fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
PWapumbavu kabisa nyie. WB ndo waliotangaza uchumi wa kati, kwa nini alaumiwe JPM?
Mnapoteza muda bure tu. Hakuna wa kulinganishwa na JPM kwa sasa.
Uzuri ni kwamba, hata Bibie alishakiri wazi kwa kinywa chake kuwa hata afurukute, hawezi hata kumkaribia JPM.