Uchumi: Nchi zilizobaki za EA kufikia uchumi wa kati baada ya miaka 20 ijayo

Uchumi: Nchi zilizobaki za EA kufikia uchumi wa kati baada ya miaka 20 ijayo

Itachukua miaka 30 ijayo kwa Kenya kuweza kuacha kutegemea Chakula cha msaada, Kenya ni nchi pekee duniani iliyopo katika kundi la uchumi wa kati lakini bado wananchi wake wanakufa kwa njaa na inategemea Chakula cha msaada.

Kama ambavyo Sudan imeshushwa toka kundi la uchumi wa kati na kurudi katika kundi la uchumi wa chini mwaka huu, hata Kenya kuna uwezekano mkubwa miaka ijayo ikashushwa baada ya kufanyika kwa "rebase" ya uchumi, haiwezikani nchi yenye uchumi wa kati lakini watu wanakufa kwa njaa na nchi itapewa misaada ya Chakula kila mwaka, huo ni "Pseudo economy".
Jifunze kudadisi mambo kwa undani sio kuropokwa tu. Sudan kamalizwa na sanctions za US. Sudan haiwezi kupata mikopo wala usaidizi kutoka kwa benki za ulaya kwa sababu ya sanctions za Marekani. Investors pia hawawezi kuinvest hadi sanctions zitolewe. Hizo sanctions hazitatolewa hadi Sudan ilipe familia za Wamarekani waliouwawa na terrorists ambao walipewa hifadhi sudan. Hivi Unajua Osama bin Laden mwenyewe aliishi Sudan miaka za 1990s? Sudan ni nchi tajiri sana. Sudan ina irrigation scheme kubwa zaidi Afrika. Wanazalisha chakula kingi na pia wanazalisha mafuta. Wao wakisuluhisha matatizo yao na Marekani basi Sudan watarudi kuwa middle income.
 
Jifunze kudadisi mambo kwa undani sio kuropokwa tu. Sudan kamalizwa na sanctions za US. Sudan haiwezi kupata mikopo wala usaidizi kutoka kwa benki za ulaya kwa sababu ya sanctions za Marekani. Investors pia hawawezi kuinvest hadi sanctions zitolewe. Hizo sanctions hazitatolewa hadi Sudan ilipe familia za Wamarekani waliouwawa na terrorists ambao walipewa hifadhi sudan. Hivi Unajua Osama bin Laden mwenyewe aliishi Sudan miaka za 1990s? Sudan ni nchi tajiri sana. Sudan ina irrigation scheme kubwa zaidi Afrika. Wanazalisha chakula kingi na pia wanazalisha mafuta. Wao wakisuluhisha matatizo yao na Marekani basi Sudan watarudi kuwa middle income.
Zimbabwe ipo katika sanctions za USA na UK na haina mafuta kama ilivyo Sudan, kwanini bado hawashuki, vivyo hivyo kwa Iran na Venezuela?. Vipi kuhusu hiyo nchi ya kiarabu iliyoshuka pamoja na Sudan, mbona haipo katika sanctions za Marekani?

Tatizo kubwa la uchumi wa Kenya hauna "strong base", Kenya ni nchi ya uchumi wa kilimo lakini ardhi yenye rutuba ni ndogo na karibia yote imeshikiliwa na mabwenyenye ambao hawaifanyiii uzalishaji wowote zaidi wanaitumia kama dhamana ya kukopea pesa katika mabenki mbalimbali.

Manufacturing sector ya Kenya imeuliwa na bidhaa toka China na gharama kubwa za uzalishaji Kenya ukilinganisha na Uganda na Tanzania. Kenya tegemeo kubwa ni service industry ambayo inapata competition Kali sana toka kwa nchi Jirani za Ethiopia, Tanzania, Uganda na Rwanda.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Burundi ndio wana per capital ya $309 hawa jamaa sipati picha mwananchi wa kawaida kule anaishi vp
Wanaweza wakawa wanaishi fresh tu, labda iyo $309 inawatosha. Msikariri mambo.
 
Zimbabwe ipo katika sanctions za USA na UK na haina mafuta kama ilivyo Sudan, kwanini bado hawashuki, vivyo hivyo kwa Iran na Venezuela?. Vipi kuhusu hiyo nchi ya kiarabu iliyoshuka pamoja na Sudan, mbona haipo katika sanctions za Marekani?

Tatizo kubwa la uchumi wa Kenya hauna "strong base", Kenya ni nchi ya uchumi wa kilimo lakini ardhi yenye rutuba ni ndogo na karibia yote imeshikiliwa na mabwenyenye ambao hawaifanyiii uzalishaji wowote zaidi wanaitumia kama dhamana ya kukopea pesa katika mabenki mbalimbali.

Manufacturing sector ya Kenya imeuliwa na bidhaa toka China na gharama kubwa za uzalishaji Kenya ukilinganisha na Uganda na Tanzania. Kenya tegemeo kubwa ni service industry ambayo inapata competition Kali sana toka kwa nchi Jirani za Ethiopia, Tanzania, Uganda na Rwanda.
Kenya ina a more diversified economy kushinda Tanzania. Agriculture contributes only 25% - 30% of our economy. Service sector inacontribute asilimia kubwa zaidi kwa uchumi wetu (yaani banking, telecommunication, ICT, e.t.c). Sisi hatutegemei kilimo pekee. Pengine nyinyi ndio mnategemea kilimo pekee. Kusema ukweli Tanzania na Kenya zote zina diversified economies sasa sijui itakuwaje unajitia hamnazo. Kenya sio Nigeria au Angola, nchi ambazo zinategemea uzalishaji wa mafuta kwa kiasi kikubwa. Algeria pia wanategemea uzalishaji wa mafuta na hio kwa kiasi fulani inaelezea ni kwa nini wameshushwa kutoka upper middle income hadi lower middle income maana bei ya mafuta kutoka 2016 imekuwa ikiyumba. Algeria pia wana matatizo ya kisiasa na pia kunaweza kuwa na mambo mengine.
 
Kama mwalimu angempa kijiti JPM tungekuwa "big 20" tungekaa meza moja na Africa kusini kiuchumi
 
Kenya ina a more diversified economy kushinda Tanzania. Agriculture contributes only 25% - 30% of our economy. Service sector inacontribute asilimia kubwa zaidi kwa uchumi wetu (yaani banking, telecommunication, ICT, e.t.c). Sisi hatutegemei kilimo pekee. Pengine nyinyi ndio mnategemea kilimo pekee. Kusema ukweli Tanzania na Kenya zote zina diversified economies sasa sijui itakuwaje unajitia hamnazo. Kenya sio Nigeria au Angola, nchi ambazo zinategemea uzalishaji wa mafuta kwa kiasi kikubwa. Algeria pia wanategemea uzalishaji wa mafuta na hio kwa kiasi fulani inaelezea ni kwa nini wameshushwa kutoka upper middle income hadi lower middle income maana bei ya mafuta kutoka 2016 imekuwa ikiyumba. Algeria pia wana matatizo ya kisiasa na pia kunaweza kuwa na mambo mengine.
Nimesema kwamba Kenya uchumi wake haina strong base kama ulivyo uchumi wa Tanzania, ili uchumi uwe imara lazima uwe na "very strong base which is not likely and easily disturbed".

Diversification haina maana sana kama hakuna St ability. Kilimo ni eneo zuri sana kuweza kuwa na uchumi imara, kwasababu bidhaa za kilimo bei na demand yake vipo stable sana, kwa mfano chai, kahawa, Cocoa, Pamba, nyama, Samaki, hii ni kutokana na ukweli kwamba, uzalushaji wa bidhaa hizi ni mdogo ukilinganisha na mahitaji yake.

Bidhaa zingine ambazo hazijawahi kukidhi mahitaji ya soko la dunia ni Madini ya aina mbalimbali kama Diamond, Gold, Titanium na mengine kadhaa, nchi zenye madini, uchumi wake una strong base, kwasababu kamwe soko la madini haliyumbi na hakuna compitition .

Uchumi unaotegemea gas; gas ni very strong base of economy kwasababu ni nchi chache zenye kuzalisha gas na haitoshelezi mahitaji ya dunia, na haina competition kama yalivyo mafuta.

Hizo sector ukizozata za Kenya kama IT, Financial, Construction, transportation and tourism, are very competitive and very unstable. Nchi zenye kutegemea hizi sectors uchumi wao sio stable, wakati wowote unaweza kuporomoka. Mfano ni kama kipindi hiki cha Corona, nchi zinazotegemea utalii, service industry, IT zitaumia zaidi kuliko zinazotegemea KILIMO.
 
Nimesema kwamba Kenya uchumi wake haina strong base kama ulivyo uchumi wa Tanzania, ili uchumi uwe imara lazima uwe na "very strong base which is not likely and easily disturbed".

Diversification haina maana sana kama hakuna St ability. Kilimo ni eneo zuri sana kuweza kuwa na uchumi imara, kwasababu bidhaa za kilimo bei na demand yake vipo stable sana, kwa mfano chai, kahawa, Cocoa, Pamba, nyama, Samaki, hii ni kutokana na ukweli kwamba, uzalushaji wa bidhaa hizi ni mdogo ukilinganisha na mahitaji yake.

Bidhaa zingine ambazo hazijawahi kukidhi mahitaji ya soko la dunia ni Madini ya aina mbalimbali kama Diamond, Gold, Titanium na mengine kadhaa, nchi zenye madini, uchumi wake una strong base, kwasababu kamwe soko la madini haliyumbi na hakuna compitition .

Uchumi unaotegemea gas; gas ni very strong base of economy kwasababu ni nchi chache zenye kuzalisha gas na haitoshelezi mahitaji ya dunia, na haina competition kama yalivyo mafuta.

Hizo sector ukizozata za Kenya kama IT, Financial, Construction, transportation and tourism, are very competitive and very unstable. Nchi zenye kutegemea hizi sectors uchumi wao sio stable, wakati wowote unaweza kuporomoka. Mfano ni kama kipindi hiki cha Corona, nchi zinazotegemea utalii, service industry, IT zitaumia zaidi kuliko zinazotegemea KILIMO.
Hapo kwa kilimo nakubali tu kwa subsistence crops kama mahindi, maharagwe, mboga n.k yaani chakula cha kila siku ni kweli bei haiyumbi sana bora kuna mvua ya kutosha ila si kweli likija kwenye commercial crops ambazo zinauzwa kwenye international market ambapo bei inategemea supply and demand. Kwenye madini sikubaliani nawe. Bei ya madini na chuma huwa inayumbayumba sana katika soko la kimataifa. Kwa mfano kuanzia mwaka wa 2016/2017, bei ya copper ilishuka kwa kiasi kikubwa na nchi kama Zambia ambao wanategemea export of copper kukimu uchumi ziliumia sana. Bei ya dhahabu (as a store of value) huwa inayumba ajabu. Mara leo iko chini mara kesho iko juu kwa hivyo hakuna stability ya bei ikija kwenye dhahabu. Hata leo asubuhi nimesoma kuwa bei ya dhahabu ipo at the highest level since 2011. Gold saa hii inatrade at $1,800. Kuna wakati price ya gold ilikuwa chini mno. Kwa kilimo kuna commercial crops ambazo bei yao huwa inayumba yumba kwa sababu inauzwa kwa international market na wanunuzi wanaweza kususia kununua iwapo kuna janga kama corona na kwa hivyo bei itashuka. Cocoa ambayo inakuzwa sana Ivory Coast na Ghana kuna wakati bei yake ilishuka mno hadi wakulima wakaanza kukata miti hiyo na kupanda mimea mingine. Hapa Kenya bei ya kahawa katika soko la kimataifa ilikuwa nzuri miaka za 1980s/1990s lakini ilishuka na kuwalazimu wakulima kubadilisha mimea au kuanza kujenga majumba ya kukodi au majumba ya biashara.
 
Hapo kwa kilimo nakubali tu kwa subsistence crops kama mahindi, maharagwe, mboga n.k yaani chakula cha kila siku ni kweli bei haiyumbi sana bora kuna mvua ya kutosha ila si kweli likija kwenye commercial crops ambazo zinauzwa kwenye international market ambapo bei inategemea supply and demand. Kwenye madini sikubaliani nawe. Bei ya madini na chuma huwa inayumbayumba sana katika soko la kimataifa. Kwa mfano kuanzia mwaka wa 2016/2017, bei ya copper ilishuka kwa kiasi kikubwa na nchi kama Zambia ambao wanategemea export of copper kukimu uchumi ziliumia sana. Bei ya dhahabu (as a store of value) huwa inayumba ajabu. Mara leo iko chini mara kesho iko juu kwa hivyo hakuna stability ya bei ikija kwenye dhahabu. Hata leo asubuhi nimesoma kuwa bei ya dhahabu ipo at the highest level since 2011. Gold saa hii inatrade at $1,800. Kuna wakati price ya gold ilikuwa chini mno. Kwa kilimo kuna commercial crops ambazo bei yao huwa inayumba yumba kwa sababu inauzwa kwa international market na wanunuzi wanaweza kususia kununua iwapo kuna janga kama corona na kwa hivyo bei itashuka. Cocoa ambayo inakuzwa sana Ivory Coast na Ghana kuna wakati bei yake ilishuka mno hadi wakulima wakaanza kukata miti hiyo na kupanda mimea mingine. Hapa Kenya bei ya kahawa katika soko la kimataifa ilikuwa nzuri miaka za 1980s/1990s lakini ilishuka na kuwalazimu wakulima kubadilisha mimea au kuanza kujenga majumba ya kukodi au majumba ya biashara.
Tony254, hakuna kitu chochote ambacho bei yake duniani haishuki, kinachoangaliwa ni "degree of variation", ukweli ni kwamba madini kama dhahabu, almasi, Cobalt, bei yake kamwe haiwezi kushuka kiasi cha kusababisha hasara kwa mchimbaji, kinachotokea ni kupungua kwa " Profit margin" lakini hakuna nchi au kampuni lolote lenye kuchimba madini lililoacha kuchimba kutokana na kupata hasara au kukosa soko la madini.

Ningependa utofautishe kati ya madini na na bulk less valuable minerals, Iron, copper, Uranium, Stones, Graphite, Tin, haya ambayo ni bulk minerals huwa hayapo katika kundi la maadini kwa maana ya "very rare, expensive ones" kama Gold, Diamond, Tanzanite, Ruby, Sapphire na mengineyo.

Botswana uchumi wake unategemea Diamond by 90%, ulishasikia ukiyumba kama nchi zinazotegemea mafuta?.

Kuhusu KILIMO, ukweli ni kwamba, nchi zenye kuuza bidhaa zake za KILIMO bila kuziongezea thamani ndio zinazopata shida katika soko la dunia, ila KILIMO ni very strong base of Economy kama nchi zitauza finished agriculture products badala ya raw products
 
Tony254, hakuna kitu chochote ambacho bei yake duniani haishuki, kinachoangaliwa ni "degree of variation", ukweli ni kwamba madini kama dhahabu, almasi, Cobalt, bei yake kamwe haiwezi kushuka kiasi cha kusababisha hasara kwa mchimbaji, kinachotokea ni kupungua kwa " Profit margin" lakini hakuna nchi au kampuni lolote lenye kuchimba madini lililoacha kuchimba kutokana na kupata hasara au kukosa soko la madini.

Ningependa utofautishe kati ya madini na na bulk less valuable minerals, Iron, copper, Uranium, Stones, Graphite, Tin, haya ambayo ni bulk minerals huwa hayapo katika kundi la maadini kwa maana ya "very rare, expensive ones" kama Gold, Diamond, Tanzanite, Ruby, Sapphire na mengineyo.

Botswana uchumi wake unategemea Diamond by 90%, ulishasikia ukiyumba kama nchi zinazotegemea mafuta?.

Kuhusu KILIMO, ukweli ni kwamba, nchi zenye kuuza bidhaa zake za KILIMO bila kuziongezea thamani ndio zinazopata shida katika soko la dunia, ila KILIMO ni very strong base of Economy kama nchi zitauza finished agriculture products badala ya raw products
Hapo kwa kuongeza thamani kwa bidhaa za kilimo nakubaliana na wewe kabisa. Value addition huwa inaleta faida kubwa sana kwenye uchumi. Pia nakubali kuwa madini huwa profitable kwa sababu bei ya madini huwa yako juu sana hata yakianguka bado mchimbaji anaweza kupata kaprofit kadogo tu ili kumuwezesha kuendelea na biashara. Chuma au bidhaa ambayo umeiita bulk, less valuable minerals huwa zina shida sana katika soko la kimataifa ndio maana wachimbaji inawabidi waingie kwenye long-term contracts na wanunuzi ili bei iwe fixed kwa muda wa miaka mitano au kumi. Uzuri wa kufanya bei iwe fixed long-term ni kuleta price stability na kureduce business risk. Lakini sio kila mchimbaji amesign long-term, fixed- price contract na wanunuzi. Hawa wanacheza ule mchezo wa pata potea. Leo wakienda sokoni wanapata bei imepanda wanafurahi lakini mwezi ujao wakirudi kwenye soko wanapata bei imeanguka sana lakini hawana budi ila kuuza kwa hasara kwa sababu hawawezi kukosa kuuza na kuenda hasara kubwa zaidi. Kuna kampuni kubwa ambazo zinaweza kukosa kuuza ikiwa bei imeharibika sana na inaamua kuhifadhi chuma au bidhaa hiyo hadi pale ambapo bei itarudi kuwa sawa. Lakini sio kampuni nyingi zina uwezo au hata warehouse ya kuhifadhi bidhaa hizi (hoarding). Kwa ujumla tunakubaliana ila sikubali kuwa uchumi wa Kenya utaanguka kama ule wa Sudan. Gdp ya Kenya imekuwa kwa asilimia 4.9 kwenye robo la kwanza wa mwaka huu. Kwa hivyo tourism kuathirika na janga la corona haijaathiri Uchumi wa Kenya sana. Sector zingine za Kenya hazijaathirika sana.
 
Hapo kwa kuongeza thamani kwa bidhaa za kilimo nakubaliana na wewe kabisa. Value addition huwa inaleta faida kubwa sana kwenye uchumi. Pia nakubali kuwa madini huwa profitable kwa sababu bei ya madini huwa yako juu sana hata yakianguka bado mchimbaji anaweza kupata kaprofit kadogo tu ili kumuwezesha kuendelea na biashara. Chuma au bidhaa ambayo umeiita bulk, less valuable minerals huwa zina shida sana katika soko la kimataifa ndio maana wachimbaji inawabidi waingie kwenye long-term contracts na wanunuzi ili bei iwe fixed kwa muda wa miaka mitano au kumi. Uzuri wa kufanya bei iwe fixed long-term ni kuleta price stability na kureduce business risk. Lakini sio kila mchimbaji amesign long-term, fixed- price contract na wanunuzi. Hawa wanacheza ule mchezo wa pata potea. Leo wakienda sokoni wanapata bei imepanda wanafurahi lakini mwezi ujao wakirudi kwenye soko wanapata bei imeanguka sana lakini hawana budi ila kuuza kwa hasara kwa sababu hawawezi kukosa kuuza na kuenda hasara kubwa zaidi. Kuna kampuni kubwa ambazo zinaweza kukosa kuuza ikiwa bei imeharibika sana na inaamua kuhifadhi chuma au bidhaa hiyo hadi pale ambapo bei itarudi kuwa sawa. Lakini sio kampuni nyingi zina uwezo au hata warehouse ya kuhifadhi bidhaa hizi (hoarding). Kwa ujumla tunakubaliana ila sikubali kuwa uchumi wa Kenya utaanguka kama ule wa Sudan. Gdp ya Kenya imekuwa kwa asilimia 4.9 kwenye robo la kwanza wa mwaka huu. Kwa hivyo tourism kuathirika na janga la corona haijaathiri Uchumi wa Kenya sana. Sector zingine za Kenya hazijaathirika sana.
Kuhusu uchumi wa Kenya, lengo langu ni kuwapa tahadhari kwamba uchumi wenu upo very vulnerable kwasababu sectors zote mnazozitegemea mkiacha kilimo na utalii wa "Safari" ni very competitive, kwa mfano "Manufacturing, Financial, IT, Construction, transportation na aviation" zito hizi zinafanywa na developed Countries kama China, India na EU, kwa hiyo Kenya inakua underdog always.
 
Back
Top Bottom