Uchumi wa China ukweli ambao wengi hawaujui

Uchumi wa China ukweli ambao wengi hawaujui

Hamatan

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2020
Posts
3,197
Reaction score
7,677
Watanzania wengi ambao ni wavivu wa kutafuta maarifa, huiongelea sana China kama nchi iliyofanikiwa sana kiuchumi, kwa wao kujifungia na kwa kutegemea ubunifu wao na mitaji yao. Wengine wanaenda mbali zaidi, na kushauri Tanzania ifuate mfano wa China.

Kwa wale wasiojua, wafahamu yafuatayo:

1) Mabadiliko makubwa ya uchumi wa China yalitokea miaka ya 1990 baada ya sera za uchumi wa kujifungia kushindwa kufanya kazi na kusababisha wachina zaidi ya 40% kuishi kwenye umaskini mkubwa. Miaka ya 1990, China ikaamua kuachana na uchumi wa kujifungia, na kuamua kuruhusu uwekezaji mkubwa wa mataifa ya nje, hasa toka Ulaya, America na mamlaka inayojitegemea ya ya Hong Kong.

2) Uwekezaji mkubwa wa mataifa ya nje, hasa toka Ulaya na America ulipandisha ukuaji wa uchumi wa China toka 2% mpaka 12%.

3) Kwa ujumla, mpaka sasa, China ndiyo inayovutia mitaji mikubwa ya uwekezaji, hasa toka Uaya na America, kuzidi nchi yoyote Duniani.

4) Makampuni mengi ya Ulaya na America yaliyopo China kwa sababu ya uwepo wa nguvu kazi rahisi na soko kubwa, ndiyo hayo yanayouza bidhaa zake huko Ulaya na America, huku makampuninya wachina 100% ambayo bidhaa zake huwa zinanubora hafifu, soko lake ni Afrika.

5) Katika makampuni 10 makubwa kabisa yaliyopo China, ni kampuni 1 tu ndiyo inayomilikiwa na Wachina.

6) Kwa mwaka 2020/2021, China iliendelea kuongoza katia kuvutia wawekezaji wa nje. Uwekezaji wa nje (FDI) kwa mwaka huo ulikuwa dollar billion 173.48.

China FDI inflows hit record high in 2021

January 14, 2022

BEIJING, Jan. 13 (Xinhua) -- In a year when the pandemic continued to wreak havoc on the world economy, global investors have cast more votes of confidence on investing in China as the foreign direct investment (FDI) into the country hit a record high.

The FDI into the Chinese mainland, in actual use, expanded 14.9 percent year on year to a record high of 1.15 trillion yuan in 2021, the Ministry of Commerce said Thursday.

In U.S. dollar terms, the inflow went up 20.2 percent year on year to 173.48 billion dollars.

7) Wakati waafrika wajinga, wanategemea kuwa Wachina ndio watakaofanya uwekezaji mkubwa kwenye mataifa, viongozi wa China kila leo wapo Ulaya kutafuta wawekezaji. Makampuni makubwa ya uvhimbaji madini ya America, Ulaya na Australia, ndiyo yaliyoifanya China kuwa mzalishaji mkubwa wa kwanza wa dhahabu Duniani. Lakini hawa walioshindwa kuchimbabmadinibnchini mwao, sisi waafrika tunaamini ndio watakaochimba madini yetu kwa ufanisi.

WITO
Kama uwekezaji wa Wachina wenyewe nchini mwao ulishindwa kuleta tija, kwa nini tunadhani uwekezaji wa Wachina nchin mwetu utaleta tija?

Kama Wachina waliopo China, wengi wenye uwezo wanaona bidhaa za makampuni ya Wachina wenzao hazina viwango vya ubora, na hivyo kupaparikia bidhaa za makampuni ya kigeni yaliyopo China, kwa nini sisi tunaona bidhaa hizo hizo zisizo na ubora, ndiyo zenye kutufaa?

Kama Wachina wanaona kuwa hao wazungu (mabeberu!!), ndio watu muhimu na wa kuaminika katika uwekezaji, kwa nini na sisi tusipiganie kuwapata hao hao kuja kuwekeza nchini mwetu, kuliko kumfikiria aliyeshindwa nchini mwake?

Leo hii unanunua spare part ya mchina kwa shilingi laki 2, inadumu mwezi mmoja (kama una bahati), wakati spare ya mzungu inauzwa shilingi laki 4 lakini inadumu miaka 10. Hivi katika hizi spare parts 2, ipi ni aghali zaidi?

Kama Taifa tunapoteza kiasi gani na kutiwa umaskini kwa kununua bidhaa hafifu toka China?

Kwa nini hao wawekezaji wa kutoka Ulaya na America, tusiwatengenezee mazingira mazuri ya kuja kuwekeza kwetu, wazalishie bidhaa kwetu (nguvu kazi rahisi ipo japo haina skills), tukanunua bidhaa zilizotengenezwa na makampuni ya nje lakini yaliyopo nchini mwetu?

Njia ya haraka ya kuyafikia maendeleo ni uwezo wetu wa kuvutia mitaji ya nje kuja nchini mwetu. Hapo tutapata ajira, tutapata bidhaa zenye ubora, tutaingiza pesa za mataifa mengine nchini mwetu na hivyo kuhuisha mzunguko wa fedha, kuongeza mapato ya Serikali na watu binafsi, lakini pia kuongeza skills za watu wetu.
 
Copy to Mh. Rais, Waziri wa Fedha, Waziri wa Nishati na Masuala yaUwekezaji kiufupi mawazo ni mazuri
 
Sasa kwa afrika na mambo ya cha juu sijui inakuwaje ni mauzauza tu.
 
Watanzania wengi ambao ni wavivu wa kutafuta maarifa, huiongelea sana China kama nchi iliyofanikiwa sana kiuchumi, kwa wao kujifungia na kwa kutegemea ubunifu wao na mitaji yao. Wengine wanaenda mbali zaidi, na kushauri Tanzania ifuate mfano wa China.

Kwa wale wasiojua, wafahamu yafuatayo:

1) Mabadiliko makubwa ya uchumi wa China yalitokea miaka ya 1990 baada ya sera za uchumi wa kujifungia kushindwa kufanya kazi na kusababisha wachina zaidi ya 40% kuishi kwenye umaskini mkubwa. Miaka ya 1990, China ikaamua kuachana na uchumi wa kujifungia, na kuamua kuruhusu uwekezaji mkubwa wa mataifa ya nje, hasa toka Ulaya, America na mamlaka inayojitegemea ya ya Hong Kong.

2) Uwekezaji mkubwa wa mataifa ya nje, hasa toka Ulaya na America ulipandisha ukuaji wa uchumi wa China toka 2% mpaka 12%.

3) Kwa ujumla, mpaka sasa, China ndiyo inayovutia mitaji mikubwa ya uwekezaji, hasa toka Uaya na America, kuzidi nchi yoyote Duniani.

4) Makampuni mengi ya Ulaya na America yaliyopo China kwa sababu ya uwepo wa nguvu kazi rahisi na soko kubwa, ndiyo hayo yanayouza bidhaa zake huko Ulaya na America, huku makampuninya wachina 100% ambayo bidhaa zake huwa zinanubora hafifu, soko lake ni Afrika.

5) Katika makampuni 10 makubwa kabisa yaliyopo China, ni kampuni 1 tu ndiyo inayomilikiwa na Wachina.

6) Kwa mwaka 2020/2021, China iliendelea kuongoza katia kuvutia wawekezaji wa nje. Uwekezaji wa nje (FDI) kwa mwaka huo ulikuwa dollar billion 173.48.


China FDI inflows hit record high in 2021

January 14, 2022

BEIJING, Jan. 13 (Xinhua) -- In a year when the pandemic continued to wreak havoc on the world economy, global investors have cast more votes of confidence on investing in China as the foreign direct investment (FDI) into the country hit a record high.

The FDI into the Chinese mainland, in actual use, expanded 14.9 percent year on year to a record high of 1.15 trillion yuan in 2021, the Ministry of Commerce said Thursday.

In U.S. dollar terms, the inflow went up 20.2 percent year on year to 173.48 billion dollars.

7) Wakati waafrika wajinga, wanategemea kuwa Wachina ndio watakaofanya uwekezaji mkubwa kwenye mataifa, viongozi wa China kila leo wapo Ulaya kutafuta wawekezaji. Makampuni makubwa ya uvhimbaji madini ya America, Ulaya na Australia, ndiyo yaliyoifanya China kuwa mzalishaji mkubwa wa kwanza wa dhahabu Duniani. Lakini hawa walioshindwa kuchimbabmadinibnchini mwao, sisi waafrika tunaamini ndio watakaochimba madini yetu kwa ufanisi.

WITO
Kama uwekezaji wa Wachina wenyewe nchini mwao ulishindwa kuleta tija, kwa nini tunadhani uwekezaji wa Wachina nchin mwetu utaleta tija?

Kama Wachina waliopo China, wengi wenye uwezo wanaona bidhaa za makampuni ya Wachina wenzao hazina viwango vya ubora, na hivyo kupaparikia bidhaa za makampuni ya kigeni yaliyopo China, kwa nini sisi tunaona bidhaa hizo hizo zisizo na ubora, ndiyo zenye kutufaa?

Kama Wachina wanaona kuwa hao wazungu (mabeberu!!), ndio watu muhimu na wa kuaminika katika uwekezaji, kwa nini na sisi tusipiganie kuwapata hao hao kuja kuwekeza nchini mwetu?

Leo hii unanunua spare part ya mchina kwa shilingi laki 2, inadumu mwezi mmoja (kama una bahati), wakati spare ya mzungu inauzwa shilingi laki 4 lakini inadumu miaka 10. Hivi katika hizi spare parts 2, ipi ni aghali zaidi?

Kama Taifa tunapoteza kiasi gani na kutiwa umaskini kwa kununua bidhaa hafifu toka China?

Kwa nini hao wawekezaji wa kutoka Ulaya na America, tusiwatengenezee mazingira mazuri ya kuja kuwekeza kwetu, wazalishie bidhaa kwetu (nguvu kazi rahisi ipo japo haina skills), tukanunua bidhaa zilizotengenezwa na makampuni ya nje lakini yaliyopo nchini mwetu?

Njia ya haraka ya kuyafikia maendeleo ni uwezo wetu wa kuvutia mitaji ya nje kuja nchini mwetu. Hapo tutapata ajira, tutapata bidhaa zenye ubora, tutaingiza pesa za mataifa mengine nchini mwetu na hivyo kuhuisha mzunguko wa fedha, kuongeza mapato ya Serikali na watu binafsi, lakini pia kuongeza skills za watu wetu.
Na sasa game limebadilika, China inanunua kampuni za Ulaya mpaka serikali zao zimeanza kushituka. Na inanunua makampuni yenye teknolojia za kimkakati kama kampuni ya kutengeneza wafers ya UK, kampuni ya Italy yenye tech za drones za kijeshi, imenunua kampuni ya kutengeneza robotics za viwanda huko germany, yani imenunua makampuni mengi mpaka sasa wameanza kushituka na serikali zimeanza kuingilia kati.
Sema china kama ulivyosema bado inavutia sana wawekezaji, hadi Elon Musk naona kati ya mambo ambayo wanamshambulia nayo ni kiwanda chake kikubwa cha china na ukaribu wake na serikali ya china
 
Na sasa game limebadilika, China inanunua kampuni za Ulaya mpaka serikali zao zimeanza kushituka. Na inanunua makampuni yenye teknolojia za kimkakati kama kampuni ya kutengeneza wafers ya UK, kampuni ya Italy yenye tech za drones za kijeshi, imenunua kampuni ya kutengeneza robotics za viwanda huko germany, yani imenunua makampuni mengi mpaka sasa wameanza kushituka na serikali zimeanza kuingilia kati.
Sema china kama ulivyosema bado inavutia sana wawekezaji, hadi Elon Musk naona kati ya mambo ambayo wanamshambulia nayo ni kiwanda chake kikubwa cha china na ukaribu wake na serikali ya china
Siyo kwamba game imebadilika bali China imezidi kusogea hatua moja mbele.

Kwanza walihamasisha sana na kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji kwa makampuni ya Ulaya na America kuwekeza China.

Wachina wakapata technology, wakapata ajira, Serikali yao ikapata mapato makubwa. Na sasa wanatumia mapato yale waliyoyapata, kuyanunua baadhi ya makampuni ya Ulaya na America yaliyopo China. Kisha wanatumia tekinolojia waliyoipata watu wao wakati wakiwa waajiriwa kwenye makampuni haya ya kigeni, kuweza kuendeleza brands walizozinunua. Je, wataweza kutunza ubora kwa kiwango kile kile? Hilo ni swali jingine. Kwa mfano, kuna Volvo China, na Volvo Sweden. Je, ubora wa gari volvo iliyotengenezwa na Volvo China na ile iliyoyengenezwa na Volvo Sweden, utakuwa sawa? Hiyo itajulikana baada ya muda.

Uchumi wa China upo salama zaidi kwa kuwa na makampuni mengi ya kutoka Ulaya na America. Leo hii kuiwekea vikwazo China, maana yake utayaadhibu makampuni ya Ulaya na America.
 
Siyo kwamba game imebadilika bali China imezidi kusogea hatua moja mbele.

Kwanza walihamasisha sana na kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji kwa makampuni ya Ulaya na America kuwekeza China.

Wachina wakapata technology, wakapata ajira, Serikali yao ikapata mapato makubwa. Na sasa wanatumia mapato yale waliyoyapata, kuyanunua baadhi ya makampuni ya Ulaya na America yaliyopo China. Kisha wanatumia tekinolojia waliyoipata watu wao wakati wakiwa waajiriwa kwenye makampuni haya ya kigeni, kuweza kuendeleza brands walizozinunua. Je, wataweza kutunza ubora kwa kiwango kile kile? Hilo ni swali jingine. Kwa mfano, kuna Volvo China, na Volvo Sweden. Je, ubora wa gari volvo iliyotengenezwa na Volvo China na ile iliyoyengenezwa na Volvo Sweden, utakuwa sawa? Hiyo itajulikana baada ya muda.

Uchumi wa China upo salama zaidi kwa kuwa na makampuni mengi ya kutoka Ulaya na America. Leo hii kuiwekea vikwazo China, maana yake utayaadhibu makampuni ya Ulaya na America.
Yani hujanielewa. China sasa ananunua makampuni yenye technology muhimu sana kule ulaya. Yani anataka ayamiliki na hili jambo limeeashitua. Hadi sasa deal la kampuni ya kutengeneza wafers ya UK serikali imeliingilia. Kafanya hivyo Germany, kanunua makampuni kadhaa ikiwemo kampuni ya kutengeneza robots za viwandani ambayo ni kinara.
Sasa kuna kampuni nyingine pia alitaka nunha Germany nako serikali imeingilia.
 
Uwekezaji mkubwa wa mataifa ya nje, hasa toka Ulaya na America ulipandisha ukuaji wa uchumi wa China toka 2% mpaka 12%.
Haya mataifa ya nje yakiwa hapo ndani kwao yaliwezaje kuwa na uchumi mkubwa kiasi cha kuweza kuwekeza nchi zingine kama hapo china ?

Hamatan
 
Yaani una maana yaliwezaje kuwa na uchumi mkubwa kule kwao mpaka kwenda kuwekeza nje?? Sijui mi ndio nimeelewa ivo.
Haya mataifa ya nje yakiwa hapo ndani kwao yaliwezaje kuwa na uchumi mkubwa kiasi cha kuweza kuwekeza nchi zingine kama hapo china ?
 
Watanzania wengi ambao ni wavivu wa kutafuta maarifa, huiongelea sana China kama nchi iliyofanikiwa sana kiuchumi, kwa wao kujifungia na kwa kutegemea ubunifu wao na mitaji yao. Wengine wanaenda mbali zaidi, na kushauri Tanzania ifuate mfano wa China.

Kwa wale wasiojua, wafahamu yafuatayo:

1) Mabadiliko makubwa ya uchumi wa China yalitokea miaka ya 1990 baada ya sera za uchumi wa kujifungia kushindwa kufanya kazi na kusababisha wachina zaidi ya 40% kuishi kwenye umaskini mkubwa. Miaka ya 1990, China ikaamua kuachana na uchumi wa kujifungia, na kuamua kuruhusu uwekezaji mkubwa wa mataifa ya nje, hasa toka Ulaya, America na mamlaka inayojitegemea ya ya Hong Kong.

2) Uwekezaji mkubwa wa mataifa ya nje, hasa toka Ulaya na America ulipandisha ukuaji wa uchumi wa China toka 2% mpaka 12%.

3) Kwa ujumla, mpaka sasa, China ndiyo inayovutia mitaji mikubwa ya uwekezaji, hasa toka Uaya na America, kuzidi nchi yoyote Duniani.

4) Makampuni mengi ya Ulaya na America yaliyopo China kwa sababu ya uwepo wa nguvu kazi rahisi na soko kubwa, ndiyo hayo yanayouza bidhaa zake huko Ulaya na America, huku makampuninya wachina 100% ambayo bidhaa zake huwa zinanubora hafifu, soko lake ni Afrika.

5) Katika makampuni 10 makubwa kabisa yaliyopo China, ni kampuni 1 tu ndiyo inayomilikiwa na Wachina.

6) Kwa mwaka 2020/2021, China iliendelea kuongoza katia kuvutia wawekezaji wa nje. Uwekezaji wa nje (FDI) kwa mwaka huo ulikuwa dollar billion 173.48.

China FDI inflows hit record high in 2021

January 14, 2022

BEIJING, Jan. 13 (Xinhua) -- In a year when the pandemic continued to wreak havoc on the world economy, global investors have cast more votes of confidence on investing in China as the foreign direct investment (FDI) into the country hit a record high.

The FDI into the Chinese mainland, in actual use, expanded 14.9 percent year on year to a record high of 1.15 trillion yuan in 2021, the Ministry of Commerce said Thursday.

In U.S. dollar terms, the inflow went up 20.2 percent year on year to 173.48 billion dollars.

7) Wakati waafrika wajinga, wanategemea kuwa Wachina ndio watakaofanya uwekezaji mkubwa kwenye mataifa, viongozi wa China kila leo wapo Ulaya kutafuta wawekezaji. Makampuni makubwa ya uvhimbaji madini ya America, Ulaya na Australia, ndiyo yaliyoifanya China kuwa mzalishaji mkubwa wa kwanza wa dhahabu Duniani. Lakini hawa walioshindwa kuchimbabmadinibnchini mwao, sisi waafrika tunaamini ndio watakaochimba madini yetu kwa ufanisi.

WITO
Kama uwekezaji wa Wachina wenyewe nchini mwao ulishindwa kuleta tija, kwa nini tunadhani uwekezaji wa Wachina nchin mwetu utaleta tija?

Kama Wachina waliopo China, wengi wenye uwezo wanaona bidhaa za makampuni ya Wachina wenzao hazina viwango vya ubora, na hivyo kupaparikia bidhaa za makampuni ya kigeni yaliyopo China, kwa nini sisi tunaona bidhaa hizo hizo zisizo na ubora, ndiyo zenye kutufaa?

Kama Wachina wanaona kuwa hao wazungu (mabeberu!!), ndio watu muhimu na wa kuaminika katika uwekezaji, kwa nini na sisi tusipiganie kuwapata hao hao kuja kuwekeza nchini mwetu, kuliko kumfikiria aliyeshindwa nchini mwake?

Leo hii unanunua spare part ya mchina kwa shilingi laki 2, inadumu mwezi mmoja (kama una bahati), wakati spare ya mzungu inauzwa shilingi laki 4 lakini inadumu miaka 10. Hivi katika hizi spare parts 2, ipi ni aghali zaidi?

Kama Taifa tunapoteza kiasi gani na kutiwa umaskini kwa kununua bidhaa hafifu toka China?

Kwa nini hao wawekezaji wa kutoka Ulaya na America, tusiwatengenezee mazingira mazuri ya kuja kuwekeza kwetu, wazalishie bidhaa kwetu (nguvu kazi rahisi ipo japo haina skills), tukanunua bidhaa zilizotengenezwa na makampuni ya nje lakini yaliyopo nchini mwetu?

Njia ya haraka ya kuyafikia maendeleo ni uwezo wetu wa kuvutia mitaji ya nje kuja nchini mwetu. Hapo tutapata ajira, tutapata bidhaa zenye ubora, tutaingiza pesa za mataifa mengine nchini mwetu na hivyo kuhuisha mzunguko wa fedha, kuongeza mapato ya Serikali na watu binafsi, lakini pia kuongeza skills za watu wetu.
Usikimbilie kuwaita waafrika wajinga, jadili kwa staha maana yawezekana mtizamo wako ndiyo haufanyi kazi.

Siyo kweli kwamba kama kuna mtu alitajirika kwa kuuza nafaka basi nawe ukiuza nafaka utatajirika, siyo rahisi hivyo.

Siyo kweli kwamba kwa kuwa Diamond alitajirika kwa kuimba mziki basi kila anayeimba mziki anaweza kuwa tajiri kama diamond

Uchumi si somo la historia kuangalia wenzetu walifanya nini na kujaribu kuiga bali uchumi ni swala la Kujitazama vigezo ulivyo navyo, ukatazama soko ulilo nalo na kuchagua.

Ukiwa na duka lako huwezi kuamua nani aje kununua leo na nani aje kesho. Wateja watakuja wenyewe kulingana na wanavyojisikia.

Kukaribisha wawekezaji ni sawa na kufungua duka na wawekezaji ni sawa na wateja dukani, wanaokuja kununua kwako ndiyo soko lako.

Ukiona tumefungua milango ya uwekezaji wakaja wachina basi ujue hao ndiyo soko letu na kuwakataa hao haitakusaidia. Ni sawa na kufungua genge mtaani lakini ukataka kuhudumia wateja wenye VX tu, huo ni ujinga.
 
China walipata bahati ya kuwa na rais mwenye akili sana Deng Xiaoping. Hayo yote kaanzisha yeye. Wengine wanafata ramani za deng Xiaoping mpaka leo.
Yeye alipanga kila kitu na ndie aliyejenga mfumo wa wazawa kupata mitaji kupitia mabenki china. Hebu search list of largest Banks in the world ndio utaelewa.
 
Watanzania wengi ambao ni wavivu wa kutafuta maarifa, huiongelea sana China kama nchi iliyofanikiwa sana kiuchumi, kwa wao kujifungia na kwa kutegemea ubunifu wao na mitaji yao. Wengine wanaenda mbali zaidi, na kushauri Tanzania ifuate mfano wa China.

Kwa wale wasiojua, wafahamu yafuatayo:

1) Mabadiliko makubwa ya uchumi wa China yalitokea miaka ya 1990 baada ya sera za uchumi wa kujifungia kushindwa kufanya kazi na kusababisha wachina zaidi ya 40% kuishi kwenye umaskini mkubwa. Miaka ya 1990, China ikaamua kuachana na uchumi wa kujifungia, na kuamua kuruhusu uwekezaji mkubwa wa mataifa ya nje, hasa toka Ulaya, America na mamlaka inayojitegemea ya ya Hong Kong.

2) Uwekezaji mkubwa wa mataifa ya nje, hasa toka Ulaya na America ulipandisha ukuaji wa uchumi wa China toka 2% mpaka 12%.

3) Kwa ujumla, mpaka sasa, China ndiyo inayovutia mitaji mikubwa ya uwekezaji, hasa toka Uaya na America, kuzidi nchi yoyote Duniani.

4) Makampuni mengi ya Ulaya na America yaliyopo China kwa sababu ya uwepo wa nguvu kazi rahisi na soko kubwa, ndiyo hayo yanayouza bidhaa zake huko Ulaya na America, huku makampuninya wachina 100% ambayo bidhaa zake huwa zinanubora hafifu, soko lake ni Afrika.

5) Katika makampuni 10 makubwa kabisa yaliyopo China, ni kampuni 1 tu ndiyo inayomilikiwa na Wachina.

6) Kwa mwaka 2020/2021, China iliendelea kuongoza katia kuvutia wawekezaji wa nje. Uwekezaji wa nje (FDI) kwa mwaka huo ulikuwa dollar billion 173.48.

China FDI inflows hit record high in 2021

January 14, 2022

BEIJING, Jan. 13 (Xinhua) -- In a year when the pandemic continued to wreak havoc on the world economy, global investors have cast more votes of confidence on investing in China as the foreign direct investment (FDI) into the country hit a record high.

The FDI into the Chinese mainland, in actual use, expanded 14.9 percent year on year to a record high of 1.15 trillion yuan in 2021, the Ministry of Commerce said Thursday.

In U.S. dollar terms, the inflow went up 20.2 percent year on year to 173.48 billion dollars.

7) Wakati waafrika wajinga, wanategemea kuwa Wachina ndio watakaofanya uwekezaji mkubwa kwenye mataifa, viongozi wa China kila leo wapo Ulaya kutafuta wawekezaji. Makampuni makubwa ya uvhimbaji madini ya America, Ulaya na Australia, ndiyo yaliyoifanya China kuwa mzalishaji mkubwa wa kwanza wa dhahabu Duniani. Lakini hawa walioshindwa kuchimbabmadinibnchini mwao, sisi waafrika tunaamini ndio watakaochimba madini yetu kwa ufanisi.

WITO
Kama uwekezaji wa Wachina wenyewe nchini mwao ulishindwa kuleta tija, kwa nini tunadhani uwekezaji wa Wachina nchin mwetu utaleta tija?

Kama Wachina waliopo China, wengi wenye uwezo wanaona bidhaa za makampuni ya Wachina wenzao hazina viwango vya ubora, na hivyo kupaparikia bidhaa za makampuni ya kigeni yaliyopo China, kwa nini sisi tunaona bidhaa hizo hizo zisizo na ubora, ndiyo zenye kutufaa?

Kama Wachina wanaona kuwa hao wazungu (mabeberu!!), ndio watu muhimu na wa kuaminika katika uwekezaji, kwa nini na sisi tusipiganie kuwapata hao hao kuja kuwekeza nchini mwetu, kuliko kumfikiria aliyeshindwa nchini mwake?

Leo hii unanunua spare part ya mchina kwa shilingi laki 2, inadumu mwezi mmoja (kama una bahati), wakati spare ya mzungu inauzwa shilingi laki 4 lakini inadumu miaka 10. Hivi katika hizi spare parts 2, ipi ni aghali zaidi?

Kama Taifa tunapoteza kiasi gani na kutiwa umaskini kwa kununua bidhaa hafifu toka China?

Kwa nini hao wawekezaji wa kutoka Ulaya na America, tusiwatengenezee mazingira mazuri ya kuja kuwekeza kwetu, wazalishie bidhaa kwetu (nguvu kazi rahisi ipo japo haina skills), tukanunua bidhaa zilizotengenezwa na makampuni ya nje lakini yaliyopo nchini mwetu?

Njia ya haraka ya kuyafikia maendeleo ni uwezo wetu wa kuvutia mitaji ya nje kuja nchini mwetu. Hapo tutapata ajira, tutapata bidhaa zenye ubora, tutaingiza pesa za mataifa mengine nchini mwetu na hivyo kuhuisha mzunguko wa fedha, kuongeza mapato ya Serikali na watu binafsi, lakini pia kuongeza skills za watu wetu.
Well said
 
Wengi wanaamini hivyo, lakini siyo kweli.
Kwa watu wasiotafakari mambo na ku-research wanayoambiwa hasa wabongo, utawapata sana. Wewe theory yako ni: ili nchi iendelee, asi inahitaji kuvutia wawekezaji kwa wingi! Naona hawa wapiga deal, yaani viongozi wa CCM (kama wewe siyo mmoja wapo) wakisoma hii thread watakupa ''like'' za kutosha kwa sababu haya maneno ni kama wimbo masikioni mwao. Ukweli ni kwamba China imejengwa na wachina wenyewe. Ndiyo, China kuna cheap labour na makampuni mengi yamejenga viwanda huko lakini hili katu sio sababu ya China kufika hapo. China imefanikiwa sana kwa kuwa na mikakati maalum na uongozi unajali nchi badala ya matumbo yao. China imeweza kuendelea kwa sababu haikurupuki, inafanya mambo kwa akili sana bila kelele. Silaha hizi zimewezesha wachina kujifunza na kuwa na technolojia za kutengeneza bidhaa zake. Kwa mfano mabasi ya abiria ya Yutong yameanza kuteka soko la dunia. Vitu kama simu, TV na vyombo vya electronic kwa ujumla wachina wameza kuwa na brand zake ambazo zinaanza kuteka soko duniani.
 
Back
Top Bottom