Incase haukusoma vizuri, hivi ndo ripoti ulioileta inasema kuhusu Tanzania na Uganda.
Orders from
Kampala have dropped to
Sh30.77 billion in the January-June 2019 from recent highs of Sh34.51 billion in 2013, the statistics kept by the CBK shows.
Half-year
exports to Tanzania have dipped to
Sh15.79 billion this year from Sh21.73 billion five years ago, while those from DRC have dipped to Sh6.86 billion from Sh10.12 billion.
Imports from Uganda, on the other hand, have doubled to
Sh13.95 billion in June 2019 from Sh5.14 billion in 2014, while
Tanzania’s has grown to
Sh12.95 billion from Sh8.34 billion.
--------------------------------------
So Uganda exported 15.95B and imported 30.77B from Kenya
Tanzania exported 12.95B and imported 15.79B from Kenya.
Kwahivyo wewe mtanzania uache kujiingiza kwa hoja ambayo hata haikulengi, mwanzo sababu ya exports za Kenya kuja huko Tanzania kupungua si kwasababu ya viwanda vinavyojengwa huko, export zimepungua kwasababu rais wenu alianza ku apply protectionist measures kama kuzulia maziwa, pipi, biskuti na mengineyo, kama ingekua mmefungua soko huru kama vile kitambo ingekua tumejaza bidhaa zetu huko. Angalau Uganda tunajua ni kwamba viwanda vyao ndo vimeongezeka manake wako na soko huru ambalo linaruhusu bidhaa za kenya kuingia bila shida lakini licha ya hivyo, bado eports zetu zinashuka kwasababu zilebidhaa tulikua tukiwauzia sasa wanaweza kujitengenezea wenyewe..
Kule ambako kuna competition kwa Kenya hapa Africa ni ndani ya soko huru la COMESA ambapo Egypt anazidi kutuchapa game, kila kitu ambacho tuna manufacture hao wana uwezo wa ku manufacture mara mbili zaidi tena kwa bei ya chini zaidi.... Juzi baada ya kusoma nyuma ya Tv yangu vizuri nilihuzunika kidogo baada ya kugundua Tv yangu ya LG imeandikwa "Made in Egypt" si eti kwamba nilikua nawaonea dhiki, lakini nilikua najiuliza kama wanaweza kutengeneza products za LG inamaanisha wameanza ku replace China , kwanini pia sisi tusifanye hivyo??
Mbali na wachina wanaojaza bidhaa zao za bei ya kutupa huku Africa kusababisha bidhaa zetu ziwe hazinunuliki, Hao kina Egypt ndo Nchi za Africa zinazo sababisha intra Africa exports yetu ya Kenya izidi kushuka, Usijarubu kuingiza Tanzania kwa huo mjadala..
Ndani ya Comesa members, Egypt exports $2.4B followed by Kenya $1.6B
View attachment 1172954
COMSTAT Data Hub
comstat.comesa.int
Taarifa ulioileta kutoka kwa business daily inasema total exports za Kenya za first 6 months ilikua sh107B kumaanisha in 12 months itakua amngalau sh200B.. Ukiangalia hio screenshot hapo inaonyesha mwaka jana biashara ndani ya COMESA, Kenya ili export sh160B to comesa countries, kumaanisha only sh40B was exported by Kenya outside of Comesa.... So its inside COMESA region where It really matters to Kenya cause this is where 80% of our exports to Africa go to! Usihusishe Tanzania na haya mambo!