QUOTE]
Wickama, Hebu pumzika na hii: We have seen many times that the question of Zanzibar revolution is associated with
"Arab slave trade."The origin of this paradigm stems from not knowing the actual source of the revolution.
The most telling problem was to perceive that the revolution in Zanzibar had to take
place because of the oppressive regime of the Zanzibaris of Arab descent.
It was not necessary that the invasion of Zanzibar should take place. It was a special plot by one country invading another and hiding that hideous fact which gave Zanzibar sleepless nights for forty nine years.
Soma mstari wa mwisho utaona anasema
''which gave Zanzibar sleepless nights for forty nine years''
Kwahesabu, leo ni miaka 49 tangu mapinduzi ya Zanzibar na 49 Tangu Muungano.
Kwahiyo anaposema source yake imempa hiyo habari ana maana hiyo source imempa kati ya Jan 2013-June 2013
Maandishi yake kuhusu Mapinduzi yapo kabla ya 2013. Kwahiyo source anayosema ingempa habari hizo kabla ya hapo maneno yangesomeka ''
''which gave Zanzibar sleepless nights for ........ years'' ( ima ni 20,30 mapaka 48) na 49 isingetokea asilani kwasababu tayari maandishi ya Mohamed yalikuwepo kabla ya 2013
Hoja hapa si
yeye kuleta source ni uongo alioutumia katika
kuficha source ambayo ni yeye mwenyewe na akaileta jamvini kama reliable source huku tukijua yeye si relaible source. Angesema y
eye ni source wala isingesumbua,
cc. Wickama, Mag3, Jasusi, Gombesugu, Nicholas, Yericko,Gwalihemzi,Spike lee, Prisharz