Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Toa source usipende kuropoka baba yako hapo juu kasema kaanza siasa mwaka 1952 na wazee wa mzizima.

Kama hata hata kusoma na kutafsiri maandishi tu unashindwa mimi nikusaidiaje?

Kwahiyo 1948 Julius Nyerere alipoanzisha TAWA pale Makerere alikuwa hajishughulishi na siasa??

Au ilikuwa ni kikundi cha UPATU?

Pale Tabora 1945 akiwa katibu wa jimbo hilo alikuwa anajishughulisha na siasa au alikuwa yupo kwenye kikundi cha HARUSI?

Tumia ubongo wako kijana usijaze kamasi kichwani tu!

Kwenye hiyo hotuba kasema wazi, kuwa siasa alianza mda mrefu lakini siasa za KITAIFA na KIMATAIFA alianza 1952!

Tafakari! Chukua hatua!
 
Ritz;
1. siwajui kina Sykes kama wewe na sioni tija;
2. aliyeeleeza mkasa mkasa wa nyumba ya Cameron ni Nguruvi forward malalamiko yako kwake;
3. AA na Sir Cameron nimesema awali vinaninipa matatizo kuelewa nikaomba msaada kwa nayaejua. Nicholas na Nguruvi wakajitokeza, wewe ulikaa kimya. Huna haki la lawama.
4. Ni kweli tarime ni nyumani kama vile Sykes kwao ni afrika kusini. Kama inakupa shida natanguliza pole zangu.
5. Mwisho nikiri kuwa sijajaliwa kipaji cha kuaga wanangu nyumbani kuja kutukuza na kutumikia mtu mwingine ONLINE tena mwenye username na password yake mahali kama JF!!! Tarime hatulelewi hivyo.

Chuki zako zina umri na wala hazitakufaa kitu. Weka mada, naona hu-paste tena Kwaheri Uhuru.....

Wewe mnafiki majunun, angalia hapo namba 4 hayo kwako siyo MATUSI.

CC: gombesugu,
 
Last edited by a moderator:
QUOTE]

Wickama,
Hebu pumzika na hii: We have seen many times that the question of Zanzibar revolution is associated with
"Arab slave trade."The origin of this paradigm stems from not knowing the actual source of the revolution.
The most telling problem was to perceive that the revolution in Zanzibar had to take
place because of the oppressive regime of the Zanzibaris of
Arab descent.

It was not necessary that the invasion of Zanzibar should take place. It was a special plot by one country invading another and hiding that hideous fact which gave Zanzibar sleepless nights for forty nine years.

Soma mstari wa mwisho utaona anasema ''which gave Zanzibar sleepless nights for forty nine years''
Kwahesabu, leo ni miaka 49 tangu mapinduzi ya Zanzibar na 49 Tangu Muungano.
Kwahiyo anaposema source yake imempa hiyo habari ana maana hiyo source imempa kati ya Jan 2013-June 2013

Maandishi yake kuhusu Mapinduzi yapo kabla ya 2013. Kwahiyo source anayosema ingempa habari hizo kabla ya hapo maneno yangesomeka ''''which gave Zanzibar sleepless nights for ........ years'' ( ima ni 20,30 mapaka 48) na 49 isingetokea asilani kwasababu tayari maandishi ya Mohamed yalikuwepo kabla ya 2013

Hoja hapa si yeye kuleta source ni uongo alioutumia katika kuficha source ambayo ni yeye mwenyewe na akaileta jamvini kama reliable source huku tukijua yeye si relaible source. Angesema yeye ni source wala isingesumbua,
cc. Wickama, Mag3, Jasusi, Gombesugu, Nicholas, Yericko,Gwalihemzi,Spike lee, Prisharz
 
Kama hata hata kusoma na kutafsiri maandishi tu unashindwa mimi nikusaidiaje?

Kwahiyo 1948 Julius Nyerere alipoanzisha TAWA pale Makerere alikuwa hajishughulishi na siasa??

Au ilikuwa ni kikundi cha UPATU?

Pale Tabora 1945 akiwa katibu wa jimbo hilo alikuwa anajishughulisha na siasa au alikuwa yupo kwenye kikundi cha HARUSI?

Tumia ubongo wako kijana usijaze kamasi kichwani tu!

Kwenye hiyo hotuba kasema wazi, kuwa siasa alianza mda mrefu lakini siasa za KITAIFA na KIMATAIFA alianza 1952!

Tafakari! Chukua hatua!

TAWA ni nini?
 
Wanajamvi,
Hii ni sehemu ya majibu ya Hoja za Mapinduzi na uhalali wake. Ameonyesha kwa njia mbadala kuwa uvamizi ulifanywa na Wamakonde wa Kipumbwi na Nyerere ndiyo ili kushadidia hoja yake. Halina tabu pia

Kwa wale wanaomjua Mohamed Said ni wazi alikuwa anajaribu kujibu bila mafanikio akijificha katika mwamvuli wa lugha. Ameleta vipande viwili kile chakwanza kikiwa kina paragraph ambayo sidhani kama kuna mhariri angeiacha iende kwa wasomaji. Tulimvumilia tu

Ameshindwa kusema Mapinduzi ni haramu na walioshiriki ni mabaradhuli na madhwalim kwa kuushambulia Uislam.
Kwa kutumia lugha ya kiingereza, na hapa natoa mfano ni sawa na kushindwa kusema ''vagina'' kwa kiswahili kwasababu inatamkika vibaya sana.

Ndiyo maana anatumia lugha ya kiingereza katika kuwatukana Wanamapinduzi na wznz pengine pia akidhani wengi hawatamuelewa.

Hoja ya nukuu ya pili ni kuwa hataleta source kama alivyoombwa na Wickama kwa sababu maalumu. Hatuna shida na hilo na wala hapa simwambii alete source.

Nafungua kitendawili kwa kusema kuwa hakuna source yoyote ile. Anachotaka ni kufanya watu waelewe ana source nyeti wakati ambapo kama kawaida kajifungia chumbani na kutunga hiyo hadithi.

Soma mstari wa mwisho utaona anasema ''which gave Zanzibar sleepless nights for forty nine years''
Kwahesabu, leo ni miaka 49 tangu mapinduzi ya Zanzibar na 49 Tangu Muungano.
Kwahiyo anaposema source yake imempa hiyo habari ana maana hiyo source imempa kati ya Jan 2013-June 2013

Maandishi yake kuhusu Mapinduzi yapo kabla ya 2013. Kwahiyo source anayosema ingempa habari hizo kabla ya hapo maneno yangesomeka ''''which gave Zanzibar sleepless nights for ........ years'' ( ima ni 20,30 mapaka 48) na 49 isingetokea asilani kwasababu tayari maandishi ya Mohamed yalikuwepo kabla ya 2013

Kwavile tumeshawahi kumhoji kuhusu kujinukuu na kumwambia mubashara kuwa huo si uandishi au ''scholar'' hafanyi hivyo, leo ameamua kujinukuu na kusema ana source. Hawezi kutufanya wapuuzi sisi sote.

Hoja hapa si yeye kuleta source ni uongo alioutumia katika kuficha source ambayo ni yeye mwenyewe na akaileta jamvini kama reliable source huku tukijua yeye si relaible source.

Angesema yeye ni source wala isingesumbua, kinachosumbua ni kujificha kwa kujifanya ana source zingine.
Mwandishi mwadilifu hafanyi hivyo, hoja ikimzidi husema hoja imemzidi. Hoja ya Mapinduzi ni mwiba na utabaki kuwa mwiba.

Mohamed, kwa mara nyingine kama ilivyokuwa kule kwa Yakoub Gowon unaongopa hadhrani. Huna source na wewe si source yako mwenyewe.

cc. Wickama, Mag3, Jasusi, Gombesugu, Nicholas, Yericko na wameza ngano

Umeishawahi kuhoji source katika maandiko ya mtoto wa Nyerere, Yericko Nyerere, au unameza ngano kavu kavu tu, ha haa ha.

Ni maana ya "Vagina"?
 
Last edited by a moderator:
Wewe mnafiki majunun, angalia hapo namba 4 hayo kwako siyo MATUSI.

CC: gombesugu,

Ritz; ni spelling mistake. correctly ni NYUMBANI. Nashukuru. Point ya 5 haina spelling mistakes? hahahahaha. Baunsa. Jitegemee mshikaji. Iko siku nimecheka na kukuonea huruma, eti unatutungazia umati humu JF tuwe tayari kuna kitu kizito Mzee MS atatujulihsa!!! (ilikuwa msiba wa Ally Sykes). Sasa nikajiuliza hivi MS siku hizi mpaka amtangulize baunsa kumtayarishia wanajamvi? Ndio maana usione nakuuliza kila mara WHAT ARE YOU?. Umekumbuka hiyo siku? Ngoja nicheke, bwana.....sina hamu. Hata majnun wanacheka au sio?
 
Last edited by a moderator:
Nakujibu kwa mara ya mwisho maswali yako ya kipuuzi!

Tanganyika African Welfare Association (TAWA)

Usikasirike mimi siyo kina Nguruvi3, Mag3, Wickam ukimwaga ngano nimeze tu.

Kilisajiliwa wapi hicho chama na ofisi zake zilikuwa wapi hapa Tanganyika Musoma au Tarime?
 
Ritz; ni spelling mistake. correctly ni NYUMBANI. Nashukuru. Point ya 5 haina spelling mistakes? hahahahaha. Baunsa. Jitegemee mshikaji. Iko siku nimecheka na kukuonea huruma, eti unatutungazia umati humu JF tuwe tayari kuna kitu kizito Mzee MS atatujulihsa!!! (ilikuwa msiba wa Ally Sykes). Sasa nikajiuliza hivi MS siku hizi mpaka amtangulize baunsa kumtayarishia wanajamvi? Ndio maana usione nakuuliza kila mara WHAT ARE YOU?. Umekumbuka hiyo siku? Ngoja nicheke, bwana.....sina hamu. Hata majnun wanacheka au sio?

Kwetu sisi kufiwa na Mzee wetu Ally Sykes ni msiba mzito wala mimi sishangai kwako kuwa furaha mpaka uangushe kicheko ndiyo ubinadamu.

Ha ha haa wewe wa kunionea huruma mie, sisi tumeishi kama ndugu katika jamii zetu tunashirikiana kwenye shinda na raha ikiwamo na misiba, hakuna tatizo kama wewe ulifurahia kifo cha Mzee Ally Sykes, hakika kila nafsi itaonja mauti.
 
Usikasirike mimi siyo kina Nguruvi3, Mag3, Wickam ukimwaga ngano nimeze tu.

Kilisajiliwa wapi hicho chama na ofisi zake zilikuwa wapi hapa Tanganyika Musoma au Tarime?

Shariff Ritz,

Ghadhabu kaghadhibika.
Yericko kahamaki.

Mimi nimeeleza katika kitabu changu jinsi TANU ilivyokuja kuzaliwa na approach niliyochukua
inaitwa kitaalamu ''biographical approach.''

Nimeanza na maisha ya Kleist Sykes 1929 alipoasisi AA kama katibu muasisi kisha nikaja maisha
ya mwanae Abdulwahid Sykes 1945 akiwa Burma akiwa na azma ya kuendeleza mapambano ya
baba yake dhidi ya ukoloni.

Hapo ndipo akiwa katika 6th Battalion KAR aliwashawishi wenzake katika jeshi la Kiingereza kuunda
chama cha siasa.

1947 Abdu Sykes akahusika katika vuguvugu la makuli wa bandarini Dar es Salaam na ukafuatia mgomo
maarufu wa 1947 mgomo uliosababisha Waingereza kupitisha sheria ya kuunda vyama vya wafanyakazi
na Abdu Sykes akawa katibu wa Dar es Salaam Dockworkers Union 1948.

Ikaingia 1950 Abdu akachaguliwa kuwa katibu wa TAA na hili tushalizungumza sana hapa jamvini akaunda
Political Subcommittee.

1952 Abdu anakutana na Nyerere...
1953 uchaguzi wa Abdu na Nyerere na Nyerere anashinda anakuwa rais wa TAA na Abdu Makamu wake.

1954 TANU inaunndwa Nyerere akiwa rais wake.

Yericko na achukue cue katika hayo hapo juu na atuandikie kitu.
La hawezi hakuna shida wala hapana sababu ya kutukanana.
 

Shariff Ritz,

Ghadhabu kaghadhibika.
Yericko kahamaki.

Mimi nimeeleza katika kitabu changu jinsi TANU ilivyokuja kuzaliwa na approach niliyochukua
inaitwa kitaalamu ''biographical approach.''

Nimeanza na maisha ya Kleist Sykes 1929 alipoasisi AA kama katibu muasisi kisha nikaja maisha
ya mwanae Abdulwahid Sykes 1945 akiwa Burma akiwa na azma ya kuendeleza mapambano ya
baba yake dhidi ya ukoloni.

Hapo ndipo akiwa katika 6th Battalion KAR aliwashawishi wenzake katika jeshi la Kiingereza kuunda
chama cha siasa.

1947 Abdu Sykes akahusika katika vuguvugu la makuli wa bandarini Dar es Salaam na ukafuatia mgomo
maarufu wa 1947 mgomo uliosababisha Waingereza kupitisha sheria ya kuunda vyama vya wafanyakazi
na Abdu Sykes akawa katibu wa Dar es Salaam Dockworkers Union 1948.

Ikaingia 1950 Abdu akachaguliwa kuwa katibu wa TAA na hili tushalizungumza sana hapa jamvini akaunda
Political Subcommittee.

1952 Abdu anakutana na Nyerere...
1953 uchaguzi wa Abdu na Nyerere na Nyerere anashinda anakuwa rais wa TAA na Abdu Makamu wake.

1954 TANU inaunndwa Nyerere akiwa rais wake.

Yericko na achukue cue katika hayo hapo juu na atuandikie kitu.
La hawezi hakuna shida wala hapana sababu ya kutukanana.

Sheikh Mohamed Said,

Ni vizuri tupate hiyo historia chama hakijawahi hata kufika Tanganyika leo hii kinapewa nafasi ni kituko.

Yericko Nyerere, anatuambia baba yake alianza siasa za kimataifa kabla ya kitaifa.
 
Last edited by a moderator:
Ritz; ni spelling mistake. correctly ni NYUMBANI. Nashukuru. Point ya 5 haina spelling mistakes? hahahahaha. Baunsa. Jitegemee mshikaji. Iko siku nimecheka na kukuonea huruma, eti unatutungazia umati humu JF tuwe tayari kuna kitu kizito Mzee MS atatujulihsa!!! (ilikuwa msiba wa Ally Sykes). Sasa nikajiuliza hivi MS siku hizi mpaka amtangulize baunsa kumtayarishia wanajamvi? Ndio maana usione nakuuliza kila mara WHAT ARE YOU?. Umekumbuka hiyo siku? Ngoja nicheke, bwana.....sina hamu. Hata majnun wanacheka au sio?

ha ha ha Wickama hata mimi hiyo siku nilikaa mkao wa tangazo aisee! Msamehe Ritz juu ya watu wa Mara alikuwa awe shemeji yako mrembo akamkimbia ndio hizi hasira(kidding)
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha Wickama hata mimi hiyo siku nilikaa mkao wa tangazo aisee! Msamehe Ritz juu ya watu wa Mara alikuwa awe shemeji yako mrembo akamkimbia ndio hizi hasira(kidding)

Mbona na masna tayari huko Musoma.
 
Last edited by a moderator:
Niwie radhi maalimu kama nakukwaza mkuu,

Kauli yangu huwa inasimama wima hasa inapojikita kwenye ukweli halisi!

Nimekazia usemi wangu kwakuwa juu ya Mwalimu Nyerere na ujio wake kisia tulishaueleza hapa hapa kuwa ulianza siku nyingi tena nyingi sana, Abdul Sykes angali kinda la nyumbani kwa Klest Sykes!

Akikikutana na akina Dosa Azizi, akihudumu jimbo la Tabora, hiyo ni 1945

Tusonge mbele!


Yericko,
Hapana hunikwazi.

Hivi ndivyo unavyotakiwa kufanya unaeleza yako na mimi naeleza yangu.
Baada ya hapo tunawaachia watazamaji wanaamua.
 

Shariff Ritz,

Ghadhabu kaghadhibika.
Yericko kahamaki.

Mimi nimeeleza katika kitabu changu jinsi TANU ilivyokuja kuzaliwa na approach niliyochukua
inaitwa kitaalamu ''biographical approach.''

Nimeanza na maisha ya Kleist Sykes 1929 alipoasisi AA kama katibu muasisi kisha nikaja maisha
ya mwanae Abdulwahid Sykes 1945 akiwa Burma akiwa na azma ya kuendeleza mapambano ya
baba yake dhidi ya ukoloni.

Hapo ndipo akiwa katika 6th Battalion KAR aliwashawishi wenzake katika jeshi la Kiingereza kuunda
chama cha siasa.

1947 Abdu Sykes akahusika katika vuguvugu la makuli wa bandarini Dar es Salaam na ukafuatia mgomo
maarufu wa 1947 mgomo uliosababisha Waingereza kupitisha sheria ya kuunda vyama vya wafanyakazi
na Abdu Sykes akawa katibu wa Dar es Salaam Dockworkers Union 1948.

Ikaingia 1950 Abdu akachaguliwa kuwa katibu wa TAA na hili tushalizungumza sana hapa jamvini akaunda
Political Subcommittee.

1952 Abdu anakutana na Nyerere...
1953 uchaguzi wa Abdu na Nyerere na Nyerere anashinda anakuwa rais wa TAA na Abdu Makamu wake.

1954 TANU inaunndwa Nyerere akiwa rais wake.

Yericko na achukue cue katika hayo hapo juu na atuandikie kitu.
La hawezi hakuna shida wala hapana sababu ya kutukanana.

Mlengo wako ulisimama katika yale yale tuliyoyakataa hapa kuwa hukuandika HISTORIA ya Uhuru,

Uliandika NGANO tu,

Hapo unamsimulia Klest Sykes,

Kisha unaisimulia AA lakini hutaji safu nzima ya uongozi wa AA wa awali kwa maana ya Rais, Katibu, Mweka hazina,

Sababu ipo ndiomaana huwataji kwakuwa itavunja mission yako!

Mungu saidia mnakasha huu umefanya leo unasema Klest Sykes alikuwa KATIBU tofauti na tulipoanza mjadala huu ulipotamka bila aibu kuwa Klest ndie RAIS na muasisi halisi na ukakoleza kabisa kuwa (chama cha kwake)

Je viongozi wa wili wa mwanzo wa AA kwamaana ya Mwalimu Cesil Matola na Ramadhan Ally umewapa nafasi gani katika andishi lako???

NGANO NGANO NGANO NGANO
 
TAWA inauhusiano wowote na EAMWS? yaani East African M. Welfare Association?

Havikuwa na uhusiano wowote,

TAWA ilianzishwa kama chama cha harakati za ukombozi na Mwalimu Julius Nyerere 1948 akiwa masomoni pale Makerere nchini Ugani,

EAMWS iliingia nchini miaka ya 1960+ ikitokea nchini Kenya,

Ilikuwa ni chombo cha Waislamu na wao ndio walikiua,
 
Mlengo wako ulisimama katika yale yale tuliyoyakataa hapa kuwa hukuandika HISTORIA ya Uhuru,

Uliandika NGANO tu,

Hapo unamsimulia Klest Sykes,

Kisha unaisimulia AA lakini hutaji safu nzima ya uongozi wa AA wa awali kwa maana ya Rais, Katibu, Mweka hazina,

Sababu ipo ndiomaana huwataji kwakuwa itavunja mission yako!

Mungu saidia mnakasha huu umefanya leo unasema Klest Sykes alikuwa KATIBU tofauti na tulipoanza mjadala huu ulipotamka bila aibu kuwa Klest ndie RAIS na muasisi halisi na ukakoleza kabisa kuwa (chama cha kwake)

Je viongozi wa wili wa mwanzo wa AA kwamaana ya Mwalimu Cesil Matola na Ramadhan Ally umewapa nafasi gani katika andishi lako???

NGANO NGANO NGANO NGANO
Yericko,
Hapana ugomvi wala usihamaki eleza yako nami nitaeleza yangu:
Msikilize Ally Sykes anazungumza mambo yalivyokuwa 1947.

Ally Sykes kadi yake ya TANU ni namba 2 namba moja ni ya baba yako
na aliyemwandikia alikuwa Ally Sykes na kadi namba 3 ni ya kaka yake
Abdulwahid Sykes.

Msikize Ally Sykes hapa chini:

It was at the Central Hotel that I came to meet Jomo Kenyatta, Bildad Kaggia, Tom Mboya, W.W. Awori and other Kenyan nationalists.

I used to talk about my father and what he was doing in Tanganyika to further many issues of African interests.

Mboya
was a keen listener and he used to urge me to return back home and help in the struggle.

I also received many letters from Abdulwahid asking me to come home. He told me in his letters that the struggle against the British had begun.

I knew I had to get back home and join the struggle or I would miss an important opportunity to play a role in the history of my country.

Following persistent letters from my father asking me to come home I had to leave Nairobi and return home.

When I left Nairobi to return home in 1948 I was 21 years old.

PS:

Yericko,
Siwezi kusema Kleist alikuwa rais wa AA haiwezekani mie kufanya kosa kama hilo.

Wala mie sitakudai utoe ushahidi kuwa niliandika maneno hayo nakuchukulia kuwa
hukuwa makini tu katika kusoma na kuelewa.

 
Back
Top Bottom