Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Kumetokea Kasumba ya Watengeneza Sera kuwa Wauza Sura na Wapiga Brah Brah; Kama vile walivyo wapiga ramli wanatafuta mchawi kwa kuwaambia wadau makosa ni yao kwa kutokufanikiwa...
Wanasema kila kitu ni Biashara kana kwamba vingine vyote havina maana; Yaani hata Timu sababu Mfungaji ndio anafunga magoli lakini hata kipa anazuia na ma-middle wanagawa pasi... (Ndio Biashara ni Muhimu ila ni muhimu kama kiungo cha Mchakato Mzima)
Sasa iweje mkulima anapokosa masoko tumalaumu mkulima ? Je tunataka Mkulima huyu ndio awe marketing, au salesman n.k. ? Tunawaambia watoto hiki au kile hakilipi someni hiki au kile ndio kitalipa (Ukulima au wakulima wanaotulisha value yao tunaipima vipi) ? Umasikini wao haimanaanishi wanachofanya hakina Tija kwa Jamii....
Turudi kwenye basics kila kitu kina maana na manufaa; Specialition and Division of Labor (Kila mtu afanye kwa upande wake kwa ufasaha na sio kulaumu wengine kwa shortcomings zetu) Mazao yakiwa machache tumalaumu mkulima lakini masoko yakikosekana watunga Sera wawajibike
Wanasema kila kitu ni Biashara kana kwamba vingine vyote havina maana; Yaani hata Timu sababu Mfungaji ndio anafunga magoli lakini hata kipa anazuia na ma-middle wanagawa pasi... (Ndio Biashara ni Muhimu ila ni muhimu kama kiungo cha Mchakato Mzima)
Sasa iweje mkulima anapokosa masoko tumalaumu mkulima ? Je tunataka Mkulima huyu ndio awe marketing, au salesman n.k. ? Tunawaambia watoto hiki au kile hakilipi someni hiki au kile ndio kitalipa (Ukulima au wakulima wanaotulisha value yao tunaipima vipi) ? Umasikini wao haimanaanishi wanachofanya hakina Tija kwa Jamii....
Turudi kwenye basics kila kitu kina maana na manufaa; Specialition and Division of Labor (Kila mtu afanye kwa upande wake kwa ufasaha na sio kulaumu wengine kwa shortcomings zetu) Mazao yakiwa machache tumalaumu mkulima lakini masoko yakikosekana watunga Sera wawajibike