Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Wewe ndio hujui ulichoingilia...na hata hujui unacho taka shawishi. ..unashawishi niingie ktk vita, chuki ipi sasa?wewe ndio unachukia kushindwa tetea chochote ...kutetea dini yako, kutetea uchochochezi wa MS unaojengwa ktk misingi ya dini.Yeye na wewe anaangaliwa ukombozi wa nchi uliofanywa na watanzania wazee wetu wakongozwa na mwl. Nyerere kwa minajili ya dini.Yaani wale wazee tusiwaite watanganyika(watanzania=wa-Tan -Zania)..ila Waislam na watanganyika.Ni dini pekee ndio inamfanya awaone waislam si watanzania.Hueleweki,hujulikan unataka ujibiwe kipi au usaidiwe na lipi,
Mara uislam uuchanganye na uchoche wa moh said,mara uuchanganye na maisha ya mwalim nyerere,mara Mtume Mohomed s.a.w uje umweke kwenye malumbano na Nabii Issa a.s yan ili mradi shida tuh,
Maudhui ya uislam hayajazungumza na hayazungumzi kumkashifu na kumzushia na kumdhika Nabii Issa a.s(jesus)
Katika uislam yeye ana heshimika na kupewa cheo kikubwa kama messenger of god kwa wana wa israel na anatambulika kama mwenye darja kubwa kwa ALLAH S.W,
SIELEW MABANDIKO YAKO MSINGI WAKE NI NIN,HATA WENZAKO ISIPOKUWA TUH YERICKO,WATAKUWA WANAKWAZIKA SANA SEMA WANASHINDWA WAKUONYE VIPI,
KWAUFUPI UISLAM NI MPANA,HUTAUWEZA NA HUUWEZ KUUINGIA JUU JUU KAMA UNAVODHANI,
BESIDES KAMA UMEAMUA KUINGIA KWENYE VITA YA CRUSADE VS JIHAD TAMBUA UNAJISUMBUA,KILA MTU ATABAKIA KUWA NA IMAN YAKE INAYOMPA PEACE OF MIND,NA MAANDIKO YATABAKIA KAMA YALIVYO NA YANAFAHAMIKA YEPI YAMECHAKACHULIWA NA YEPI YANA UHALISIA,
NAONA UNATAKA KUJENGA CHUKI BAINA YA MUSLIMS VS CHRISTIANS,KWA KUWA HATUJAKUBALIANA TUINGIE KWENYE MAMBO KAMA HAYA RASMI,KAMA UNATAKA HILI TWENDE KWENYE JUKWAA LA DINI,
WEWE HUWEZI KUKIABUDU KILE NACHOKIABUDU MIMI,NA WALA MIMI SIWEZ KUKIABUDU KILE UNACHOKIABUDU WEWE,WEWE UNA DINI YAKO NA MIMI NINA DINI YANGU,FUATA YAKO NA MIMI NAFUATA YANGU.
Hayo mambo ya vita na chuki kaanzishe ktk thread ---- km Mods watakuruhusu.Kubwa zima unakuwa km kondoo wanapoelekeana tuu wanfikiri kupiga vichwa.