Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

RITZ,
Nimeenda CAIRO hapa namuangalia FARAO live alivyolala hapa na jinsi alivyokaushwa yeye na familia yake! huu ndio mwisho wa kiburi cha kiongozi yoyote anae takabar! Huyu jamaa alitamba kuwa hakuna Mungu zaidi yake na yeye alikuwa Mungu mkuu! mpaka amenikumbusha huko nyumbani kuna jamaa alijifanya Mungu mtu mpaka kufikia kusema hakuna fikra sahihi zaidi yake! lakini Mungu alimuonyesha bado akiwa hai kuwa fikra zake si sahihi na kuna wengi wenye kujua zaidi yake!

RITZ,
Mungu akijaalia narudi baada ya wiki 3 unapenda zawadi gani nikuletee na MO Said akirudi toka likizo mwambie achaguwe zawadi gani nimletee toka Cairo!
Nakumbuka kuna kisa katuhadithia MS kuhusu Mpigania uhuru Abdulwaheed Syke na bwana mmoja aliekuwa mtangazaji wa Radio Cairo kukutana kwao hapa Cairo! unamkumbuka huyo bwana ni yupi? na kisa chake?

Kadogoo,
Naona bado mnaendeleza uwongo wa kumchafua Nyerere. Hakuna mahali hata siku moja ambako Nyerere alisema hakuna fikra sahihi zaidi yake. I challenge you to bring here that statement coming from Nyerere. Nyerere ameacha rekodi inayotukuka. Na hata mkijaribu kumchafua kiasi gani itakuwa kama mtu anayekimbiza kivuli chake.
 
Ritz angalau kaja na swali zuri maana tayari ameshapata shaka ya kutosha (reasonable doubt) ya simulizi linalochosha la Mohammed Said. Kile kinachoitwa "historia iliyosahauliwa" kwa kweli haipo na hivyo haikusahauliwa! Kile ambacho Mohammed SAid amekijaribu kukijenga kwa muda mrefu nacho hakipo - yaani harakati za Uhuru zilifanywa na Waislamu na wao peke yao walikuwa "at the center of the struggle' na watu wengine (a.k.a Wakristu) walikuwa ni "dramae personae" yaani washirika tu wa tukio. Hilo halikuwepo.

Kile ambacho Mohammed amekipachaka kwenye historia nacho hakikuwepo yaani utengano wa kidini. Wadini wa mwanzo kabisa (kina Mashada Plantan) walikataliwa na wenzao wakajiengua; masalia yake ni hawa kina Mohammed Said. Kundi lile lilitaka lipewe upendeleo wa pekee kwa sababu ni Waislamu. Waliamini kuwa ni wao ndio waliachwa nyuma. Na ukisoma sana utaona kuwa Mohammed Said na hata Njozi wamejaribu kuaminisha Umma kuwa walioachwa nyuma katika maendeleo ni Waislamu tu; kwamba kwa sababu ya dini yao Wakoloni hawakuwapa kipaumbele.

Ukiangalia sana utaona kuwa wakoloni waliacha wengi nyuma hasa makabila mengi sana. Ni makabila matatu tu ambayo kwa kweli yanaonekana kupata upendeleo wa aina yake - Wahaya, Wanyakyusa na Wachagga. Na bahati mbaya (au nzuri) ni makabila haya haya ambayo yana Wakristu wengi (Wahaya nao wana Waislamu wengi waliosoma sana). Lakini makabila mengine zaidi 117 yalikuwa pembezoni; haijalishi makabila haya yalikuwa ni ya Wakristu au Waislamu au Wapagani!

Na cha utaona kuwa kabila kama Wasukuma (ambao wengi walikuwa kwenye imani za jadi) hawakupa mafanikio yale yale ambayo yalikuwepo Uhayani, Unyakyusani na Uchaggani. Matokeo yake ni kuwa licha ya watu wa Jamii ya Kisukuma (pamoja na Wanyamwezi) kuwa ndio wengi zaidi nchini bado hawaonekani sana katika nafasi mbalimbali za UOngozi. Wasukuma wanaweza kabisa kudai kuwa wamebaguliwa. Siyo wao tu makabila mengine mengi tu yanaweza kudai kuwa yamebaguliwa na hiyo haijalishi kama yana Wakristu au Waislamu ndani yake. Wakinga ni Wakristu kwa wingi tu lakini huwaoni sana kwenye uongozi mkubwa wa nchi (wamezama kwenye biashara sana); Wandali nao ni Wakristu vile vile, n.k

Ukiamua kuangalia mgawanyo kwa madaraka utaona wazi kuwa makabila mengi sana yako nyuma ya hayo matatu! Lakini hata hilo nalo hawezi kulaumiwa Nyerere. Kwani Nyerere alitambua hili mara moja sana na badala ya kuweka mkazo wa kuinua kikundi kimoja cha kidini (Waislamu) Nyerere aliweka mkazo wa kutoa nafasi kwa watu wa makabila mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za nchi. Matokeo yake leo watu wa kutoka Kusini na Kaskazini, Magharibi na Mashariki wanaanza kula matunda ya juhudi hizo wao na watoto wao. Inatokea tu wengine ni Waislamu na Wakristu.

Bila uamuzi ule wa Busara wa Nyerere uwezekano wa makabila matatu tu kudominate siasa za Tanzania ungeendelea kuwa mkubwa sana. Watu ambao wangekuwa nje kabisa ya nafasi hizo wala wasingejulikana kwa dini zao; bali kwa makabila yao.

Think about it...
Mwanakijiji,
Huhitaji kwenda mbali kuona matunda ya kazi aliyofanya Mwalimu. Nchini Kenya, wakati wa harakati za kupigania uhuru, kulikuwepo mshikamano mkubwa baina ya makabila kiasi kwamba Jaramogi alikubali kumwachia Kenyatta uongozi wa nchi. Lakini sote tunajua kilichotokea. Kenyatta baada ya uhuru akageuka kuwa tribal chief na kupendelea kabila lake. Nakumbuka mwaka 1973 ukipiga simu kwenye ofisi ya serikali Nairobi ama wanakujibu kwa Kikikuyu, aterere, au kama husemi Kikikuyu ni Kiingereza. Matokeo yake sote tunayaona leo. Kenya hata uchaguzi lazima ufanyike kwa tribal alliances. Na ukabila utawatafuna mpaka siku ya kiyama.
 
Ritz angalau kaja na swali zuri maana tayari ameshapata shaka ya kutosha (reasonable doubt) ya simulizi linalochosha la Mohammed Said. Kile kinachoitwa "historia iliyosahauliwa" kwa kweli haipo na hivyo haikusahauliwa! Kile ambacho Mohammed SAid amekijaribu kukijenga kwa muda mrefu nacho hakipo - yaani harakati za Uhuru zilifanywa na Waislamu na wao peke yao walikuwa "at the center of the struggle' na watu wengine (a.k.a Wakristu) walikuwa ni "dramae personae" yaani washirika tu wa tukio. Hilo halikuwepo.

Kile ambacho Mohammed amekipachaka kwenye historia nacho hakikuwepo yaani utengano wa kidini. Wadini wa mwanzo kabisa (kina Mashada Plantan) walikataliwa na wenzao wakajiengua; masalia yake ni hawa kina Mohammed Said. Kundi lile lilitaka lipewe upendeleo wa pekee kwa sababu ni Waislamu. Waliamini kuwa ni wao ndio waliachwa nyuma. Na ukisoma sana utaona kuwa Mohammed Said na hata Njozi wamejaribu kuaminisha Umma kuwa walioachwa nyuma katika maendeleo ni Waislamu tu; kwamba kwa sababu ya dini yao Wakoloni hawakuwapa kipaumbele.

Ukiangalia sana utaona kuwa wakoloni waliacha wengi nyuma hasa makabila mengi sana. Ni makabila matatu tu ambayo kwa kweli yanaonekana kupata upendeleo wa aina yake - Wahaya, Wanyakyusa na Wachagga. Na bahati mbaya (au nzuri) ni makabila haya haya ambayo yana Wakristu wengi (Wahaya nao wana Waislamu wengi waliosoma sana). Lakini makabila mengine zaidi 117 yalikuwa pembezoni; haijalishi makabila haya yalikuwa ni ya Wakristu au Waislamu au Wapagani!

Na cha utaona kuwa kabila kama Wasukuma (ambao wengi walikuwa kwenye imani za jadi) hawakupa mafanikio yale yale ambayo yalikuwepo Uhayani, Unyakyusani na Uchaggani. Matokeo yake ni kuwa licha ya watu wa Jamii ya Kisukuma (pamoja na Wanyamwezi) kuwa ndio wengi zaidi nchini bado hawaonekani sana katika nafasi mbalimbali za UOngozi. Wasukuma wanaweza kabisa kudai kuwa wamebaguliwa. Siyo wao tu makabila mengine mengi tu yanaweza kudai kuwa yamebaguliwa na hiyo haijalishi kama yana Wakristu au Waislamu ndani yake. Wakinga ni Wakristu kwa wingi tu lakini huwaoni sana kwenye uongozi mkubwa wa nchi (wamezama kwenye biashara sana); Wandali nao ni Wakristu vile vile, n.k

Ukiamua kuangalia mgawanyo kwa madaraka utaona wazi kuwa makabila mengi sana yako nyuma ya hayo matatu! Lakini hata hilo nalo hawezi kulaumiwa Nyerere. Kwani Nyerere alitambua hili mara moja sana na badala ya kuweka mkazo wa kuinua kikundi kimoja cha kidini (Waislamu) Nyerere aliweka mkazo wa kutoa nafasi kwa watu wa makabila mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za nchi. Matokeo yake leo watu wa kutoka Kusini na Kaskazini, Magharibi na Mashariki wanaanza kula matunda ya juhudi hizo wao na watoto wao. Inatokea tu wengine ni Waislamu na Wakristu.

Bila uamuzi ule wa Busara wa Nyerere uwezekano wa makabila matatu tu kudominate siasa za Tanzania ungeendelea kuwa mkubwa sana. Watu ambao wangekuwa nje kabisa ya nafasi hizo wala wasingejulikana kwa dini zao; bali kwa makabila yao.

Think about it...

Mzee Mwanakijiji,

Ndugu yangu wala mie sijapata shaka yeyote kuhusu kitabu cha Mohamed Said yeye kaelezea upande wake wa wazee wake shaka ya nini.

Shaka ambayo ipo ni historia yetu ya kutafuta uhuru haipo kwa makusudi kuna watu wameondolewa kabisa.

Nadhani unamjua mwanahistoria maarufu ambaye kaandika vitabu vingi ya historia ya afrika Basil Risbridger Davidson.

Mwaka 1985 Nyerere alipokuwa anamtunukia digrii ya heshima Basil Davidson, alitoa changamoto kwa chuo kikuu cha Dar es Salaam kuandika historia ya kweli ya Tanzania.

Haya ndiyo matunda yake unayoyaona hapa jamvini tunaminyana.
 
Mwanakijiji,
Huhitaji kwenda mbali kuona matunda ya kazi aliyofanya Mwalimu. Nchini Kenya, wakati wa harakati za kupigania uhuru, kulikuwepo mshikamano mkubwa baina ya makabila kiasi kwamba Jaramogi alikubali kumwachia Kenyatta uongozi wa nchi. Lakini sote tunajua kilichotokea. Kenyatta baada ya uhuru akageuka kuwa tribal chief na kupendelea kabila lake. Nakumbuka mwaka 1973 ukipiga simu kwenye ofisi ya serikali Nairobi ama wanakujibu kwa Kikikuyu, aterere, au kama husemi Kikikuyu ni Kiingereza. Matokeo yake sote tunayaona leo. Kenya hata uchaguzi lazima ufanyike kwa tribal alliances. Na ukabila utawatafuna mpaka siku ya kiyama.

Jasusi,

Kabla ya Nyerere ajazaliwa na kuingia kwenye siasa Tanganyika hakujawahi kutokea vita vya kikabila wala vya kidini hii hulka ya Watanganyika.
 
Protox,

Nakubaliana na wewe kabisa ila kuna masahihisho kidogo:

Mahakma za Kiislamu ziliingia madarakani mwaka 2006 kwa kuwafurusha wababe wa kivita na kutawala nchi kwa miezi 6 tu! lakini miezi 6 hiyo Wasomali wanakiri hawajawahi kuishi kwa amani na usalama ktk maisha yao yote kama miezi hiyo 6! Ndipo Amerika kwa kumtumia Kibaraka wake Meles Zenawi wakaivamia Somalia mwezi december 2006 na kuwafurusha Mahakimu wa Kiislamu na kufanikiwa kumrubuni Kiongozi wao Sharifu Shehe, kumbeba na ndege toka msituni hadi Nairobi na kukutana na Jendayi frazer aliekuwa assistant secretary of state for african affairs kipindi cha Bush Junior na akasafirishwa hadi Eritrea na baadae Adiss Abeba kabla kuchaguliwa kuwa Rais wa mpito wa Somalia kuanzia 2008 hadi 2012! Nchi za Magharibi kwa kumtumia Mtanzania Agustino Mahiga alieoa Msomali baada ya kumtumia Shehe Sharifu kuwafurusha Alshababu nae wamemtosa na sasa wanae Mtu wao ambae nilazima akubali masharti yao! kama mtataka niwajulishe masharti yenyewe niko tayari!

Protox,
Nakusifu kwa kumjulisha Yericko suala la Somalia kuwa amelivamia tu! hana Elimu nalo! anga hizi si zake! Ila namkumbusha Yericko kuwa baba ake alikuwa sahib mkubwa wa Rais aliepinduliwa huko Somalia Saidi Barre! huyu alikuwa Mkomunisti na adui wa Waislamu na hata kudiriki kuuwa Mashehe 12 wakubwa hadharani ktk miaka ya 70 na 80 kwa kuwapiga risasi sababu ni kuwa walipinga udikteta wake na kauli ya kutochanganya dini na siasa!

Kina furahisha na jinsi mnavyokimbia ukweli.

Muislamu akifanya jambo lazima mseme "KARUBUNIWA" "KADANGANYWA"
"KASHAWISHIWA"

Yote hii kulazimisha hoja. Kwasababu mnajua mkikiri waislamu wenzenu wamefanya hivi madai yenu yatakuwa INVALID.
 
Mzee Mwanakijiji,

Ndugu yangu wala mie sijapata shaka yeyote kuhusu kitabu cha Mohamed Said yeye kaelezea upande wake wa wazee wake shaka ya nini.

Shaka ambayo ipo ni historia yetu ya kutafuta uhuru haipo kwa makusudi kuna watu wameondolewa kabisa.

Usiingie kwenye mtego wa Mohammed SAid wa kujaza hyperbole kwenye hoja zake. NI watu gani wameondolewa kwenye historia? huwezi kuondoa watu kwenye historia! Kuna msemo wa Kiingereza kuwa "even God can not change the past"...
 
Whaat? inaonekana huijui historia ya nchi yako!! tumetwangana sana....

Ndiyo vizuri sasa unipe darsa lini Waislam na Wakirsto walitwangana na Nyerere ndiyo akaja kuzimisha kutwangana.

Au kutwangana kwako unakotaka kutuelezea wafugaji na wakulima. Kama ni ivyo Nyerere kashindwa kuwatuliza watu wa mkoa wake.
 
Jasusi,

Kabla ya Nyerere ajazaliwa na kuingia kwenye siasa Tanganyika hakujawahi kutokea vita vya kikabila wala vya kidini hii hulka ya Watanganyika.
Unajaribu kusema nini? Ubaguzi wa kikabila ulikuwepo. Nenda Musoma miaka ya 50-60 uelezwe. Kule tuna makabila zaidi ya 27 katika mkoa mmoja tu. Hata Kenya kabla ya uhuru hakukuwepo vita vya kikabila. Lakini tazama leo.
 
Usiingie kwenye mtego wa Mohammed SAid wa kujaza hyperbole kwenye hoja zake. NI watu gani wameondolewa kwenye historia? huwezi kuondoa watu kwenye historia! Kuna msemo wa Kiingereza kuwa "even God can not change the past"...

Mwanakijiji,
Unaongea na Ritz habari ya Mohamed Said ya nini fikra zangu nasoma vitu naelewa wala sina haja ya kutumia fikra za mtu. Hivi historia ya Kivukoni haijawasahu wapigania uhuru?
 
Unajaribu kusema nini? Ubaguzi wa kikabila ulikuwepo. Nenda Musoma miaka ya 50-60 uelezwe. Kule tuna makabila zaidi ya 27 katika mkoa mmoja tu. Hata Kenya kabla ya uhuru hakukuwepo vita vya kikabila. Lakini tazama leo.

Siyo ulikuwepo upo mpaka sasa ndiyo mkoa ambao hawezi kuendelea kwa kuendekeza ukabila unataka kunimbia Nyerere kaweza kuondoa ukabila Mara.
 
Siyo ulikuwepo upo mpaka sasa ndiyo mkoa ambao hawezi kuendelea kwa kuendekeza ukabila unataka kunimbia Nyerere kaweza kuondoa ukabila Mara.

Nikumbushe kwa sasa makabila yepi na yepi yanapigana Mkoa wa Mara
 
Mwanakijiji,
Unaongea na Ritz habari ya Mohamed Said ya nini fikra zangu nasoma vitu naelewa wala sina haja ya kutumia fikra za mtu. Hivi historia ya Kivukoni haijawasahu wapigania uhuru?

Ritz,
Nimerudi ulingoni na darsa la vuguvugu la wafanyakazi.

Nimebandika kisa cha Abdu Sykes na Waingereza 1947/48.
Naona kimyaaaaaaa!

Naendelea kusubiri.
 
Ritz angalau kaja na swali zuri maana tayari ameshapata shaka ya kutosha (reasonable doubt) ya simulizi linalochosha la Mohammed Said. Kile kinachoitwa "historia iliyosahauliwa" kwa kweli haipo na hivyo haikusahauliwa! Kile ambacho Mohammed SAid amekijaribu kukijenga kwa muda mrefu nacho hakipo - yaani harakati za Uhuru zilifanywa na Waislamu na wao peke yao walikuwa "at the center of the struggle' na watu wengine (a.k.a Wakristu) walikuwa ni "dramae personae" yaani washirika tu wa tukio. Hilo halikuwepo.

Kile ambacho Mohammed amekipachaka kwenye historia nacho hakikuwepo yaani utengano wa kidini. Wadini wa mwanzo kabisa (kina Mashada Plantan) walikataliwa na wenzao wakajiengua; masalia yake ni hawa kina Mohammed Said. Kundi lile lilitaka lipewe upendeleo wa pekee kwa sababu ni Waislamu. Waliamini kuwa ni wao ndio waliachwa nyuma. Na ukisoma sana utaona kuwa Mohammed Said na hata Njozi wamejaribu kuaminisha Umma kuwa walioachwa nyuma katika maendeleo ni Waislamu tu; kwamba kwa sababu ya dini yao Wakoloni hawakuwapa kipaumbele.

Ukiangalia sana utaona kuwa wakoloni waliacha wengi nyuma hasa makabila mengi sana. Ni makabila matatu tu ambayo kwa kweli yanaonekana kupata upendeleo wa aina yake - Wahaya, Wanyakyusa na Wachagga. Na bahati mbaya (au nzuri) ni makabila haya haya ambayo yana Wakristu wengi (Wahaya nao wana Waislamu wengi waliosoma sana). Lakini makabila mengine zaidi 117 yalikuwa pembezoni; haijalishi makabila haya yalikuwa ni ya Wakristu au Waislamu au Wapagani!

Na cha utaona kuwa kabila kama Wasukuma (ambao wengi walikuwa kwenye imani za jadi) hawakupa mafanikio yale yale ambayo yalikuwepo Uhayani, Unyakyusani na Uchaggani. Matokeo yake ni kuwa licha ya watu wa Jamii ya Kisukuma (pamoja na Wanyamwezi) kuwa ndio wengi zaidi nchini bado hawaonekani sana katika nafasi mbalimbali za UOngozi. Wasukuma wanaweza kabisa kudai kuwa wamebaguliwa. Siyo wao tu makabila mengine mengi tu yanaweza kudai kuwa yamebaguliwa na hiyo haijalishi kama yana Wakristu au Waislamu ndani yake. Wakinga ni Wakristu kwa wingi tu lakini huwaoni sana kwenye uongozi mkubwa wa nchi (wamezama kwenye biashara sana); Wandali nao ni Wakristu vile vile, n.k

Ukiamua kuangalia mgawanyo kwa madaraka utaona wazi kuwa makabila mengi sana yako nyuma ya hayo matatu! Lakini hata hilo nalo hawezi kulaumiwa Nyerere. Kwani Nyerere alitambua hili mara moja sana na badala ya kuweka mkazo wa kuinua kikundi kimoja cha kidini (Waislamu) Nyerere aliweka mkazo wa kutoa nafasi kwa watu wa makabila mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za nchi. Matokeo yake leo watu wa kutoka Kusini na Kaskazini, Magharibi na Mashariki wanaanza kula matunda ya juhudi hizo wao na watoto wao. Inatokea tu wengine ni Waislamu na Wakristu.

Bila uamuzi ule wa Busara wa Nyerere uwezekano wa makabila matatu tu kudominate siasa za Tanzania ungeendelea kuwa mkubwa sana. Watu ambao wangekuwa nje kabisa ya nafasi hizo wala wasingejulikana kwa dini zao; bali kwa makabila yao. Think about it...
Duh! hapa umepiga mfupa. Umenikumbusha kitu kimoja. Wasukuma na Wanyamwezi wangekuwa na jicho la ''sisi'' wanaweza kumchagua Rais wa nchii katika sanduku la kura.
Hiyo tu inawapa ''haki'' ya kuuliza wao vipi katika mgawanyo unaosemwa.

1.Swali ambalo nimekuwa nauliza na sipati jibu ni kuwa hivi gavana wa BoT akiwa mtu wa imani fulani, dini hiyo inafaidika na kitu gani?

2. Hivi kipi ni muhimu, serikali kutazama maeneo yenye matatizo na kuyatafutia ufumbuzi au serikali kugawa vyeo kwa watu 200.

3. Kama sasa ni wakati wa kuwa na nafasi sawa(siyo kulingana na sifa), I mean kugawana wizara(naona aibu hata kuandika nikiwa chumbani mwenyewe), vipi likiibuka kundi na kusema sasa ni wakati wale waliofanikiwa katika biashara ima wazuiwe kuendeleza biashara au watozwe kodi zaidi ili kutoa fursa kwa jamii zingine kuinuka! hilo linawezekana?

Na mwisho,wanajamvi naomba msaada kidogo wa fikra. Hivi wakati mzee Mwinyi akiwa Rais nani alikuwa katibu mkuu wa NECTA!
 
Ritz,
Nimerudi ulingoni na darsa la vuguvugu la wafanyakazi.

Nimebandika kisa cha Abdu Sykes na Waingereza 1947/48.
Naona kimyaaaaaaa!

Naendelea kusubiri.

Mohamed Said,

Karibu tena jamvini endelea kutoa darsa.
 
Kweli unafikiri umetoa ushahidi wa kuwa Yesu alikuwa ni Muislamu au umethibitisha ninayosema mimi? Nje ya Qurani hakuna ushahidi wowote kuwa Yesu au mtu mwingine yeyote kabla ya ujio wa Uislamu alijitambua, alijua au alikuwa Muislamu. Yesu alizaliwa Myahudi na alikufa na kukufuka kama Myahudi. Ukristu haikuwa dini ya Yesu; Yesu kwa dini alikuwa ni Myahudi. Ukristu unaitwa hivyo baada ya watu kuanza kuamini ujumbe wa Yesu Kristu na kuufuata na hivyo kutofautisha na watu wengine walijitambulisha kama "Wa-Kristu" kwa maana ya kuwa wafuasi na waamini wa mafundisho ya Kristu.

Wakati wote wa Yesu na baada ya ufufuko waliomwamini Yesu walijulikana tu kama "Waamini" au "Wanafunzi (wafuasi)". Biblia inasema kuwa wanafunzi wa Yesu walianza kuitwa "Wakristu" huko Antiokia (Matendo 11:26).
Ile inayoitwa socratic method uliyosema ndio utatumia kujibia ina upungufu mkubwa kwani inauona ulimwengu kama kitu kidogo kilichoanza kuwepo miaka 2013 tu iliyopita.
Mimi nimekupa sura pana ya uumbwaji wa Ulimwengu kuanzia Adam (a.s)kama Mtume mpakaYesu ( a.s) na Muhammad (s.a.w) na kwamba wote ni waislamu.Itawezekanaje mitumue waliotumwa na Mungu mmoja wawe na dini tofauti?.

Nje ya Qurani hakuna ushahidi wowote kuwa Yesu au mtu mwingine yeyote kabla ya ujio wa Uislamu alijitambua, alijua au alikuwa Muislamu).
Maelezo ya ndani ya Qur'an ndiyo ya msingi kuliko nje yake.Hata wewe hupaswi kuweka mbele porojo zako bila kuwa na maandiko.
Yesu alizaliwa Myahudi na alikufa na kukufuka kama Myahudi. Ukristu haikuwa dini ya Yesu; Yesu kwa dini alikuwa ni Myahudi. Ukristu unaitwa hivyo baada ya watu kuanza kuamini ujumbe wa Yesu Kristu na kuufuata na hivyo kutofautisha na watu wengine walijitambulisha kama "Wa-Kristu" kwa maana ya kuwa wafuasi na waamini wa mafundisho ya Kristu.).
Ikiwa ni hivyo basi hakupaswi kuwepo na ukristu
 
The Big Show na Wickama,
Ahsanteni kwa michango yenu mizuri.

Hakika ni faraja kubwa baada ya matusi, kejeli na kebehi zilizotawala mjadala.
Nilikuwa nikiingia kuchungulia kisha natoka.

Naingia kuchungulia kisha natoka.
Kilichotawala jamvi ni matusi na ghadhabu.

Nimeshambuliwa sana na baadhi ya shutuma dhidi yangu nilishazijibu mara kadhaa huko nyuma na kutoa rejea kwa
wenye mashaka waingie Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam East Africana wakasome lakini hakuna hata mmoja
aliyefanya hivyo.

Sasa ikiwa husomi wala huulizi hizo rejea zinasemaje vipi utafanya mnakasha wa maana?

Si kitu.
Tutoke huko sasa na tusome na tufanye mjadala wa kistaarabu kama waungwana.

Kwa idhini yenu nataka nikae tena mbele yenu nitoe darsa kuhusu historia ya kudai uhuru wa Tanganyika.

Ningependa kuanza na vuguvugu la wafanyakazi dhidi ya ukoloni hapa Dar es Salaam 1948 ili tufungue mlango tumone
vipi Abdulwahid Sykes aliweza kutumia nafasi ile kujipenyeza TAA akachukua uongozi na kufanya aliyofanya akianzia na
kuunda TAA Political Subcommittee 1950.

Haya hapo chini yalitokea baada ya mgomo wa mwaka 1947.

Insha Allah nitalichukua darsa awamu kwa awamu hadi tufike mwisho wa kisa:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]Abdulwahid Sykes and Dockworkers’ Union, 1948

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]In 1948 the colonial government brought into the country a professional trade unionist, G. Hamilton, from Britain who was seconded to the Labour Department to advise the union on the principles of collective bargaining.

Hamilton shared the same office with Barakat and fully engaged him as his assistant in the establishment and setting up of the union.

Hamilton had been a docker with the Port of London and had wide experience in port unrests.

The offices of the Dockworkers’ Union were in a wooden shack with corrugated iron roofing situated in front of the Avalon Cinema where now stands the Regional Immigration Office.

All meetings were held there and were attended by Hamilton and Barakat from the Labour Department and Abdulwahid and his executive committee representing the Union.Hamilton was living at Gerezani European Quarter where there are now the Railway Quarters.

Abdulwahid was living at Stanley (called Aggrey Street after independence in honour of Dr Aggrey and later to be renamed Makisi Mbwana Street after one of the founding fathers of TANU) not far from Hamilton’s house.
During the early days of the setting up of the union, Hamilton worked very closely with Abdulwahid, at times visiting him at his house to thrash out problems.

It was quite a spectacle to see Abdulwahid and a white man sitting on the veranda talking or bending over a mass of papers.

In those days Africans perceived Europeans to be superior beings and could only watch Abdulwahid rubbing shoulders with a white man with awe.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]The creation of the union and the bureaucracy that subsequently developed with it, typical of any formal organisation, created a new problem for Abdulwahid. Collective bargaining demands participation of all interested parties to a labour dispute.

Dockworkers’ demands had first to be discussed by the executive committee of the union and then Abdulwahid had to submit them to their representatives.

Then at a later stage the demands had to be discussed by all parties including Hamilton and Barakat from the Labour Department. Abdulwahid’s writing flair, his knowledge of shorthand and his good command of the English language helped greatly in pushing forward quickly most of the union’s paperwork.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Unfortunately, very few decisions were made and most of the time negotiations seemed to be stalling. No meaningful decisions or agreements were ever concluded. To the dockworkers, the new system was tedious, cumbersome and time-consuming.

Negotiating was a new experience to them and something they had not bargained for.

This created industrial unrest within the Dockworkers’ Union itself.
Abdulwahid now faced an entirely new problem, a precarious situation which threatened to break the Union and destabilise his leadership. He could not negotiate directly with shipping companies, nor could he negotiate at his own speed and style.

He informed union members of his predicament.

He made it clear to them that the labour conditions obtaining at the moment did not favour militant action against the shipping companies or their agents.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Seeing no quick progress in their grievances the dockworkers began to exert pressure on Abdulwahid to speed up negotiations; otherwise they threatened to call a strike of their own without official backing of the Union. The method of negotiation for solutions to industrial conflict therefore became a source of friction.

Union members continued to put pressure on Abdulwahid to refuse negotiating and to call for immediate strike action.

Abdulwahid at that time was a young boy of 24 years.

An internal crisis within the leadership of the union ensued and the dockworkers once again resorted to marches in processions between the union office and Abdulwahid’s house, pressurising him to call for strike action against the stevedoring companies.

During the period of internal crisis which was threatened to split the union, Abdulwahid, Barakat and Hamilton were in constant contact using both their personal capacities as well as their official positions and government authority to avert a split in the union leadership.

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Darsa itaendelea Insha Allah...


Insha allah Darsa hili tunalithamini sana..
 
Sehemu ya Pili...
Mohamed, vijana wako ambao umeandika na kuwashukuru na hivyo kunyanyua pua zao kuhusu hili nao pia wanapaswa kujibiwa kupitia mwalimu wao.

Nadhani una uwezo mzuri wa kuwasiliana nao kwa lugha mnazowasiliana hasa tukizingatia kuwa hapa tunaongelea hoja na si matusi.
Naomba uwafikishie salamu hizi:

Wakati nikiandika nilifafanunua moja ya hoja za vijana wako kama ifuatavyo:....
Ami,Hebu rudi usome post yangu kwa umakini na ukiwa umetuliza akili.Mohamed anatakiwa afahamu kuwa population ni ''variable value'' kwamba si lazima asilimia 67 ya mwaka 1967 ibaki kama ilivyo.Kuna uwezekano iliongezeka na kufikia 80 au kupungua na kufikia 40 kwahiyo alitakiwa kwanza apate the most recent stats.Kufanya extrapolation ya mwaka 1967 ni sawa na mtu kupanga mipango ya maendeleo ya nchi kwa kutumia stats za 1967. Huku ni kupotosha vijana.Hapa nilitoa mfano ili kusisitiza hoja yangu kuwa Mohamed anapaswa atumie data za siku za karibuni kwakuelewa kuwa population ni kitu dyanamic as opposed to static.

Vijana wako wakaja na maswali ambayo niliamua kutoyajibu kutokana na ubora wake usiojibika kwa mwenye weledi.Mohamed, Mwambie Ami kuwa takwimu ulizotumia ni distribution population ya mkoa wa Dar es Salaam na siyo nchi kama ulivyoandika.

Unless kama ulimaanisha ni nchi, Kupungua kwa distribution population ya waislam kunaweza kuwa kwa aina mbili.....
Malalamiko yako kuhusu vijana wa Mohammed yamekuwa mengi

....
1. Kuongezeka na 2. Kupungua.
Kitu cha muhimu kuelewa hapa ni percentage. Hakuna mahali ulipoonyesha kuwa kulikuwa na majanga yaliyopunguza population kwa kiasi cha kufikiriwa.

Hili ni tatizo la kuchukua data kati kati tena bila maelezo. Kwa mantiki hiyo Population iliendelea kuongezeka au kubaki ilipokuwa kutegemeana na mazingira ya wakati unachukua data 1978.

Percentage ya popoulation ya waislam (distribution pop) kwa mwaka 1978 inaweza kuwa iliongezeka.

Mathalani, kama waislam mwaka 1967 walikuwa milioni 6.7(67%) ya 10 Million(total), mwaka 1978 wangeweza kuwa milioni 10.

Mwaka 1978 total population ikaongezeka na kuwa milioni 20.
Ukifanya kwa percentage waislam watakuwa 50%.
Hapa wameongezeka kwa idadi lakini wamepungua kwa percentage.

Lakini pia kwa kutumia hesabu hizo hizo kama idadi ya watu mwaka 1978 ilikuwa milioni 20 na waislam kwa ujumla wakawa milioni 15, kwa percent idadi ya waislam ingekuwa 75%.Imeongezeka kwa idadi na percentage

Hii ndiyo maana ya uwezekano wa idadi kuongezeka au kupungua kama nilivyoeleza hapo juu wakati nikimjibu kijana wako.

Mnachanganyikiwa kwa vile mnaangalia namba tu humuangalii namba hizo zina alama gani na alama hizo zina maana gani. Total na percentage zina maana sana.Kwa vile mind set zenu ni uonevu uwezakano wa kuona vitu kama hivi unavia sana.

Kwa vile mumesha ji-tune na kuelewa kuwa mnaweza kuongea namba bila kuhjiwa na jamii yetu huko mitaani na vijijini,basi mumejishahu na kudhani kila kitu kitakuwa maua ya rose.

Swali linakuja kwanini kuwepo na ongezeko au punguzo distribution population.
Kuna sababu nyingi sana zikiwemo za kijamii na kiuchumi.....

....
-Kuna uwezekano mwaka 1967 waislam wa Dar hawakupenda kwenda mikoani na mwaka 1978 wakaenda huko.

-Kuna uwezakano wafanyakazi wa kiislam na wanafunzi walienda nje ya mkoa kutafuta masilahi baada ya 1967

-Kuna uwezekana wakristo, wasio na dini na wapagani ikiwa ni pamoja na wahindi walihamia Dar kwa wingi katika muda tajwa.

-Kuna uwezekano waislam hawakufanya jitihada za kueneza dini(daawa) kwa makundi yaliyohitaji msaada kuwa waislam

-Kuna uwezekano waislam wengi wai ritadi na kujiunga na dini nyingine

-Kuna uwezekano fertility rate ya jamii fulani imeongezeka au jamii nyingine imepungua

-Kuna uwezakano kasi ya wakristo kueneza dini yao ilikuwa kubwa ukilinganisha na waislam. n.k n.k.

Haya yote yanapoathiri total population impact yake katika distribution population inakuwepo na hiyo ina trickle down hadi katika sekta nyingine kama afya na elimu.

Hakika sababu ni nyingi zinazoweza kufanya distribution population kubadilika.
Hizo nilizotaja ni mifano tu kwa uchache, yawekeana zipo nyingi sana ambazo sikuweza kuzigusa.

Mwambie kijana wako kuwa athari ya majanga katika population inaweza kupunguza percentage ya expected population kwa wakati fulani na si lazima ipunguze total population as whole.

Kama expected total population ya jamii kwa mwaka 1978 ilikuwa iwe 20 milion kutoka milioni 12 za 1967, na kutokana na njaa mwaka 1973-74 watu kiasi fulani wakafariki, kutokana na hiyo impact yake inaweza kurudisha population kuwa milioni 19. Hapa kunaongezeko lakini kuna punguzo la perecent kwa kiasi fulani.
Sio suala la kudhani tu kuwa natural disaster ndizo zinapunguza population.
Not as simple as picking up a slice of bread.

Kwa haya machache nataraji suala hili litakuwa limetolewa ufafanuzi.
Ama hilo la kijana wako uliyempongeza Kadogoo, nadhani sasa upo katika nafasi njema mwanana na maridhiwa kuwapa darsa tukizingatia wewe ndiye maalim wa mnakasha na unaongea lugha yao ambayo wengine hautuimudu a.k.a matusi.
hamna lolote la maana unalosema hapa

Mnachanganyikiwa kwa vile mnaangalia namba tu humuangalii namba hizo zina alama gani na alama hizo zina maana gani. Total na percentage zina maana sana.Kwa vile mind set zenu ni uonevu uwezakano wa kuona vitu kama hivi unavia sana.

Kwa vile mumesha ji-tune na kuelewa kuwa mnaweza kuongea namba bila kuhjiwa na jamii yetu huko mitaani na vijijini,basi mumejishahu na kudhani kila kitu kitakuwa maua ya rose..
Habari za asilimia na jumla unajidanganya unapodhani sisi hatuelewi.Hivi vitu ukiviona vinavyochambuliwa kwenye vitabu vyetu mwenyewe utashangaa.

Swali linakuja kwanini kuwepo na ongezeko au punguzo distribution population.
Kuna sababu nyingi sana zikiwemo za kijamii na kiuchumi.

-Kuna uwezekano mwaka 1967 waislam wa Dar hawakupenda kwenda mikoani na mwaka 1978 wakaenda huko...
Ikiwa hakuna sensa nyengine kuthibitisha hilo na wewe huna taarifa madhubuti juu ya kuhama waislamu basi uwezekano unaouzungumzia haukuwepo.

-Kuna uwezakano wafanyakazi wa kiislam na wanafunzi walienda nje ya mkoa kutafuta masilahi baada ya 1967

-Kuna uwezekana wakristo, wasio na dini na wapagani ikiwa ni pamoja na wahindi walihamia Dar kwa wingi katika muda tajwa.

-Kuna uwezekano waislam hawakufanya jitihada za kueneza dini(daawa) kwa makundi yaliyohitaji msaada kuwa waislam

-Kuna uwezekano waislam wengi wai ritadi na kujiunga na dini nyingine

-Kuna uwezekano fertility rate ya jamii fulani imeongezeka au jamii nyingine imepungua

-Kuna uwezakano kasi ya wakristo kueneza dini yao ilikuwa kubwa ukilinganisha na waislam. n.k n.k.

Haya yote yanapoathiri total population impact yake katika distribution population inakuwepo na hiyo ina trickle down hadi katika sekta nyingine kama afya na elimu....
Uwezekano ,uwezekano,uwezekano........
Uwezekano ambao ni ukweli ni kuwa kila mwaka watu hutoka mikoani na kuhamia Dar es salaam hasa mikoa yenye umaskini zaidi inayokaliwa na waislamu wengi kama vile Lindi,Mtwara,Kigoma,Tabora,Tanga na kwengineko.
Hivyo population distribution ya Dar es salaam uwezekano wa kuwapunguzika mpaka ukajitokeza kwenye uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia kidato cha 1 kwa 83/17 ni udanganyifu na dhulma za wazi wazi za mfumo kristo.
Ikiwa unapinga hili hupaswi kuja na maneno ya uwezekano bali utafiti wa kiwango chochote au sensa rasmi.
 
Back
Top Bottom