Plantan.

Abdallah Mohamed retained his post as secretary.

AMNUT could not maintain the office in this rich India neighbourhood as it found the rent for the premises prohibitive.

AMNUT moved its office back to Kariakoo on Narung'ombe Street, near the mosque of Sheikh Idris bin Saad.

Naenda kukufahamisha kuwa babu yangu Salum Abdallah hakupata kuwa mwanachama wa AMNUT na kama angekuwa ningekufahamisha.
 
G,

Mbona sasa tena unatukana?
Mohamed, huna cha maana zaidi ya ushabiki wa kipuuzi, umezikimbia hoja za msingi alizoleta Nyambala na kukumbatia upuuzi wa mpuuzi mwenzio zomba! huna unalolijua zaidi ya kujisifu na usomi wako njiwa.
 
Wafia dini wa kariakoo gerezani ni wapuuzi sana...utawasikia mie Man U, mie Arsenal, mie Liverpool yaani wanashabikia mfumo kristo bila wenyewe kujijua. Kwanini msishangilie timu za Uarabuni? Mfumo kristo utawatawaleni hadi mnaingia kaburini.
 
Wewe ndiye unaona jambo kubwa mpaka kuwaringishia watanganyika humu jamvini, and I am absolutely sure hujawahi kuambiwa kuwa hoja ya kuwa na kitabu library of congress siyo ujuvi ndiyo maana unapanick. Simple and clear kama mlivyo taka Yericko alete ushahidi wa audio ya Nyerere kuhusu Abdulwahid Sykes naomba na wewe utuletee copy ya ID yako as a member of Library of congress. Nami ntatoa nini sifa za kuwa member na majina ya wapuuzi walio na vitabu vyao mle, just that simple. Otherwise ni zile zile hadithi zako zisizo na evidence.[/SIZE]

N,

Hii ndiyo namna ya mnakasha wetu.
Huwa unakwenda vizuri halafu ghafla uwanja unachafuka.

Wachezaji wanaanza rafu mtindo mmoja.
Sasa ndiyo tupo hapa.

Tunashambuliana.

Sasa sijui wanajamvi mnasemaje.
Tulikunje jamvi tuondekeni?
 
Wiki mbili zilizopita Wafaransa wameingia nchini Mali na wamewatandika wafia dini wote na sasa nchi iko shwari.

Chezea mfumo kristo wewe.
 
Naheshimu dini ya kiislaam japo mimi si muislaam...nawaheshimu Waislaam lakini si Waslaam hawa wa gerezani kariakoo....yaani ni wapuuzi sijapata ona!. Namshukuru Mwl.nyerere kwa kuwatawala wafia dini hawa.
 
Rais wa TAA alikuwa Dr Kyaruzi,

Kisha nafasi hiyo ikakaimiwa na Katibu Abdul Sykes baada ya Dr Kyaruzi kuhamishwa De mpaka Mwalimu Nyerere alipokuja kumshinda katika uchaguzi wa pale Arnatouglo mnazi mmoja pale 1953


Yericko Nyerere,

Nimekuuliza nani alikuwa rais wa TAA mwaka 1949 na Katibu?

Halafu acha kupotosha kama hujui uliza huo uchaguzi wa TAA ulifanyika Arnatouglo siyo huo mwaka uliandika.

Nasubiri jibu mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Mfumo kristo ulitawala babu zenu,ulitawala baba zenu,na sasa unawatawala nyinyi,utatawala watoto wenu na utatawala
hadi vijukuu vyenu. Amtaki acheni.
 
Naachia kisu hadi kwenye mfupa wa fahamu...sitaki unafiki wa kuuma maneno.

Umeme unaotumia ni mfumo kristo.

Simu na computer yako ni mfumo kristo

Ndege unayopanda kwenda nchi yoyote ile ujue ni mfumo kristo.

Gari unayoendesha ni mfumo kristo

Unavyoshangilia ligi ya Uingereza,Spain,Germany na Italy nao ni mfumo kristo....ndiyo maana nasema mfumo kristo ni kama
maji, usipoyakoga basi utayanywa tu. Mfumo kristo ndiyo unaotawala na kuendesha dunia hii! Kama mimi ni muongo
basi muulizeni ndugu yenu wa magogoni.
 
Mfumo kristo ulitawala babu zenu,ulitawala baba zenu,na sasa unawatawala nyinyi,utatawala watoto wenu na utatawala
hadi vijukuu vyenu. Amtaki acheni.

Naaam naam mfumo huo ndio unaotawala dunia na utatawala daima
 
Na hapa kuna wenzetu utawasikia wakisema "unaona waislamu walvyomsaidia Nyeere?"

Siyo wanasema kama unapingana maneno ya Kambarage sawa yeye mwenyewe anakiri anasema kuna kipindi alikuwa mkiristu peke yake.

Mkuu nasubiri majibu ya TAA.
 
Back
Top Bottom