Hatukuelewana Ritz. Nilikataa kumsemea Oscar Kambona. Hata Mwalimu simsemei. Karama hiyo ya kuwasemea watu wengine anayo mzee wetu Mohamed. Kaandika na kitabu kabisa na kueleza hisia zao za ndani. Mimi nasema kile ninachokifahamu kuhusu MwalimuJuzi wewe mwenyewe umesema huwezi kumsemea Nyerere kuhusu ugomvi wao na Kambona baada ya kukuuliza. Tena ukasema mpaka anaingia kaburini hakuwahi kusema ukaniambia niwaulize watoto wake ukanitajia na majina, leo tena wewe huyo huyo anamsemea marehemu hakuwa na utani kwa wavunja Katiba.