Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mzee Mohamed Saidi, mpaka kufikia page hii umegalagazwa vibaya sana! Yaani hauna hoja ya maana bali una viroja na ubishi wa kutokubali kushindwa. Hata nafsi yako inakuambia kama umeshindwa ila akili yako imejaa ubishi wa kijihadi.

Ukweli ni kwamba umeshindwa ila unaona aibu kuondoka kwenye mjadala huu. Pia utambue kati ya hao watu 75,000 wanao
fatilia mjadala huu ni watu 50 au 70 tu ndiyo watakaokubaliana na hizi ngano zako na hao wengi waliobakia wanakucheka,
kukudharau na kukupuuza. Acha ubishi kubali umeshindwa.
 
Mzee Mohamed Saidi, mpaka kufikia page hii umegalagazwa vibaya sana! Yaani hauna hoja ya maana bali una viroja na ubishi wa kutokubali kushindwa. Hata nafsi yako inakuambia kama umeshindwa ila akili yako imejaa ubishi wa kijihadi.

Ukweli ni kwamba umeshindwa ila unaona aibu kuondoka kwenye mjadala huu. Pia utambue kati ya hao watu 75,000 wanao
fatilia mjadala huu ni watu 50 au 70 tu ndiyo watakaokubaliana na hizi ngano zako na hao wengi waliobakia wanakucheka,
kukudharau na kukupuuza. Acha ubishi kubali umeshindwa.

BD,

Umerudi.
Karibu.

Wakuamua mshindi hivi ni wewe?
 
Karibu rafiki yangu Yericko.

Nani angenijua mie JF kama
si wewe?
binafsi nimekujua kwenye mnakasha huu,
wewe ndo mtunzi wa vitabu vile vya hadith?


  • Kisima cha Giningi
  • Dni Kuna Watu
  • Kosa la Bwana Msa
  • Siri ya sifuri
  • Mwana wa yungi hulewa
  • Mzimu wa watu wa kale
  • Mke mmoja waume watatu
  • Duniani kuna watu
  • Kisima cha Giningi.

 
Mbona unarudia
makosa yaleyale? Kitabu chako si historia halisi ya harakati za uhuru
bali ni simulizi/ngano za wazee wako tu,

Mkuu Yericko, Tunakushukuru sana kwa Hekima zako ingekuwa bila wewe
kuanzisha hii mada, hawa watu 75000+ ambao hawakujua upande wa pili wa
historia iliyofichwa leo wamejua, maswali yako yamethibitisha kwamba
japo kuna watu waliojitolea kwa hali na mali kama kina Oscar Kambona, Kasela Bantu na
Abdu Sykes lakini kwa kutaka sifa kama madictator wengine alijaribu kuwapoteza mashujaa hao ili yeye pekee awe shujaa
 
Mohamed Said,

Watu wanajifunza vingi kutoka kwako endelea kutoa darsa.

Cha kufurahisha hata wale wote wanakupinga wanajifunza kutoka kwako.

Tunaendelea kukusoma kwa miwani ya 3D.
 
Last edited by a moderator:
binafsi nimekujua kwenye mnakasha huu,
wewe ndo mtunzi wa vitabu vile vya hadith?


  • Kisima cha Giningi
  • Dni Kuna Watu
  • Kosa la Bwana Msa
  • Siri ya sifuri
  • Mwana wa yungi hulewa
  • Mzimu wa watu wa kale
  • Mke mmoja waume watatu
  • Duniani kuna watu
  • Kisima cha Giningi.

Z,

Hapana Mohamed Said aliyeandika vitabu hivyo si mimi.
Mohamed Said mimi ni mwingine.

Nilichoandika hiki hapa:


BOOKS


1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

2. Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi 2006

3. Contributing author African Anthology, The Mermaid of Msambweni, Oxford University Press, 2008 Nairobi

4. Uamuzi wa Busara, Abantu Publications, Dar es Salaam, 2009

5. Broken Dreams: The Life of Ally Sykes, Phoenix Publishers, Nairobi forthcoming

PART OF RESEARCH PAPERS/ARTICLES

1. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London)

2. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London)

3. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

4. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

5. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam)

6. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003)

7. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000' (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15[SUP]th[/SUP] – 17[SUP]th[/SUP] 2003)

8. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP] February – 4[SUP]th[/SUP] March 2004)

9. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11[SUP]th[/SUP] April 2004)

10.Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8[SUP]th[/SUP] - 10th February 2006)

11. The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (Paper Presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa, University of Johannesburg 1 - 3 September, 2006 (the paper was again presented to Islamic Propagation Centre International, Durban)

12. Visiting Scholar, University of Iowa, Iowa City and Northwestern University, Chicago, Illinois, USA, Presented paper Islam and Politics in Tanzania, April 2011

13. Visiting Researcher Zentrum Moderner Orient, Berlin Germany, Presented Paper Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania, July 2011
 
Z,

Hapana Mohamed Said aliyeandika vitabu hivyo si mimi.
Mohamed Said mimi ni mwingine.

Nilichoandika hiki hapa:


BOOKS
1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002. 2. Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi 2006 3. Contributing author African Anthology, The Mermaid of Msambweni, Oxford University Press, 2008 Nairobi 4. Uamuzi wa Busara, Abantu Publications, Dar es Salaam, 2009
5. Broken Dreams: The Life of Ally Sykes, Phoenix Publishers, Nairobi forthcoming

PART OF RESEARCH PAPERS/ARTICLES

1. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London)

2. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London)

3. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

4. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

5. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam)

6. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003)

7. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000' (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15[SUP]th[/SUP] – 17[SUP]th[/SUP] 2003)

8. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP] February – 4[SUP]th[/SUP] March 2004)

9. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11[SUP]th[/SUP] April 2004)

10.Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8[SUP]th[/SUP] - 10th February 2006)

11. The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (Paper Presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa, University of Johannesburg 1 - 3 September, 2006 (the paper was again presented to Islamic Propagation Centre International, Durban)

12. Visiting Scholar, University of Iowa, Iowa City and Northwestern University, Chicago, Illinois, USA, Presented paper Islam and Politics in Tanzania, April 2011

13. Visiting Researcher Zentrum Moderner Orient, Berlin Germany, Presented Paper Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania, July 2011
sasa nimekupata!
kumbe vitabu vyako na pepa zako zote zinahusu dini?
basi huyu yericko hakuwa na sababu ya kuweka huu mnakasha hapa, maana historia yako imelenga dini yako na wazee wako kama tittle za vitabu vyako zinavyojieleza.
 
Ritz,

Hilo swali muhimu sana na hapa chini litakuonyesha jinsi viongozi wa TAA
walipolichukua jambo hilo na kama msingi wa kuasisi TANU.

Hii ilikuwa 1950:


[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] Tanganyika as a Mandate Territory[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Britain was administering Tanganyika under articles 76 and 77 of the Charter of the United Nations.

As the administering authority, Britain was expected to establish and promote political, economic and social advancement of Tanganyika until such time as its people were ready for self-rule.

In spite of this international commitment, the British were more interested in safeguarding their own colonial interests and those of other minorities but-not those of the indigenous African majority. [1]

In order to pre-empt African reaction to this injustice, in 1949 Governor Twining invited proposals from prominent individuals, welfare societies and from Native Authorities,[2] as to how Tanganyika should be governed.

TAA political committee submitted a memorandum to the Constitutional Development Committee which was signed by the entire executive: Sheikh Hassan bin Amir, Abdulwahid Sykes, Vedasto Kyaruzi, Hamza Mwapachu, John Rupia, Stephen Mhando and Said Chaurembo. [3]

In his annual report for 1950, Abdulwahid was to write:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] ''For the welfare of the Africans and to safeguard the interests of this Association and those of the African community as a whole, this Association has arranged for an advocate to stand by and to advise the Association on the technical side of the law. This advocate is Mr. E.E. Seaton of Moshi. He has from time to time written to the Association on various political subjects, and helped a great deal with his advices when this Association was compiling its memorandum on constitutional development. '' [4] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Abdulwahid realised that many of the problems in respect of the rights of Africans in the territory were legal issues which required the advice of legal experts. For the first time, with the help of Seaton, TAA was able to confront the colonial authority with facts and figures illustrating injustices in the colonial system which were contrary to the United Nations Charter. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] In his analysis of the TAA memorandum to the Constitutional Development Committee, Pratt reported:[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] ''The most detailed African submission came from the Dar es Salaam branch of the Tanganyika African Association. It asked that the distribution of seats (i.e. an official majority and one-half of the unofficial to be African) should be held constant for the next twelve years and that in the thirteenth year a common electoral roll should be introduced with a majority of the council then being elected.''[5] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Governor Edward Twining’s committee ignored TAA’s recommendations. The government continued with its long-term plans of strengthening the positions of minority Europeans and Asians in the political development of the territory while pushing aside the indigenous Africans contrary to the United Nations Charter.

Many learned Africans were of the opinion that the TAA submission should have rightly formed the basis of the future constitution of the territory as a multi-racial society.

But the spirit of that document did not die. It surfaced at the TANU founding conference on 7 th July, 1954 and was to form the basis of Julius Nyerere’s speech before the Trusteeship Council of the United Nations in New York in March, 1955. [6]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hiyo bold inamkata maini Jasusi.

Hataki kukubali kuwa TAA ilikuwa na watu hodari kama Sheikh Hassan bin Amir ambae wakati
ule alikuwakaandika vitabu takriban saba na vikisomeshwa vyuo vingi vya Kiislam pamoja na
Al Azhar.

[1]For a detailed discussion on the subject see Cranford Pratt, The Critical Phase in Tanzania
1945-1968,
Cambridge University Press, London, 1976, pp. 29-31.

[2]Ibid p. 30.

[3]The author was for the first time informed of the existence of this document by one of
Mwapachu's children, Juma Volter Mwapachu. He was informed that Mwapachu took great
pride in having participated in the drafting of this document. In her book Listowel mentioned
this document and its historical significance to the political history of Tanganyika. But it was
Pratt who analysed the document in detail. The document was first consulted by Pratt in 1959
in a file of the Committee on ‘Constitutional Development Report/and Despatches to the
Secretary of State’ no. 1146-6, Dar es Salaam Secretariat Library. Although this file is available
at the Tanzania National Archives, the document is missing. The author was informed that a
microfilm of the document was available but that too could not be traced. For more information
on loss of historical documents see M. Said, ‘In Praise of Ancestors Revisited’ in Africa Events, London
March, 1989, pp. 50-51.

[4]Annual Report of the secretary of TAA, ibid.

[5]Pratt op. cit. p. 30.

[6] There are old men, TANU veterans, who believe to this day that the March 1955 speech by Julius
Nyerere before the Trusteeship Council was written by Abdulwahid, and so was the constitution of
Tanganyika. The author has come across this story several times in his interviews with early members
of TANU. The reason for this belief is that the document was drafted by the TAA Political Subcommittee
in 1950.
Hapana. Haijanjikata maini hata kidogo. The key word hapa ni "was to form the basis." Kwamba maudhui na malengo ya ile document yalizingatiwa na Nyerere lakini hotuba na lugha iliyotumiwa katika hotuba ni classic Nyerere. Wewe ulitaka tuamini kuwa Nyerere aliisoma hotuba iliyoandikwa na Abdulwahid kwenye UNO verbatim. Badala ya kunikata maini, inazidi kuonyesha ujanja wako wa kutaka kupotosha ukweli. Indeed the truth makes us free. Nikuulize na wewe, kwa nini hukusema tu kwamba hotuba aliyoitoa Nyerere UNO basis yake ilikuwa ni document ya TAA? Tusingekuwa na debate hii saa hizi.
 
sasa nimekupata!
kumbe vitabu vyako na pepa zako zote zinahusu dini?
basi huyu yericko hakuwa na sababu ya kuweka huu mnakasha hapa, maana historia yako imelenga dini yako na wazee wako kama tittle za vitabu vyako zinavyojieleza.

Z,

Hapana sio dini.

Hiyo ni political science.
Huo Uislam unaouona hapo ni sehemu tu ya sayansi ya jamii (social science).

Dini ukiwa na maana ya ''tawhid'' hiyo ni bahari mie siingii kwa kuwa sina ujuzi.
 
Hapana. Haijanjikata maini hata kidogo. The key word hapa ni "was to form the basis." Kwamba maudhui na malengo ya ile document yalizingatiwa na Nyerere lakini hotuba na lugha iliyotumiwa katika hotuba ni classic Nyerere. Wewe ulitaka tuamini kuwa Nyerere aliisoma hotuba iliyoandikwa na Abdulwahid kwenye UNO verbatim. Badala ya kunikata maini, inazidi kuonyesha ujanja wako wa kutaka kupotosha ukweli. Indeed the truth makes us free. Nikuulize na wewe, kwa nini hukusema tu kwamba hotuba aliyoitoa Nyerere UNO basis yake ilikuwa ni document ya TAA? Tusingekuwa na debate hii saa hizi.

Jasusi,

Kwani hukusoma kitabu changu?
Mbona yote hayo yamo humo?
 
NGURUVI

''Self Quotation''

Umesahau.
Mimi hapa siko na wewe tu.

Wewe ni mtu mmoja na Alhmdulilah nashukuru kuwa unanisikiliza.

Pamoja na wewe kuna wasikizaji 75,000 plus wametega masikio.
Hawa hawajasikia haya ninayosema.

Wewe unanisaidia mimi kuwafikishia hawa yale ambayo hata siku
moja hawakupatapo kuyajua.

Hapo ndipo ninapoweka yale niyajuayo.

Kuna msikizaji mmoja leo kasema yeye hachangii chochote lakini
kaingia kusema kuwa hakika ananufaika sana na haya niyasemayo.
Na mwingine amesema alipokusikiliza radio iman aliamini sana ulichosema.
Alipoingia JF ametupa hata nakala chache alizokuwa nazo.

Nasi tumepata fursa ya kuuonyesha umma kile kilichomo between the lines and the motive behind your books.
Kikubwa zaidi ni kuonyesha who can take our house down if left unchecked.

We have shown the clear link between Ilunga, Ponda, Mohamed et al in relation to the instability of the country.
We have been able to show the public and country at large the imminent danger posed by color and odorless poison lingering in our society in the name of religion.

Above all we have proved you wrong hundreds times!
Next time you will think first before you cook another story.
 
Nimekisoma. Hayakuwa wazi kama tulivyobainisha hapa. Kwa kitabu chako mtu angetoka pale akiamini kuwa hotuba ya Nyerere UNO iliandikwa na Abdulwahid. There was no clarification.

Jasusi,
Toa hofu mambo yote sasa shwari kwako.
 
Back
Top Bottom