BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 2,882
- 2,263
How ,na since maguguli aingie mumeongeza only $180 Kwa per capita?Duuh kumbe mambo bado sana jaman...Sasa kwa mwendo huu miaka kumi ijayo nadhan Tz itakua upper middle income maana kama leo hii tuko hapa na mambo mengi bado all jikoni sijui yakiiva itakuaje...imagine kabla JPM hajaondoka madarakani vijiji vyote vinaumeme,Tatizo la maji safi litabaki historia,barabara zimebaki wilaya chache tu kwa sasa kuunganishwa,karibu kila kijiji kina zahanati kila kata kuna kituo cha afya kila wilaya one hospital kila mkoa una hospitali ya rufaa
Meaning within 10yrs term ni roughly 400$