Uchumi: Nchi zilizobaki za EA kufikia uchumi wa kati baada ya miaka 20 ijayo

Uchumi: Nchi zilizobaki za EA kufikia uchumi wa kati baada ya miaka 20 ijayo

Duuh kumbe mambo bado sana jaman...Sasa kwa mwendo huu miaka kumi ijayo nadhan Tz itakua upper middle income maana kama leo hii tuko hapa na mambo mengi bado all jikoni sijui yakiiva itakuaje...imagine kabla JPM hajaondoka madarakani vijiji vyote vinaumeme,Tatizo la maji safi litabaki historia,barabara zimebaki wilaya chache tu kwa sasa kuunganishwa,karibu kila kijiji kina zahanati kila kata kuna kituo cha afya kila wilaya one hospital kila mkoa una hospitali ya rufaa
How ,na since maguguli aingie mumeongeza only $180 Kwa per capita?
Meaning within 10yrs term ni roughly 400$
 
How ,na since maguguli aingie mumeongeza only $180 Kwa per capita?
Meaning within 10yrs term ni roughly 400$
ndio ushangae sasa,wakati hayo yamefanyika hakuna mfanyakazi aliyeongezewa mshahara wala aliyepanda daraja.

yakifanyika hayo unadhani maisha ya mtz wa kwaida yanakuwaje,na data zitabadilika kwa kiwango gani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vijana wa Lumumba buana mna kichaa. Nchi ya Tz na rasimali zake zote bado huwa inapokea misaada kwa wingi zaidi, tena misaada ya kibajeti. Hela za kuwafunza watoto wenu na za kuwalipa walimu wao, madaktari na manesi huwa zinatoka kwa mabwana zenu mabeberu kila mwaka. Kutoka kwa kanchi kadogo kama Sweden! [emoji16] Mnawakebehi UG ila nyie pia mpo kwenye kapu hilo hilo. FACT: GDP zenu, $63.18B(Tz)+$34.39B(UG)= $97.57B, -ve $3.43B GDP ya Kenya @ $100B.
Hiyo misaada tunayopokea ni misaada ya maendeleo, sio Chakula, kumbuka mahitaji ya kibinadamu Chakula ni namba moja, hata kuku lazima apate Chakula, viti ninyi mnashindwa na wanyama wa porini wanajitafutia Chakula chao hawategemei msaada wa Chakula?
 
Rwanda haiwezi chukua muda mrefu nawapa miaka tatu,uganda 4, maximum kina Burundi na south Sudan ni shithole inaeza kua ata miaka 30
Ili Rwanda wafiki per capita ya $1.039 inawalazimu waongeze $6B katika uchumi wao ili wafikie GDP ya $14B, sasa hivi Rwanda kwa mwaka wanaingiza $800M, hii ikiendelea hivi itawachukua miaka 7 kama population haitoongezeka, ukuaji wa uchumi hautopungua, wala inflation haitobadilika.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Burundi ndio wana per capital ya $309 hawa jamaa sipati picha mwananchi wa kawaida kule anaishi vp
Out of touch with the outside world, wale wako in the 70s.
 
Ili Rwanda wafiki per capita ya $1.039 inawalazimu waongeze $6B katika uchumi wao ili wafikie GDP ya $14B, sasa hivi Rwanda kwa mwaka wanaingiza $800M, hii ikiendelea hivi itawachukua miaka 7 kama population haitoongezeka, ukuaji wa uchumi hautopungua, wala inflation haitobadilika.
It is not about the population but what the population can do.
 
ndio ushangae sasa,wakati hayo yamefanyika hakuna mfanyakazi aliyeongezewa mshahara wala aliyepanda daraja.

yakifanyika hayo unadhani maisha ya mtz wa kwaida yanakuwaje,na data zitabadilika kwa kiwango gani[emoji23][emoji23][emoji23]
Utaongoza aje wananchi bila salary increment?
Na Hali ya Maisha inapanda?
So walimu TZ mshahara wao wa 2015 na 2020 ni same!!!
 
Itachukua miaka 30 ijayo kwa Kenya kuweza kuacha kutegemea Chakula cha msaada, Kenya ni nchi pekee duniani iliyopo katika kundi la uchumi wa kati lakini bado wananchi wake wanakufa kwa njaa na inategemea Chakula cha msaada.

Kama ambavyo Sudan imeshushwa toka kundi la uchumi wa kati na kurudi katika kundi la uchumi wa chini mwaka huu, hata Kenya kuna uwezekano mkubwa miaka ijayo ikashushwa baada ya kufanyika kwa "rebase" ya uchumi, haiwezikani nchi yenye uchumi wa kati lakini watu wanakufa kwa njaa na nchi itapewa misaada ya Chakula kila mwaka, huo ni "Pseudo economy".
Yule 254 anajifanya mwana uchumi halioni hili
 
Utaongoza aje wananchi bila salary increment?
Na Hali ya Maisha inapanda?
So walimu TZ mshahara wao wa 2015 na 2020 ni same!!!
Unaongea nini wewe wakati nchi yenu umeshindwa kuwalipa walimu mishahara mpaka ikasingizia Corona kufunga shule mpaka mwakani?

Serikali ya Kenya imefilisika broke and failed state indeed
 
Vijana wa Lumumba buana mna kichaa. Nchi ya Tz na rasimali zake zote bado huwa inapokea misaada kwa wingi zaidi, tena misaada ya kibajeti. Hela za kuwafunza watoto wenu na za kuwalipa walimu wao, madaktari na manesi huwa zinatoka kwa mabwana zenu mabeberu kila mwaka. Kutoka kwa kanchi kadogo kama Sweden! 😁 Mnawakebehi UG ila nyie pia mpo kwenye kapu hilo hilo. FACT: GDP zenu, $63.18B(Tz)+$34.39B(UG)= $97.57B, -ve $3.43B GDP ya Kenya @ $100B.
Unaweza kunipa percentage angalau ya ujumla tu inayoonesha Tanzania ikisaidiwa au ikiomba msaada wa kibajeti kutoka hizo nchi ulizotaja?

Mimi nakupa ushahidi namna serikali yako inavyoomba msaada wa bajeti na msaada wa chakula



Screenshot_20200707-190902~2.png
 
Utaongoza aje wananchi bila salary increment?
Na Hali ya Maisha inapanda?
So walimu TZ mshahara wao wa 2015 na 2020 ni same!!!
Inflation ndio kipimo cha kupanda kwa maisha, Tanzania inflation imekua ikishuka mwaka hadi mwaka, tueleze nauli za mabus kwa Mara ya mwisho zilipanda lini?, sasa kama bei za bidhaa hazipandi, unatumia vigezo vipi vya kupandisha mishahara?
 
Kwahivyo Kenya itakuwa iliwatangulia hawa vibwengo kwa miaka kama 27 hivi? Maanake Kenya iliingia kwenye kundi la uchumi wa kati mwaka wa 2014. Alafu mwaka huu wa 2020 Kenya imeingia kwenye kundi lingine la uchumi wa '3 digits'($100B+). Sijui majirani zetu wengine ukanda huu wa Afrika Mashariki na ya Kati, isipokua Ethiopia ambao wananusia nusia, watafikia hatua hiyo miaka mingapi ijayo? Itakuwa miaka 15,20,25 au labda 30? Yaani kwenye masuala kama hayo Kenya huwa tupo kwenye upweke wa aina yake, mithili ya paka shume. Sio siri bana, ukanda huu Kenya ndio baba lao. [emoji1139][emoji1139][emoji1139]
Wew endelea kuimba ngonjera ndio utajua manake....
 
Kwahivyo Kenya itakuwa iliwatangulia hawa vibwengo kwa miaka kama 27 hivi? Maanake Kenya iliingia kwenye kundi la uchumi wa kati mwaka wa 2014. Alafu mwaka huu wa 2020 Kenya imeingia kwenye kundi lingine la uchumi wa '3 digits'($100B+). Sijui majirani zetu wengine ukanda huu wa Afrika Mashariki na ya Kati, isipokua Ethiopia ambao wananusia nusia, watafikia hatua hiyo miaka mingapi ijayo? Itakuwa miaka 15,20,25 au labda 30? Yaani kwenye masuala kama hayo Kenya huwa tupo kwenye upweke wa aina yake, mithili ya paka shume. Sio siri bana, ukanda huu Kenya ndio baba lao. [emoji1139][emoji1139][emoji1139]
Tanzania tunajiskia vibaya sana kuwa pekeyetu hivi...kazeni buti nyie kina tukinao.....very lonely[emoji39][emoji39][emoji39]
Screenshot_20200604-102538.jpg
Screenshot_20200626-233757.jpg
 
Mshahara ukatoka Sweden? Do you have any idea about this nonesense?
Your gdp is $99B ,n btw Tz is pushing so hard so don't you guys relax
Sio kutoka Sweden tu pia Demark, Ireland, Netherlands n.k, kuna hadi coalition ya mabwana zenu, nchi za mabeberu ambazo huwa zinawafadhili kwenye sekta nyeti za elimu na afya kila mwaka. Tangia mwaka wa 1970 wamekuwa wakifadhili bajeji ya dona kantri kwa 43%. Sekta yenu ya elimu wanaifadhili kwa 84%, unaelewa salary subsidies inamaanisha nini? Hao mabeberu ndio huwa wanalipa kiasi kikubwa cha mishahara ya walimu, manesi na madaktari wenu. 4.5.1 Donor support to education Kwa taarifa yako hiyo GDP ya Kenya $99.264B ni takwimu za 2019. Q1 ya 2020 uchumi wa Kenya umekua kwa 4.9%, fanya mahesabu. Mwaka wa 2019, 6.3% avarage ya miaka mitano 5.6%.
 
Kwenye computer sawa
Hii niyakitambo mnoo...alafu ww kwa akili yako ya kufikiria kupitia miguu..kwaiyo izo nchi apo nimaskini kuliko malawi,burundi,south sudan....soma n iyo GDP per capital....pimbi ww
 
Sio kutoka Sweden tu pia Demark, Ireland, Netherlands n.k, kuna hadi coalition ya mabwana zenu, nchi za mabeberu ambazo huwa zinawafadhili kwenye sekta nyeti za elimu na afya kila mwaka. Tangia mwaka wa 1970 wamekuwa wakifadhili bajeji ya dona kantri kwa 43%. Sekta yenu ya elimu wanaifadhili kwa 84%, unaelewa salary subsidies inamaanisha nini? Hao mabeberu ndio huwa wanalipa kiasi kikubwa cha mishahara ya walimu, manesi na madaktari wenu. 4.5.1 Donor support to education Kwa taarifa yako hiyo GDP ya Kenya $99.264B ni takwimu za 2019. Q1 ya 2020 uchumi wa Kenya umekua kwa 4.9%, fanya mahesabu. Mwaka wa 2019, 6.3% avarage ya miaka mitano 5.6%.
Education support ni sehemu ya maendeleo, ila food support hiyo ni aibu kubwa Sana. Nyumbani kwako unaweza kushindwa kulipia "School fees" na watoto wakakuekewa, hawawezi kukuelewa ukishindwa kuwapa chakuka. Mkeo lazima atakukimbia ukishindwa kumpa Chakula. Yaani Chakula ndio kitu cha mwisho katika maisha, kila kiumbe lazima kijitosheleze kwa Chakula, mnatia aibu sana.
 
Nadhani Rwanda watatoka Ldc mapema zaidi kabla ya miaka ishirini kufika tukizingatia GNI per capita yao ya hivi sasa.
 
Back
Top Bottom