gombesugu,
..haina tabu.
..sasa kama una data nyingine za uhakika zaidi ziweke hapa tuone kama ni tofauti na hicho kilichokuwa posted wikipedia.
JokaKuu, huyo
gombesugu ni mtu wa ajabu sana; katika posti yake ya kwanza alisema hivi, nanukuu;
Shamte alichaguliwa kihalali kwenye uchaguzi wa 1961. The results of of June 1961 election saw ZNP&ZPPP alliance with 13 seats and ASP secured 10 seats. The Alliance formed the first internal Self Rule Government with Mr. Mohammed Shamte as The Chief Minister.
Zanzibar was given full Independence in Dec 10th. 1963. The first Governmemt was formed by a Coalition of ZNP&ZPPP. Mr Mohammed Shamte,of the ZPPP became the first Prime Minister and Sultan Al Khalifa Jamshid Ibn Abdullah remained as the Head of State.
Nilimstahi sana
gombesugu nilipomezea upotoshaji mkubwa ailoufanya hapo juu; amechanganya ama kwa makusudi au kwa kutojua chaguzi mbili zilizofanyika Zanzibar...ule wa mwaka
1961 na ule wa
1963. Kama amefanya kwa kutojua namsamehe lakini kama kafanya kwa mtindo ule ule wa mwalimu wake wa darsa, simwachi ng'o...kama nilivyowahi kusema, uongo ukiachwa na kurudiwa rudiwa mwishowe huwanasa wasiofanya jitihada za kuhoji na hapo ndipo mimi huamua kuliita koleo kwa jina lake.
Hapa chini narudia matokeo ya chaguzi zote mbili...katika uchaguzi wa mwaka 1961
ZPPP na
ZNP zilikubaliana kuachiana nafasi wakati huo Abdulrahman Babu akiwa bado ni mwanachama wa
ZPPP. Matokeo ya uchaguzi huo ni kama inavyooneana hapa chini;
Uchaguzi wa mwaka 1961
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD] [TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD="width: 54"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 79"]
[/TD]
[TD="width: 78"]
[/TD]
[TD="width: 84"]
[/TD]
[TD="width: 54"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 79"]
[/TD]
[TD="width: 78"]
[/TD]
[TD="width: 84"]
[/TD]
[TD="width: 54"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kuhama kwa Abdulrahman Babu na kuanzisha chama cha UMMA Party kulileta athari kubwa kwa chama
ZPPP kwani kwenye uchaguzi wa mwaka
1963, UMMA Party waliiunga mkono
ASP ingawa nayo
ZNP iliweza kufaidika japo kidogo kama inavyoonekana hapa chini; (to tell the truth
ZNP wa
arab-dominated)
Uchaguzi wa mwaka 1963
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD="width: 78"]
[/TD]
[TD="width: 84"]
[/TD]
[TD="width: 54"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 79"]
[/TD]
[TD="width: 78"]
[/TD]
[TD="width: 84"]
[/TD]
[TD="width: 54"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 79"]
[/TD]
[TD="width: 78"]
[/TD]
[TD="width: 84"]
[/TD]
[TD="width: 54"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Sasa shuhudieni hivi viroja; inakuwaje
ASP ipate kura
87,085 lakini iambulie viti
13 huku
ZNP iliyopata kura
47,950 ikizoa viti
12? Hizi ndizo kura eti zilizompa Sultani uhalali wa kuendelea kuvikalia kimabavu visiwa vya Zanzibar! Hizi kura zina tofauti gani na zile za
Kaburu Voster wa Afrika Kusini au mlowezi
Ian Smith wa Rhodesia? Yaani kura moja ya mwarabu ni sawa na kura mbili za mwafrika!
JokaKuu, mwambie Al Akhiy
gombesugu kwamba madhila waliyofanyiwa ndugu zake hayafikii yale waliyofanyiwa waafrika wa Zanzibar chini ya wakoloni kutoka Oman kwa karne nenda rudi. Wakati akitafakari la kufanya mpe pia
info kwamba si wote wanaompinga Mohamed Said ni Wakristo ama wana Chadema, ni kwamba tu adui wa adui yako mwombee heri; kwangu hakuna adui wa hili taifa langu ninalolipenda zaidi ya
CCM.