Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Abraham Lincoln:
Huyu ni Rais wa 16 wa USA, ana uhusiano upi na hoja ya Uhuru? labda tungekuwa tunaongelea vita ya wenyewe kwa wenyewe ningekuelewa, ndio ilikuwa wakati wake.

Fidel Castro:
Hivi unaweza kuongea kuhusu Fidel Castro wa zana za kupigania Uhuru bila kumtaja Che Guevara?

che_guevara_fidel_castro.jpg


Nimekuwekea hao wawili tu ili nisitoke kwenye mjadala, kama utahitaji Historia za Uhuru za hao wengine wote funguwa nyuzi. Naona tatizo lako kubwa ni kuwa hujui kutofautisha historia ya Uhuru wa nchi na "Biography" za watu binafsi.

Hakuna Historia dunia hii inayoongelea mambo ya Uhuru akatajwa mtu mmoja tu. Hata India akitajwa Gandhi katika harakati za Uhuru basi huwezi kumuwacha Nehru.

Hii hoja yako ni dhaifu sana tena sana.


ZOMBA a.k.a Mzee wa Hints..!

Please kill them slowly..

We still need them in our mnakasha al akhiy..
 
BD, Dar es Salaam hii mie si wa kutafutwa. Kuanzia email, street address you name it vinajulikana. Kubwa zaidi hata jiwe ukiliuliza, ''We jiwe nifahamishe Mohamed anakaa wapi?'' Jiwe litakuelekeza nyumbani kwangu. Hizo propaganda unazotaka kuzileta hapa jamvini ni za kizamani sana. Hata hao waliokuwa wanazitumia wote wameshatangulia mbele ya haki. Umeogopa kufungua uzi nikupe mimi na akina Sheikh Faridi, Sheikh Mselem bin Ali, Sheikh Ponda na wengine tunajuana sasa zaidi ya miaka 30. Wala hili si jambo la siri. Usiogope nataka nikupe taarifa zangu za Iran na Waislam wengine duniani...kila kitu kuhusu mimi na ndugu zangu Waislam. We si unaona hivi ni vitu hatari Tanzania na vinatisha na serikali hairuhusu vipi mie nakupa ofa sasa unagwaya? Fungua uzi tufanye mjadala. Chukua ofa hii usiiache. Nakusihi tafadhali chukua ofa hii.
Hivi una habari NECTA wameshatoa majibu ya form iv??
 
Nadhan atachukua,
Kama hataki ni khiyari yake,,

Dullah,

Huyu ni mtu wa ovyo sana.
Anadhani mimi anaweza kunitisha...

Anifikishe mahali niwakane ndugu zangu Waislam.
Mpuuzi sana huyu.

Hatazami watu wa kutisha?
Dar es Salaam hii mimi wa kutafutwa kwani sijulikani?

Mtego wake umekamata chui badala ya paa.

Anaogopa sasa hata kuusogelea mtego wake.
 
Mikataba ya Barrick imesainiwa kati ya 1993 na 1995 which means mazungumzo yalianza long kabla ya hapo. Wameanza production 2000. Lakini wameingia Bulyankulu tangu 1996 wakati raia wetu walipofukuzwa na wengine kuzikwa hai, kwa mujibu wa LEAT.

Kumbe ilikuwa ni mikataba ya wakati wa Nyerere (13 April 1922 – 14 October 1999).

Patamu hapo.
 
Dullah,

Huyu ni mtu wa ovyo sana.
Anadhani mimi anaweza kunitisha...

Anifikishe mahali niwakane ndugu zangu Waislam.
Mpuuzi sana huyu.

Hatazami watu wa kutisha?
Dar es Salaam hii mimi wa kutafutwa kwani sijulikani?

Mtego wake umekamata chui badala ya paa.

Anaogopa sasa hata kuusogelea mtego wake.
Naona umehamaki...Unaikumbuka ile sheria ya ugaidi niliyokudokezea?
 
BD,

.......................................................

Usiogope nataka nikupe taarifa zangu za Iran na Waislam
wengine duniani...kila kitu kuhusu mimi na ndugu zangu
Waislam.

We si unaona hivi ni vitu hatari Tanzania na vinatisha
na serikali hairuhusu vipi mie nakupa ofa sasa unagwaya?

Fungua uzi tufanye mjadala.
Chukua ofa hii usiiache.

Nakusihi tafadhali chukua ofa hii.
Mohamed Said wewe na wafuasi wako kila mnaposhindwa hoja mnakimbilia kutaka watu waanzishe uzi mwingine, kwani wewe unaona hatari gani kuanzisha huo uzi kama una nondo za kutoa na hapa hazifai kuwepo?
 
Last edited by a moderator:
ZOMBA a.k.a Mzee wa Hints..! Please kill them slowly.. We still need them in our mnakasha al akhiy..
@DULLAH MSAVIVOR, ama utakuwa mtoto mdogo sana ama uelewa wako ndio ule ule wa akina zomba. Nchi ya Cuba ilipata uhuru wake toka Hispania miaka mingi tu kabla ya hao jamaa kuzaliwa. Hawa wanajulikana tu kwa kufanya mapinduzi miaka mingi tu baada ya Cuba kuwa huru. Baba wa Taifa (Founding father) la Cuba anaitwa Carlos Manuel de Céspedes...angalia usimeze kila ngano inayotolewa humu kama historia kama hizo za Mohamed Said.
 
Dullah,

Huyu ni mtu wa ovyo sana.
Anadhani mimi anaweza kunitisha...

Anifikishe mahali niwakane ndugu zangu Waislam.
Mpuuzi sana huyu.

Hatazami watu wa kutisha?
Dar es Salaam hii mimi wa kutafutwa kwani sijulikani?

Mtego wake umekamata chui badala ya paa.

Anaogopa sasa hata kuusogelea mtego wake.


Mjinga hupuuzwa tuh...
Sisi hatupo hapa kujenga chuki na kubaguana,sisi tupo hapa kupeana uelewa,kejeli na vitisho havisaidii,
Sisi si wale wanaogopa na kujiskia haya na aibu kuonekana wao ni Waislam,tunajitambua haswaa..
Sisi tunawashangaa watu kama hawa,wamekula Iddi mbili sasa wanajiona ni wa-mjini,,
Mjini hapa wamekuja lini?
Hovyo tuh..
 
Hivi una habari NECTA wameshatoa majibu ya form iv??

Mzee NECTA kama kawaida yako...kati ya wewe au mzee wako lazima mmoja atakuwa anafanya kazi NECTA.

zomba,

Hawa Pro-Chadema JF wanakesha JF kuiponda CCM lakini NECTA ikiguswa wote wanarudi CCM.
 
Last edited by a moderator:
Hivi una habari NECTA wameshatoa majibu ya form iv??

Mzee NECTA kama kawaida yako...kati ya wewe au mzee wako lazima mmoja atakuwa anafanya kazi NECTA.

zomba,

Hawa Pro-Chadema JF wanakesha JF kuiponda CCM lakini NECTA ikiguswa wote wanarudi CCM.
 
Last edited by a moderator:
Naona umehamaki...Unaikumbuka ile sheria ya ugaidi niliyokudokezea?


Then tukihamaki utasemaje?
Kumbe nia yenu ni kuja na maneno ya kifedhuri huku mkitaraji kuwatoa watu nje ya mstari?
Kwa hilo hamtafanikiwa,watu wana busara zilizokomaa,na wameanza kuliona jua kabla yenu,tulien na mkae kitako kufyonza maarifa mnayopewa kwa adabu..
 
@DULLAH MSAVIVOR, ama utakuwa mtoto mdogo sana ama uelewa wako ndio ule ule wa akina zomba. Nchi ya Cuba ilipata uhuru wake toka Hispania miaka mingi tu kabla ya hao jamaa kuzaliwa. Hawa wanajulikana tu kwa kufanya mapinduzi miaka mingi tu baada ya Cuba kuwa huru. Baba wa Taifa (Founding father) la Cuba anaitwa Carlos Manuel de Céspedes...angalia usimeze kila ngano inayotolewa humu kama historia kama hizo za Mohamed Said.


At the end umekubali kuitii na kuiheshimu hii HISTORIA ambayo wewe na MZEE WAKO MWANAKIJIJI MDINI mlikua mnaitamka ni HISTOHISIA..
Safi sana..
 
Mohamed Said wewe na wafuasi wako kila mnaposhindwa hoja mnakimbilia kutaka watu waanzishe uzi mwingine, kwani wewe unaona hatari gani kuanzisha huo uzi kama una nondo za kutoa na hapa hazifai kuwepo?
Z, Nitakae taarifa si mimi. Uzi anaweka mwenye kutafuta taarifa.
 
Last edited by a moderator:
Dullah,

Huyu ni mtu wa ovyo sana.
Anadhani mimi anaweza kunitisha...

Anifikishe mahali niwakane ndugu zangu Waislam.
Mpuuzi sana huyu.

Hatazami watu wa kutisha?
Dar es Salaam hii mimi wa kutafutwa kwani sijulikani?

Mtego wake umekamata chui badala ya paa.

Anaogopa sasa hata kuusogelea mtego wake.
Ha ha haaa naona mzee wa Gerezani umekasirika na povu linakutoka.
Mzee Mohamed, amini nakuhakikishia hii wiki haiishi bila ya wewe kupewa misukosuko kama ya swaiba wako Ponda.
Hivi unahabari taharifa zako zimeshafika ubalozi wa Marekani ndani ya Bongo na sasa zimeshatuwa mikononi mwa CIA na FBI huko America? Yaani this time uchomoi....na ukichomoa bongo basi kwa wamarekani huchomoi. Wee subiria uone.
 
Mohamed Said wewe na wafuasi wako kila mnaposhindwa hoja mnakimbilia kutaka watu waanzishe uzi mwingine, kwani wewe unaona hatari gani kuanzisha huo uzi kama una nondo za kutoa na hapa hazifai kuwepo?

Duniani kuna vituko kauzu kama wewe unaweza kumbana nani.
 
Last edited by a moderator:
Ufuatao ni mchanganuo wa shele zetu
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]SHULE
[/TD]
[TD]DIV I
[/TD]
[TD]DIV II
[/TD]
[TD]DIV III
[/TD]
[TD]DIV IV
[/TD]
[TD]DIV 0
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ARAFAH ISLAMIC SEMINARY


[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]7
[/TD]
[TD]36
[/TD]
[TD]66
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]PEMBA ISLAMIC COLLEGE


[/TD]
[TD][/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]21
[/TD]
[TD]11
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]AMANAH ISLAMIC SEMINARY


[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]26
[/TD]
[TD]10
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ZUHRA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL


[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]23
[/TD]
[TD]43
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]AL-FURQAAN ISLAMIC SEMINARY


[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]19
[/TD]
[TD]73
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]WALIUL ISLAMIC BOYS


[/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]5
[/TD]
[TD]23
[/TD]
[TD]9
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL


[/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]15
[/TD]
[TD]36
[/TD]
[TD]38
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUNDUCHI GIRLS ISLAMIC HIGH SCHOOL


[/TD]
[TD][/TD]
[TD]7
[/TD]
[TD]20
[/TD]
[TD]80
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ARAFAH ISLAMIC SEMINARY


[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]7
[/TD]
[TD]36
[/TD]
[TD]66
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CHAMAZI ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]3
[/TD]
[TD]39
[/TD]
[TD]5
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MIVUMONI ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]8
[/TD]
[TD]25
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]THAQALAIN ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]15
[/TD]
[TD]43
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]UNUNIO ISLAMIC HIGH SCHOOL
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]21
[/TD]
[TD]14
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]AL-KHEIR ISLAMIC GIRLS SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]19
[/TD]
[TD]18
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIRINJIKO ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]20
[/TD]
[TD]62
[/TD]
[TD]45
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MATANGINI ISLAMIC SEMINARY CENTRE
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]37
[/TD]
[TD]103
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIPATA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]38
[/TD]
[TD]8
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]BUBUBU SECONDARY SCHOOL
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]87
[/TD]
[TD]173
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]AHLULBAYT ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]3
[/TD]
[TD]4
[/TD]
[TD]39
[/TD]
[TD]14
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]NUR ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]3
[/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]57
[/TD]
[TD]18
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MUDIO ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]15
[/TD]
[TD]19
[/TD]
[TD]30
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]AL-HARAMAIN ISLAMIC
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]29
[/TD]
[TD]113
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MAZIZINI ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]36
[/TD]
[TD]5
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KATORO ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]10
[/TD]
[TD]40
[/TD]
[TD]120
[/TD]
[TD]4
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]AT-TAAUN ISLAMIC GIRLS SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]3
[/TD]
[TD]36
[/TD]
[TD]40
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]AN-NOOR ISLAMIC BOYS SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]9
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MHUMBU ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]21
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KALOLENI ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]26
[/TD]
[TD]11
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MAZIZINI ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]36
[/TD]
[TD]5
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]AHLULBAYT ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]3
[/TD]
[TD]4
[/TD]
[TD]39
[/TD]
[TD]14
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ALGEBRA ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]7
[/TD]
[TD]21
[/TD]
[TD]62
[/TD]
[TD]3
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LUQMAN ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]16
[/TD]
[TD]17
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SONI ISLAMIC SEMINARY SECONDARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]3
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]26
[/TD]
[TD]10
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CHAMAZI ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]3
[/TD]
[TD]39
[/TD]
[TD]5
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
[/TD]
[TD]5
[/TD]
[TD]20
[/TD]
[TD]55
[/TD]
[TD]82
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] BILAL ISLAMIC SEMINARY
[/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]7
[/TD]
[TD]30
[/TD]
[TD]1
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MARKAZ ISLAMIC SEMINARY SECONDARY SCHOOL
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD]4
[/TD]
[TD]14
[/TD]
[TD]17
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ILALA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL
[/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]11
[/TD]
[TD]14
[/TD]
[TD]22
[/TD]
[TD]7
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]WALIUL ISLAMIC BOYS
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]5
[/TD]
[TD]23
[/TD]
[TD]9
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Ha ha haaa naona mzee wa Gerezani umekasirika na povu linakutoka.
Mzee Mohamed, amini nakuhakikishia hii wiki haiishi bila ya wewe kupewa misukosuko kama ya swaiba wako Ponda.
Hivi unahabari taharifa zako zimeshafika ubalozi wa Marekani ndani ya Bongo na sasa zimeshatuwa mikononi mwa CIA na FBI huko America? Yaani this time uchomoi....na ukichomoa bongo basi kwa wamarekani huchomoi. Wee subiria uone.

Msimu wa maembe umenza...ha haa haaa!
 
Kumbe ilikuwa ni mikataba ya wakati wa Nyerere (13 April 1922 – 14 October 1999).

Patamu hapo.

Barrick walikuja Tanzania 1977 kutafuta uwekezaji. Nyerere akawaambia 60-40. Wakaondoka na kumsubiri atoke mamlakani. Hata kabla ya kuondoka aliwaambia wana CCM wenzake, akiwemo Kikwete, Mwinyi na Mkapa, kwamba madini hayo yasichimbwe mpaka Watanzania watakapokuwa tayari kielimu kusimamia uchimbaji wake. Mafisadi walipoona wamepewa usukani wa kuendesha nchi wakafanya vitu vyao. Walivyoona kelele zinazidi wakaharakisha harakati za kumkolimba. Kwa hiyo usihusishe uoza huu na Nyerere. Hakusaini mkataba wowote wa aina hii.
 
Back
Top Bottom