Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Unamaanisha uchumi au mfumuko wa bei? Unasemaje kuhusu mafuta ya kula ambayo sasa hivi lita 20 inauzwa kati ya sh. 64,000 hadi 70,000/=, kutoka 50,000/=?! Bei ya bidhaa moja ndiyo imeimarisha uchumi?Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Mamamayo,, Shinyanga kwenyewe kwa wakulima maarufu wa mpunga tunauza 1700 -1800/= sasa wewe makalio utasemaje 1,300? Harafu usituambie eti uchumi umepaa wakati wakulima hatuna pa kuuzia mpunga wetu!!Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Wewe mbwiga unabishana na maafisa masoko waliopo site?...kalagabaho!Acha kupotosha watu humu wewe uliyezoea kulishwa taarifa! Yaani uutoe mchele shinyanga kijijini au kule pawaga au mlimba uje uuze sh. 1300/=? Unaijua bei ya kukodi gari? Ya diesel nayo unaijua? Gharama za mkulima nazo ni sifuri? Jiongeze dogo na piga simu kwenye vyanzo vya mpunga huko kyela na madibira ujuzwe sio unajiropokea humu! Yaani ni hujui lolote!
Kuna factors nyingi sana za ku consider kabla ya kusema uchumi umeimarika, mwezi ujao ni kipindi cha ramadan mchele ukipanda utasema tena uchumi umeshuka au.Nimewanukuu maafisa masoko kwa mujibu wa Eatv!
Kwahiyo unawatukana maafisa masoko?Mamamayo,, Shinyanga kwenyewe kwa wakulima maarufu wa mpunga tunauza 1700 -1800/= sasa wewe makalio utasemaje 1,300? Harafu usituambie eti uchumi umepaa wakati wakulima hatuna pa kuuzia mpunga wetu!!
Ndio kazi ya serikali ya awamu ya tano,pesa ipate thamani.Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Akapimwe akili....Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Cc: maafisa masoko!Kuna factors nyingi sana za ku consider kabla ya kusema uchumi umeimarika, mwezi ujao ni kipindi cha ramadan mchele ukipanda utasema tena uchumi umeshuka au.
Usihangaike ndugu, huyo ni miongoni mwa wale vijana ambao kula yao na kulala ni jukumu la wazazi wao!Acha kupotosha watu humu wewe uliyezoea kulishwa taarifa! Yaani uutoe mchele shinyanga kijijini au kule pawaga au mlimba uje uuze sh. 1300/=? Unaijua bei ya kukodi gari? Ya diesel nayo unaijua? Gharama za mkulima nazo ni sifuri? Jiongeze dogo na piga simu kwenye vyanzo vya mpunga huko kyela na madibira ujuzwe sio unajiropokea humu! Yaani ni hujui lolote!
Ngoja tuwaulize maafisa masoko!Sukari je?
Mkapimwe akili kwa kukubadili kila kinachosemwa... Na kwa bahati mbaya wengine mmenunua mchele leo kwa bei ya juu halafu mnakuja kupongeza UONGO wa wazi...Ndio kazi ya serikali ya awamu ya tano,pesa ipate thamani.
Hongera serikali kwa kudhibiti mfumuko wa bei
Wewe kula kulala huelewi lolote kuhusu maisha kaa kimya pimbi wewe. Hujui bei ya mchele wala ya sukari wala mafuta.Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Nimedanganya kutoa Source au unamaanisha nini?Sijui unadanganya kwa faida gani..
Wewe ni ku..... kabisa mwaka huu mchele utafika chini ya TZS 1,000.00 wakulima hasa kanda ya ziwa wamelima sana na kupata mpunga mwingi sana na hizo data ni average ya TZ nzima endelea kubisha kwa kuwa ulizoea kufisadi nchi sasa umebanwa ile mbaya... mpaka utakufa kwa kukosa pesa ya kununua chakula.... fanyakazi acha kukaa kwenye keyboard muda wote!!Pumbafff sana wewee..
Hujui lolote kwenye haya masuala ya bei za vyakula..
Wewe subiri jpm akiwa sehemu anazindua stendi sijui vyoo ujulishe watu kwamba yupo live kwenye ile television yenu marehemu.