Uchumba wa mwendo kasi

Uchumba wa mwendo kasi

Hata huyo mwanamme mwenyewe alivyovaa ovyoo na raba juu..
Wamekutana Mfuniko na sufuria
 
***** dadekii halijavaa chupi au macho yangu yanaangalia vibaya na huu ulevi wangu kichwani
 
Mwanamke yuko uchi ama kweli tunarogwa, nijuavyo mimi mwanaume hata akiwa mhuni anataka mke mwenye heshima zake ndiyo sifa ya akili iliyosalimika lakini kuona kuona mwanaume muhuni anamvesha Pete ya uchumba ndicho kinachonishangaza, la kama huyo ni watano katika anaowavesha Pete ili apate kupopochoa kwa nafasi hilo jambo jengine
Ngoja waje utaambiwa tusipangiane kila mtu na maisha yake...

Au usimjaji kwa mavazi
 
Huu ni utandawazi na hizi ni engagement za show off unaenda mwenyewe kwa sonala unachagua pete,unachagua ukumbi na wageni waalikwa,mpiga picha kasetiwa afu jamaa anapiga goti mbele ya kadamnasi na mwanamke anatoa chozi as if ni suprise.......teh teh
 
Jamaa huyu bhana,alitakiwa atambue kua kuna mwanamke wakuoa na wa starehe,huyu wa starehe hata alie vipi,usimuoe kwakumuhurumia,oa mwingine halafu yeye mwambie mungu hakupenda nikuoe,na muombe msamaha,halafu endelea kumgonga kila ukimhitaji.
 
Hatari sana...

Yani jamaa anaolea kijiji hapo kwa style hizo za mwanamke...

Mwanamke type hiyo ni mzuri kumkaza tu ila siyo wa kumuweka ndani kama mke...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom