Uchumi wa Bangladesh ni mkubwa kuliko uchumi wa taifa lolote Afrika

Uchumi wa Bangladesh ni mkubwa kuliko uchumi wa taifa lolote Afrika

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Alietuloga kwa kweli hana huruma. South Africa, Nigeria Egypt wote wamezidiwa na Bangladesh

Afrika tuna matatizo gani. Nchi 54 wote tumefeli. Hata hizo za kaskazini (Arab countries) wamefeli. Uchumi wa Morocco, Egypt, Algeria, Tunisia, Libya hauendani na uhalisia. Wote tumefeli vibaya mno.

Hakuna nchi yenye matumaini Africa. Nchi za Asia nyingi Zika juu Sana. Nyingi zitakuwa developed countries miaka michache ijayo

Je, ni kweli tunaibiwa rasilimali au tumefeli tu. Tatizo nini?

Screenshot_20240119-071705.jpg
 
Alietuloga kwa kweli hana huruma. South Africa, Nigeria Egypt wote wamezidiwa na Bangladesh

Afrika tuna matatizo gani. Nchi 54 wote tumefeli. Hata hizo za kaskazini (Arab countries) wamefeli. Uchumi wa Morocco, Egypt, Algeria, Tunisia, Libya hauendani na uhalisia. Wote tumefeli vibaya mno.

Hakuna nchi yenye matumaini Africa. Nchi za Asia nyingi Zika juu Sana. Nyingi zitakuwa developed countries miaka michache ijayo

Je, ni kweli tunaibiwa rasilimali au tumefeli tu. Tatizo nini?

bara la wendawazimu hili

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Alietuloga kwa kweli hana huruma. South Africa, Nigeria Egypt wote wamezidiwa na Bangladesh

Afrika tuna matatizo gani. Nchi 54 wote tumefeli. Hata hizo za kaskazini (Arab countries) wamefeli. Uchumi wa Morocco, Egypt, Algeria, Tunisia, Libya hauendani na uhalisia. Wote tumefeli vibaya mno.

Hakuna nchi yenye matumaini Africa. Nchi za Asia nyingi Zika juu Sana. Nyingi zitakuwa developed countries miaka michache ijayo

Je, ni kweli tunaibiwa rasilimali au tumefeli tu. Tatizo nini?

angalia population iyo
 
Alietuloga kwa kweli hana huruma. South Africa, Nigeria Egypt wote wamezidiwa na Bangladesh

Afrika tuna matatizo gani. Nchi 54 wote tumefeli. Hata hizo za kaskazini (Arab countries) wamefeli. Uchumi wa Morocco, Egypt, Algeria, Tunisia, Libya hauendani na uhalisia. Wote tumefeli vibaya mno.

Hakuna nchi yenye matumaini Africa. Nchi za Asia nyingi Zika juu Sana. Nyingi zitakuwa developed countries miaka michache ijayo

Je, ni kweli tunaibiwa rasilimali au tumefeli tu. Tatizo nini?

Mnatoa wapi matango pori machungu namna hii
 
Mnashangaa nini wakati mada kama hizi hata watanzania hawawezi kuchangia na hiyo tu ni taswira tosha kwamba nchi ina watu wa namna gani.

Sasa nchi yenye watu kama hawa watawezaje kushindanishwa na Bangladesh ambayo watu wake hawakimbizi mwenge.
 
Alietuloga kwa kweli hana huruma. South Africa, Nigeria Egypt wote wamezidiwa na Bangladesh

Afrika tuna matatizo gani. Nchi 54 wote tumefeli. Hata hizo za kaskazini (Arab countries) wamefeli. Uchumi wa Morocco, Egypt, Algeria, Tunisia, Libya hauendani na uhalisia. Wote tumefeli vibaya mno.

Hakuna nchi yenye matumaini Africa. Nchi za Asia nyingi Zika juu Sana. Nyingi zitakuwa developed countries miaka michache ijayo

Je, ni kweli tunaibiwa rasilimali au tumefeli tu. Tatizo nini?

Tatizo biashara huku hatutaki na pia tunawapiga vita wafanyabiashara wetu na pia jamii haziamini kwenye kufanya na kumiliki biashara ya kutatua matatizo yetu sie twapenda sana hiki kiatu kimetoka ujerumani basi ndio kizuri hatutaki tutengeneze cha kwetu hakuna uchumi imara wa kuimport kila kitu lazima to encourage na kuwezesha uwanzishwaji wa SME na MME ndio tutakuwa kiuchumi pia tupunguze kodi kwenye vifaa vya ujasiria mali na uzalishaji yaani vile vya kuweza kujiajiri sio pump ya kumwagilia shamba bei juu mashine za kukata na kukunjia chuma bei juu hatutaweza kunyanyua watu wetu kiuchumi na tunatakiwa taasisi zetu za biashara na binafsi zifanye biashara nje ya mipaka zilete foreign currency.
 
Tatizo biashara huku hatutaki na pia tunawapiga vita wafanyabiashara wetu na pia jamii haziamini kwenye kufanya na kumiliki biashara ya kutatua matatizo yetu sie twapenda sana hiki kiatu kimetoka ujerumani basi ndio kizuri hatutaki tutengeneze cha kwetu hakuna uchumi imara wa kuimport kila kitu lazima to encourage na kuwezesha uwanzishwaji wa SME na MME ndio tutakuwa kiuchumi pia tupunguze kodi kwenye vifaa vya ujasiria mali na uzalishaji yaani vile vya kuweza kujiajiri sio pump ya kumwagilia shamba bei juu mashine za kukata na kukunjia chuma bei juu hatutaweza kunyanyua watu wetu kiuchumi na tunatakiwa taasisi zetu za biashara na binafsi zifanye biashara nje ya mipaka zilete foreign currency.
Sahihi
 
Hayo maswali ukiniuliza mm utakuwa unanionea maswali hayo unatakiwa uwaulize CCM na chawa wake.
Duh! Siku zote najua ni chawa pro max. Sorry for that oversight.
 
Back
Top Bottom