Has the Devki steel mill that processes raw iron ore started operations? It is a game-changerMachakos is offering serious competition to Kilifi when it comes to steel factories. Already the chinese are building what will become the largest steel factory in the region in machakos, but kilifi also has 4 huge steel factories including the recent one from Devki which is the first in east africa to process raw iron ore into a wide range of steel products.
Punguza utanzania! Mwaka jana Kenya ime export iron na steel ya $20 million kutoka $16.8 million mwaka wa 2018.TZ kuna viwanda vingi sana vya chuma na mabati na hatujawahi kuagiza kenya so kila mtu ashinde mechi zake.
Mbati ,
Nondo
Mabomba makubwa
yanazalishwa ndani ya nchi
Huwa mara nyingi sipendi sana kujibu posts zako kwasababu ninahisi hazina uzito wowote, kwasababu muda mwingi unatumia hisia na wishful zaidi kuliko reasoning.Hiyo ya makampuni ya Kenya kukuja Tanzania ni kitu kwa kizungu inaitwa expansion. Yani niko na biashara nataka kupanua biashara yangu illiniweze kufikia watu wengi zaidi.
Kwa hivyo vile unafikiria hayo makampuni 500 yamefunga operations zao Kenya? Bado wanaendelea kupanua biashara zao Kenya tena kwa kasi kuliko mahala pengine katika eac.
Mabati rolling mills iko na viwanda 5 ndani ya Kenya(hiyo hapo juu ikiwa ya 5) na 1 Tanzania, Hivi juzi bidco wametengeneza kiwanda yao ya 4 hapa Kenya, uganda wako na 1.
Yes but at 1/4 of capacity which is phase 1, by 2022 it will be complete in all phases.Has the Devki steel mill that processes raw iron ore started operations? It is a game-changer
Sijasema hamjaexportPunguza utanzania! Mwaka jana Kenya ime export iron na steel ya $20 million kutoka $16.8 million mwaka wa 2018.
Kuthibitisha enda uangalie UN Comtrade data.
Trade war iliyoanzishwa na Trump imefanya trade volume kati ya US na China kupungua. Makampuni mengine ya US yanatoroka China. Trade war na kufungiana border si jambo la kisiasa tu kwa sababu linaathiri biashara.Hahahaha, uhusiano ni jambo la kisiasa lakini wafanyabiashara wanachojali ni faida pekee, China na Marekani wanagombana kila siku lakini Jack Maa alipeleka misaada USA, Urusi na USA na EU kila siku wanagombana lakini Ambramovich na matajiri wa Urusi wanazidi kuwekea Europe.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hakuna kampuni liliotoroka China, kilichotokea ni kupungua kwa volumes ya biashara kati ya China na USA, lakini kumbuka kwamba hayo makampuni ya USA huko China, bado yanaendelea kuzalisha bidhaa na kuzipekeka nchi zingine kote duniani.Trade war iliyoanzishwa na Trump imefanya trade volume kati ya US na China kupungua. Makampuni mengine ya US yanatoroka China. Trade war na kufungiana border si jambo la kisiasa tu kwa sababu linaathiri biashara.
Hiyo ni data ya export ya kutoka Kenya kuelekea Tanzania mwaka 2018 na 2019, utasemaje hamjaimport ilhali data yote inapatikana online na inaonesha import ya steel kutoka kenya inayoelekea Tanzania inapanda kila mwaka. Hiyo $20 million ilikuwa ni Tanzania tu, hapo sijahesabu Uganda na Rwanda.Sijasema hamjaexport
tz hatuja-import MAANA TUNAJITOSHELEZA
kama unahakika mmetuuzia weka hapa
Ninarudia kwa Mara ya mwisho, kila mfanyabiashara lengo lake ni kupunguza gharama za uzalishaji ili aweze kuuza bidhaa zake kwa haraka na kubaki na faidaWishful thinking from a guy who thinks a kenyan business expanding into Tanzania means they are closing shop in Kenya . This is the acme of ignorance not knowing the difference between expansion and offshore production.
Go and look at those 500 Kenyan companies in Tanzania and tell me which one has closed shop in Kenya, or which one is producing in Tanzania to export to Kenya.
The situation you put forward is different from China which is offshore production.
You claimed the 500 Kenyan companies in Tanzania did so because they are running from Kenya when in fact from the thread you can clearly see from the example of MRM and Bidco ,they are expanding in Kenya faster than in any part of east africa. Infact the kenyan factories make products unavailable in their other factories hence the need to export.
Nilijua niweka kichwa cha uzi kama hiyo watamiminika hapa kushangilia, lakini wakapata mambo kumbe ni tofauti.Wazee wa "anguko la uchumi wa Kenya".... mna kazi.
Sio lazima yarudi US. Yanaweza kuenda Bangladesh, Sri lanka au nchi yoyote iliyo na bei nafuu kushinda China. Kuna nchi nyingi ambazo zina labour costs nafuu kushinda China. Labour cost imekuwa ikipanda China kwa sababu standard of living imekuwa ikiongezeka.Hakuna kampuni liliotoroka China, kilichotokea ni kupungua kwa volumes ya biashara kati ya China na USA, lakini kumbuka kwamba hayo makampuni ya USA huko China, bado yanaendelea kuzalisha bidhaa na kuzipekeka nchi zingine kote duniani.
Haya makampuni hayawezi kurudi USA kwasababu bidhaa za USA ni ghali sana ktk soko la dunia ambako mchina ametawala, ili waweze kuuza bidhaa zao duniani, lazima manufacturing yao ifanyike China.
Yes vita vya biashara ni vibaya Sana, siku zote mwenye high costs of productions ndiye mwenye kuanzisha vita vya biashara ili kulinda soko la bidhaa zake.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Haya sasa umepata shock therapy, ume meza kiburi ya "tunajitosheleza".leta link wewe acha porojo
Labour costs ni kipengele muhimu lakini muhimu lazima hiyo labour iwe ni skilled labour, hapo ndipo China inatuzidi sisi sote watu wa dunia ya tatu wakiwemo hao unaowatajaSio lazima yarudi US. Yanaweza kuenda Bangladesh, Sri lanka au nchi yoyote iliyo na bei nafuu kushinda China. Kuna nchi nyingi ambazo zina labour costs nafuu kushinda China. Labour cost imekuwa ikipanda China kwa sababu standard of living imekuwa ikiongezeka.
New Data Shows U.S. Companies Are Definitely Leaving China
US Companies Are Leaving China - Prince Manufacturing
StackPath
Tanzania exports to Kenya - 1997-2018 Data | 2020 ForecastHaya sasa umepata shock therapy, ume meza kiburi ya "tunajitosheleza".
Kenya exports to Tanzania - 2010-2018 Data | 2020 Forecast
Where did you get this info?Tanzania kila mtu uwe kiwanda ama matumizi ya nyumba, kila mtu analipa bei ile moja na tanesco inapanga kuongeza.
Soma hii report. Hii report inasema kuwa bei ya chini kabisa ya labour huko Ethiopia ni $26 kwa mwezi. Ya Kenya average ni $207 kwa mwezi katika manufacturing industry. Hio ni karibu mara kumi ya vile Mhabeshi anavyolipwa. Bado endelea kusema kuwa Kenya sisi ni masikini
https://www.google.com/amp/s/www.cn...s-garment-workers-are-worlds-lowest-paid.html
Alafu unasema unajua kujenga hoja? Hivi mbona ni kama hufanyi utafiti kidogo kabla ya kujibu?Labour costs ni kipengele muhimu lakini muhimu lazima hiyo labour iwe ni skilled labour, hapo ndipo China inatuzidi sisi sote watu wa dunia ya tatu wakiwemo hao unaowataja
China wana very good skilled labour at reasonable Price, very good infrastructure and well connected to the world, very big internal market of 1.6B with good purchasing power
Hakuna mfanyabiashara wa kiwango cha kimataifa atafunga biashara yake na kukimbilia India au Bangladesh. Trade deficit Kati ya China na India ni $50B in favor of China.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
$26 haiwezi kununua chochote hata Afghanistan.The issue is not the amount one receives per month. But its purchasing power. If that difference does not elevate the normal living standard, then higher pay of kenya is like feeding on wind.
Tafadhali tunaomba ushahidi kwamba huu mwaka kuna makampuni 1000 yamepanga kuondoka China, kumbuka this is "October".Alafu unasema unajua kujenga hoja? Hivi mbona ni kama hufanyi utafiti kidogo kabla ya kujibu?
Makampuni yanafunga china na kuelekea india, vietnam, bangladesh etc. Huu mwaka makampuni 1000 yamepanga kukimbia china.
Alafu kusema india hawana skilled labor ni kutokuwa na ufahamu.
India iko na skilled labor pool kubwa .Hivi unajua sahi range rover ni ya wahindi? Hivi unajua TATA motors ni ya India? Unajua India wana jitengenezea ndege za kivita? Hivi unajua india wametuma rover kuenda mars? Kwa ufupi hakuna kitu china wana tengeneza kenye india hawawezi hata treni na reli wanajenga wenyewe.
samsung, hon hai precision instruments, Wistron Corp. na Pegatron Corp ni kati ya makampuni 24 inayowekeza $1.5 billion ndani ya India kujenga viwanda, wakitoka china.
Why India could gain as firms move supply chains away from China
NB: Najua hujui lakini india kwa sahi ndiyo nchi yenye uchumi mkubwa kabisa ndani ya commonwealth i.e. GDP ya india imeshinda ya britain, na makampuni mengi ya india yamenunua makampuni ya britain kama range rover e.t.c.