Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Kadogoo,
Dhana kwamba kuna watu waliliwa na simba kwenye vijiji vya ujamaa ni uwongo mtupu. Na kama watu walikula yanga si ni heri kuliko kufa njaa kama ilivyotokea Ethiopia?


Mzee Jasusi,

Niwie radhi kuingilia majadiano yenu kiduchu na nduguyo Kadogoo.

Lakini roho imenuma nimeshindwa kustahamili,kwanini unataka kupotosha ukweli kwasababu tu ya mahaba yako ya upofu kwa Nyerere a.k.a "Baba wa Taifa"

Mimi binafsi nazijua Family 8,zilizoliwa na simba wakti ule wa ile Social experiment/Sera ya "Vijiji vya Ujamaa" ya Nyerere.

Njia ya kwenda Mtwara/Lindi...pale njia panda ya Nangurukuru nafikiri pana kijiji kinaitwa Sinza,mbele kiduchu kuna kingine kinaitwa Miteja Sinza. Unaingia ndani kama maili sita hivi kuna kijiji kingine kinaitwa kwa Songoro.

Hapo kuna watu/wanakijiji wanne walidhuriwa na kuuwawa na simba. Mmojawapo ya watu waliouliwa na simba katika hicho "kijiji kipya" ni Mke wa Sheikh/Imam wa msikiti Marehemu Mzee Mwinchande Saleh,akiitwa Bibi Mame Koroboi.

Barabra kuu ya kwenda Tanga/Arusha pale Mkata...ukiingia ndani kama unaelekea Handeni pana kijiji cha KwaChaga...ingia ndani kama maili kumi utafika KwaNkonje.

Huko kwenye "kijiji kipya" cha Nyerere nako pia walikufa watu kadhaa kwa kutafunwa au kujeruhiwa na simba.

Kati ya watu maarufu waliokufa/kuliwa na simba alikuwapo pia Mchawi/Mtabibu mkuu wa kijiji wakti huo Marehemu Fundi Idd Khatib Kihongwe na Msaidizi wake John Mwinyikheir.

Kuna mengi mno kuhusu Wananchi kuliwa na Simba kutokana na ile sera mbovu ya Nyerere ya "Vijiji vya Ujamaa".

Alipoamrisha na kulazimisha
kuwahamisha Watu/Wananchi kinguvu bila ya ridhaa zao, kutoka kwenye vijiji vyao vya asili na kuwatokomeza kwenye misitu/mbuga,kabla hata hakujawa na huduma zozote/yoyote muhimu inayostahili ili Mwana-Adam kuwezaishi!?

Wananchi wengi walilazimishwa kuacha mali zao,nyumba,makaburi na mashamba yao ya asili nyuma,huku hawajui wendako ni wapi na watakuta nini!?

Inasemekana kuna baadhi ya Wananachi walijinyonga na kupoteza maisha kwa hasira zao na kutojua la kufanza!? Hili sina hakika nalo,lakini nimepata kulisikia mara kadhaa.


Niwie radhi kwa huo uchechefu wangu kiduchu.

Ahsanta sana.

Cc;Ritz,Kadogoo
 
Huyu hana anachojua zaidi ya porojo anatetea kitabu cha kivukoni hajui kimeandikwa lini wala waandishi waliondika hawajuhi, anakuambia Nyerere alikuwa ananuliwa nguo, viatu, pamoja na gari na Chifu Mariale lakini kwa bahati mbaya kina mzee Jasusi, wanameza tu hizi ngano za kijana wao ha haa ha! Lakini Mohamed Said, akisema Mshume Kiyate alikuwa anampa ofa Nyerere ya chakula pale sokoni kariakoo, jamvi lote linapiga kelele Nyerere anadhalilishwa.
Ritz,
Sijameza hizo ngano za Chifu Marealle. Nimehoji.
 
Wewe Yericko,mtoto wa nje ya ndoa/mwanaharamu unaweza vipi kunifunza mimi adabu!?

Wewe ndo ujifunze lugha njema unapozungumza na wenzio! Ok!?

Tafadhali usirudie tena kunambia niwe na adabu...hilo kwenye mila na dasturi zangu ni tusi zito mno!


Umemaliza,
Hujabakisha hata mazide..
Nakufautilia kwa utuvu mno,,,
 
Mi huwa sijui wailamu kwa nini kila siku hujiona kuwa wadhaifu, wanaonewa na au wamekandamizwa. Kweli nyani haoni kundule (ashakumu si matusi). Historia ya dini ya kiislamu inaonesha kuwa watu hawa wamejengwa katika chuki na fitina. Matokeo yake waislamu wamekuwa na historia ya machafuko na kumwaga damu tangu zamani (mwaka 630 na kuendelea). Tangu zamani wakati nchi zingine duniani zikiruhusu mawazo tofauti na mafundisho ya vitabu vya dini na sayansi kushika kasi, nchi nyingi za kiislamu hazikupenda mfumo huo na kuendelea kuwafundisha watoto wao elimu ya madrasah na hivyo kujitenga na mfumo mpya wa elimu ulioleta mabadilko makubwa katika maisha ya mwanandamu.
Mini nadhani mwandishi hapa amekuwa biased kwa kuwa yeye mwenyewe ana maslahi binafsi. Nadhani ingekuwa vema kwa yeye kuchambua mchango wa mfumo wa dini ya kiislamu katika maendelo ya elimu ya waislamu. Hapo angepata majibu sahihi na kuwashauri waislamu wapi wanatakiwa kubadilika. Mimi nadhani waache kuwajaza chuki watoto wao katika shule zao za madrasah na badala yake wawafundishe maadili mema na elimu itakayowasaidia katika maisha yao. Wasiwapeleke watoto wao katika shule eti kwa kuwa ni za kiislamu hata kama kazina elimu bora(mtu mbaya hapati thawabu hata kama ni ndugu yako). Wawapeleke watoto wao wote (wasichana kwa waume) shule na wala sio kuwaweka watoto wa kike ndani na kusubiri kuolewa. Wafanye kazi kwa bidii na waache kupiga soga na kucheza bao. Mafanikio hayaji yenyewe, lazima yatafutwe tena kwa jasho, bidii na subira.


Ufunguo,

At first I thought it was funny,then I realised the awful truth of your poison.

Your post well noted Sir,but your assumptions not appreciated.

I'm afraid most of the issues you mentioned already been discussed here...done and dusted!

Most of your opinion gets taken without Historical context. Where do you get your facts!?

Muslims are not playing victims,cause they are those people.

You lie and distort facts through half information and buzz words to make think that you know it all.

Positive criticism is not hatred and should not be seen as such,it is only through debates and counter-debates that we can contribute to improve things.

Ahsanta sana.

Cc;Ritz,The Big Show
 
Mzee Jasusi,

Mimi bado nakuheshimu mno. Jitahidi usiweke LIKE pale mtu anaponipa tuhuma zisizo na msingi,ati ya kwamba navunja sharia za Jf!?

Au imekuchoma kiduchu ndugu yangu,mimi kumwita Nicholas ni Kiongozi wa Chadema!? Kwani mtu kuwa Kiongozi wa Chadema ni tusi siku hizi!? Kwanini msichukulie kama ni compliment tu!?

Shariff Ritz anapoitwa yeye ni Kiongozi wa CCM hupenda na kufurahika mno.

Hivi unaufuatilia kweli huu mnakasha ndugu yangu!?

Natumai tanifahamu japo kiduchu.

Kuhusu hiyo hoja yako yakuwa CCM hapakaliki,yawezekana ni kweli. Lakini leo mkono ukangia mavi waukata au wausafisha na kuendelea kuwa mkonowo!?

Najua nyinyi Nyerere Clan nyoote mmepata khasira na ghadhabu nyingi kwa CCM,lakini najua ni makosa ya Rais Mkapa ndo alokukasirisheni!?

Mzee Butiku alizunguka nchi nzima kumnadi Mkapa,watu wengi walimuonya hakutaka kusikia asilan...sasa vipi leo mnageuka kusema CCM ni wabaya na hapakaliki!?

Hata Nyerere akifufuka leo,hivi kweli atapenda na kufurahika jinsi nyinyi wanafamilia kuzitupa nguvu zake zoote kuanzia TANU mpaka leo hii CCM!? Kwa kweli mmemuangusha mno "Baba yenu wa Taifa".

Kuna mengi ya kunena lakini kwa leo tuachie kwa hapa ndugu yangu.

Nakusihi niwie radhi kama kuna lolote nilonena nawe hukuridhia.


Ahsanta sana.


Cc;Ritz

Gombesugu,
Nimekusikia ndugu yangu. Lakini niongeze kiduchu tu. Siyo sisi ndugu zake tuliyoitupa TANU na CCM iliyoanzishwa naye. Kama unakumbuka hata yeye aliwahi kusema kuwa CCM si mama yake. Waliomwangusha Nyerere ni hawa viongozi wa sasa wa CCM ambao wanaona kujilimbikizia mali ni tija na kusahau misingi ya umoja na mshikamano wa wafanyikazi na wakulima wa Tanzania ambao leo CCM inawageuza kuwa watwana wa wawekezaji na waporaji wa mali zetu. Ningesema mengi lakini kwa sasa hayo yanatosha kabisa. Angalia yanayotokea Mtwara.
 

Mzee Jasusi,

Niwie radhi kuingilia majadiano yenu kiduchu na nduguyo Kadogoo.

Lakini roho imenuma nimeshindwa kustahamili,kwanini unataka kupotosha ukweli kwasababu tu ya mahaba yako ya upofu kwa Nyerere a.k.a "Baba wa Taifa"

Mimi binafsi nazijua Family 8,zilizoliwa na simba wakti ule wa ile Social experiment/Sera ya "Vijiji vya Ujamaa" ya Nyerere.

Njia ya kwenda Mtwara/Lindi...pale njia panda ya Nangurukuru nafikiri pana kijiji kinaitwa Sinza,mbele kiduchu kuna kingine kinaitwa Miteja Sinza. Unaingia ndani kama maili sita hivi kuna kijiji kingine kinaitwa kwa Songoro.

Hapo kuna watu/wanakijiji wanne walidhuriwa na kuuwawa na simba. Mmojawapo ya watu waliouliwa na simba katika hicho "kijiji kipya" ni Mke wa Sheikh/Imam wa msikiti Marehemu Mzee Mwinchande Saleh,akiitwa Bibi Mame Koroboi.

Barabra kuu ya kwenda Tanga/Arusha pale Mkata...ukiingia ndani kama unaelekea Handeni pana kijiji cha KwaChaga...ingia ndani kama maili kumi utafika KwaNkonje.

Huko kwenye "kijiji kipya" cha Nyerere nako pia walikufa watu kadhaa kwa kutafunwa au kujeruhiwa na simba.

Kati ya watu maarufu waliokufa/kuliwa na simba alikuwapo pia Mchawi/Mtabibu mkuu wa kijiji wakti huo Marehemu Fundi Idd Khatib Kihongwe na Msaidizi wake John Mwinyikheir.

Kuna mengi mno kuhusu Wananchi kuliwa na Simba kutokana na ile sera mbovu ya Nyerere ya "Vijiji vya Ujamaa".

Alipoamrisha na kulazimisha
kuwahamisha Watu/Wananchi kinguvu bila ya ridhaa zao, kutoka kwenye vijiji vyao vya asili na kuwatokomeza kwenye misitu/mbuga,kabla hata hakujawa na huduma zozote/yoyote muhimu inayostahili ili Mwana-Adam kuwezaishi!?

Wananchi wengi walilazimishwa kuacha mali zao,nyumba,makaburi na mashamba yao ya asili nyuma,huku hawajui wendako ni wapi na watakuta nini!?

Inasemekana kuna baadhi ya Wananachi walijinyonga na kupoteza maisha kwa hasira zao na kutojua la kufanza!? Hili sina hakika nalo,lakini nimepata kulisikia mara kadhaa.


Niwie radhi kwa huo uchechefu wangu kiduchu.

Ahsanta sana.

Cc;Ritz,Kadogoo
Uzuri mmoja ni kuwa vijiji hivi vya Mwalimu bado vipo na vingine ni miji midogo sasa. Huduma mbalimbali za kijamii ziliwezekana kujengwa na kutolewa kwa sababu ya vijiji hivi. Baadhi yetu tuliweza kukamatwa na kupelekwa shule kwa sababu ya kuibuliwa na vijiji hivi. Hebu fikiria kama ungenikosa humu JF!


Umoja na UTANZANIA ulijengwa na vijiji hivi. Sera hii ya vijiji na utekelezaji wake usingekosa wahanga wake nchi nzima. Kufanya mapenzi tu watu wanaumia, wanakufa. Itakuwa kujenga vijiji?


Mnaweza kumchukia Mwalimu mnavyotaka. Ametawala nchi hii muda mrefu sana. Asingekosa maadui.
 
Gombesugu,
Nimekusikia ndugu yangu. Lakini niongeze kiduchu tu. Siyo sisi ndugu zake tuliyoitupa TANU na CCM iliyoanzishwa naye. Kama unakumbuka hata yeye aliwahi kusema kuwa CCM si mama yake. Waliomwangusha Nyerere ni hawa viongozi wa sasa wa CCM ambao wanaona kujilimbikizia mali ni tija na kusahau misingi ya umoja na mshikamano wa wafanyikazi na wakulima wa Tanzania ambao leo CCM inawageuza kuwa watwana wa wawekezaji na waporaji wa mali zetu. Ningesema mengi lakini kwa sasa hayo yanatosha kabisa. Angalia yanayotokea Mtwara.


Mzee Jasusi,

Nashukuru,lakini imenilazim kucheka kiduchu maana naona shutuma zimekua nzito kiduchu!ahaha!!

Basi naomba tumalizie haya "mazungumzo yetu" siku nyingine ndugu yangu,na labda pia tumualike ndugu yetu JokaKuu ili awe "Referee wetu"!?ahaha!!

Nimefurahi tumezungumza japo kiduchu ndugu yangu.

Ahsanta.

Cc;JokaKuu
 

Ufunguo,

At first I thought it was funny,then I realised the awful truth of your poison.

Your post well noted Sir,but your assumptions not appreciated.

I'm afraid most of the issues you mentioned already been discussed here...done and dusted!

Most of your opinion gets taken without Historical context. Where do you get your facts!?

Muslims are not playing victims,cause they are those people.

You lie and distort facts through half information and buzz words to make think that you know it all.

Positive criticism is not hatred and should not be seen as such,it is only through debates and counter-debates that we can contribute to improve things.

Ahsanta sana.

Cc;Ritz,The Big Show

:clap2: Al Habiby gombesugu,

The habit of "faultfinding" blinds us of all the goodness of others and gets to a stage where fault is found even where it does not exist.
 
Last edited by a moderator:
Huna credibility ya kuniambia hivyo,

Ninaposema sumu ya Mohamed Said inazaa matinda ninamaana pana zaidi,

Siangalii urefu wa pua tu,

Mohamed Said amechochea makundi ya kihoro kiasi cha leo watu kutazamana kwa dini zao, chuki hiyo imesambaa hata ndani ya siasa za nchi hii, watu kwenye siasa wanatazamana kwa dini zao,

Kibaya zaidi amechochea watu wadini moja waonekana ni wanyonge na wanaodhurumiwa kwa kila kila kitu katika nchi hii,

Hali hiyo inaleta mtafariku kwa kila ukionacho lazima uangaze kidini kwanza!

Mtu huyu ni hatari tena hatari inayo ogofya zaidi watu wanavyofikiria!

Huyu ni mpishi wa mahubiri ya akini Shehe Sale na Shehe Illunga,

Ni play marker wa kila aina ya uchochezi nchini,

Wewe ni miongoni mwa wafuasi wake wakuogopwa!

Nasema Matunda ya UCHOCHEI wa Mohamed Said yanaonekana!

Na hayajaanza kuonekana leo, ni tangu mauji ya mapadre kule Zanzibar, Uchomaji moto wa Makanisa, na vurugu zote unazoziona baadhi ya Waislamu wanazifanya ni kwamsaada wa Mohamed Said!

Kitabu chake kina miaka 15 sasa, hujui kuwa hayo ndio matunda ya kitabu hicho?

Shame on you!!!!



Yericko,

So sad to hear all your fables and fairytales,especially when you always try so bloody hard to link them with Sheikh Mohammed.

Yericko,you are a plague in our society. People need to woken up and confront your lies and keep distance from your poison.

Infact,you are in league with the Devil,who is cursed forever!

You started this shit not Sheikh Mohammed,this is your own doing.

It's you and your Slave Nicholas,who are spreading Islamophobia,hatemongering and scapegoating Sheikh Mohammed.

By the way majority of peace loving Christians in Tanganyika/Tanzania don't consider you as their mouthpiece.

It's about time you realise and accept your place in our peaceful society.

Basically,I mean just shut up and get a life!

Cc;Ritz,The Big Show
 
Ritz,
Sijameza hizo ngano za Chifu Marealle. Nimehoji.

Jasusi,
Nimeandika kitabu ''Uamuzi wa Busara'' Abantu Publications (2007).

Katika kitabu hiki Yusuf Ngozi kazungumza kuhusu matatizo waliyopata
kutoka kwa machifu kule Kilimanjaro wakati wanaunda TANU pale Moshi
mwaka 1955.

Hawa machifu ni akina Marealle na Abdiel Shangali.

Abdu Sykes alihangaika sana na Chief Kidaha kujaribu kumvuta aje TAA
wamchague kuwa rais ikashindikana.

Ukweli ni kuwa machifu walichelewa kuiunga TANU mkono.

Baada ya uhuru kuna wengine Nyerere akawaweka kuzuizini kama Chief
Msabila Lugusha
, na yeye Chief Kidaha Makwaia.

Kuna machifu wengine Nyerere alikwendanao vyema kama Chief Amri Dodo.
 
Uzuri mmoja ni kuwa vijiji hivi vya Mwalimu bado vipo na vingine ni miji midogo sasa. Huduma mbalimbali za kijamii ziliwezekana kujengwa na kutolewa kwa sababu ya vijiji hivi. Baadhi yetu tuliweza kukamatwa na kupelekwa shule kwa sababu ya kuibuliwa na vijiji hivi. Hebu fikiria kama ungenikosa humu JF!


Umoja na UTANZANIA ulijengwa na vijiji hivi. Sera hii ya vijiji na utekelezaji wake usingekosa wahanga wake nchi nzima. Kufanya mapenzi tu watu wanaumia, wanakufa. Itakuwa kujenga vijiji?


Mnaweza kumchukia Mwalimu mnavyotaka. Ametawala nchi hii muda mrefu sana. Asingekosa maadui.
WildCard,

Hakuna anayemchukia Nyeyere tunaeleza tu mapungufu yeke hata mwenyewe anakiri msome hapa chini.
Nyerere analaumiwa kwa siasa yake ya kiujamaa kuwa ilichelewesha maendeleo ya kiuchumi wa Tanzania. Siasa yake ya ujamaa ilishindikana kwa kiasi kikubwa baada ya mwaka 1976 kwa sababu mbalimbali za nje na za ndani ya nchi.
Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama kwa siasa ya kijamaa na kuwa hataweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa nyingine ambazo yeye hakuwa na imani nazo, Nyerere kwa hiari yake mwenyewe aliamua kustaafu nafasi ya urais kuanzia uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia usukani Ali Hassan Mwinyi, aliyetawala kwa siasa ya uchumi wa soko huria.
Katika hali ya kukubali ukweli, Nyerere katika tafrija ya kumwaga alitamka juu ya siasa yake upande wa uchumi: "Nimefeli. Tukubali hivyo."
Kosa lingine ambalo wengine wanaona Nyerere alilifanya ni kumhadaa aliyekuwa Rais wa Zanzibar Mzee Abeid Amaan Karume kwa kuziunganisha Tanganyika na Zanzibar, na kuanza kupora mamlaka ya Zanzibar kidogokidogo. Kwa hivi sasa Wanzanzibari wengi wamechoka na Muungano huo, na wanataka uhuru wa nchi yao ili wapumue. Hata upande wa bara wananchi wengi wanalalamikia kutoweka kwa Tanganyika na serikali yake.
Pia kuna makundi ya Waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya dini yao na kupendelea Wakristo katika utoaji wa elimu na madaraka,japo wasomi wengi kwa kipindi cha utawala wake walikuwa Wakristo.
 
Wanajamvi,

Tunaweza kuwa kama tunarudi nyuma lakini nivema kufanya hivyo ili kuwafunza wengi wanaoufuatilia mjadala huu!

Tuiangaze kwa kifupi Zanzibar!

Historia ya Zanzabar!

Historia inajionesha ya kwamba kiasi cha miaka 20,000 kumekuwepo makazi ya bidadamu katika visiwa vya Zanzibar.

Visiwa hivi ni sehemu ya kumbukumbu ya kihistoria ya dunia wakati Waajemi wafanyabiashara waliigundua na kufanya ndio makao makuu kwa safari kati ya Mashariki ya Kati, India, na Afrika.

Katika karne ya mwanzo AD Zanzibar pamoja na mwambao wa Afrika ya Mashariki ulikua katika ufalme wa Saba, katika kipindi cha karne ya 3 na 4AD, Wabantu walianza biashara na Waarabu waliokuja Afrika ya Mashariki.

Katika karne ya 7 AD,waarabu walikuja Zanzibar kibiashara pia kusambaza Dini ya KIISLAM, Waarabu ndio waliyoipa jina ZANZIBAR kutokana na neno la Kiarabu ZINJI BAR yaani sehemu ya watu weusi.

Lugha ya kiswahili imeanza kutumika kiasi cha karne ya 13 AD,Lugha ya kiswahili ilitokana na kuchanganyika lugha ya kiarabu na lugha za kiafrika.

Karne ya 16 AD wareno walikuja Zanzibar lakini utawala wao ulifuatiwa na kutokuwepo utulivu,lakini biashara ya Utumwa iliwaweka watu pamoja.
Waarabu kutoka Oman walichukua utawala Zanzibar katika karne ya 17 AD,na Zanzibar ilikua ni makao makuu ya utawala wa Waomani.

1820-1870 Zanzibar ilifaidi matunda mazuri ya kiuchumi na maendeleo yaliyosababishwa na utawala wa kisultani na hivyo kupelekea Zanzibar kuwa na mwakilishi nchini USA na kupelekea kuenea kwa Dini ya wa kiislam.

Katika karne ya 19 AD Zanzibar ilikua chini ya utawala wa Oman, mwaka 1830 Zanzibar ilikua inaongoza kwa kilimo cha karafuu ,na hiyo kupelekea mahitaji ya watumwa kuongezeka kutumika katika kilimo. 1885 kamisheni kutoka Uengereza na Ujerumani iliamua kuigawa Zanzibar kutoka katika utawala wa Kisultani na ndio ulikua mwisho wa utawala wa kujitegemea kwa Zanzibar na mnamo mwaka 1886 sultani alikubali maridhiano hayo.

1890 Zanzibar ilikua chini ya utawala wa waingereza rasmi lakini uchaguzi wa mwanzo ulifanyika mwaka 1957,na miaka iliyofuata kukawepo fujo na machafuko kutoka kwa waafrika wanaodai uhuru dhidi ya utawala wa kiarabu.
Mwezi wa 12 mwaka 1963 Waingereza waliipa uhuru Zanzibar chini ya jumuiya ya madola,na mwezi wa pili mwaka 1964 Zanzibar ilifanya mapinduzi chini ya John Okello maariufu kama Mungu wa Afrika au Field Marshal kujikomboa kutoka katika utawala wa kisultani,muda mchache baadae yani mwezi wa nne iliungana na Tanganyika kuunda Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA.


Sasa ndugu zangu tunaweza kuanza kuzama kuichambua Zanzibar na kufika kule kanisa lilipo nunua ardhi kutoka kwa Wakoloni na kuwapa wakaazi wa Zanzibar (weusi)
 
Wewe Yericko,mtoto wa nje ya ndoa/mwanaharamu unaweza vipi kunifunza mimi adabu!?

Wewe ndo ujifunze lugha njema unapozungumza na wenzio! Ok!?

Tafadhali usirudie tena kunambia niwe na adabu...hilo kwenye mila na dasturi zangu ni tusi zito mno!

Al Habiby gombesugu,

Huyo jamaa wala asikuumize kichwa hebu hapa chini msome mtoto wa kwanza wa Nyerere.
Yericko alisema Mwalimu Nyerere ni baba yake mzazi,mimi nimesema tu,that is news to me,sina taarifa. Mama yake mzazi ni nani?
Msome tena hapa chini.
Baba yako alikuwa na mke mmoja,na mtu akisema yeye ni mtoto wa Mwalimu,kwamba Mwalimu Nyerer ni baba yake mzazi,ina maana anatuambia jambo ambalo hatulifahamu.
Baada ya Mwalimu kufariki,alifika mtu hapa kutoka Tanga,akasema yeye ni mtoto wa Mwalimu. Anasema Mwalimu alifika Tanga wakati fulani,wakati wa harakati za uhuru. Sasa,mimi siwezi kumwambia,'We mwongo,odoka hapa,usiniudhi' Kama yeye amesema ni mtoto wa Mwalimu mimi natakiwa kumsikiliza tu.

CC, Jasusi, Mohamed Said,
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi,

Tunaweza kuwa kama tunarudi nyuma lakini nivema kufanya hivyo ili kuwafunza wengi wanaoufuatilia mjadala huu!

Tuiangaze kwa kifupi Zanzibar!

Historia ya Zanzabar!

Historia inajionesha ya kwamba kiasi cha miaka 20,000 kumekuwepo makazi ya bidadamu katika visiwa vya Zanzibar.

Visiwa hivi ni sehemu ya kumbukumbu ya kihistoria ya dunia wakati Waajemi wafanyabiashara waliigundua na kufanya ndio makao makuu kwa safari kati ya Mashariki ya Kati, India, na Afrika.

Katika karne ya mwanzo AD Zanzibar pamoja na mwambao wa Afrika ya Mashariki ulikua katika ufalme wa Saba, katika kipindi cha karne ya 3 na 4AD, Wabantu walianza biashara na Waarabu waliokuja Afrika ya Mashariki.

Katika karne ya 7 AD,waarabu walikuja Zanzibar kibiashara pia kusambaza Dini ya KIISLAM, Waarabu ndio waliyoipa jina ZANZIBAR kutokana na neno la Kiarabu ZINJI BAR yaani sehemu ya watu weusi.

Lugha ya kiswahili imeanza kutumika kiasi cha karne ya 13 AD,Lugha ya kiswahili ilitokana na kuchanganyika lugha ya kiarabu na lugha za kiafrika.

Karne ya 16 AD wareno walikuja Zanzibar lakini utawala wao ulifuatiwa na kutokuwepo utulivu,lakini biashara ya Utumwa iliwaweka watu pamoja.
Waarabu kutoka Oman walichukua utawala Zanzibar katika karne ya 17 AD,na Zanzibar ilikua ni makao makuu ya utawala wa Waomani.

1820-1870 Zanzibar ilifaidi matunda mazuri ya kiuchumi na maendeleo yaliyosababishwa na utawala wa kisultani na hivyo kupelekea Zanzibar kuwa na mwakilishi nchini USA na kupelekea kuenea kwa Dini ya wa kiislam.

Katika karne ya 19 AD Zanzibar ilikua chini ya utawala wa Oman, mwaka 1830 Zanzibar ilikua inaongoza kwa kilimo cha karafuu ,na hiyo kupelekea mahitaji ya watumwa kuongezeka kutumika katika kilimo. 1885 kamisheni kutoka Uengereza na Ujerumani iliamua kuigawa Zanzibar kutoka katika utawala wa Kisultani na ndio ulikua mwisho wa utawala wa kujitegemea kwa Zanzibar na mnamo mwaka 1886 sultani alikubali maridhiano hayo.

1890 Zanzibar ilikua chini ya utawala wa waingereza rasmi lakini uchaguzi wa mwanzo ulifanyika mwaka 1957,na miaka iliyofuata kukawepo fujo na machafuko kutoka kwa waafrika wanaodai uhuru dhidi ya utawala wa kiarabu.
Mwezi wa 12 mwaka 1963 Waingereza waliipa uhuru Zanzibar chini ya jumuiya ya madola,na mwezi wa pili mwaka 1964 Zanzibar ilifanya mapinduzi chini ya John Okello maariufu kama Mungu wa Afrika au Field Marshal kujikomboa kutoka katika utawala wa kisultani,muda mchache baadae yani mwezi wa nne iliungana na Tanganyika kuunda Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA.


Sasa ndugu zangu tunaweza kuanza kuzama kuichambua Zanzibar na kufika kule kanisa lilipo nunua ardhi kutoka kwa Wakoloni na kuwapa wakaazi wa Zanzibar (weusi)

Sources of Information?
Ni marufuku kumeza ngano za nazi...

 
Jasusi,
Nimeandika kitabu ''Uamuzi wa Busara'' Abantu Publications (2007).

Katika kitabu hiki Yusuf Ngozi kazungumza kuhusu matatizo waliyopata
kutoka kwa machifu kule Kilimanjaro wakati wanaunda TANU pale Moshi
mwaka 1955.

Hawa machifu ni akina Marealle na Abdiel Shangali.

Abdu Sykes alihangaika sana na Chief Kidaha kujaribu kumvuta aje TAA
wamchague kuwa rais ikashindikana.

Ukweli ni kuwa machifu walichelewa kuiunga TANU mkono.

Baada ya uhuru kuna wengine Nyerere akawaweka kuzuizini kama Chief
Msabila Lugusha
, na yeye Chief Kidaha Makwaia.

Kuna machifu wengine Nyerere alikwendanao vyema kama Chief Amri Dodo.

Nikweli Machifu walichelewa kujiunga na TANU na wengini walijaribu kupingana nayo waziwazi,

Lakini hili sio kosa lao, siasa za kichifu katika zama hizo zilikuwa mikononi mwa Edward Twaining,

Licha ya uchifu wao kuwa ni cheo cha juu cha kiafrika, lakini katika zama hizo paligeuka kuwa cheo hicho ni dhamana ya Muingereza!

Kuna tofauti kidogo na machifu wa karne ya 19 waliohudumu kipindi cha Mjerumani, hawa walipigana vita ya ukombozi wa kweli katika himaya zao wakitumia raslimali watu waliokuwa nao!
 

Yericko,

So sad to hear all your fables and fairytales,especially when you always try so bloody hard to link them with Sheikh Mohammed.

Yericko,you are a plague in our society. People need to woken up and confront your lies and keep distance from your poison.

Infact,you are in league with the Devil,who is cursed forever!

You started this shit not Sheikh Mohammed,this is your own doing.

It's you and your Slave Nicholas,who are spreading Islamophobia,hatemongering and scapegoating Sheikh Mohammed.

By the way majority of peace loving Christians in Tanganyika/Tanzania don't consider you as their mouthpiece.

It's about time you realise and accept your place in our peaceful society.

Basically,I mean just shut up and get a life!

Cc;Ritz,The Big Show
Al Habiby gombesugu,

Swadakta MashaAllah...If there are a few ways of looking at the words or actions of others, a true believer will always look at them in the most positive way.

Those who always look at them negatively, picking on the most negative possibilities, need urgent spiritual help & guidance to remedy their condition.

We are clearly taught to go as far as giving others the benefit of the doubt if any.
 
Last edited by a moderator:
Nikweli Machifu walichelewa kujiunga na TANU na wengini walijaribu kupingana nayo waziwazi,

Lakini hili sio kosa lao, siasa za kichifu katika zama hizo zilikuwa mikononi mwa Edward Twaining,

Licha ya uchifu wao kuwa ni cheo cha juu cha kiafrika, lakini katika zama hizo paligeuka kuwa cheo hicho ni dhamana ya Muingereza!

Kuna tofauti kidogo na machifu wa karne ya 19 waliohudumu kipindi cha Mjerumani, hawa walipigana vita ya ukombozi wa kweli katika himaya zao wakitumia raslimali watu waliokuwa nao!

Edward Twining.
 
Hapo mkuu umejibu kisomi na kwa hekima ya juu sana!

Nilikuwa nalitazamia sana jibu lako kwenye swali hili!

Hahaa thank you Sir!

I respect you!

Salute sana!

Nadhani hili tuliache kama lilivyo na mimi sitafuta nilichoandika kule nyuma,

Ila wenye vichwa maji wanaendelea kuweweseka!

Nashauri kama siku mtu atatokea kuandika historia ya Chifu Marealle bila shaka akiacha kisa cha makutano ya 1958 ya pale Mzumbe na Gavana Twiing atakuwa hajaitendea haki historia hiyo,

Lakini kisa hicho hakiishii hapa tu bali kiende mpaka viwanja vya UNO nchini Marekani na kutua mikononi mwa Julius Nyerere na Safari ya kurudi huku wakicheka pamoja ni muhimu kuwepo katika historia hiyo!


Watu watashangaa, hata Mohamed Said atashangaa, lakini ndivyo ilivyo!

Hadithi ni ndefu, inatupeleka mpaka mtaji wa ufunguzi wa benki ya makabwela (NBC)

Mungu mrehemu Mwalimu Nyerere huko aliko!

Umeshikwa na kigugumizi cha ghafla. Ukweli ukidhihiri...
 
Ritz,
Hapo siwezi kubisha. Ninachojua ni kwamba Marealle alikuwa more loyal to Edward Twining than to TANU. Kwa hiyo inakuwa vigumu kwangu kuamini kuwa mtu aliyekuwa loyal kwa gavana wa ukoloni atatoa msaada wake kwa Nyerere na TANU. I need more research on this.

Hapo umeamua kuuona ukweli!
Yericko Nyerere, upoooooooooo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom