Uchumi wa Kenya unategemea mahusiano ya kibeberu dhidi ya Tanzania

Hivi lugha hiyo unayoandika hapa ni kiswahili?

So you're here to "entertain"; what form of entertainment are you offering, comedy?
Kama umelemewa na maisha usikuwe ukiletea watu wengine Makasiriko,ama wwe Ni mmoja ya wale waliofukuzwa leo kwa Barabara ya kuingia Soko za Kariokoo🤔
 
Tuuite shemeji.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
🤑Lamba Lolo boss,usiniletee Makasiriko yako

Kama umelemewa na maisha usikuwe ukiletea watu wengine Makasiriko,ama wwe Ni mmoja ya wale waliofukuzwa leo kwa Barabara ya kuingia Soko za Kariokoo🤔
Kuna baadhi ya watu hapa huwa wanababaishwa sana na watu kama wewe mnapojitambulisha kuwa mnatokea huko,...; sasa angalia haya unayoandika hapa yanavyokutia aibu mkuu!
Hata hao mliowalaza akili wakiona uchafu kama huu hapa, si na wao wataanza kuwadharau? Inalazimu uwe mwangalifu sana kila mara unapojitokeza mahala kama hapa.
 
wwe ukiongea vibaya Unataka Ni kujibu Vizuri Mimi????
 
ona hii Uongo na matusi uliyojaza Hapa🤔And you pretend to be good,You don't even have dignity to say things that are real
 
kila mahali ninapoona kumetajwa Kenya huwa unakuwa wa kwanza kuandika Uongo kuhusu Kenya,uwache kupotosha watu wwe
 
From 1986 we were ontop of you, mkatufukia 1999 to 2004 we overtook you, hadi wa leo
tukichukua sasa itabaki historia hamtarudi tena kwenye ramani. kumbuka Tanzania, uchumi haujawahi kuwa agenda ya Tanzania! sasa ni agenda. Kila kinachofanyika Tanzania kiuchumi ni maumivu makubwa kwa kenya.
 
Ndio maana JPM walimchukia hakujali mahusiano bali tunapata nini.
 
tukichukua sasa itabaki historia hamtarudi tena kwenye ramani. kumbuka Tanzania, uchumi haujawahi kuwa agenda ya Tanzania! sasa ni agenda. Kila kinachofanyika Tanzania kiuchumi ni maumivu makubwa kwa kenya.
All the best kaka
 
Good point, umeeleza na kueleweka. Hakuna undugu kwenye ulimwengu wa sasa. Ndugu waliobaki wanajuana ni 🇬🇧🇺🇸 Tu
 
Duh wengine hata kufikiri mnaona uvivu😂😂.
 
Nakubaliana na wewe kwamba siasa za Ujamaa na kujitegemea zilichangia sana but sio sababu kuu; kuna issue ya kihistoria pia, remember Waingereza walipewa tu Tanganyika, wao walikua zao Kenya na waliwekeza sana Kenya kuliko Tanganyika. Kama Mjerumani angeshinda vita ile huenda we could be somewhere but again nadhani Wakenya wanapewa sana promo kwenye mambo mengi sana, mbona huko nje ya nchi hawafanyi kazi za maana kiviile, wa kawaida sana yani, hadi kazi za upishi na udereva
 
Ebu ona WWE unavyodanganya watu🙈Kuna Wakenya Wengi wamepewa Kazi inje za Juu Sana,Just go do your research well🤣🤣🤣🤣🤣
 
example Wakenya wanaandikwa kwa Mabenki,Cashier's Supermarkets,Walimu wa Kingereza,Walimu wa Kiswahili,kampuni za kutengeneza ndege Basi na Magari,Manufacturing and Processing Industries,Kotekote Kazi Zote Wakenya wanafanya ata iwe Kazi ya Juu ama Chini,Ata Kazi ya kuongoza USA nzima tumefanya😁🤑OBAMA#Former prezooooooh🇰🇪🔥🔥So inalingana masomo ya mtu imefika wapi Ndio upewe Biashara flani Abroad
 
I think ungecompare diaspora remittance ya Tz na Kenya ndio ungepata a rough idea of who is paid peanuts nje ya nchi
 
I think ungecompare diaspora remittance ya Tz na Kenya ndio ungepata a rough idea of who is paid peanuts nje ya nchi
Sijui kama umenisoma vizuri; sijazungumzia nani ana idadi kubwa ya raia wake nje ya nchi, nimesema, Wakenya wengi walioko nje ya nchi wanafanya kazi za kawaida sana
 
Sijui kama umenisoma vizuri; sijazungumzia nani ana idadi kubwa ya raia wake nje ya nchi, nimesema, Wakenya wengi walioko nje ya nchi wanafanya kazi za kawaida sana
Pia wewe nikama hujanielewa, kazi nyingi za kawaida zinafanywa na watz, in short
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…