Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Bahati nzuri mimi nakusoma siku nyingi kwa kukumbusha tu nimeanza kusoma toka pale Nyerere alipokuwa anampigia kampeni Mkapa pale Mwanza kwenye uwanja wa Nyamagana, mie nilikuwa nipo kwenye jengo la Posta pembeni ya uwanja. Nilisoma ulichoandika wakati huo bado upo CCM ujaenda Chadema.

Basi nina uhakika unajua kupima hoja vizuri na kuzichambua; nimeona baadhi ya maswali ambayo umekuwa ukimuuliza mzee Said kwa heshima lakini inaonesha tu kuwa unataka kujua. Keep it up.
 
WC,

Inawezekana umetoa kauli hii kwa kutojua.
Hayo maneno ni MATUSI MAKUBWA.

Abdu Sykes ni baba yetu na mama yake
Kleist ni mama yetu.

Tufanye mjadala wa historia ya TANU na
tuchunge murua na mipaka ya adabu.
Mzee Mohamed,
Niwie radhi kwa hilo lakini hizo ndizo simulizi pekee ulizoacha. Nyingine zote umezieleza. Zile za akina Mshume Kiyate kupeleka maharage na dagaa Magomeni, zile za kupewa nauli njiani na hela ya kuendea sokoni, zile za kupewa malazi kwa Abdu,...., umebakiza nini sasa!
 
MM,

Tatizo si hilo.


Nlisema uko kama kipepeo.. unaruka ruka kila ukikamatwa unakimbilia kwingine. Kama hakuna ushahidi wowote wa Nyerere kuagiza lolote au kusema lolote dhidi ya Uislamu na Waislamu wewe unapata wapi ujasiri wa kusema alikuwa anapiga vita Uislamu?

Hitler alipoamua kuwaua Wayahudi na kutafuta ile "final solution" hakujificha. Lakini angeonekana kama kituko kweli kama wakati huo huo anasema wayahudi ni kansa ya dunia halafu anawapa madaraka, anawaachia uongozi na kula na kunywa nao. Ahmedinajad naye anapowapiga vita Wayahudi hawapigi kwa kificho. Verwoerd na sera yake ya Ubaguzi wa rangi hakufanya hivyo kwa kificho. Angekuwa mnafiki wakati huo huo akitukuza watu weupe halafu awape nafasi na madaraka kwenye serikali yake watu duni - weusi.

Nyerere hajawahi kuwa na njama dhidi ya Uislamu au Waislamu. Asingeweza kuwa hivyo na wakati huo huo kuamini maisha yake mikononi mwao. Ushahidi wa hili ni kitabu chako cha Abdulwahid Sykes. Ni katika kitabu hiki umeweza kwa umahiri mkubwa kumuonesha kuwa Nyerere tangu kabla ya Uhuru na baada ya Uhuru amekuwa ni rafiki wa Waislamu. Hajawahi kusema neno baya kuhusu Uislamu (angalau hakuna ushahidi wowote juu ya hilo) wala dhidi ya Waislamu.

NONE.

Na hata kwa wale unaowaita wazee wako hutampata hata mmoja ambaye anaweza kukuambia aliwahi kumsikia Nyerere akiulalamikia Uislamu au akisema maneno ya kejeli dhidi ya Waislamu waliokuwa wanamzunguka. NONE.

Utarukaruka tu kama kipepeo lakini mwisho utatua tu na itabidi ukubali ukweli wa historia tu.
 
Uislam upi alooupiga vita Mwalimu? Huu wa akina Rashid Kawawa, Salim Ahmed Salim, Abdulrahman Moahamed Babu, Amani Abeid Karume, Harith Bakari Mwapachu, Jakaya Mrisho Kikwete, Mohamed Gharib Bilal, ..., au huu wa akina Mohamed Said, zomba, Ritz, Ponda Issa,...

Uasisi wa TANU ni kule Burma, kwenye mafaili ya Abdu, Vichwani mwa akina Abdu au 1953- 7.7.1954?

WC,

Uasisi wa TANU Burma usikupuuze.
Kuna kitabu cha Maurice Duverger "Political Parties."

Anasema vyama vya siasa vinaanza kwenye fikra
ya waasisi wake.

Kwa Abdu chama kilikuwa nyumbani kwao pale Kipata
toka 1929.

Anapata fahamu baba yake anamchukua Mtaa wa Kariakoo
na New Street siku ya Jumapili kwenye ujenzi wa ofisi ya
African Association.

Abdu kashuhudia haya kwa macho yake.

Tuje kwenye mafaili ya Sykes.

Hii ni hazina ya pekee ingawa inaonyesha mafaili haya
yanakuudhi.

Nyaraka ndani ya mafaili haya kwa hakika ndiyo yenye
historia nzima ya siasa katika Tanganyika.

Hayo mengine siyagusi.
 
Nlisema uko kama kipepeo.. unaruka ruka kila ukikamatwa unakimbilia kwingine. Kama hakuna ushahidi wowote wa Nyerere kuagiza lolote au kusema lolote dhidi ya Uislamu na Waislamu wewe unapata wapi ujasiri wa kusema alikuwa anapiga vita Uislamu?

Hitler alipoamua kuwaua Wayahudi na kutafuta ile "final solution" hakujificha. Lakini angeonekana kama kituko kweli kama wakati huo huo anasema wayahudi ni kansa ya dunia halafu anawapa madaraka, anawaachia uongozi na kula na kunywa nao. Ahmedinajad naye anapowapiga vita Wayahudi hawapigi kwa kificho. Verwoerd na sera yake ya Ubaguzi wa rangi hakufanya hivyo kwa kificho. Angekuwa mnafiki wakati huo huo akitukuza watu weupe halafu awape nafasi na madaraka kwenye serikali yake watu duni - weusi.

Nyerere hajawahi kuwa na njama dhidi ya Uislamu au Waislamu. Asingeweza kuwa hivyo na wakati huo huo kuamini maisha yake mikononi mwao. Ushahidi wa hili ni kitabu chako cha Abdulwahid Sykes. Ni katika kitabu hiki umeweza kwa umahiri mkubwa kumuonesha kuwa Nyerere tangu kabla ya Uhuru na baada ya Uhuru amekuwa ni rafiki wa Waislamu. Hajawahi kusema neno baya kuhusu Uislamu (angalau hakuna ushahidi wowote juu ya hilo) wala dhidi ya Waislamu.

NONE.

Na hata kwa wale unaowaita wazee wako hutampata hata mmoja ambaye anaweza kukuambia aliwahi kumsikia Nyerere akiulalamikia Uislamu au akisema maneno ya kejeli dhidi ya Waislamu waliokuwa wanamzunguka. NONE.

Utarukaruka tu kama kipepeo lakini mwisho utatua tu na itabidi ukubali ukweli wa historia tu.

MM,


Mimi nitue mara ngapi?

Nishatua toka siku kitabu kilipoingia mitaani.
Nakusubirini nyie mruke mshuke na kitabu.
 
Mohamed Said

Unaweza kututhibitshia kuwa Mwalimu alipiga VITA uislamu baada ya Uhuru?

Acha kudanganya watu kweupe hivi, nimekwambia zaidi ya mara 20 hapa jukwaani kuwa baada ya uhuru Mwalimu alianza mageuzi makubwa ya kufuta UDINI katika NCHI, sio kufuta uislamu bali kuufuta udini!

Ndio sababu za kulivunja baraza la wazee wa TANU baada ya kubainika limeingiza UDINI ambao ni hatari kwa ustawi wa Taifa, kumbuka nilikuuliza swali hili hapo nyuma kwa lengo maalumu lakini ukapepea kama kawaida yako!

Yericko Nyerere,

Unataka kutuambia kabla ya Nyerere kuwa rais Tanganyika kulikuwa na udini.
 
Last edited by a moderator:
Ok lets talk about the facts if you will...

a. Kuna wakati wowote ambapo Wakristu hawakushiriki katika harakati za Uhuru au katika vyama mbalimbali vya kupigania haki za Wakristu?

b. Kuna wakati ambapo Wakristu hawakuwa viongozi wa juu katika vyama hivyo mbalimbali na hivyo kuwa aktika "centre stage" ya shughuli za vyama hivyo?

It is absolutely absurd and silly to suggest - even remotely - that the names such of those of John Rupia, Dr. Mwanjisi, Dr. Kyaruzi, Stephen Mhando, Clement, na wengine wengi only appear in 'dramatis personae' sijui hata kama ulimaanisha hivyo maana "dramatis personae' ni characters wa mchezo - na haihusishi watu ambao hawakuwa na centre role. Hivyo kina Dossa Aziz, Abdulwahid, Nyerere, Titi Mohammed wote wako kwenye orodha ya characters tu na katika hao walioshika nafasi kuu of course ni Nyerere (star of the show) akiwa na supporting cast kama kina Abdul, Rupia na wengine.

Mchango wa Wakristu katika harakati za uhuru na nafasi zao haiwezekani kupuuzwa, kubezwa au kudunishwa. Kama walivyofanya ndugu zao ndivyo hivyo Wakristu nao walishiriki bega kwa bega na kulipia gharama ile ile ambayo wengine walilipia katika kupigania uhuru. HIstoria inatufundisha jinsi wazee wetu walivyoshirikiana kumpinga ukoloni licha ya tofauti zao za mahali, dini, kabila, na hata hali (status).

Those my dear one are the indisputable facts. You DO NOT have any facts to the contrary. No you don't.

Safi sana, ningelikuwa kwenye PC ningelikupa LIKE yako!
 
Wakuu pg # 258 Mohamed Said kashindwa kutoa majibu kila tukimuuliza maswali rahisi kabisa anayakwepa sasa sijui tuwaombe Mods waandae mdahalo kama ule wa Matola na zomba labda tunaweza kupata majibu tunayotarajia vinginevyo sioni sababu ya kuendelea na huu mnakasha.

Mods mnaweza pia kuandaa utaratibu kama mlivyofanya kwa mheshimiwa Zitto Kabwe .

Nakala Invisible Paw ....
 
Last edited by a moderator:
WC,

Uasisi wa TANU Burma usikupuuze.
Kuna kitabu cha Maurice Duverger "Political Parties."

Anasema vyama vya siasa vinaanza kwenye fikra
ya waasisi wake.

Kwa Abdu chama kilikuwa nyumbani kwao pale Kipata
toka 1929.

Anapata fahamu baba yake anamchukua Mtaa wa Kariakoo
na New Street siku ya Jumapili kwenye ujenzi wa ofisi ya
African Association.

Abdu kashuhudia haya kwa macho yake.

Tuje kwenye mafaili ya Sykes.

Hii ni hazina ya pekee ingawa inaonyesha mafaili haya
yanakuudhi.

Nyaraka ndani ya mafaili haya kwa hakika ndiyo yenye
historia nzima ya siasa katika Tanganyika.

Hayo mengine siyagusi.
Nafahamu unajua kuwa TANU lilikuwa ni miongoni mwa majina kadhaa yaliyokuwa mezani ili kuibadili TAA. Jina lolote kati ya hayo lingeweza likakubaliwa. Uasisi lazima uwe na tarehe, mahali na wahusika wa tukio lenyewe. Kama RAIS wa KWANZA wa TANU sio MUASISI wake basi neno lenyewe hata maana ni nyingine inayowafaa ninyi akina Mohamed!
 
Yericko Nyerere,

Unataka kutuambia kabla ya Nyerere kuwa rais Tanganyika kulikuwa na udini.

Hivi ndugu yangu unamatatizo ya AKILI?

Mada nzima nimeieleza kwa kirefu nikihusisha ukoloni wa Kijerumani na ukoloni msonge wa Kiingereza lakini kumbe wewe upo ahera kabisa?

Unakosa kusoma mada nzima kwakuwa unatawaliwa kwa hisia na ushabiki katika mada hii,

Tuliza moyo,akili na mwili wako anza upya kuisoma makala hapo juu utaona tunachokijadili tangu 12/01/2013 mpaka leo hii!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu pg # 258 Mohamed Said kashindwa kutoa majibu kila tukimuuliza maswali rahisi kabisa anayakwepa sasa sijui tuwaombe Mods waandae mdahalo kama ule wa Matola na zomba labda tunaweza kupata majibu tunayotarajia vinginevyo sioni sababu ya kuendelea na huu mnakasha.

Mods mnaweza pia kuandaa utaratibu kama mlivyofanya kwa mheshimiwa Zitto Kabwe .

Nakala Invisible Paw ....

Pitia pitia kwenye nyuzi tumeshaomba huo mdahalo lakini mpaka sasa watu kimya. Umechelewa jamvini Karatu imeshaliwa.

Ule Matola aloingia mitini mara ooh mama mgonjwa. Mara ooh nna simu mtandao mbaya. Kwi kwi kwi teh teh teh.

Mohamed Said kisha sema hayupo hapa kujibu maswali tena hususan yale yasio na tija.

Jee, ulikuwa unamjuwa Mshume kabla ya kumsoma Mohamed Said?
 
Hivi ndugu yangu unamatatizo ya AKILI?

Mada nzima nimeieleza kwa kirefu nikihusisha ukoloni wa Kijerumani na ukoloni msonge wa Kiingereza lakini kumbe wewe upo ahera kabisa?

Unakosa kusoma mada nzima kwakuwa unatawaliwa kwa hisia na ushabiki katika mada hii,

Tuliza moyo,akili na mwili wako anza upya kuisoma makala hapo juu utaona tunachokijadili tangu 12/01/2013 mpaka leo hii!

Jee, unawajuwa mashujaa wa vita vya majimaji?
 
Nlisema uko kama kipepeo.. unaruka ruka kila ukikamatwa unakimbilia kwingine. Kama hakuna ushahidi wowote wa Nyerere kuagiza lolote au kusema lolote dhidi ya Uislamu na Waislamu wewe unapata wapi ujasiri wa kusema alikuwa anapiga vita Uislamu?

Hitler alipoamua kuwaua Wayahudi na kutafuta ile "final solution" hakujificha. Lakini angeonekana kama kituko kweli kama wakati huo huo anasema wayahudi ni kansa ya dunia halafu anawapa madaraka, anawaachia uongozi na kula na kunywa nao. Ahmedinajad naye anapowapiga vita Wayahudi hawapigi kwa kificho. Verwoerd na sera yake ya Ubaguzi wa rangi hakufanya hivyo kwa kificho. Angekuwa mnafiki wakati huo huo akitukuza watu weupe halafu awape nafasi na madaraka kwenye serikali yake watu duni - weusi.

Nyerere hajawahi kuwa na njama dhidi ya Uislamu au Waislamu. Asingeweza kuwa hivyo na wakati huo huo kuamini maisha yake mikononi mwao. Ushahidi wa hili ni kitabu chako cha Abdulwahid Sykes. Ni katika kitabu hiki umeweza kwa umahiri mkubwa kumuonesha kuwa Nyerere tangu kabla ya Uhuru na baada ya Uhuru amekuwa ni rafiki wa Waislamu. Hajawahi kusema neno baya kuhusu Uislamu (angalau hakuna ushahidi wowote juu ya hilo) wala dhidi ya Waislamu.

NONE.

Na hata kwa wale unaowaita wazee wako hutampata hata mmoja ambaye anaweza kukuambia aliwahi kumsikia Nyerere akiulalamikia Uislamu au akisema maneno ya kejeli dhidi ya Waislamu waliokuwa wanamzunguka. NONE.

Utarukaruka tu kama kipepeo lakini mwisho utatua tu na itabidi ukubali ukweli wa historia tu.

flying like a butterfly sting like a bee - Muhammad Ali
 
MM,


Mimi nitue mara ngapi?

Nishatua toka siku kitabu kilipoingia mitaani.
Nakusubirini nyie mruke mshuke na kitabu.

Kwani vipepeo huwa wanatulia basi; kwa muda mrefu ulidhani umetua. Well, hoja zako zimefumuliwa sasa yakubidi uruke ruke tena...
 
Wakuu pg # 258 Mohamed Said kashindwa kutoa majibu kila tukimuuliza maswali rahisi kabisa anayakwepa sasa sijui tuwaombe Mods waandae mdahalo kama ule wa Matola na zomba labda tunaweza kupata majibu tunayotarajia vinginevyo sioni sababu ya kuendelea na huu mnakasha.

Mods mnaweza pia kuandaa utaratibu kama mlivyofanya kwa mheshimiwa Zitto Kabwe .

Nakala Invisible Paw ....

Majibu ya Mohamed Said sio mwarobaini wa historia yetu,

Maono na mchango ya wadau hapa inamafaa zaidi kuliko kusubiri ngano za Mohamed Said,

Watanzania wengi sasa wamefunguka na kuelewa kuwa kumbe walirubuniwa na Mohamed Said hivyo sasa wanahitaji fikra mpya ambazo ndizo tunazowalisha hapa mimi, wewe na wale,

Hawahitaji sana majibu ya Shehe Mohamed Said bali yeye kama sehemu ya kutetea ngano zake na aje na hayo majibu hapa hapa!
 
Last edited by a moderator:
Nafahamu unajua kuwa TANU lilikuwa ni miongoni mwa majina kadhaa yaliyokuwa mezani ili kuibadili TAA. Jina lolote kati ya hayo lingeweza likakubaliwa. Uasisi lazima uwe na tarehe, mahali na wahusika wa tukio lenyewe. Kama RAIS wa KWANZA wa TANU sio MUASISI wake basi neno lenyewe hata maana ni nyingine inayowafaa ninyi akina Mohamed!

WC,

Sidhani kama tunachogombania ni uaisi wa TANU na Nyerere.

Mimi ninachosema ni kuwa historia ya TANU na kuasisiwa kwake
ikiwa utaanza na kuishia hapo utakuwa umepunjika pakubwa.

Historia ya TANU haikuanza pale New Street tarehe 7 Julai 1954.

Historia ya TANU imeanza 1929 kwa kuanzishwa kwa African
Association.

Hili tumejadili kwa kirefu sana.
Lakini sidhani kama hili ni jambo kubwsa sana kwa sasa.

Historia rasmi ya Kivukoni imechukuliwa kama ndiyo ukweli wa historia
ya TANU.

Hapana ugomvi.

Ila ipo historia hii ambayo mimi nimeandika na kwa sasa ni mashuhuri sana.
Watu wana haki ya kuamua ipi wanaiamini.
 
Majibu ya Mohamed Said sio mwarobaini wa historia yetu,

Maono na mchango ya wadau hapa inamafaa zaidi kuliko kusubiri ngano za Mohamed Said,

Watanzania wengi sasa wamefunguka na kuelewa kuwa kumbe walirubuniwa na Mohamed Said hivyo sasa wanahitaji fikra mpya ambazo ndizo tunazowalisha hapa mimi, wewe na wale,

Hawahitaji sana majibu ya Shehe Mohamed Said bali yeye kama sehemu ya kutetea ngano zake na aje na hayo majibu hapa hapa!

Yericko,

Wewe baba yako ndiye Baba wa Taifa na ndiye muasisi wa TANU.
Tuandikie kitabu vipi aliasisi TANU.

Hii itafuta ''ngano'' za Mohamed Said.

Utakuwa umetufanyia ihsani kubwa sana.
 
MM,


Mimi nitue mara ngapi?

Nishatua toka siku kitabu kilipoingia mitaani.
Nakusubirini nyie mruke mshuke na kitabu.

Sana sana huku unasaidiwa ili usiendelee kupumbaza wenye elimu finyu ila hakuna anayeruka ruka na uzushi uliouandika. Kama lengo lako lilikuwa ni hilo, tunakupuuza tu wewe na maandishi yako then tunasonga mbele.
 
Back
Top Bottom