Uchumba kwake ilikuwa ni shida, ndoa nayo ni shida

Kwa ambao ni wavivu kusoma summary ni:

Kuna Jamaa sasa hivi anajishughulisha na shughuli mbalimbali hapo nyuma alilia sana sababu aliachwa, ila ana mke anayemsumanga kwa kutokuwa na kazi.
Ndio huyo mwenye masters?
 
Daah shule zimefunga kwa kweli kwa uandishi huu , siajelewa kwamba Uzi imeisha au...
Cc techinician
 
But ok, mapenz ndivyo yalivyo sikuhizi....yaan ni shaghalabaghala
 
Dah nimeshughulisha sana akili yangu kuelewaa kama nasolve math.
 
unamuiga sky ama?ila sky anaelewekaga sasa wewe sijui ulitaka kuandika nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…