Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Son, hili mbona tulishafunga chapter.Sweet Ritz kauli ya Mohamed Said kwamba hakuna mmanyema mkristo ni kweli???? huku tulipo imeleta mjadala mkali and so far we have no answers
Imedhihirika bila shaka kuwa wapo Wamanyema ambao ni wakristo. Ukatajwa ukoo wa Msulwa(kama sijakosea ) ambao ni Wakristo.
Kama ilivyo Ibadan, Kipumbwi, ufisadi wa nyumba, ujio wa Nyerere n.k. hili nalo Mohamed Said alikiri kuwa halikuwa na ukweli. Tukawa tumekisadia kizazi kijacho.
Kwa ufupi, Wamanyema wapo katika kila sehemu kama jamii zingine.
Kwamba walikuja kuikomboa Tanganyika hilo nalo limehitimishwa si kweli.
Kwamba walishiriki ukombozi kama raia wengine hilo laweza kuwa kweli, kwamba walishirikiana na familia ya Sykes kupaka rangi nyumba ya D.Cameron siku ya jumapili na kuitafisha kuwa yao, sina ujuzi nalo na wala sina source hata yangu mwenyewe