Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

WildChild,

Mbona unajidhulumu uwezo wako wa kufikiri ndugu yangu!? Au unataka kuwa miongoni mwa wale wenye kujipunja!?

Sisi tunakusaidieni informations nyingi saana ambazo kwenu nyinyi ni kama ndoto za mchana,hamfahamu na wala hamtakubali milele mpaka siku ya Parapanda.

Hivi wewe unaposikia yakuwa Serikali ni "chombo";unafikiri ni chombo kama bakuli ama sahani!?

Hivi vitu vyoote ninavyokupa vimo kwenye Archives makhususi ndani ya Idara nyeti kwenye baadhi ya Wizara/sehemu.

Tatizo ni kuwa labda huna access za watu muhimu au hizo "sehemu" huzijui!?


Mimi nimekupeni watu muhimu wengi walio hai kwanini hamwendi kuwauliza,tena nyinyi baadhi yenu nasikia ati ni Waandishi wa habari mahiri!? Tena hao watu nilokutajieni ni Wakristo wenzenu watiifu wa Mungu...acheni utoto wa kulalamika bila sababu za maana. Au na nyie mnakuwa kama watoto/watu wa Madrassa!?

Narejea tena,mfuateni Timothy Apiyo,Joseph Butiku,Sinde Warioba,Mabere Marando,Dominick Gama,John Malecela,Msangi wa PCCB/TAKUKURU,Augustine Mrema,Apson Mwalongo na wengineo wengi muwatakao nyinyi.

Na kama hamtojali akili za Madrassa basi kamuoneni Mzee KK,nasikia siku hizi yupo sana pale Mjimwema.

Vipi ile habari ya Gapex,au umetosheka kwa sababu tu mwenzenu Jasusi kaunga mkono kiduchu!? Punguzeni chuki na udini ndugu zangu.

Kamtafute pia J. Nyakyoma na Gulam Dewji kabla hawajafa ili msijesema ati tunasubiri watu wafe ndo tunaanza kutunga vitabu.

Nakuhakikishia,haya "matambara" yangu hata huyo Nyerere wako angekuwapo asingethubutu kujibu au kutia mguu wake kwenye nakma kama hizi. Labda angejitia tu "apambani za Mtonga",na kutumia zile "hekima na busara za Mwalimu" kwa kukaa kimya na kutojibu milele na milele.

Nashukuru,lakini tafadhali naomba usiniandikie tena maana nina dharura na sintapata fursa ya kukujibu.

Ahsanta.


Cc; Waheshimiwa Nguruvi3 na Mag3

Jitayarisheni nikipata fursa japo kiduchu I'm coming for you two ok! I will leave no stone unturned...

Gombesugu taratibu utaanza kuvaa viatu vya mzee Saidi, huyu Apson Mwalongo ndiye yupi tena?
 
Unajua hadithi za kusimuliwa na kuumba umba zina matatizo sana. Gombesugu anadai Kitwana Kondo alikuwa na nguvu zaidi ya rais Mwinyi. Mohamed anasema Nyerere alikuwa anaongoza kwa remote na Mwinyi alikuwa hana ''say''.
Baadhi ya waislam wanasema ni ngumu sana kuvunja mfumokristo kwasababu wakristo wameushika. Gombesugu anathibitisha kuwa Kitwana Kondo ndiye alikuwa na Serikali.

Njozi anamsifu Kitwana Kondo kusimama kidete kutetea waislam. Mohamed anasema CCM ilimsusa akapoteza ubunge kwa msimamo wake wa mambo ya dini. Gombesugu anasema kulikuwa na Ugomvi na Sheikh Yahya kuhusu mabinti enzi hizo.Mohamed anasema walinong'onezana kuichagua CCM iliyomtosa Kitwana Kondo.

It's all confusing huwezi kujua nani anasema nini kwasababu story zinabadilika with time and kind of conversation.

Ndio maana huwaita ''half baked wasomi'' kwasababu nao wameingia katika mkumbo wa hadithi za vijiweni like any othe illiterate in the street.

Muheshimiwa Nguruvi3,

Kama siku zote anavyokuambieni Sheikh Mohammed yakuwa mambo mengi mno yatakupeni tabu maana nyinyi ni wageni na Wazazi wenu pia ni wageni. Hapa hakuna chaos asilan,ni akili zako tu chechefu zinashindwa ku-comprehend.

Wallahi inastaajabisha,,nyinyi hapa jamvini hamna chochote wala lolote mfanyalo zaidi ya kuwa ma-armchair/keyboard critics. Kitabu chenu hamtaki kuandika au kutunga,harakati za Wazee wenu walivyopigania uhuru wa nchi hii hamtaki kutuletea au kutuonyesha,hadithi za vinyozi wenu pia hamna. Mbona mnatia simanzi nyie wana wa Nyerere!?

Mimi nimekupeni kiduchu tu na kwa mukhtasari "habari fulani",naona mmebaki midomo wazi kama vile mnaangalia movies za James Bond.

Nguruvi3
,kwa kifupi inakulazim umkubalie Sheikh Mohammed,yakuwa wakati hivi vitu vinafanyika wewe ulikuwa bado uko kwenu Magila na Kicheba unacheza Mdumange.

Kuhusu hayo matusi na kashfa ulonena dhidi yetu/Waislam,hiyo wala si siri tena hapa jamvini. Awali nilipojiunga nilistaajabu mno. Ilinilazim kumuuliza Mwanakijiji(maana yeye ndo kati ya wale Vinara wajifanyao ati wanaheshimu na kuwapenda mno Waislam),hivi mbona mnashindwa japo hata kukemea kiduchu hii hali hapa jamvini!? Mwanakijiji akajibu ati hilo tatizo kweli lipo,lakini yeye hana nguvu ya kuzuia au kukemea,maana hata yeye pia hutukanwa. Kwa kifupi nilishindwa kufahamu mantiki alotumia;kufananisha kutukanwa yeye binafsi na kutukanwa Allah,Mtume Wetu na Dini isiyopungua watu takriban 1.5bilion worldwide!?
Nyinyi watu mnachekesha,halafu mnadai ati mpo hapa kuondoa "uchochezi na uhaini" wa Sheikh Mohammed ili kuepusha janga kwa Taifa,na ati nyinyi ndo wapenda amani!? Hapa mnashangilia na kuweka "LIKE" kila kukicha hao viroboto wenu a.k.a Abu jahal wanapomtukana Al Marhum Mufti Sheikh Hassan Bin Ameir kwa kumwita "ndumila kuwili".
Halafu nyinyi ndo mnadai ati mnatafuta amani ya nchi na Sheikh Mohammed hana uadilifu na ni muhaini!?

Naona wenzio wanahangaika mno wanauliza, ati wapi watapata reference ili "wakachunguze" hiyo "movie" niliyowapa. Kwa kukusaidieni,maelekezo yenu tayari nilishamtumia Wildcard jana.

Mmeletewa hoja kadhaa hapa na Zali la Mentali,naona nyoote mmetokomea. Badala yake mmekaa w'end yoote ati kumzungumzia Gombesugu...acheni utoto nyinyi watu wazima hasidi.

Ukipata fursa, mwambie Jasusi akufahamishe kwa kina unyama na ubadhilifu uso mipaka ulofanywa pale Wizara ya Mawasilianao na Uchukuzi na yule Augustine Mwingira "enzi ya Mwalimu". Halafu muulize Nyerere alifanza nini kwa huyo Mwingira na baada ya hapo alimpeleka wapi ili kumstiri!? Na hukohuko alikopelekwa na Nyerere alifanya nini tena kwa kumtumia muhindi yule yule "Lord" Rajpar!?

Najua hivi vitu kwenu ni miujiza iso kiasi. Lakini kwa kuwa baadhi yenu mnaamini yakuwa Nyerere ni Nabii,sasa kwanini msikubali yakuwa hii miujiza aliifanya kwa huo unabii mlompa!?

Poleni saana kwa maradhi mlonayo na udhaifu wa nyoyo.

Kuhusu habari za Mzee KK,inalazim mkamuulize Malecela pale Seaview. Maana Mzee KK ndo alokua Godfather wa mmoja kati ya wanae wa kiume(amefariki). Na huyo huyo Mzee KK,ndo alompa huyo Malecela u-Prime Minister baada ya kumwondoa Sinde Warioba.

Kwa kifupi hiyo hoja mnayojaribu kuidadavua wala si kweli. Kama alivyokufahamisheni Zali la Mentali kwa kina;Nyerere alitawala kwa mabavu na kibri kingi wakati wake. Na muda wake "ulipokwisha",aliingilia na kuvuruga mno tawala za waliomfuatia.
Mzee KK,ilimlazim ainigilie kati ili tu kumnusuru nduguye Rais Ali Mwinyi,dhidi ya kundi la manyagumi waliobobea kwa fikra za udini na unabii wa Nyerere wakiongozwa na Sinde Warioba ,Daud Ngelatuwa Mwakawago na Getrude Mongela.

Kwa kifupi Mwinyi alipata msaada wa dharura toka kwa nduguye...mutoto ya mujini,kitu ya fitna mingi,kitu ya Madrassa,mutu ya Kariakoo.

Mzee KK,ana sifa nyingi saana na ni mtoto wa mjini anaejua fitna na system yoote kwa mapana. Nafikiri mliona ghafla kilichowakumba wakereketwa wenzenu wa Nyerere na jinsi gani Mzee KK alivyowasambaratisha na wako taabani mpaka kesho.

Wakati Nyerere anakuja mjini,Mzee KK alikua tayari ni askari mwenye cheo kizuri kwenye serikali ya wakoloni. Wazee woote wa mjini yeye pia ni Wazee wake,informations zoote za ile suirvellance ya wakoloni dhidi ya Tanu, Julius Nyerere na Abdilwahid Sykes,ilikua ni Mzee KK ambae anazileta kwa Wazee wake na hasa Mzee Mangara Tabu na Shariff Abdallah Al Attas.

Nyerere analilijua hilo fika. Lakini Nyerere hakumsaidia asilan Mzee KK alipopatwa na kesi ya kuchomekewa ya "corruption", kama alivyowasaidia kwa udi na uvumba nduguze kina Nyakyoma na Mwingira. Katika "kesi/shutuma" hizo Mzee KK,alishinda kwa kishindo kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania.

Kwa kifupi Nyerere baada ya muda fulani alihisi/alijua kuwa Mwinyi hampatilizi tena kwa kila alokua analazimisha.
Ndipo pale Nyerere,akaanza kucharukwa na kupanda majukwaani huku akizidi kujivunjia heshima. Huku mara kadhaa akitoa shutuma na matamshi machafu kwa Serikali kwenye vyombo vya habari na ati kuuliza huko Ikulu kuna biashara gani!?
Nyerere vipi yakhe mbona huwachi kujisahau!? Umeacha nchi imeoza baada ya miaka takriban 30 ya madaraka yako dhaifu,halafu unaanza kutaka kumlaumu Mwinyi alokuja juzi tu;na kuwapa watu neema,fadhila na kuwatoa tongotongo za macho na ukakasi wa vinywa!?

Kwa hiyo wafahamishe jamaa zako,wasipoteze w'end yoote badala ya kujibu hoja za maana wanaleta mambo ya kitoto. Ati ooh! tushapata point ya kuwabana inabidi tuwaulize,je Mzee KK nae ni mkatoliki? Hivi hamuoni aibu kwa hao wenzenu mnaojihisi ati ndo mpo hapa kwa maslahi yao?

Mfumo aliouasisi na kuucha Nyerere bado upo mpaka kesho na tulishuhudia kwa mengi jinsi gani alivyoulinda kwa mabavu yoote mpaka mwisho...

Siku nyingine nitakuwekea,kwa kina jinsi gani Nyerere alivyowatumia watoto wa Madrassa na wanywa kahwa vibarazani Alhaj Issa Mtambo Gonera na Alhaj Kitwana Suleiman Kondo ili kumsambaratisha mpinzani wake Oscar Kambona.

Shukran.

Cc; Ami
Hii ni bashraf tu,maana kuna vitu vingine deep zaidi siwezi kuweka hapa jamvini alivyosababisha Nyerere baina ya Waislamu tangia enzi hiyo na mpaka leo vinaleta farka baina yetu Waislamu. Na utaona jinsi gani haohao "Waislamu wa Mwalimu", Nyerere alivyowatupa baada ya shida/dhiki zake kwisha. Lakini nawastiri majina maana kama Sheikh Mohammed Said asemavyo yakuwa;hao woote ni ndugu zetu na ni Wazee wetu wa karibu mno.
 
Gombesugu taratibu utaanza kuvaa viatu vya mzee Saidi, huyu Apson Mwalongo ndiye yupi tena?

Nyambala,

Kwakuwa humjui haina maana kuwa ha-exist...basi kwa kukusaidia ndugu yangu nakupa Augustine Mahiga shaidi X kwenye kesi ya watuhumiwa wa uhaini(nafikiri unajua alikua wapi na cheo gani pale Usalama!?)

Kuvaa viatu vya Al Akhiy Al Maaaruf Sheikh Mohammed Bin Said,kwangu mimi ni fahari na fani kubwa iso mipaka. Natamani kila kukicha niifikie hadhi hiyo.

Haina neno tuendelee na mnakasha.
 
Uingereza (Kuleta makomandoo wa kurejesha utawala haramu wa Nyerere baada ya kukataliwa na Wazalendo wakati wa mapinduzi ya 1964)

Sikutaka kujibizana na huyu jamaa anajiita Zali la Mentali kwa sababu kwanza naona uelewaji wake wa masuala ni wa ajabu sana. Mfano ni hicho kipande nilichonukuu hapo juu kutoka kwa bandiko lake. Kwa hiyo ule uasi wa 1964 ulikuwa ni juhudi za wazalendo kukataa utawala haramu wa Nyerere? Hao wazalendo walikuwa ni akina nani? Na je, uasi uliofanyika wakati huo huo Kenya ulikuwa pia ni juhudi za wazalendo kuukataa utawala wa Kenyatta? Kwa sababu Waingereza vile vile walisaidia kuuzima ule uasi, lakini tofauti na Tanganyika, waliweka kambi za kudumu za kijeshi Kenya. Utajibizanaje na jitu la maoni kama haya?

Sasa mbona sasa hivi unajibizana na mimi mambo yaleyale uliyodai uelewaji wangu ni wa ajabu sana? Au sasa hivi nati zimekufyatuka?
Sasa nikujibu. Wazalendo walikuwa Watanganyika kwa ujumla wao ambao walitegemea uongozi wa TANU uharakishe wao kupata matunda yao ya uhuru lakini wakaona Nyerere hana priority kwenye eneo hilo. Yeye Nyerere alikuwa anatumia rasilimali nyingi za nchi pamoja na mda wake kama Rais kuweka mikakati ya kuwapendelea Wakatoliki dhidi ya Watanganyika wengine, kuweka mikakati ya kueneza Ukatoliki Africa nzima kama vile alivyotarajiwa kufanya na mabwana zake waliotumia rasilimali zao kumchongea mchoro wa kumuweka madarakani. Ndio maana Pope alimtumia barua ya pongezi kwa kueneza Ukatoliki. Nyerere hakuwa anahubiri neno hivyo uenezaji wake wa ukatoliki ni kwa kutumia rasilimali za Tanganyika na baadaye Zanzibar kueneza huo ukatoliki kwa nguvu na kusababisha umwajikaji wa damu usio na kifano barani Africa.
Muingereza hawezi kuingiza jeshi lake mahala pasipo na maslahi kwa taifa lake. Hivyo Kenya vilevile kulikuwa na maslahi yake kama Tanganyika. Mbona hawakuzuia mapinduzi ya Zanzibar yasifanyike?
 
  • Thanks
Reactions: Ami
Zali la mentali, umesifiwa sana na wapumbavu wenzako kuwa unahoja na unaweza kuwa nyamazisha wasomi kwa huu upumbavu wako hapa. Huwezi kuleta mabadiliko kwako wewe mwenyewe wala kwa hao ambao unadhani unawasemea kwa kumtusi Nyerere! naamini hata mzee Mohamed Saidi mchochezi hawezi kuafiki hadharani matusi unayomtukana Nyerere. Hivi kwa umbumbumbu wako na mitusi yako ambayo unaiita hoja ulitegemea Nyerere angeweza kujiunga na TAA bila kuisoma katiba yake?Au kwa upumbavu wako unadhani kwamba Nyerere hakuwa anawafahamu akina Dosa kabla ya kujiunga na TAA na baadae kuiongoza? Katibiwe ugonjwa wako wa kujiamini kawa mambo ya kijinga ambayo hata huyajui. Mbona unakuwa kichekesho hapa jamvini? chuki zako binafsi dhidi ya Nyerere haiwezi kubadirisha historia ya Tanganyika! mkuu Wild Card alisha kuuliza ni nani alikuwa rais wa kwanza na wa mwisho wa TANU, hukujibu na huta kaa ujibu swali hilo kwakuwa umesheheni chuki kichwani mwako badala ya maarifa na busara.

Hivi wewe mbulula nawe unajiweka kwenye kundi la wasomi? Kama ni upumbavu basi wewe upumbavu wako utakuwa wa ziada na hivyo utakuwa umeurithi kwenye mnyororo mrefu wa kurithi damu ya wapumbavu kuanzia mababu na mababu zako.
Kama kweli wewe ndio msomi na sisi wapumbavu, jibu swali hili hapa. Aliporudi kutoka Uingereza kusoma, alienda Pugu kufundisha kwanza ndio akaja Dar es Salaam na kuanza kuuliza Kiongozi wa TAA ni nani? Kama alikuwa anafahamu kiongozi ni Dosa kama unavyodai, kwa nini aliuliza kiongozi wa TAA ni nani? Iweje kipindi chote hicho tangu kuwa kiongozi wa TAA Makerere, kuja kuwa kiongozi wa TAA Tabora na kuingia Pugu kufundisha wakati wote hou hamfahamu Abulwahid Sykes?
Usomi wako au upumbavu wako utategemea na jinsi unavyoweza kuelewa na kujibu hoja nyepesi nyepesi kama hizi kwa ufasaha.
 
Sawa sheikh. Malipo yapo kwa Mungu. Kaza buti, na nia njema iwepo. Ila sasa, epuka kulazwa ICU yoyote katika hizi hospitali zetu. Sheikh, wajua tena umelazwa (pengine ajali-Mwenyezi Mungu akupishe nayo), kisha waungwana hawa na uniform zao wanakuwahi na mask ya oksijen, Wallah utatuwachia fadhaa kubwa hapa JF.......(hahahahahah).

Halafu you may not see my postings as often; Iam writing a paper (soil sciences) for publication into one of the journals (European Journal of Soil Science). Some deadline is attached kwa sababu tunakimbiza what they call a "special issue" Sasa hii shughuli may steal alot of my time and energy. Ila i will keep track.

with much love

cc. Nguruvi3, Mag3, Nanren, Gombesugu, Kadogoo, Boko Haram, Mwanakijiji, Platzoon, Jasusi, Ritz, Zali la Mentali, Barubaru, Son of Alaska.

Wickama,

Ilikua nikutumie bayana yako makhsus siku chache zijazo,maana nami pia nimeshikwa na vijishughuli hapa. Lakini bahati mbaya ndo unatuaga. Kujua kwako Khadith naQur'aan(ili kumtetea Nyerere) haimaanishi ati yakuwa wewe ni Muislamu asilan,hasha!

Takupa mfano, pia hapa jamvini yupo Mwanakijiji,anajua mambo yoote hayo na labda kukushinda au hata kuwashinda Waislam wengi tu. Lakini yeye kama wewe pia ,si Muislam ila hizo zilikua ni silaha zake kwenye ile "hobby" yake dhidi ya Waislamu kwenye kilinge cha malumbano ya kidini.

Ahsanta.
 
Gombesugu taratibu utaanza kuvaa viatu vya mzee Saidi, huyu Apson Mwalongo ndiye yupi tena?

Nyambala,

Ukishamaliza huo "uchunguzi" wako kwa hizo sources zako,tafadhali urejee tena hapa jamvini halafu twende kwa kina na kuchambua kwa undani zaidi ndugu yangu.

Shukran.
 
Platozoom,
Laiti ungekuwa Muislam usingepata shida kutambua nini kinawafika
wanafiki.

Sasa hapa ndugu unaongopa kweupe, Unatulazimisha tukuulize mambo ya kidini mwisho unapiga chenga kwakusema hayo tuwaulize waamini wayo?!
 
Zali la mentali; Angalua lugha yako imeanza kuwa katika KAWAIDA. Ulinitia woga ndugu yangu, sio kwa hoja bali ule ushari. Mimi sina tatizo na threads zako na wala siogopi maswali yako na wala sipo hapa kumtetea Nyerere. Na pia nimeshasema bayana kabisa kuwa tume ya kina Waryoba ikitoa fursa ya kuupigia kura Muungano, mimi nitawatema Zenj. Waishi wanavyotaka. Hapa ni hoja na majibu. Sijui nitasema sijui. Ili kukujibu, inabidi nikukumbushe tena kuwa Maana ya MDINI sio mtu anayefuatilia dini yake. Ni mtu anayetoa au kunyima haki/fursa stahiki kwa mwingine kwa kigezo cha dini yake kufanana au kutofautiana na mlengwa. Hapa wewe weka ushahidi;

1. Kuwa Nyerere alikuwa mdini kwa kigezo hicho. Kwa maana nyingine itasaidia kama utaonyesha japo kim-kataba cha JKN na hao mabosi wa kanisa kuwa "nyie tulieni, hawa waislamu watanikoma"

2. Kuwa mauti yake ya taratibu (ulisema huko awali), na kufa kwa kupumua kwa mashine (pia ulisema) ni laana. Weka ushahidi, hata kutoka hata vitabu vya dini yoyote kuwa mkiona mtu anaugua hafi haraka mjue ni laana. Fanya hivyo pia kwa kufa huku unatumia mashine ya oksijen. Zali, kuwa mwangalifu sana hapa usijitege ukaambiwa umejitoa katika dini yako. Wapo mitume walikufa taratibu kwa maradhi chonde usijeonekana unawakosea adabu.

3. Okello anaarifu kuwa siku hiyo (ya Mapinduzi) waliuwawa WAARABU 13,000. Wewe unasema waliuwawa waislamu 20,000. Wacha idadi. Mimi pia sipendi watu kuuwawa. Toa ushahidi kuwa Okello alilenga kuwaua Waislamu na sio waarabu kama anavyoripoti mwenyewe. Kabla hujajibu swali hili jikinge angalau na data za population ya zenj wakati ule ili ujue idadi ya wazenj wote. Nitakupa Tip; chunguza kilichomzuia kuwaua waswahili kiholela huku pia wao ni waislamu

4. Katika kitabu chake, Okello anajuta kutumaini angalau msaada toka kwa Nyerere na anasema alimwona sio wa kuamika kama Kenyatta. Anasema ingekuwa anaweza basi bora angeunganisha zenj na kenya. Wewe unasema Nyerere ndiye aliyekuwa tajiri yake. Tafadhali sherehesha hoja hizi zisikinzane kisha tuendelee.

5. Maelezo yako yaliyotangulia yameonyesha kamanda mkuu wa polisi zenj akiwasiliana na Kenya na kuahidi kila kitu kiko sawa, hapa inatoa picha kama vile Kenya ndio iliyokuwa na sauti, sio JKN.

Hebu anzia na haya

Wasalaam

Ndio maana nasema nyinyi vichwa vyenu vizito mno kuelewa. Kila kitu nimekianika wazi lakini bado hunielewi!!! Sasa nakupa majibu ya masuali yako moja baada ya jingine.

Kuhusu udini wa Nyerere, nimeweka ushahidi huu hapa kwenye post yangu uliyo i quote:

Mwaka 1970 Nyerere aliwaalika Ikulu aliyekuwa Katibu Mkuu wa Tanzania Episcopal Conference Fr. Robert Rweyemamu na muwakilishi wa Papa Tanzania Mgr. Giovano Cerrano na Nyerere aliwaambia wageni wake alikuwa anafanya kila liwezekanalo katika mamlaka yake kuuimarisha Ukatoliki Tanzania. Aliwaomba pia waende kuwafahamisha ma bishops kwamba ameanzisha idara ya elimu ya siasa kwenye TANU na kwamba amemteua Mkristo Reverend kuwa mkuu wa idara hiyo sio kwa sababu ya uwezo wake katika siasa bali kwa sababu ya imani yake thabiti kwenye Ukristo. Jukumu lake ni kuongoza na kudhibiti muelekeo wa kisiasa wa chama. Aliwafahamisha vilevile kwamba katika Kamati Kuu ya Chama (NEC) wajumbe wawili ni Reverends. Alisema anaamini hiyo ndio njia nzuri ya kuhakikisha kwamba chama kinapata “watu” wazuri!!!!!! (van Bergen, 1981:333-336).

Si ajabu kutokana na agano lake hilo hapo juu kwamba Sivalon (1992:49) anaripoti kwamba katika mwaka huo huo aliotoa ahadi Wakatoliki walikuwa asilimia 70 ya asilimia 75 ya Wakristo wote waliochaguliwa kuwa wabunge. Kati ya wabunge 108 waliochaguliwa 5 walikuwa wanaamini kwenye dini zetu za asili, 23 walikuwa wanaamini kwenye Uislam, 24 walikuwa wanaamini katika madhehebu mengine ya Kikristo yasiyokuwa Katoliki na 56 walikuwa wanaamini katika Ukatoliki. Hivyo utaona Wakatoliki walikuwa zaidi ya nusu ya wabunge wote!!!!!!!!

Sasa wewe huelewi nini hapa kwamba Nyerere alikuwa mdini wa hatari sana hapa Tanzania kwa ushahidi huo niliouweka hapo juu? Watu maninja huwa hawaingii mkataba wa wazi. Wanafanya mambo yao kwa siri. Niliweka ushahidi hapa wa wikileaks wa jinsi Vatican inavyoshirikiana na Madicteta kama kina Nyerere kwa makubaliono ya siri ili kueneza Ukatoliki kwa kutumia mabavu na kuua watu wasio na hatia ili kulazimisha Ukatoliki kwa nguvu.

Kuhusu Okello kaua watu wangapi, idadi niliyotoa ni makisio baada ya kuangalia namba zililzowekwa na watu mbalimbali. Okello alikuwa anatumiwa tu na Nyerere hivyo hawezi kujua kila kitu. Kuhusu Okello kulenga kuua kina nani ni kwamba mapinduzi ya Zanzibar yalipangwa mahsusi kwa ajili ya kuua Uislam. Ushahidi huu ni mmojawapo wa jukumu alilopewa na Nyerere na Kanisa kuua Uislamu:

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele:
"KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC".
Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.

Kutokana na ushahidi huo, tueleze Nyerere angewezaje kubadili Tanzania kuwa katika dini ya Katoliki?
Yeye hakuwa mhubiri wa dini. Alitumia mabavu kueneza huo Ukatoliki na kati ya mabavu hayo ni mipango yake ya kuivamia Zanzibar. Sasa unapovamia Zanzibar na kuuwa watu kwa ajili ya kuendeleza Ukatoliki, ni dhahiri umelenga kuwaua Waislamu na sio Waarabu. Waliokufa kwenye mapinduzi yale sio Waarabu peke yao. Ni Wazanzibari wote. Isitoshe Waarabu ni Waislamu hivyo wameuliwa si kwa sababu ya Uarabu wao bali kwa sababu ya Uislamu wao kutokana na mkakati huu wa Katoliki wa kueneza dini yao iliyofilisika kihoja kwa kutumia mabavu.
Isitoshe, mipango hii ya kuvamia Zanzibar ilipangwa na Waingereza na Wamarekani wakati huo George Bush akiwa mkuu wa kitengo cha mashushu cha Marekani na Wamarekani walieleza wazi jinsi wanavyomtegemea Nyerere kwa kazi hiyo chafu kwani walimuona kutokana na kichwa yake kuwa mbaya basi ananafasi nzuri ya kufanya kazi hiyo kwa ufanisi uliotarajiwa. Na haya mataifa ya Magharibi hayakuishia hapo. Yaliweka mpaka Plan B ili kama Wazanzibar watataka kurudisha nchi yao mikononi mwo baada ya mapinduzi basi wabanwe na Nyerere ili wasiweze kufanya hivyo. Nyerere alitumia rungu hilo alilokabidhiwa na mataifa ya Magharibi kuwaua, kuwakimbiza nje ya nchi, kuwatia kizuizini, n.k

Wazanzibari ambao walijitokeza kutaka kudai haki yao ya kuwa taifa huru nje ya Mfumo Katoliki. Mpaka leo hii mambo yaliyo kinyume na haki za binadamu yanaruhusiwa Zanzibar tu katika Africa na yanabaraka za Mataifa ya Kimagharibi ili kuhakikisha Plan B inafanya kazi ya kutosha kuendelea kuwakandamiza Wazanzibar ili wasipate nafasi ya kuwa huru na hivyo kupata muda wa wao kuanza kuujenga Uislamu wao upya. Mauaji, ukandamizwaji na wizi wa kura wa kutumia polisi kuua watu na kuny’ang’anya masanduku ya kura kwa nguvu ili kupoteza ushahidi wa mshindi halali wa Urais Zanzibar ni baadhi ya mambo ambayo huwezi kukuta sehemu nyingine yoyote Africa yanafanyika na viongozi wa Africa na kuungwa mkono na mataifa ya Magharibi.

Kuhusu mauti yake ya kufa polepole kwa ajili ya Ukosefu wa Kinga Mwilini na kupumulia kwenye mashine kama laana kwake nimesema hayo ni maoni yangu binafsi ambayo nimeyafikia baada ya kutafakari unyama uliokithiri alioufanya Nyerere kwa Watanzania kwa ujumla si tu Waislamu. Mauaji ya watu wengi tu mashuhuri yaliyotokea hapa Tanzania pamoja na kuwatimua watu nje ya Tanzania lazima yatakuwa na mkono wake (list ya watu waliouwawa na wengine kuamua kutimkia nje ya nchi kwa kuogopa kuuawa ni ndefu mno).

Sasa kama kuna neno linaitwa laana, basi Nyerere hawezi kuepuka kuwa mmoja wa watu waliolaaniwa kwa vitendo vyake vya kuuwa na kuwatesa binadamu wenzake kwa kutumuia mamlaka aliyopewa na Kanisa Katoliki na mataifa ya nchi za Magharibi.

Kuhusu Okello kudai kwamba kama angeweza angeunganisha Zanzibar na Kenya badala ya Tanganyika ni ushahidi wa wazi kwamba Okello alikuwa anatumiwa kama Condom na hakuwa mtu mweye akili timamu. Hakuwa na mamlaka yeyote kwenye lile suala la Mapinduzi, angewezaje kufanya maamuzi ya kuchagua nchi anayotaka kuungana nayo? Isitoshe, anatoa ushahidi mwingine hapa kwamba mpango huu wa kuivamia Zanzibar ulikuwa umeshaunganishwa na mpango mwingine wa kuimeza Zanzibar kwa kuinyan’ganya utaifa wao kwa kuiunganisha na nchi nyingine. Nyerere ndie aliyekuwa bosi wake kwa kushirikiana na Kanisa Katoliki pamoja na mabwana zake wa mataifa ya Magharibi ndio maana alikuwa anatamani bosi wake angekuwa Kenyatta baada ya Nyerere kumtosa mara baada ya mapinduzi yale. Isitoshe, huyu Okello hakuwahi kuwa na sifa yoyote ya kuwa mtu mwenye hadhi kwenye jamii kabla ya mapinduzi yale. Alikuwa na historia ya matatizo ya kuwa mtoto yatima anayehaha huku na huku kutafuta maisha wakati hana elimu yoyote ile ya maana. Hata ukienda kwenye Youtube na kutafuta habari zake, utamuona usoni tu kwamba alikuwa mtu aliyechanganyikiwa wakati ule wa mapinduzi ya Zanzibar. Ndio maana wakamtumia kwa sababu walijua kwamba CHIZI kama yeye ataweza kufanya kazi ile inayohitaji ukatili vyema kama ilivyo desturi ya Kanisa Katoliki kutumia watu waliochanganyikiwa ili waweze kufanya ukatili utakaowawezesha wao kupanua dini yao kwa kutumia mabavu kwani ni dini iliyofilisika kihoja.

Kuhusu Kamanda mkuu Zenj kuwasiliana na Kenya kutoa taarifa ya maendeleo ya mapinduzi yale ya haramu ni ushahidi mwingine kwamba mkakati huu ulikuwa na mkono wa Kanisa Katoliki na mataifa ya Magharibi kwani yalipangwa katika ngazi ya Africa Mashariki na sio Tanganyika peke yake. Hivyo ilibidi ripoti ziende hata nje ya Tanganyika (Kenya) katika uratibu wa zoezi lile. Ndio maana Okello anaanika wazi kwamba majeshi yaliyotumika katika mapinduzi yale yalitoka vilevile Kenya, Uganda, Mozambique na kwingineko barani Africa. Huu ni uthibitisho kwamba Mapinduzi yale yalipangwa na Kanisa Katoliki kutumia viongozi wa Kikatoliki ndani ya Africa kuufadhili na kuutekeleza mpango ule haramu. Nyerere yeye alikuwa na jukumu la moja kwa moja la kusimamia na kutekeleza uvamizi wenyewe. Waingereza kushindwa kutoa msaada wowote kwa nchi ambayo wao walikuwa ndio protector ni ushahidi mwingine kwamba Waingereza walihusika vyema kwenye kusaidia mapinduzi yale kwa hali na mali hivyo ikawa rahisi kwa Nyerere kuweza kufanya jukumu lake bila matatizo.

Hata kama vichwa vyenu ni vigumu kuelewa, nitaendelea kuwasugua mpaka vichwa vyenu vikae sawa.
 
Wewe unayetumia akili alikupa muumba tufahamishe Makelele ndiyo chuo gani?

Hujui hata Nyerere alisoma chuo gani.
Nasikitika sana kwa upembuko niliokuangaza, naaam si saizi yako! Aghalabu ungalijongea kwa taswira tunu!
 
Zali la Mentali, kwa kweli hujaweka hoja hata moja tangu umeingia kwenye hili jamvi. Kilichowekwa hapa na wewe ni makelele ya mgonjwa wa akili aliyejaa chuki, kibuli, dharau na matusi dhidi ya Nyerere na sio vinginevyo. Nakushauri jirudie tu kwenye mradi wako wa kuchimba chumvi mahali ambako lugha yako inavumilika.

Wewe nimeshakueleza kwenye post yangu hapo juu kwamba una kila dalili ya kurithi upumbavu sio tu wazazi wako waliokuzaa bali tangu enzi na enzi kwenye mfumo wa damu za mababu zako. Hivyo sishangai wewe kushindwa kuona hoja zangu kwa sababu upumbavu wako ni wa asili hata uende shule namna gani bado utabakia kuwa mpumbavu tu. Bora mimi ninayechimba chumvi nina uwezo wa kujenga hoja na kuzisimamia kuliko wewe unayefanya kazi ofisini wakati kichwani ZERO. Ndio maana taifa hili haliendelei kwa sababu watu mambulula kama nyie ndio mnaokabidhiwa maofisi yenye kuhitaji maamuzi makini ya watu wenye uelewa wa mambo. Nyie ndio mliopitia shule na kubebwa kwa mgongo wa majina yenu badala ya akili zenu.
 
Nasikitika sana kwa upembuko niliokuangaza, naaam si saizi yako! Aghalabu ungalijongea kwa taswira tunu!

Kweli mie siyo saizi yako huwezi kuniambia Nyerere kasoma chuo kinaitwa Makelele nikakukubalia, Nyerere kasoma Makerere.
 
Ndio maana nasema nyinyi vichwa vyenu vizito mno kuelewa. Kila kitu nimekianika wazi lakini bado hunielewi!!! Sasa nakupa majibu ya masuali yako moja baada ya jingine.

Kuhusu udini wa Nyerere, nimeweka ushahidi huu hapa kwenye post yangu uliyo i quote:

Mwaka 1970 Nyerere aliwaalika Ikulu aliyekuwa Katibu Mkuu wa Tanzania Episcopal Conference Fr. Robert Rweyemamu na muwakilishi wa Papa Tanzania Mgr. Giovano Cerrano na Nyerere aliwaambia wageni wake alikuwa anafanya kila liwezekanalo katika mamlaka yake kuuimarisha Ukatoliki Tanzania. Aliwaomba pia waende kuwafahamisha ma bishops kwamba ameanzisha idara ya elimu ya siasa kwenye TANU na kwamba amemteua Mkristo Reverend kuwa mkuu wa idara hiyo sio kwa sababu ya uwezo wake katika siasa bali kwa sababu ya imani yake thabiti kwenye Ukristo. Jukumu lake ni kuongoza na kudhibiti muelekeo wa kisiasa wa chama. Aliwafahamisha vilevile kwamba katika Kamati Kuu ya Chama (NEC) wajumbe wawili ni Reverends. Alisema anaamini hiyo ndio njia nzuri ya kuhakikisha kwamba chama kinapata “watu” wazuri!!!!!! (van Bergen, 1981:333-336).

Si ajabu kutokana na agano lake hilo hapo juu kwamba Sivalon (1992:49) anaripoti kwamba katika mwaka huo huo aliotoa ahadi Wakatoliki walikuwa asilimia 70 ya asilimia 75 ya Wakristo wote waliochaguliwa kuwa wabunge. Kati ya wabunge 108 waliochaguliwa 5 walikuwa wanaamini kwenye dini zetu za asili, 23 walikuwa wanaamini kwenye Uislam, 24 walikuwa wanaamini katika madhehebu mengine ya Kikristo yasiyokuwa Katoliki na 56 walikuwa wanaamini katika Ukatoliki. Hivyo utaona Wakatoliki walikuwa zaidi ya nusu ya wabunge wote!!!!!!!!

Sasa wewe huelewi nini hapa kwamba Nyerere alikuwa mdini wa hatari sana hapa Tanzania kwa ushahidi huo niliouweka hapo juu? Watu maninja huwa hawaingii mkataba wa wazi. Wanafanya mambo yao kwa siri. Niliweka ushahidi hapa wa wikileaks wa jinsi Vatican inavyoshirikiana na Madicteta kama kina Nyerere kwa makubaliono ya siri ili kueneza Ukatoliki kwa kutumia mabavu na kuua watu wasio na hatia ili kulazimisha Ukatoliki kwa nguvu.

Kuhusu Okello kaua watu wangapi, idadi niliyotoa ni makisio baada ya kuangalia namba zililzowekwa na watu mbalimbali. Okello alikuwa anatumiwa tu na Nyerere hivyo hawezi kujua kila kitu. Kuhusu Okello kulenga kuua kina nani ni kwamba mapinduzi ya Zanzibar yalipangwa mahsusi kwa ajili ya kuua Uislam. Ushahidi huu ni mmojawapo wa jukumu alilopewa na Nyerere na Kanisa kuua Uislamu:

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele:
"KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC".
Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.

Kutokana na ushahidi huo, tueleze Nyerere angewezaje kubadili Tanzania kuwa katika dini ya Katoliki?
Yeye hakuwa mhubiri wa dini. Alitumia mabavu kueneza huo Ukatoliki na kati ya mabavu hayo ni mipango yake ya kuivamia Zanzibar. Sasa unapovamia Zanzibar na kuuwa watu kwa ajili ya kuendeleza Ukatoliki, ni dhahiri umelenga kuwaua Waislamu na sio Waarabu. Waliokufa kwenye mapinduzi yale sio Waarabu peke yao. Ni Wazanzibari wote. Isitoshe Waarabu ni Waislamu hivyo wameuliwa si kwa sababu ya Uarabu wao bali kwa sababu ya Uislamu wao kutokana na mkakati huu wa Katoliki wa kueneza dini yao iliyofilisika kihoja kwa kutumia mabavu.
Isitoshe, mipango hii ya kuvamia Zanzibar ilipangwa na Waingereza na Wamarekani wakati huo George Bush akiwa mkuu wa kitengo cha mashushu cha Marekani na Wamarekani walieleza wazi jinsi wanavyomtegemea Nyerere kwa kazi hiyo chafu kwani walimuona kutokana na kichwa yake kuwa mbaya basi ananafasi nzuri ya kufanya kazi hiyo kwa ufanisi uliotarajiwa. Na haya mataifa ya Magharibi hayakuishia hapo. Yaliweka mpaka Plan B ili kama Wazanzibar watataka kurudisha nchi yao mikononi mwo baada ya mapinduzi basi wabanwe na Nyerere ili wasiweze kufanya hivyo. Nyerere alitumia rungu hilo alilokabidhiwa na mataifa ya Magharibi kuwaua, kuwakimbiza nje ya nchi, kuwatia kizuizini, n.k

Wazanzibari ambao walijitokeza kutaka kudai haki yao ya kuwa taifa huru nje ya Mfumo Katoliki. Mpaka leo hii mambo yaliyo kinyume na haki za binadamu yanaruhusiwa Zanzibar tu katika Africa na yanabaraka za Mataifa ya Kimagharibi ili kuhakikisha Plan B inafanya kazi ya kutosha kuendelea kuwakandamiza Wazanzibar ili wasipate nafasi ya kuwa huru na hivyo kupata muda wa wao kuanza kuujenga Uislamu wao upya. Mauaji, ukandamizwaji na wizi wa kura wa kutumia polisi kuua watu na kuny’ang’anya masanduku ya kura kwa nguvu ili kupoteza ushahidi wa mshindi halali wa Urais Zanzibar ni baadhi ya mambo ambayo huwezi kukuta sehemu nyingine yoyote Africa yanafanyika na viongozi wa Africa na kuungwa mkono na mataifa ya Magharibi.

Kuhusu mauti yake ya kufa polepole kwa ajili ya Ukosefu wa Kinga Mwilini na kupumulia kwenye mashine kama laana kwake nimesema hayo ni maoni yangu binafsi ambayo nimeyafikia baada ya kutafakari unyama uliokithiri alioufanya Nyerere kwa Watanzania kwa ujumla si tu Waislamu. Mauaji ya watu wengi tu mashuhuri yaliyotokea hapa Tanzania pamoja na kuwatimua watu nje ya Tanzania lazima yatakuwa na mkono wake (list ya watu waliouwawa na wengine kuamua kutimkia nje ya nchi kwa kuogopa kuuawa ni ndefu mno).

Sasa kama kuna neno linaitwa laana, basi Nyerere hawezi kuepuka kuwa mmoja wa watu waliolaaniwa kwa vitendo vyake vya kuuwa na kuwatesa binadamu wenzake kwa kutumuia mamlaka aliyopewa na Kanisa Katoliki na mataifa ya nchi za Magharibi.

Kuhusu Okello kudai kwamba kama angeweza angeunganisha Zanzibar na Kenya badala ya Tanganyika ni ushahidi wa wazi kwamba Okello alikuwa anatumiwa kama Condom na hakuwa mtu mweye akili timamu. Hakuwa na mamlaka yeyote kwenye lile suala la Mapinduzi, angewezaje kufanya maamuzi ya kuchagua nchi anayotaka kuungana nayo? Isitoshe, anatoa ushahidi mwingine hapa kwamba mpango huu wa kuivamia Zanzibar ulikuwa umeshaunganishwa na mpango mwingine wa kuimeza Zanzibar kwa kuinyan’ganya utaifa wao kwa kuiunganisha na nchi nyingine. Nyerere ndie aliyekuwa bosi wake kwa kushirikiana na Kanisa Katoliki pamoja na mabwana zake wa mataifa ya Magharibi ndio maana alikuwa anatamani bosi wake angekuwa Kenyatta baada ya Nyerere kumtosa mara baada ya mapinduzi yale. Isitoshe, huyu Okello hakuwahi kuwa na sifa yoyote ya kuwa mtu mwenye hadhi kwenye jamii kabla ya mapinduzi yale. Alikuwa na historia ya matatizo ya kuwa mtoto yatima anayehaha huku na huku kutafuta maisha wakati hana elimu yoyote ile ya maana. Hata ukienda kwenye Youtube na kutafuta habari zake, utamuona usoni tu kwamba alikuwa mtu aliyechanganyikiwa wakati ule wa mapinduzi ya Zanzibar. Ndio maana wakamtumia kwa sababu walijua kwamba CHIZI kama yeye ataweza kufanya kazi ile inayohitaji ukatili vyema kama ilivyo desturi ya Kanisa Katoliki kutumia watu waliochanganyikiwa ili waweze kufanya ukatili utakaowawezesha wao kupanua dini yao kwa kutumia mabavu kwani ni dini iliyofilisika kihoja.

Kuhusu Kamanda mkuu Zenj kuwasiliana na Kenya kutoa taarifa ya maendeleo ya mapinduzi yale ya haramu ni ushahidi mwingine kwamba mkakati huu ulikuwa na mkono wa Kanisa Katoliki na mataifa ya Magharibi kwani yalipangwa katika ngazi ya Africa Mashariki na sio Tanganyika peke yake. Hivyo ilibidi ripoti ziende hata nje ya Tanganyika (Kenya) katika uratibu wa zoezi lile. Ndio maana Okello anaanika wazi kwamba majeshi yaliyotumika katika mapinduzi yale yalitoka vilevile Kenya, Uganda, Mozambique na kwingineko barani Africa. Huu ni uthibitisho kwamba Mapinduzi yale yalipangwa na Kanisa Katoliki kutumia viongozi wa Kikatoliki ndani ya Africa kuufadhili na kuutekeleza mpango ule haramu. Nyerere yeye alikuwa na jukumu la moja kwa moja la kusimamia na kutekeleza uvamizi wenyewe. Waingereza kushindwa kutoa msaada wowote kwa nchi ambayo wao walikuwa ndio protector ni ushahidi mwingine kwamba Waingereza walihusika vyema kwenye kusaidia mapinduzi yale kwa hali na mali hivyo ikawa rahisi kwa Nyerere kuweza kufanya jukumu lake bila matatizo.

Hata kama vichwa vyenu ni vigumu kuelewa, nitaendelea kuwasugua mpaka vichwa vyenu vikae sawa.

Masimulizi ya hisia za mwandishi yanayohalalishwa kuwa ndio ukweli mkuu!

Ukiambiwa ulete ushahidi wa kipengele hadi kipengele utaanza kuweweseka!

Ngano juu ya ngano!
 
Kweli mie siyo saizi yako huwezi kuniambia Nyerere kasoma chuo kinaitwa Makelele nikakukubalia, Nyerere kasoma Makerere.

Kumbe unaelewa lakini unaujeuri wa asili tu shekhee?

Haya jibu maswali yangu twende kwenye hoja kuu!
 
Nduka,

Asalaam Alaykum Al Akhiy.

Nafurahi kukusikia na kutambuana hapa jamvini.

Wallahi kama upo hapo D'salaam,nipa salaam sana pia kwa Eddy Islam mwambie nduguyo "Shariff Nganganga" wa Vienna anakusalim atacheka saana!ahaha!!

Ma'salaam.
Gombesugu,
Dk. Amour Abdallah Amour amefariki jana usiku Dar na kesho
Maziko Unguja.

Inalilah wainailaihy rajiun.
 
Heshima yako; To be fair, nadhani ni mbaya sana ku-carry over bitterness to several other generations. Wamachame na Wakibosho sasa hata kujenga milango ikaangalia kwa wengine sio tatizo kama zamani. Mzee MS mkamilifu ni Allah (swt) pekee. Huwezi jua kama Sheikh pia hakuwa na matatizo. Mkamilifu hayupo MS. Ni adabu tuu inatuzuia kuwatafuta haswa marehemu makosa. Lakini more importantly ni kuwa anzia posting yako which i love very much. Sasa, Kama MWENYEZI MUNGU KESHAMLIPIA as you have indicated yourself, for heaven's sake what business do we have by cultivating this perennial bitterness in our Umma? Kumbe criminals walishaadhibiwa? We are robbing them the drive, the zeal, the optimism with which to face life and current challenges.

MS; Soon we shall open borders to all the East African labour market. If we can not change our stance at least NOW, we run the risk, that our muslim boys and girls shall witness fellow muslims (but from Kenya, Rwanda and Burundi and Uganda) being employed in our own backyard while they can not compete. That will be even more terrible. Mzee MS I believe umeshafika Uganda and of course you know that among the better schools in that country are those owned and run by Muslims. Lakini judging from what is currently going on MS, nachohofia ni kuwa karibu tunaendeshea gari kwenye "round-about", chasing a vicious cycle of you did that, and that, you hypocrite, munafiki etc. We drive to nowhere while others are making strides. Ndio maana REPEATEDLY NIMEKUULIZA AND OF COURSE to MANY OTHERS, ok, this is not comfortable, TUFANYE NINI? HATUWEZI KURUDISHA WATU NA NYAKATI ZILIZOPITA. LAKINI LAZIMA PIA TUISHI. NO PRAGMATIC ANSWER SEEMS TO FORTHCOMING. Believe me, THIS IS REALLY SAD.

Na huu ndo upuuzi mwingine unaweka hapa. Unafananisha shule za Waislam za Uganda na Tanzania? Hujui kwamba Uganda wao hawajawabana Waislamu kujiletea maendeleo yao ukilinganisha na Tanzania. Juhudi za Waislamu kujenga chuo chao tumeona jinsi Nyerere alivyoziuwa. Uganda wao wapo ndani ya OIC hivyo ni rahisi kwa Waislamu wa Uganda kuweza kusaidiwa kimaendeleo na hivyo kuipunguzia mzigo Serikali ya Uganda ya kuwaendeleza watu wake. Hapa Tanzania Nyerere hakutaka Waislamu waendelee na Kanisa Katoliki linaendelea kushikilia uzi ule ule aliouacha Nyerere wa kuhakikisha Waislamu hawapati support kutoka kwa Waislamu wenzao nje ya nchi. Ndio maana Kanisa liko tayari kuingia ulingo wa siasa na kuweka vitisho vya nchi kutotawalika kama itajiunga na OIC!!!!!!!!!!!!! Kama kuna Rais aliyewahi kuwa MJINGA hapa Tanzania basi si mwingine bali ni Nyerere. Huwezi kuwa Rais mwenye akili timamu kama unawabagua watu wako katika makundi ya wanaostahili kuendelezwa na wasiostahili kuendelezwa. Huu ni UJINGA. NUKTA.
 
Wickama,
Hakika yamepita kilichobaki ni sisi kujifunza kutoka kwao.

Allah amesema kweli haki siku zote itakuwa juu ya batil.
Kuna mtu anasema ati ninatisha watu.

Hapana sina uwezo huo.
Yaliyowakuta wale waliojenga farka yanafahamika kwingi.

Akitaka na afanye utafiti wake ataupata ukweli labda tutatofautiana
na sababu.

Huenda yeye akasema ule usaliti uliowakumba kutoka serikalini, udhalili
na hata hayo mengine hayakutoka kwa Allah.
Unatisha watu! period.
Kwamba mtu asipokubali uongo,fitna na uzushi atakuwa amekufur! Mzee Said sijui unasimamia Uislam kwa kuzua uongo ili iweje.

Narudia tena kukwambia nawe uwe msikivu!
Kifo ni ahadi ya mja na mola wake.
Si wewe unayeamua nani afe kwa njia gani. Kifo kinakuja kadri mtu alivyopangiwa.

Unawatisha akina Gombesugu hata kufikia mahali pa kusema ''ni makosa madogo''
Wasomi wanaogopa kuongoza taasisi za waislam kwasababu ya vitisho vyenu. Na wewe na akina Ilunga na Ponda ni tatizo kabla ya kuongelea tatizo.Sasa hivi mupo bize mkiongoza itikafu ili kudhuru wanadamu wenzenu.

Kifo hapangi Mohamed Said, msitishwe! huyu anawatisha kwa mbinu za zamani.
Huyu ni mwanadamu tu asiwatishe jamani. Angekuwa mwadilifu kiasi hicho asingepokea tiketi ya ndege akabeba mfuko wenye nyaraka za uongo na kulala nao five star Ibadan! Tumeonyesha mara ngapi fitna ya mzee Said!

Siwezi kufanya utafiti wenye majibu kuwa kifo ni kazi ya mwenyezi mungu.
Siwezi kumhukumu mwanadamu mwenzangu kama ufanyavyo wewe! hili la wewe kujifanya nabii unalitoa wapi Mohamed!

Kila mtu atakwenda mbele ya haki na kuhesabiwa amali zake yeye na si kutokana na Mohamed Said asemavyo.

Usirudie tena kutisha watu!
 
Ndugu yangu tumia angalau akili uliyopewa na Muumba!

Naomba ujibu kidogo maswali haya kwaajili ya muongozo wa kuelewa mantiki ya kauli ya Mwalimu!

1) Hivi unadhani yote hayo yalitukia katika mwaka mmoja?

2) Mwalimu alikuwa katibu wa Taa kule makelele mwaka gani?

3) Je pale Tabora mwalimu alikuwa katibu wa taa kuanzia mwaka gani hadi mwaka gani?

4) Mwalimu alienda masomoni Scotland mwaka gani na alirejea nchini mwaka gani?

5) Je baada yakurejea kutoka ughaibuni Scotland, mwalimu aliendelea kuwa katibu wa TAA kanda ya tabora?


Hebu funguka kwa hayo kisha nikufunde kiutu uzima swahiba wangu!

Acha kuuliza masuali ya kijinga. Hoja hiyo iko wazi. Haihitaji mlolongo wa masuali ya kitoto ya kihistoria kujibiwa. Ni simple logic kwamba if A=B, B=C, then A=C. Nukta. Huitaji longolongo nyiiiiiiiiingi ku detach illogical pattern katika ubongo wake uliofilisika kwenye logical reasoning.
 
Wanajamvi, hapo chini kuna hoja zilizofuatiwa na ''majibu'' ya hoja hizo!

Nguruvi3: Wickama;Unajua hadithi za kusimuliwa na kuumba umba zina matatizo sana.

Gombesugu anadai Kitwana Kondo alikuwa na nguvu zaidi ya rais Mwinyi.
Mohamed anasema Nyerere alikuwa anaongoza kwa remote na Mwinyi alikuwa hana ''say''.

Baadhi ya waislam wanasema ni ngumu sana kuvunja mfumokristo kwasababu wakristo wameushika. Gombesugu anathibitisha kuwa Kitwana Kondo ndiye alikuwa na Serikali.

Njozi anamsifu Kitwana Kondo kusimama kidete kutetea waislam.
Mohamed anasema CCM ilimsusa akapoteza ubunge kwa msimamo wake wa mambo ya dini.

Gombesugu anasema kulikuwa na Ugomvi na Sheikh Yahya kuhusu mabinti enzi hizo.
Mohamed anasema walinong'onezana kuichagua CCM iliyomtosa Kitwana Kondo.

It's all confusing huwezi kujua nani anasema nini kwasababu story zinabadilika with time and kind of conversation.
Ndio maana huwaita ''half baked wasomi'' kwasababu nao wameingia katika mkumbo wa hadithi za vijiweni like any othe illiterate in the street
gombesugu;6257855]Muheshimiwa Nguruvi3,Kama siku zote anavyokuambieni Sheikh Mohammed yakuwa mambo mengi mno yatakupeni tabu maana nyinyi ni wageni na Wazazi wenu pia ni wageni. Hapa hakuna chaos asilan,ni akili zako tu chechefu zinashindwa ku-comprehend.
Wallahi inastaajabisha,,nyinyi hapa jamvini hamna chochote wala lolote mfanyalo zaidi ya kuwa ma-armchair/keyboard critics. Kitabu chenu hamtaki kuandika au kutunga,harakati za Wazee wenu walivyopigania uhuru wa nchi hii hamtaki kutuletea au kutuonyesha,hadithi za vinyozi wenu pia hamna. Mbona mnatia simanzi nyie wana wa Nyerere!?
Mimi nimekupeni kiduchu tu na kwa mukhtasari "habari fulani",naona mmebaki midomo wazi kama vile mnaangalia movies za James Bond.
Nguruvi3
,kwa kifupi inakulazim umkubalie Sheikh Mohammed,yakuwa wakati hivi vitu vinafanyika wewe ulikuwa bado uko kwenu Magila na Kicheba unacheza Mdumange.

Kuhusu hayo matusi na kashfa ulonena dhidi yetu/Waislam,hiyo wala si siri tena hapa jamvini. Awali nilipojiunga nilistaajabu mno. Ilinilazim kumuuliza Mwanakijiji(maana yeye ndo kati ya wale Vinara wajifanyao ati wanaheshimu na kuwapenda mno Waislam),hivi mbona mnashindwa japo hata kukemea kiduchu hii hali hapa jamvini!? Mwanakijiji akajibu ati hilo tatizo kweli lipo,lakini yeye hana nguvu ya kuzuia au kukemea,maana hata yeye pia hutukanwa. Kwa kifupi nilishindwa kufahamu mantiki alotumia;kufananisha kutukanwa yeye binafsi na kutukanwa Allah,Mtume Wetu na Dini isiyopungua watu takriban 1.5bilion worldwide!?
Nyinyi watu mnachekesha,halafu mnadai ati mpo hapa kuondoa "uchochezi na uhaini" wa Sheikh Mohammed ili kuepusha janga kwa Taifa,na ati nyinyi ndo wapenda amani!? Hapa mnashangilia na kuweka "LIKE" kila kukicha hao viroboto wenu a.k.a Abu jahal wanapomtukana Al Marhum Mufti Sheikh Hassan Bin Ameir kwa kumwita "ndumila kuwili".
Halafu nyinyi ndo mnadai ati mnatafuta amani ya nchi na Sheikh Mohammed hana uadilifu na ni muhaini!?

Naona wenzio wanahangaika mno wanauliza, ati wapi watapata reference ili "wakachunguze" hiyo "movie" niliyowapa. Kwa kukusaidieni,maelekezo yenu tayari nilishamtumia Wildcard jana.

Mmeletewa hoja kadhaa hapa na Zali la Mentali,naona nyoote mmetokomea. Badala yake mmekaa w'end yoote ati kumzungumzia Gombesugu...acheni utoto nyinyi watu wazima hasidi.

Ukipata fursa, mwambie Jasusi akufahamishe kwa kina unyama na ubadhilifu uso mipaka ulofanywa pale Wizara ya Mawasilianao na Uchukuzi na yule Augustine Mwingira "enzi ya Mwalimu". Halafu muulize Nyerere alifanza nini kwa huyo Mwingira na baada ya hapo alimpeleka wapi ili kumstiri!? Na hukohuko alikopelekwa na Nyerere alifanya nini tena kwa kumtumia muhindi yule yule "Lord" Rajpar!?

Najua hivi vitu kwenu ni miujiza iso kiasi. Lakini kwa kuwa baadhi yenu mnaamini yakuwa Nyerere ni Nabii,sasa kwanini msikubali yakuwa hii miujiza aliifanya kwa huo unabii mlompa!?

Poleni saana kwa maradhi mlonayo na udhaifu wa nyoyo.

Kuhusu habari za Mzee KK,inalazim mkamuulize Malecela pale Seaview. Maana Mzee KK ndo alokua Godfather wa mmoja kati ya wanae wa kiume(amefariki). Na huyo huyo Mzee KK,ndo alompa huyo Malecela u-Prime Minister baada ya kumwondoa Sinde Warioba.

Kwa kifupi hiyo hoja mnayojaribu kuidadavua wala si kweli. Kama alivyokufahamisheni Zali la Mentali kwa kina;Nyerere alitawala kwa mabavu na kibri kingi wakati wake. Na muda wake "ulipokwisha",aliingilia na kuvuruga mno tawala za waliomfuatia.
Mzee KK,ilimlazim ainigilie kati ili tu kumnusuru nduguye Rais Ali Mwinyi,dhidi ya kundi la manyagumi waliobobea kwa fikra za udini na unabii wa Nyerere wakiongozwa na Sinde Warioba ,Daud Ngelatuwa Mwakawago na Getrude Mongela.

Kwa kifupi Mwinyi alipata msaada wa dharura toka kwa nduguye...mutoto ya mujini,kitu ya fitna mingi,kitu ya Madrassa,mutu ya Kariakoo.

Mzee KK,ana sifa nyingi saana na ni mtoto wa mjini anaejua fitna na system yoote kwa mapana. Nafikiri mliona ghafla kilichowakumba wakereketwa wenzenu wa Nyerere na jinsi gani Mzee KK alivyowasambaratisha na wako taabani mpaka kesho.

Wakati Nyerere anakuja mjini,Mzee KK alikua tayari ni askari mwenye cheo kizuri kwenye serikali ya wakoloni. Wazee woote wa mjini yeye pia ni Wazee wake,informations zoote za ile suirvellance ya wakoloni dhidi ya Tanu, Julius Nyerere na Abdilwahid Sykes,ilikua ni Mzee KK ambae anazileta kwa Wazee wake na hasa Mzee Mangara Tabu na Shariff Abdallah Al Attas.

Nyerere analilijua hilo fika. Lakini Nyerere hakumsaidia asilan Mzee KK alipopatwa na kesi ya kuchomekewa ya "corruption", kama alivyowasaidia kwa udi na uvumba nduguze kina Nyakyoma na Mwingira. Katika "kesi/shutuma" hizo Mzee KK,alishinda kwa kishindo kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania.

Kwa kifupi Nyerere baada ya muda fulani alihisi/alijua kuwa Mwinyi hampatilizi tena kwa kila alokua analazimisha.
Ndipo pale Nyerere,akaanza kucharukwa na kupanda majukwaani huku akizidi kujivunjia heshima. Huku mara kadhaa akitoa shutuma na matamshi machafu kwa Serikali kwenye vyombo vya habari na ati kuuliza huko Ikulu kuna biashara gani!?
Nyerere vipi yakhe mbona huwachi kujisahau!? Umeacha nchi imeoza baada ya miaka takriban 30 ya madaraka yako dhaifu,halafu unaanza kutaka kumlaumu Mwinyi alokuja juzi tu;na kuwapa watu neema,fadhila na kuwatoa tongotongo za macho na ukakasi wa vinywa!?

Kwa hiyo wafahamishe jamaa zako,wasipoteze w'end yoote badala ya kujibu hoja za maana wanaleta mambo ya kitoto. Ati ooh! tushapata point ya kuwabana inabidi tuwaulize,je Mzee KK nae ni mkatoliki? Hivi hamuoni aibu kwa hao wenzenu mnaojihisi ati ndo mpo hapa kwa maslahi yao?

Mfumo aliouasisi na kuucha Nyerere bado upo mpaka kesho na tulishuhudia kwa mengi jinsi gani alivyoulinda kwa mabavu yoote mpaka mwisho...

Siku nyingine nitakuwekea,kwa kina jinsi gani Nyerere alivyowatumia watoto wa Madrassa na wanywa kahwa vibarazani Alhaj Issa Mtambo Gonera na Alhaj Kitwana Suleiman Kondo ili kumsambaratisha mpinzani wake Oscar Kambona.
Shukran.
 
Wewe nimeshakueleza kwenye post yangu hapo juu kwamba una kila dalili ya kurithi upumbavu sio tu wazazi wako waliokuzaa bali tangu enzi na enzi kwenye mfumo wa damu za mababu zako. Hivyo sishangai wewe kushindwa kuona hoja zangu kwa sababu upumbavu wako ni wa asili hata uende shule namna gani bado utabakia kuwa mpumbavu tu. Bora mimi ninayechimba chumvi nina uwezo wa kujenga hoja na kuzisimamia kuliko wewe unayefanya kazi ofisini wakati kichwani ZERO. Ndio maana taifa hili haliendelei kwa sababu watu mambulula kama nyie ndio mnaokabidhiwa maofisi yenye kuhitaji maamuzi makini ya watu wenye uelewa wa mambo. Nyie ndio mliopitia shule na kubebwa kwa mgongo wa majina yenu badala ya akili zenu.
Zali la Mentali, umekuwa unatumia nguvu kubwa sana kutangaza kuwa unatoa hoja, ajabu hoja zenyewe hazionekani zaidi ya makelele na majisifu ya sio na maana yoyote. Unaposema bora wewe unauwezo wa kujenga hoja na kuzisimamia, mbona ni tofauti na hilo! kwanini usiseme tu kuwa bora wewe unaetembea uchi wa mnyama kama nguruwe kwenye shamba la mama yako huku ukitukana kama mgonjwa wa akili huku ukijinasibu kuwa mitusi hiyo ulijifunza madrasa na mwalimu wako alikuwa Mohamed Saidi!
 
Back
Top Bottom