Uchumi wa Kati umeenda wapi?

Uchumi wa Kati umeenda wapi?

Ni kweli tuliingia uchumi wa kati wa chini maana tulikidhi vigezo vyao, japo tuliondolewa tena.

Mmejaa chuki tu zisizo na sababu kwa Marehemu, ndio maana hamuogopi kumzushia uongo, acheni Utoto.
Hao washakua intoxicated, there's no way you can turn them around, hakuna jema wanaloliona kwa magu. Wanapingana hata na facts ambazo ukihoogle unaziona.
 
Ninyi ndio ile mijitu mijinga mijinga ambayo "Dr" Msukuma anapenda kuwa refer kuwa anaweza kuwaajiri kuhesabu mapato yake ya mabasi.
Hao IMF au WB hujui kuwa walipelekwa Takwimu za kupikwa.
Na ikatengenezwa sheria kumfunga mtu yeyote atakayetoa takwimu zisizopitia serikalini.
Magufuli ni kama alijitekenya mwenyewe kwa takwimu feki alizopeleka huko halafu akafurahia kudanganya tumekuwa uchumi wa kati.
In reality kukua kwa uchumi kuliporomoka toka almost 7% hadi below 4%.
Halafu mijitu mijinga mnafurahia kama nyani aliyekula mahindi mabichi!
Mmeshindwa kuexplain kwanini uchumi unashuka badala ya kupanda mnaishia kusema alietupeleka uchumi wa Kati alidanganya.

Tuambieni kwanini uchumi unashuka badala ya kupanda acheni bla bla za kutunga kujifurahisha.
 
Vitu vingine kama huvijui ni heri kunyamaza! Kwani ulisikia wapi kuwa inchi yenye inamamlaka yakujitangazia kama sasahivi iko uchumi wa kati au wa juu? Si bora ufanye ata utafiti mdogo bas mbona mengine simple sana?
Usibishane na mtu ambe 80% ya muda wake anaitumia porn hub
 
Yule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Wewe utakua na mimba ya mzee wewe si bure

Uchumi wa kati ulitangazwa na magifuli au benki ya dunia ya hao hao mashoga zenu mabeberu?
 
Ni kweli tuliingia uchumi wa kati wa chini maana tulikidhi vigezo vyao, japo tuliondolewa tena.

Mmejaa chuki tu zisizo na sababu kwa Marehemu, ndio maana hamuogopi kumzushia uongo, acheni Utoto.
Na hata sasa bado tupo uchumi wa kati, ni maadui tu hupinga,
Hii sekta binafsi ilivyozalisha ajira tele hamuioni?
Ni mfumo uliachwa na magu huu
 
Wewe utakua na mimba ya mzee wewe si bure

Uchumi wa kati ulitangazwa na magifuli au benki ya dunia ya hao hao mashoga zenu mabeberu?
Washamba mko wengi.
Mkifikiri matusi ndo yanawabeba kufikiri kingono ngono, kumbe ndio mnaji expose mlivyo uncivilsed.
Ustaarabu nao kazi.
 
Mmeshindwa kuexplain kwanini uchumi unashuka badala ya kupanda mnaishia kusema alietupeleka uchumi wa Kati alidanganya.

Tuambieni kwanini uchumi unashuka badala ya kupanda acheni bla bla za kutunga kujifurahisha.
Just use your brain, mtu anaua base ya biashara , base ya ajira na uchumi.
Sasa uchumi utapandaje!
 
Watu wa aina yako ndio tulio nao wengi ndani ya taifa hili..., vigeugeu bila hata chembe ya aibu!

Ngalia haya unayoandika hapa leo, na kujifanya kusahau kabisa kwamba ni mwaka juzi tu ulikuwa mishipa ikikujaa shingoni kutetea huyo unayemwita "laghai" leo, huku wakati ule ukitishia hata kuwaitia polisi watu waliotumia neno hilo hilo kumsema mtu huyo unayejifanya leo kumwona "laghai".

Watu wa aina yako katika taifa ni hasara tupu!
Kuna mengine mwendazake alifanya vizuri.
Mengine ilikuwa hovyo kabisa, nawe wajua.
Kama mtu huna akili unayapata ya Lissu, Azory Gwanda na Ben Saanane, nani anayataka hayo?
Leo Shamte kamnyooshea kidole Mwinyi huko Zenj, kilichompata unakijua, sasa ameomba poo!
Ndio siasa, usiende kichwa kichwa, kesho ni siku nyinginee.
 
Yule mzee kaharibu sana hii nchi inabidi afukuliwe asomewe mashtaka ikiwezekana afungwe kabisa hata miaka mitano au mwili wake uwekwe uwanja wa taifa kila mtanzania atakayepata nafasi amuweke kiboko kimoja,kiukweli katupitisha nyakati ngumu sana kama nchi
Hii ilitokana na mfumo ovu
 
Acheni comedy unawatangazia watu uchumi wa Kati halafu likija suala la kuongeza mishahara unawaambia watu Hali ya kifedha siyo nzuri. Ndivyo tulivyoishi miaka 7 tukidanganywa na kupuliziwa
jiwe si mlaumu ni kwasababu taarifa ya Tanzania kupanda uchumi wa kati nae aliipokea kama sasa, he didn't see it coming. Hata kwake ilikua ni breakingnews kama kwetu.
 
Ndio siasa, usiende kichwa kichwa, kesho ni siku nyinginee.
Kwa hiyo hii ndiyo 'philosophy' yako katika maisha yako. Mbona inakubaliana na niliyokueleza moja kwa moja hapo juu?

Maana yake huna popote unaposimamia kama binaadam, unayumba tu maisha yako yote kufuatana na anayekuwepo madarakani kukuyumbisha!
 
Kwa hiyo hii ndiyo 'philosophy' yako katika maisha yako. Mbona inakubaliana na niliyokueleza moja kwa moja hapo juu?

Maana yake huna popote unaposimamia kama binaadam, unayumba tu maisha yako yote kufuatana na anayekuwepo madarakani kukuyumbisha!
Hayo ni mawazo yako yasiyo na tija.
Wenzio tuna ganga na yajayo.
We live in the promising future, not dwelling on the dark past.
 
Yule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Lini Magufuli alisema tuko uchumi wa kati? World Bank na IMF ndio waliotangaza hivyo kwa kutumia vigezo vyao wenyewe. Usimpakazie marehemu wa watu. Mwache apumzike kwa amani. Amina.
 
Back
Top Bottom