Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
interesting...nilimchukua na kuweka ndani nafikiri ilikua ni zoezi la miezi kama mitatu nikamuoa humohumo na mimba juu
hii ni bada ya mshezi moja kula mahari yangu akishirikiana na familia yake na kutokomea kusiko julikana, wabara wajinga kabisa
na sasa na wajukuu wawiliinteresting...
but well done π
hivi mambo muhimu ya kujuana ni kama yapi, kwa mfano, huenda mlikua mnasoma pamoja, mnasali pamoja, mnaishi mtaa moja, mnafanya kazi au biashara pamoja n.kπMiaka miwili ya kujuana, then ndo mnaingia next step ya kutambulishana.
Mungu ni mwema sana aise...na sasa na wajukuu wawili
Huwezi kumjuwa mwanamke mpaka ufunge naye ndoa.Miaka miwili ya kujuana, then ndo mnaingia next step ya kutambulishana.
Ahsantee na nimeipokea! [emoji120][emoji120]I think utastahili PhD ya heshima ya uchumba [emoji205]
Pole sananilimchukua na kuweka ndani nafikiri ilikua ni zoezi la miezi kama mitatu nikamuoa humohumo na mimba juu
hii ni bada ya mshezi moja kula mahari yangu akishirikiana na familia yake na kutokomea kusiko julikana, wabara wajinga kabisa
Hapa Ni mlengwa Tabia zake anareact vipi kwenye situations, attitudes,life style,,hobbies, finances, healthy,, familia yake anainteract Vipin Na familia yake,ndugu zake wakoje,.... above all and firstly is mahusiano yake Na Mungu yakojeπ§βπ¦―π§βπ¦―π§βπ¦―hivi mambo muhimu ya kujuana ni kama yapi, kwa mfano, huenda mlikua mnasoma pamoja, mnasali pamoja, mnaishi mtaa moja, mnafanya kazi au biashara pamoja n.kπ
It depends na uwezo wa kusoma mtu, kingine personality ya mtu utaijua endapo utaspend mda nae. Labda kama wewe kazi yako ni kupiga shoo tu, hapo lazima utapetape maana hujui maana ya familia na mahusiano.hivi mambo muhimu ya kujuana ni kama yapi, kwa mfano, huenda mlikua mnasoma pamoja, mnasali pamoja, mnaishi mtaa moja, mnafanya kazi au biashara pamoja n.kπ
Miezi 3,,,now mwaka wa 20 ndoani n life's goodkabla yay kuamua kufunga ndoa mliishi uchumba kwa kipindi cha muda gani?
maana naona saivi watu wanaishi uchumba na wanazaa na watoto kadhaa kabisa, lakini hawana habari ya kutambulishana makwao wala mipango ya kuthibitisha kuishi kama mke na mume kwa ndoa.
na ikitokea Mungu kaingilia kati kadiri apendavyo kati yao inakua changamoto sana ndio watu wanaanza kuhangaika kujuana na kubebeshana mizigo na kuipokea mizigo hiyo kwa shingo upande.....
hebu wazoefu walio kwenye ndoa hivi sasa, washaurini walioko kwenye uchumba sasa hivi, kwamba ndani ya kipindi fulani kwenye uchumba panapaswa kufungwa ndoa, na kwahiyo nje ya kipindi hicho ni kilio na kusaga meno tu huko mbeleni π
samahani sana,
sikusemi wewe ladies and gentlemen π
Mwaka na nusu, ndoa miaka 18 tupo ktk steji ya 3 yani tumeachanakabla yay kuamua kufunga ndoa mliishi uchumba kwa kipindi cha muda gani?
maana naona saivi watu wanaishi uchumba na wanazaa na watoto kadhaa kabisa, lakini hawana habari ya kutambulishana makwao wala mipango ya kuthibitisha kuishi kama mke na mume kwa ndoa.
na ikitokea Mungu kaingilia kati kadiri apendavyo kati yao inakua changamoto sana ndio watu wanaanza kuhangaika kujuana na kubebeshana mizigo na kuipokea mizigo hiyo kwa shingo upande.....
hebu wazoefu walio kwenye ndoa hivi sasa, washaurini walioko kwenye uchumba sasa hivi, kwamba ndani ya kipindi fulani kwenye uchumba panapaswa kufungwa ndoa, na kwahiyo nje ya kipindi hicho ni kilio na kusaga meno tu huko mbeleni π
samahani sana,
sikusemi wewe ladies and gentlemen π
hio miaka kumi haikua rahisi tuneshatukanana sana kublokiana kwa sana temeana shit kwa sana lakini ndie nayezeeka nayeamazing π€
well done π
NotedNitafatilia huu uzi kwa karibu nione kama krashi yupo kwenye ndoa au uchumba sugu
very interesting π€hio miaka kumi haikua rahisi tuneshatukanana sana kublokiana kwa sana temeana shit kwa sana lakini ndie nayezeeka naye
hiyo mwendokasi kabisa...Miezi 3,,,now mwaka wa 20 ndoani n life's good