antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Acha porojo hata huko kwenye uchumi wa juu kuna masikini na ambao hawajui hata kesho ataamuka vipi, tembea uone usiishie Kajunjumele na Hai kwa mungu wenu
Kwa hiyo huko Kuna shule za hivi??!Utakuwa umetumwa na mabeberu wewe, madarasa mbona yapo tena ya viwango vya uchumi wa kati?
View attachment 1501406
Acha porojo hata huko kwenye uchumi wa juu kuna masikini na ambao hawajui hata kesho ataamuka vipi, tembea uone usiishie Kajunjumele na Hai kwa mungu wenu
Acha utahahira wewe mbona bunge jalikufanyikia nje watanzania sio wapunbavuKuna kitu kinaitwa SOCIAL DISTANCING, Je unakijuwa?
"Uchumi wa Kati uko kwa wanasiasa!Uchumi wa Kati uko kwa wanasiasa! Tazama nyumba zao! Maharishi Yao! Watoto was! Wake zap! Ndiyo maana vijana wengi na maprofesa wamejikita huko sasa hvi. Mahali pengine penye uchumi wa kati ni kwa madhehebu ya dini kwani kidogo tunachopata tunawapelekea!
View attachment 1501370View attachment 1501371
Hii ni shule ya sekondari ya Kiparang'anda ya mkoani Pwani, aibu hii imetokana na uhaba wa madawati pamoja na vyumba vya madarasa.
Hahahahaaa jamaa wewe umetisha. Lakini ndio ukweli."Uchumi wa Kati uko kwa wanasiasa!
"Mahali pengine penye uchumi wa kati ni kwa madhehebu ya dini".
Sina cha kuongezea mkuu.
Best
Weka pichaAcha porojo hata huko kwenye uchumi wa juu kuna masikini na ambao hawajui hata kesho ataamuka vipi, tembea uone usiishie Kajunjumele na Hai kwa mungu wenu
Hii akili au matope..!! ?Hiyo shule ipo vizuri bhana ungeuliza sababu ya wao kufanya hivyo wala usingeleta huu uzi wako.Kuna shule huku jirani watoto hasa wa darasa la mitihani mwalimu akitaka kuwapa test anawatoa nje kisha anawakalisha mbalimbali kama hivyo madawati wanaacha ndani.Njoo upige picha na huku.
Yale majengo wanayonyesha TBC kila siku ni y kuchora?View attachment 1501370View attachment 1501371
Hii ni shule ya Sekondari ya Kiparang'anda ya mkoani Pwani, aibu hii imetokana na uhaba wa madawati pamoja na vyumba vya madarasa.
Hujui kuna Corona! Wanakeep distance haoView attachment 1501370View attachment 1501371
Hii ni shule ya Sekondari ya Kiparang'anda ya mkoani Pwani, aibu hii imetokana na uhaba wa madawati pamoja na vyumba vya madarasa.
.Nafikiri pia hujui maana ya kukua kwa uchumi nadhani wewe sawa na wale walioamini Mzee mapesa aliposema atawajaza mapesa wakaamini kweli watajazwa mapesa,roho imekuuma kwa sababu hizo takwimu hazikuletwa na akina Twaweza,bali zimeletwa na hao hao mnaowalamba viatu na kuwatukuza kila kukicha. Nyuso zimewaparama na kuwashuka shuu, anzeni lingine.
Swali,maoni au jibu?Hii akili au matope..!! ?
Hivi ni kweli? basi huyo DED ajiandae tu kuondoka.View attachment 1501370View attachment 1501371
Hii ni shule ya Sekondari ya Kiparang'anda ya mkoani Pwani, aibu hii imetokana na uhaba wa madawati pamoja na vyumba vya madarasa.
Hapo wanafanya mtihani au wanajisomea?au ni social distance?View attachment 1501370View attachment 1501371
Hii ni shule ya Sekondari ya Kiparang'anda ya mkoani Pwani, aibu hii imetokana na uhaba wa madawati pamoja na vyumba vya madarasa.
Afadhali sisi. Karuzuku hakatoshi inabidi tujiongeze kuchangisha wabunge na kuuza tikitimaji.View attachment 1501370View attachment 1501371
Hii ni shule ya Sekondari ya Kiparang'anda ya mkoani Pwani, aibu hii imetokana na uhaba wa madawati pamoja na vyumba vya madarasa.
Na hivyo wame-buni mbinu mbadala ya kupeana nafasi. Wanastahili pongezi hao walezi wao. Tatizo libaki kwa wawezeshajiView attachment 1501370View attachment 1501371
Hii ni shule ya Sekondari ya Kiparang'anda ya mkoani Pwani, aibu hii imetokana na uhaba wa madawati pamoja na vyumba vya madarasa.