Ok lets talk about the facts if you will...
a. Kuna wakati wowote ambapo Wakristu hawakushiriki katika harakati za Uhuru au katika vyama mbalimbali vya kupigania haki za Wakristu?
b. Kuna wakati ambapo Wakristu hawakuwa viongozi wa juu katika vyama hivyo mbalimbali na hivyo kuwa aktika "centre stage" ya shughuli za vyama hivyo?
It is absolutely absurd and silly to suggest - even remotely - that the names such of those of John Rupia, Dr. Mwanjisi, Dr. Kyaruzi, Stephen Mhando, Clement, na wengine wengi only appear in 'dramatis personae' sijui hata kama ulimaanisha hivyo maana "dramatis personae' ni characters wa mchezo - na haihusishi watu ambao hawakuwa na centre role. Hivyo kina Dossa Aziz, Abdulwahid, Nyerere, Titi Mohammed wote wako kwenye orodha ya characters tu na katika hao walioshika nafasi kuu of course ni Nyerere (star of the show) akiwa na supporting cast kama kina Abdul, Rupia na wengine.
Mchango wa Wakristu katika harakati za uhuru na nafasi zao haiwezekani kupuuzwa, kubezwa au kudunishwa. Kama walivyofanya ndugu zao ndivyo hivyo Wakristu nao walishiriki bega kwa bega na kulipia gharama ile ile ambayo wengine walilipia katika kupigania uhuru. HIstoria inatufundisha jinsi wazee wetu walivyoshirikiana kumpinga ukoloni licha ya tofauti zao za mahali, dini, kabila, na hata hali (status).
Those my dear one are the indisputable facts. You DO NOT have any facts to the contrary. No you don't.