Zanta
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,028
- 796
hivi unafikiri kabisa kuwa wanakusoma wewe tu; au wengi wanafunguliwa kwa kuelewa kuwa histohisia yako imefikia mwisho? Husomwi peke yako humu.
Imani hiyo Mzee Mwanakijiji yaani hapa anaamini wote tuliomsoma tumekubaliana na hoja zake