Uchumba wenu ulichukua muda gani Kabla ya ndoa?

hatunywi but watu husema tumeanza kufanana inafikia hatua unaona kabisa huyu ni wangu wa kuzikana nimpende peke yake tukae tudumu tulee watoto wetu
 
Miezi 2 tu na ndoa
Leo mwaka wa 30 na ushee
Thank God
Nafikiri ni maelewano tu na kutatua matatizo yenu kama binadamu mwenye mapungufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…