Uchumi wa Bangladesh ni mkubwa kuliko uchumi wa taifa lolote Afrika

Uchumi wa Bangladesh ni mkubwa kuliko uchumi wa taifa lolote Afrika

Alietuloga kwa kweli hana huruma. South Africa, Nigeria Egypt wote wamezidiwa na Bangladesh

Afrika tuna matatizo gani. Nchi 54 wote tumefeli. Hata hizo za kaskazini (Arab countries) wamefeli. Uchumi wa Morocco, Egypt, Algeria, Tunisia, Libya hauendani na uhalisia. Wote tumefeli vibaya mno.

Hakuna nchi yenye matumaini Africa. Nchi za Asia nyingi Zika juu Sana. Nyingi zitakuwa developed countries miaka michache ijayo

Je, ni kweli tunaibiwa rasilimali au tumefeli tu. Tatizo nini?

Tatizo ni hizi dini kuu mbili. Uislam na ukristo. Dini hizi ni wakala wa utumwa na umaskini. Kama waafrika ikitokea tukaacha na hizo imani, tutapiga hatua kubwa kimaendeleo maana akili zetu zote zimefungiwa hapo.
 
Tatizo ni hizi dini kuu mbili. Uislam na ukristo. Dini hizi ni wakala wa utumwa na umaskini. Kama waafrika ikitokea tukaacha na hizo imani, tutapiga hatua kubwa kimaendeleo maana akili zetu zote zimefungiwa hapo.
Mbona hiyo Bangladesh na wenyewe ni wafuasi wa dini unazo ziita za kitumwa?
 
Bangladesh iko Africa?
Hao wanakunya baharini,wanaoga humohumo,wanakojoa humo wanavua samaki wanauza na kula.
Hakuna watu wachafu km hiyo kabila.
 
Imagine nchi inaongezwz na SSH. Itaendelea kweli? Nipe sababu kwa nininiendelee
 
Alietuloga kwa kweli hana huruma. South Africa, Nigeria Egypt wote wamezidiwa na Bangladesh

Afrika tuna matatizo gani. Nchi 54 wote tumefeli. Hata hizo za kaskazini (Arab countries) wamefeli. Uchumi wa Morocco, Egypt, Algeria, Tunisia, Libya hauendani na uhalisia. Wote tumefeli vibaya mno.

Hakuna nchi yenye matumaini Africa. Nchi za Asia nyingi Zika juu Sana. Nyingi zitakuwa developed countries miaka michache ijayo

Je, ni kweli tunaibiwa rasilimali au tumefeli tu. Tatizo nini?

Bangladesh hii hii juzi Walioandamana kumtoa Sheikh Hasina??
Bangladesh hii hii walioandamana kuwa kuna inflation rate na poor social services kufikia Sri Lanka??
Bangladesh kama Kenya tu.
Katika makaratasi mbwembwe kibao fika kwao ujionee uhalisia.
Nchi iliyoendelea watu hawalalamiki mfumuko wa bei wala huduma mbovu za kijamii.
Labda Bangladesh ya Jupiter hiyo.
 
Sasa Bangladesh si maskini tu pamoja na wenzake Nepal na Malaysia?
 
Urafiki, Mutex, Kilitex, etc vya enzi za Nyerere mlivipeleka wapi leo mnatolea mfano wa njia walizopitia wengine kufanikiwa wakati njia hizo hizo mmeziua? In fact umem-support mleta mada by 100%.
Hivyo viwanda vyote viliishia kwenye vita ya Kagera.
 
Alietuloga kwa kweli hana huruma. South Africa, Nigeria Egypt wote wamezidiwa na Bangladesh

Afrika tuna matatizo gani. Nchi 54 wote tumefeli. Hata hizo za kaskazini (Arab countries) wamefeli. Uchumi wa Morocco, Egypt, Algeria, Tunisia, Libya hauendani na uhalisia. Wote tumefeli vibaya mno.

Hakuna nchi yenye matumaini Africa. Nchi za Asia nyingi Zika juu Sana. Nyingi zitakuwa developed countries miaka michache ijayo

Je, ni kweli tunaibiwa rasilimali au tumefeli tu. Tatizo nini?

Ukubwa wa uchumi maana yake nini?

Unaelewa kuwa nchi inaweza kuwa na uchumi mkubwa halafu bado ikawa masikini?

Yani nchi ina mamilioni ya masikini, ukijumlisha viuchumi vyao vyote vya dola moja moja ma nusu mpaka mbili kwa siku unapata uchumi mkubwa sana, lakini nchi nzima kiuchumi imejaa masikini tu. Ndiyo Bangladesh hiyo.

Yani hapo kinachofanya uchumi kuwa mkubwa ni wingi wa masikini tu wanaonunua unga robo kila siku.

Bangladesh ina masikini waliopita mstari, kwa viwango vya serikali yao wenyewe, ambao ni karibu nusu ya idadi ya Watanzania wote.

Sasa huo ni uchumi wa kujivunia?

Unajua kwamba kwa makadirio ya mwaka 2021, GDP per capita figure zilikuwa hivi.

Bangladesh $ 2,458
Seychelles $14,653

Unajua Seychelles iko Afrika?

Unaelewa GDP per capita ni nini?

Unaelewa kwamba unaweza kuwa na uchumi mkubwa kwa kuzaliana watu wengi tu, huku wote mkiwa mnaishi kwenye umasikini mbaya sana? Halafu mtu anaweza kuwa na uchumi mdogo unaomfanya awe tajiri sana?

Unaweza kutofautisha ukubwa wa uchumi na ufanisi wa uchumi japo kwa ngazi ya awali tu kwa kutumia GDP per capita figures kuona on average watu wana kipato gani?
 
Back
Top Bottom