Uchofu wa Israel na anguko la kiuchumi la US ndivyo vitakavyotoa ushindi kwa Hamas

Uchofu wa Israel na anguko la kiuchumi la US ndivyo vitakavyotoa ushindi kwa Hamas

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kinachotokea Ukraine ndhicho kitakachoipata Israel mbele ya Hamas.Ukraine na Israel wote wanafanana kwa viwango vya kiburi vita vilipoanza.
Ukraine alipoona uchumi wake ni mkubwa akaamua kuichokoza Urusi na vita vilipoanza na misaada ikaamiminika aliamini ataishinda Urusi na kujizolea sifa kutoka nchi za NATO.
israel nayo kwa muda mrefu imejiamini sana kwa maendeleo ya kiteknolojia na urafiki wa hali na mali kutoka nchi za magharibi.
Baada ya kupigwa na Hamas hapo Oktoba 7 imejiamini kuishinda Hamas na kutekeleza mipango yake ya siri iliyokuwa mezani.Imeamua kupingana na ushauri wa kila mmoja kuanzia UN mpaka majirani zake miongoni mwa nchi za kiarabu.
Baada ya wiki moja tangu kuingiza vifaru vyake rasmi Gaza na kupiga kwa nguvu kubwa bado haijaweza kuzuia sauti za wapiganaji wa Hamas ambao wamo ndani ya mahandaki.
Pamoja na kuwakatia chakula,maji na umeme sauti za wapiganaji wa Hamas zimeendelea kusikika kote duniani.Wamesema bado jeshi la ardhini halijaingia katika eneo la kaskazini ya Gaza na kwamba wamevipiga vifaru jumla 24 vya Israel
Iwapo wapiganaji wa Hamas wataendelea kuhimili vita hivyo kwa mwezi mwengine mmoja ujao.Hali inaonesha jeshi la Israel litachoka na silaha zao za kutoboa ardhi zitapungua sana katika wakati viongozi wa Marekani wameonesha kukereka na kiburi cha Israel kutosikiliza malalamiko ya hata wao wafadhili wao.
Kwa upande mwengine upinzani ndani ya Marekani na nje kwenye mataifa mengine kutazidi kupunguza nguvu za mapigo ya Israel ndani ya Gaza.
Katika hali hiyo ushindi wa Hamas unaweza ukaja katikati ya unafiki wa nchi za kiarabu ambazo zimeonesha kutokuwa na uchungu wa maangamizi ya ndugu zao wa Palestina kuliko uchungu wa mataifa mengi ya dunia kuanzia Spain,mpaka China na Japan.
 
Kwa hiyo Hamas na washirika wake ni matajari kuliko USA na Israel?
 
Kinachotokea Ukraine ndhicho kitakachoipata Israel mbele ya Hamas.Ukraine na Israel wote wanafanana kwa viwango vya kiburi vita vilipoanza.
Ukraine alipoona uchumi wake ni mkubwa akaamua kuichokoza Urusi na vita vilipoanza na misaada ikaamiminika aliamini ataishinda Urusi na kujizolea sifa kutoka nchi za NATO.
israel nayo kwa muda mrefu imejiamini sana kwa maendeleo ya kiteknolojia na urafiki wa hali na mali kutoka nchi za magharibi.
Baada ya kupigwa na Hamas hapo Oktoba 7 imejiamini kuishinda Hamas na kutekeleza mipango yake ya siri iliyokuwa mezani.Imeamua kupingana na ushauri wa kila mmoja kuanzia UN mpaka majirani zake miongoni mwa nchi za kiarabu.
Baada ya wiki moja tangu kuingiza vifaru vyake rasmi Gaza na kupiga kwa nguvu kubwa bado haijaweza kuzuia sauti za wapiganaji wa Hamas ambao wamo ndani ya mahandaki.
Pamoja na kuwakatia chakula,maji na umeme sauti za wapiganaji wa Hamas zimeendelea kusikika kote duniani.Wamesema bado jeshi la ardhini halijaingia katika eneo la kaskazini ya Gaza na kwamba wamevipiga vifaru jumla 24 vya Israel
Iwapo wapiganaji wa Hamas wataendelea kuhimili vita hivyo kwa mwezi mwengine mmoja ujao.Hali inaonesha jeshi la Israel litachoka na silaha zao za kutoboa ardhi zitapungua sana katika wakati viongozi wa Marekani wameonesha kukereka na kiburi cha Israel kutosikiliza malalamiko ya hata wao wafadhili wao.
Kwa upande mwengine upinzani ndani ya Marekani na nje kwenye mataifa mengine kutazidi kupunguza nguvu za mapigo ya Israel ndani ya Gaza.
Katika hali hiyo ushindi wa Hamas unaweza ukaja katikati ya unafiki wa nchi za kiarabu ambazo zimeonesha kutokuwa na uchungu wa maangamizi ya ndugu zao wa Palestina kuliko uchungu wa mataifa mengi ya dunia kuanzia Spain,mpaka China na Japan.

Wazee wa propaganda wazee wa kupindisha ukweli kuwa uongo,endeleeni kujazana ujinga ila wanao lia wanajulikana,utakufa wewe na vizazi vyako ila USA ataendelea kutoa dozi kwa magaidi,kumbuka waislamu wote sio magaidi ila magaidi wote ni waislam.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Kinachotokea Ukraine ndhicho kitakachoipata Israel mbele ya Hamas.Ukraine na Israel wote wanafanana kwa viwango vya kiburi vita vilipoanza.
Ukraine alipoona uchumi wake ni mkubwa akaamua kuichokoza Urusi na vita vilipoanza na misaada ikaamiminika aliamini ataishinda Urusi na kujizolea sifa kutoka nchi za NATO.
israel nayo kwa muda mrefu imejiamini sana kwa maendeleo ya kiteknolojia na urafiki wa hali na mali kutoka nchi za magharibi.
Baada ya kupigwa na Hamas hapo Oktoba 7 imejiamini kuishinda Hamas na kutekeleza mipango yake ya siri iliyokuwa mezani.Imeamua kupingana na ushauri wa kila mmoja kuanzia UN mpaka majirani zake miongoni mwa nchi za kiarabu.
Baada ya wiki moja tangu kuingiza vifaru vyake rasmi Gaza na kupiga kwa nguvu kubwa bado haijaweza kuzuia sauti za wapiganaji wa Hamas ambao wamo ndani ya mahandaki.
Pamoja na kuwakatia chakula,maji na umeme sauti za wapiganaji wa Hamas zimeendelea kusikika kote duniani.Wamesema bado jeshi la ardhini halijaingia katika eneo la kaskazini ya Gaza na kwamba wamevipiga vifaru jumla 24 vya Israel
Iwapo wapiganaji wa Hamas wataendelea kuhimili vita hivyo kwa mwezi mwengine mmoja ujao.Hali inaonesha jeshi la Israel litachoka na silaha zao za kutoboa ardhi zitapungua sana katika wakati viongozi wa Marekani wameonesha kukereka na kiburi cha Israel kutosikiliza malalamiko ya hata wao wafadhili wao.
Kwa upande mwengine upinzani ndani ya Marekani na nje kwenye mataifa mengine kutazidi kupunguza nguvu za mapigo ya Israel ndani ya Gaza.
Katika hali hiyo ushindi wa Hamas unaweza ukaja katikati ya unafiki wa nchi za kiarabu ambazo zimeonesha kutokuwa na uchungu wa maangamizi ya ndugu zao wa Palestina kuliko uchungu wa mataifa mengi ya dunia kuanzia Spain,mpaka China na Japan.
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Quran)
 
Wazee wa propaganda wazee wa kupindisha ukweli kuwa uongo,endeleeni kujazana ujinga ila wanao lia wanajulikana,utakufa wewe na vizazi vyako ila USA ataendelea kutoa dozi kwa magaidi,kumbuka waislamu wote sio magaidi ila magaidi wote ni waislam.
Achana na kiburi cha uhai na fikiria sana wapi Marekani amewahi kushinda vita vya kupigana na waislamu.
Ilichukua miaka 20 akapigwa na askari pekupeku wa Taliban.Na miaka karibu ya hiyo akapigwa na waislamu wa Iraq.
Uliza Urusi anajua sana hatari ya kupigana na nchi za kiislamu.Ndio maana anaihurumia sana US
 
Kinachotokea Ukraine ndhicho kitakachoipata Israel mbele ya Hamas.Ukraine na Israel wote wanafanana kwa viwango vya kiburi vita vilipoanza.
Ukraine alipoona uchumi wake ni mkubwa akaamua kuichokoza Urusi na vita vilipoanza na misaada ikaamiminika aliamini ataishinda Urusi na kujizolea sifa kutoka nchi za NATO.
israel nayo kwa muda mrefu imejiamini sana kwa maendeleo ya kiteknolojia na urafiki wa hali na mali kutoka nchi za magharibi.
Baada ya kupigwa na Hamas hapo Oktoba 7 imejiamini kuishinda Hamas na kutekeleza mipango yake ya siri iliyokuwa mezani.Imeamua kupingana na ushauri wa kila mmoja kuanzia UN mpaka majirani zake miongoni mwa nchi za kiarabu.
Baada ya wiki moja tangu kuingiza vifaru vyake rasmi Gaza na kupiga kwa nguvu kubwa bado haijaweza kuzuia sauti za wapiganaji wa Hamas ambao wamo ndani ya mahandaki.
Pamoja na kuwakatia chakula,maji na umeme sauti za wapiganaji wa Hamas zimeendelea kusikika kote duniani.Wamesema bado jeshi la ardhini halijaingia katika eneo la kaskazini ya Gaza na kwamba wamevipiga vifaru jumla 24 vya Israel
Iwapo wapiganaji wa Hamas wataendelea kuhimili vita hivyo kwa mwezi mwengine mmoja ujao.Hali inaonesha jeshi la Israel litachoka na silaha zao za kutoboa ardhi zitapungua sana katika wakati viongozi wa Marekani wameonesha kukereka na kiburi cha Israel kutosikiliza malalamiko ya hata wao wafadhili wao.
Kwa upande mwengine upinzani ndani ya Marekani na nje kwenye mataifa mengine kutazidi kupunguza nguvu za mapigo ya Israel ndani ya Gaza.
Katika hali hiyo ushindi wa Hamas unaweza ukaja katikati ya unafiki wa nchi za kiarabu ambazo zimeonesha kutokuwa na uchungu wa maangamizi ya ndugu zao wa Palestina kuliko uchungu wa mataifa mengi ya dunia kuanzia Spain,mpaka China na Japan.
UKIMLAANI ISRAEL UTALAANIWA. UKIMBARIKI ISRAEL UTABARIKIWA.-

MUNGU MWENYEWE

ANGUKO LA MAREKANI NI PALE LITAMLAANI ISRAEL
 
Achana na kiburi cha uhai na fikiria sana wapi Marekani amewahi kushinda vita vya kupigana na waislamu.
Ilichukua miaka 20 akapigwa na askari pekupeku wa Taliban.Na miaka karibu ya hiyo akapigwa na waislamu wa Iraq.
Uliza Urusi anajua sana hatari ya kupigana na nchi za kiislamu.Ndio maana anaihurumia sana US

Sina haja ya kubishana na ww brainwashed,ila jua taleban ni puppets wa usa,wangekua threats wangeendelea kuwa mapangoni hadi leo hii. Usa sio mpuuzi na mjinga kama wavaakobas the deal is done. Maslah ya usa yamelindwa.
 
F8I1eVsXUAASZ5D.jpg
 
Sina haja ya kubishana na ww brainwashed,ila jua taleban ni puppets wa usa,wangekua threats wangeendelea kuwa mapangoni hadi leo hii. Usa sio mpuuzi na mjinga kama wavaakobas the deal is done. Maslah ya usa yamelindwa.
Hebu onesha hayo maslahi USA iliyopata kwa kukimbia Afghanistan kwa aibu.Ikabidi wachome vifaa vyao vya kijeshi na wakaacha utajiri wa silaha kwa Taleban.Wako makamanda wa kijeshi walilia kwa kukumbuka aibu ile,
Akili ya hata mtoto mdogo haimpi kuwa USA alikuwa na maslahi kukimbia pale.
 
Wazee wa propaganda wazee wa kupindisha ukweli kuwa uongo,endeleeni kujazana ujinga ila wanao lia wanajulikana,utakufa wewe na vizazi vyako ila USA ataendelea kutoa dozi kwa magaidi,kumbuka waislamu wote sio magaidi ila magaidi wote ni waislam.
1CA353B0-43C8-4D0B-B759-57F41A057504.jpeg


Hapo vipi mzee.., wanachofanyiwa waPalestina sio ugaidi?
 
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Quran)
mgen tuambie hii nukuu umeitoa kwenye aya gani ?
 
Kinachotokea Ukraine ndhicho kitakachoipata Israel mbele ya Hamas.Ukraine na Israel wote wanafanana kwa viwango vya kiburi vita vilipoanza.
Ukraine alipoona uchumi wake ni mkubwa akaamua kuichokoza Urusi na vita vilipoanza na misaada ikaamiminika aliamini ataishinda Urusi na kujizolea sifa kutoka nchi za NATO.
israel nayo kwa muda mrefu imejiamini sana kwa maendeleo ya kiteknolojia na urafiki wa hali na mali kutoka nchi za magharibi.
Baada ya kupigwa na Hamas hapo Oktoba 7 imejiamini kuishinda Hamas na kutekeleza mipango yake ya siri iliyokuwa mezani.Imeamua kupingana na ushauri wa kila mmoja kuanzia UN mpaka majirani zake miongoni mwa nchi za kiarabu.
Baada ya wiki moja tangu kuingiza vifaru vyake rasmi Gaza na kupiga kwa nguvu kubwa bado haijaweza kuzuia sauti za wapiganaji wa Hamas ambao wamo ndani ya mahandaki.
Pamoja na kuwakatia chakula,maji na umeme sauti za wapiganaji wa Hamas zimeendelea kusikika kote duniani.Wamesema bado jeshi la ardhini halijaingia katika eneo la kaskazini ya Gaza na kwamba wamevipiga vifaru jumla 24 vya Israel
Iwapo wapiganaji wa Hamas wataendelea kuhimili vita hivyo kwa mwezi mwengine mmoja ujao.Hali inaonesha jeshi la Israel litachoka na silaha zao za kutoboa ardhi zitapungua sana katika wakati viongozi wa Marekani wameonesha kukereka na kiburi cha Israel kutosikiliza malalamiko ya hata wao wafadhili wao.
Kwa upande mwengine upinzani ndani ya Marekani na nje kwenye mataifa mengine kutazidi kupunguza nguvu za mapigo ya Israel ndani ya Gaza.
Katika hali hiyo ushindi wa Hamas unaweza ukaja katikati ya unafiki wa nchi za kiarabu ambazo zimeonesha kutokuwa na uchungu wa maangamizi ya ndugu zao wa Palestina kuliko uchungu wa mataifa mengi ya dunia kuanzia Spain,mpaka China na Japan.
Ustaadh acha kuangaika, hamjawahi nyie hata kuungana kushinda Israel, sembuse watu waliokimbia mji na kuingia mashimoni watashinda lini ayatollah eb twambie shekhe uchwara.

Una mtindio wa ubongo shekhe, juzi kiongozi wenu wa Hezbullah ametoa mahubiri kwenu akiwa shimoni kama nguchiro ndo mshinde vita, kwahiyo huko kwenu allah akbar ndo kushinda vita🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
mgen tuambie hii nukuu umeitoa kwenye aya gani ?
۞ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا الْيَهُودَ وَالنَّصَارَىٰ أَوْلِيَاءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ

[ AL - MAIDA - 51 ]
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
 
Back
Top Bottom