antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Acha porojo hata huko kwenye uchumi wa juu kuna masikini na ambao hawajui hata kesho ataamuka vipi, tembea uone usiishie Kajunjumele na Hai kwa mungu wenu
Kwa hiyo huko Kuna shule za hivi??!Utakuwa umetumwa na mabeberu wewe, madarasa mbona yapo tena ya viwango vya uchumi wa kati?
View attachment 1501406